VURUGU MARA !!! KONDAKTA , ABIRIRIA 16 WAMPIGA ASKARI WAKAMATWA
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- Dereva, kondakta na abiria 16 wakamatwa Mara kwa kumpiga Askari
Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18, wakiwemo dereva, kondakta na abiria 16, kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024, saa 12 jioni katika mkoa wa Mara.
Akizungumza kuhusu tukio hilo, Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Trafiki Kuu, Butusyo Mwambelo, amesema kuwa askari huyo alikumbwa na kipigo wakati akijaribu kushusha abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari. Hata hivyo, kondakta wa gari hilo alifunga mlango na wote waliokuwa ndani ya gari, akiwemo dereva, kondakta, na abiria, walianza kumshambulia askari huyo.
“Askari wetu alikuwa akitekeleza wajibu wake wa kuwataka abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari washuke. Lakini ghafla walimzonga kwa maneno ya kebehi, na kondakta kufunga mlango wa gari. Ndipo dereva, kondakta na abiria wao wakaanza kumpiga askari akiwa ndani ya gari. Je, kweli tumefika hatua hiyo kama Watanzania?” alisema Mwambelo.
Mwambelo alitoa maelezo hayo wakati wa operesheni ya ukaguzi wa magari iliyofanyika Septemba 19, 2024, katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Geita, ambapo alisisitiza kuwa tukio hilo ni la kusikitisha na halitavumiliwa. Jeshi la Polisi limechukua hatua za haraka kuhakikisha wote waliohusika katika tukio hilo wanawajibishwa kisheria.
Poleni askari wetu
Mwenye magari anafungiwa magari yake kwa kosa lipi!? Acheni kunyanyasa wafanyabiashara😒
Unatoa hukumu,wewe ni hakimu??!!kila mtu akae katika kitengo chake
mbona km anatoa hukumu yeye
Watu wanapaswa kufahamu "Watu wafikiri zaidi"
Kabisa
Wananchi waache ushabiki kufuata mkumbo
Sasa unaingia MARA😅😅😅😅😅
Asikari wapigwe tuu, kwanza kweny matukio hao ndio wezi,
Hatari na nusu
Mmmmh ila watu wamevurugwa kabisa khaa
Sasa wewe mama ndiyo hakimu na ndiyo asikali. Tayali umeshatowa hukumu. Unatakiwa kuwakamata na uwapeleke mahakamani na hakimu aamue. Asikali kaisha wa hukumu.. Hii ndiyo Tanzania yetu mob justice
Kawa hakimu mwenyewe
Kwan mwenyewe anasemaje
Nyie mbona mnauwa watu kila siku
Mbna askari ndiyo watekaji ndiyo wauwaji wa raia
Chadema watawaponza wengi watu wanashindwa kutumia akili😅
Ni kweli chadema itawaponza watu.nao watu tutumie akili. .unaanzaje kumpiga askari kweliii. Haya gereza linawasubiri
Kweli kabisa Alafu hao chadema wako zao nyumbani wametulia.
Kwani asikali apigi raia
Na ss wananchi tuheshimu jeshi letu
Mhuuuuu
Piga hao watesaji na watekaji yaani siwataki hata kuwasikia hao wanaojiita walinda usalama natamani wafe wote na vizazi vyao maana wanawatesa watu wasio na hatia.ndio ombi langu kwa Mungu.
Mbona wew haujawahi kuwapiga kazi kuhamasisha wenzio tu
Wananchi wanabeba slogani ya chadema wamekuwa hawana heshima na wanachukua sheria mikononi nyie mnachekanao
ACHA USENGE WEWE NINANI UNASEMA WATAENDA MAGEREZA? PUMBAVU,WEWE SIOMAHAKAMA,PIA MNATEKA WATU ALAFU MNAKATAA NDIOMAANA RAIA HAWANAIMANI NANYIE
Wewe ni akimu
Ameshindwa kuzuia hisia zake huyu maza. Kiongozi unapaswa kuongea kwa kiasi na sio kwa hisia kama anavyofanya hapo mbele ya hadhara.
Gereza lakwao wee ni hakim?
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂