𝗠𝗮𝗷𝗶𝗯𝘂 𝗞𝘄𝗮 𝗗𝗷 𝗦𝗮𝗶𝗱𝗶 | 𝗦𝘂𝗻𝗻𝗮𝗵 𝗬𝗮 𝗞𝘂𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗡𝗱𝗲𝘃𝘂

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • ‪@AlIhsaanTv‬ , ‪@BABDEOMILADU‬

КОМЕНТАРІ • 205

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 6 місяців тому +24

    ABDALLAH MWANA WA HUMEID UPO KTK JIHADI KUBWA YA KUPAMBANA NA MAJINGA WA KILHURAAF WALIOJAZANA PWANI YA MRIMA NA PEMBEZONI MWAKE!!
    ALLAH AKUHIFADHWI!

    • @mressahassan6832
      @mressahassan6832 6 місяців тому

      Wew tayra elewa hakuna jihadi yakumdhihaki nakumvunjia heshima ndg yako muislamu ng'ombe wew kasoro mkia pumbavu sna wew nawenzako msiojielewa

    • @ALMUSLIMONLINETV
      @ALMUSLIMONLINETV 6 місяців тому

      ​@@mressahassan6832akhy usitukane

  • @TheIslam1681_
    @TheIslam1681_ 6 місяців тому +2

    Allah amhifadhi Sheikh Abdallah Humeid. Wallahi amekuja kutuamsha wengi sn Alhamdulillah. Zamani hawa tulikua tunawaona ni mashekhe kumbe wengine ndio hao wapiga taarabu, kuna mmoja alijitokeza kumkosoa sheikh kishk, sijui anaitwa al hatimy, wakati huo tukajua ni mwanazuoni. Subhanallah kumbe ni mla gomba maarufu huko kwao mambrui. Allah awape nguvu masheikh zetu ktk sunna mzidi kuwachapa hawa makhurafi ili atlist Dini ikae sawa.

  • @AbdulbasitAkida-ui2du
    @AbdulbasitAkida-ui2du 6 місяців тому +7

    Allah amhifadhi sheikh Abdallah Humeid. Naimani hii nyundo itawazinduwa wengi ktk waislam ndugu zetu wasiojishuhulisha na dini. Saidi awache kuleta nahwu na kujifanya mjuwaji ktk sunna za mtume swalla llahu alayhi wasallam, Imam nawawiy anajuwa zaido lugha kuliko yeye na alifahamu makusudio ni kuziwacha km zilivyo. Sasa yeye sijui ametokana nazo wapi nah'w km hizi.

  • @eshematran7206
    @eshematran7206 6 місяців тому +9

    Endelea endelea hivo hivo sheikh wetu Abdallah Humeid kuwakandamiza hawa watu makhurafi na mfano wao na watu wa bidaa kwa ujumla usiwaache hawa Allaah Akuwezeshe kupambana nao ili umma ujue haqq iko wapi na Baatwil iliko na wawajue watu wa haqq na watu wa baatwil

  • @mustaphakawanda4138
    @mustaphakawanda4138 6 місяців тому +6

    Alhamdulilah shekh abuu Humeid

  • @abdallaomar5294
    @abdallaomar5294 6 місяців тому +6

    جزاك الله خير
    الشيخ عبدالله حفظه الله

  • @HarounAsaa
    @HarounAsaa 6 місяців тому +10

    Hapa najua maghurafy watalia sana wallah ruduud zitaendelea mpak mwisho wa ulimwengu inshaallah .🎉🎉

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 6 місяців тому +8

    Manabii wote walikuwa na ndevu kwahiyo walikuwa hawana pesa ya kununua viwembe ,msanii said tunaomba umrudie Allah

  • @AbulAshbaliDaudi
    @AbulAshbaliDaudi 6 місяців тому +13

    Allah awahifadh masheikh zetu wasunna popote walipo hakik nakupenden kwa ajil ya allah

  • @FauzMbarouk
    @FauzMbarouk 5 місяців тому +1

    Audhu Billahi Mina Shaytani Rajiym
    Muogopeni Mungu Jamani Mashehe
    Chungeni Kauli zenu mutakwenda kuulizwa

  • @masoudmohammed4258
    @masoudmohammed4258 6 місяців тому +3

    Mashaallah sheikh Abdhallah humeid nimeelewa Allah akuhifadhi

  • @amenakenya7993
    @amenakenya7993 6 місяців тому +3

    BarakAllah fiyk sheikh Allah akuifdhi amiyn

  • @AbuHussein-u2n
    @AbuHussein-u2n 6 місяців тому +2

    Abdallah humeid Allah akulinde na kila shari, nakupnda kwajil ya allah

  • @adammuhidin3016
    @adammuhidin3016 6 місяців тому +2

    DAH SH ABDALLAH HUMEID NI PONYO KWA KUHUISHA SUNNA NA NI SUNNA KWA WAHHARIBU SUNNA
    ALLAH MLINDE SHEKH WETU SANA
    AMIIN

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 6 місяців тому +1

    Allah akulipe khery. Sheikh Abdallah Humeid

  • @HedebJuma
    @HedebJuma 6 місяців тому +1

    Ww tayar juzuu ya amma

  • @AthmanHamid-gx2bn
    @AthmanHamid-gx2bn 6 місяців тому +1

    Hamtaki ukweli ....nyinyi ni malkiia wa mipasho..mashekhe wenu ni umbea..tu ..hawa elmu

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu 6 місяців тому +5

    Huyo ni dj side mpiga tarabu wa mombosa kidole juu hamna elimu kabisa

  • @MasakiOnozuka
    @MasakiOnozuka 6 місяців тому +1

    Ustadh said kawazidi Sana elmu pamoja na mapungufu yake ndio maana kila kukucha mnatafuta njia ya kumshusha jasomeni

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc 6 місяців тому

      Ndugu hata hili wewe hulifahamu wamsifiya huyu anaelimu

    • @fatmaally7241
      @fatmaally7241 6 місяців тому

      Mh!jaman kusoma hujui hata picha huoni! Sheikh anapiga piga gitaa!!

    • @AbuuSumaiya-mj8om
      @AbuuSumaiya-mj8om 5 місяців тому +1

      Ndugu zangu tunao jifananisha tatka wale wanao itetea suna kwanza namuomba ALLAH aliye juu azidi kutulinda na kutuhifadhi ndani na haq'i
      ila mm naomba tuzidi kuwaobea Dua Hawa maghurafi maana hizi zao sio akili za sawa Bali ni ugonjwa kwasababu hivi haya maneno machafu ya huyu DJ wa melodi kwa maana yahuku kwetu znz ni kikundi bigwa Cha taraab " ukilinganisha na haya maneno ya mwalimu wetu kipenzi yaliyo simama na dalili sasa Bado tu wewe ukayakosowe haya ya mwalimu wetu kipenzi dhidi ya huyu sufiy ". Subhana malki alkuduus"

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 5 місяців тому

      Ingekua una akili au wajua japo kuangalia picha tu ningekujibu

  • @KhalfanMakota
    @KhalfanMakota 5 місяців тому

    Uyu mweupe sana

  • @art139
    @art139 5 місяців тому +1

    Hahaha, msikiliza kwa hapo hana hoja yoyote, kaongea pumba tu. Hilo neno lenyewe ameshindwa kulitafsiri akaingiza mada ya lugha, mada ya lugha aliyoizungumzia hapo haina nafasi.

  • @AbasiSharifali
    @AbasiSharifali 6 місяців тому +1

    Abuu humeid ww nmzuka sanaa

  • @yahyatemeche4770
    @yahyatemeche4770 6 місяців тому +1

    Mashaallah sheikh wetu, endelea kukutetea sunna..

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 6 місяців тому +4

    Masahaba ha hawakuifaham Sunna kama ulivoifaham ww mpuuz umeniudhi Sana

    • @ilyasabdul-malik4571
      @ilyasabdul-malik4571 6 місяців тому

      Kaka bainisha nani alie kuudhi, dj au sheikh Abdallah humeid khafadhahullah?

  • @huseinsuleiman1580
    @huseinsuleiman1580 6 місяців тому

    Sheikh jazaakallaahu khaira kwa ukumbusho mzuri

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah579 6 місяців тому

    حفظك الله ورعاك شيخنا الفاضل

  • @IssaHakim-dl4hi
    @IssaHakim-dl4hi 6 місяців тому +1

    Yaani shekh wangu said hapa umenidanganya

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 6 місяців тому +1

    Namshukuru ALLAH kwa kutoniingiza katika makundi ya kihuni ya kiwahabi na kitalafi wala salafi maana ningejaa kibri kama wao ningelijiona mimi nimeokoka kuliko waislam wengine ningelijiona mimi ndo peponi na waliobaki wote ni motoni اعوذ بالله ان اكون مثل هذه الفرقة

    • @IssaSimbilla-hw9ev
      @IssaSimbilla-hw9ev 6 місяців тому

      Hahahaaa bc huyo mungu unamshukulu weewe sio Allah huyo ni ibrisi wa kihurafy harafu ww ni jahili alikuambia wewe wamotoni ninini? Hizi na bangi zako za kisufi halafu wew vip yaani unatete mnjinga ambae anakshifu hadith za mtume wewe vpi shekh wako ibris malhuni Allah akuongoze hayo mamane na hizo Hadith za shekh abdalla humeid au mtume? Ww wawapi sufisms?

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc 6 місяців тому

      Subhaana llaah amahakika zama zimefika za kushika sunnaa kwa magego

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 5 місяців тому +1

    Mm upenda sn masheikh wa AL SUNNAH WALLY JAMAAH kwa sbb ukikosea unaambiwa hapo hapo , na wanakuweka wazi ktk shriki na bidaah ALLAH awaifadhi na al sunnah wall jamaah

  • @RajabAdam-p4s
    @RajabAdam-p4s Місяць тому

    Majahl yanapongezana kumkashf ustadh said

  • @hishambakar5785
    @hishambakar5785 6 місяців тому

    Asante sheikh ❤

  • @SalimKhamis-x8c
    @SalimKhamis-x8c 6 місяців тому

    Barakallahu fiik haki mpaka ibainike.

  • @OmaryHussein-ev6ms
    @OmaryHussein-ev6ms 6 місяців тому

    Barakallahu fiqu

  • @WastarYoussuf-wb7fz
    @WastarYoussuf-wb7fz 6 місяців тому +1

    Alafu mtu kama elimu yako ni ndogo rudi ukasome sio kutukanana tu matusi. Na kila siku elimu ndogo ni sumu wewe kutukanana na uchache wa elimu utaona kama watu wakoseya maskini kumbe hujasoma.

  • @musakibindo6345
    @musakibindo6345 6 місяців тому

    Sheikh Said yuko sawa bado. Hata mkamwita mpiga taarabu. Anawaelezeni kuwa mtume kasema fugeni ndevu, lakini zikizidi kuwa ovyoovyo, punguzeni zilizidi. Huwezi kutuambia eti Mtume s.a.w. pamoja na usafi wake eti ndevu zake zilikuwa zikifika kitovuni kama ufagio. Semi ukweli hata nyinyi wenyewe huwa mnazipuna kuziweka smart. Sio midevu bila mpangilio.

    • @fatmaally7241
      @fatmaally7241 6 місяців тому

      Mpiga gitaa hawezi kua sheikhe

  • @abuuaminah
    @abuuaminah 5 місяців тому

    Humedi hawezi niqash na Ustadh Saeed.Atabaki kurradi chumnani na kupeoerusha mitandaoni.
    Humedi hana ilimu wala maarifa.

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 5 місяців тому +2

      Ingekua una akili ningalikujibu ila mhh emty

  • @DanOdira
    @DanOdira Місяць тому

    Assalamu Aleikum warahtulillahi wabarakatuh? Shehe wangu said, kusema kweli elimesha watu ipasavyo si kufurahisha watu kwa uongo wako,sasa wewe na Mtume S A W nani bora? Maana mtume alikuwa akipungu za masharubu na kuwacha ndevu,pili wewe shehe wangu said unafurahisha watu 2 na huelimishi watu ukweli wa dini

  • @abuuaminah
    @abuuaminah 6 місяців тому +1

    Humeid huwezi pambana na Ustadh Saeed kwenye Nikash.
    Baki chumbani upige Raddi na urushe mitandaoni.

    • @fatmaally7241
      @fatmaally7241 6 місяців тому

      Kwahiyo we unamsapot mpigia gitaa!?

    • @omarmohammad1528
      @omarmohammad1528 5 місяців тому

      Ukadhani Niqash ndio muongozo wa Dini ?? Hifadhi juzuu Amma kwanza kisha Soma angalau Hadith moja kwa mwezi ili uielewe. Maana Haqqi ikibainishwa huwa Sheitwan wanawafunga masikio 😊

  • @AbasiSharifali
    @AbasiSharifali 6 місяців тому +1

    Huyu anaejbu nmzuka sana kumbe alafu nan aliekwambia ww nmtu wahak

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 6 місяців тому

    ALLAAH atusaidie tuwe mbali na uzushi na wazushi

  • @AbdurazaqRashid
    @AbdurazaqRashid 6 місяців тому

    Waumini wa kweli ni wanajitahidi tu kufuata sheria kwa wanavÿoweza,sio suala la kuhukumiana,hakuna ubaya alioufanya bachu,shekh heshimu na wenzio mwanzo

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 6 місяців тому +6

    Jamaa hana kitu kichwani kabisa kama kuna mtu anamtetea aje na vyeti vyake vya darasani form four form six

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 6 місяців тому +1

      Bachu kanyamazishwa ww mwenye ilimu njoo na huyu mjinga wenu humeid

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 6 місяців тому +2

      ​@@saba-gv3mjSasa Bachu aache kufuata ya Mtume na kujiendeleza kwenye yenye kumfaa, akashindane ma wapiga magita, na ameshawajua madj wapiga mnanda. Watu hawawi sawa.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 6 місяців тому +1

      @Sheba4651 bachu hafuati ya mtume s a w yuwamzushia na mwengine ni ww sahi amejua haki huyu mpiga gita ndio alie mfundisha bachu kacha kuropokwa kaenda kusoma tena bachu sasa bado ww fidhuli usiekua na ilimu wahabi moja mpotoshaji kazi kumzushia mtume s a w

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 6 місяців тому

      @@saba-gv3mj Kwa hivyo unataka Bachu aje awe mtu wa Dj Said, aje aimbishwe taarab na kupiga minanda?
      Macho yenu yana upofu, na mioyo yenu.

    • @amadally5837
      @amadally5837 6 місяців тому +1

      Wewe ndo Huna kitu Acha kuzarau watu

  • @alkhayraatv
    @alkhayraatv 6 місяців тому +1

    Tuekee hayo maneno kwa screen tuyaone please wacha kiarabu kingi bila uhakika weka page ya kitabu na hayo maneno na sisi tuone kweli hayo maneno

    • @shamsuddin4582
      @shamsuddin4582 6 місяців тому +1

      Sas mbona we una vituko!! Yn wataka ufanyiwe uepesi kiasi hicho! Doh!

    • @AbuuSumaiya-mj8om
      @AbuuSumaiya-mj8om 5 місяців тому

      Mm nahisi Hawa wengine tusijibizane nao huwenda ikawa ni vichaa kwasababu huyu shekh wetu abdallah humeyd kipenzi chetu kila kitu kakiweka wazi kuanzia kitabu Hadi mtunzi wake ikisha litokee jitu Bado tu liwe linapata shaka na hayo vipi tumzingatie mtu wa aina hoyoo

  • @haroubsalim779
    @haroubsalim779 5 місяців тому

    Mashehe wa kiwahabi , Sunna za Mtume saw hassa hawazifuati wanachagua mbili tatu walizochaguliwa .
    Tawheed ya vipande vipande ndio waliobebeshwa.

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 5 місяців тому

      Inavoonesha ktk hili linalozungumzwa haki umeilewa ila umebakia ubishi wako wa kighorafi ila Allah akuongoe

  • @muhammadmochenje1409
    @muhammadmochenje1409 6 місяців тому

    Si eti mawahabi hawasomi hizo fanni,lakini hawaelewei,na sababu kuu ya kusema Mawahabi hawasomi hizo fanni ni kwamba mijadala iliyofanyika baina ya wasomi wa daraja ya chini wa Ahli sunnah wal jamaa Na Mashekhe wa kubwa wa kiwahabi makosa ya kipuzi yalidhihiri kuonesha upungu wao na kutoelewa fanni ndio ukasikia Mawahabi hawajuwi lugha,regelea tu mjadala wa Eldoret Mashekhe wao wakubwa walidhihirisha kutokuelewa kwao ilimu hizo

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 6 місяців тому +1

    Najiuliza tokea nilivyobalekh ningeacha ndevu mpaka leo zingekuaje kama ni hadithi ni lazima ichunguzwe upya maana uislamu ni usafi

    • @saidishalako
      @saidishalako 6 місяців тому +1

      Allahu mustaani. Mtume swala llahu alayhi wasalam wako aliziwacha Kwa hivyo alikuwa mchafu

    • @AbuuSumaiya-mj8om
      @AbuuSumaiya-mj8om 5 місяців тому

      Hapana ukhut zisingekua ndefu sana maana niye wanawake ndevu zenu haziwi kubwa sana

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447 5 місяців тому

    Mtihani

  • @SultanSwaleh
    @SultanSwaleh 6 місяців тому +1

    We dilele si ungejitokeza kwa munaqashaa kama ni kweli

  • @harithsaid372
    @harithsaid372 6 місяців тому +1

    Kawaida Yao makhurafi na matwaaghuti kutumia mihadithi yauongo na kugeuza lugha

  • @khalifaobo5715
    @khalifaobo5715 6 місяців тому +2

    Humaid humuezi kii ilmu sheikh said bro hata ukafanya nini khui.la kushangaza ni kuwa hutoi.mafundisho yoyote kwa ummah lako ni kupinga tu na chuki .na kama kupiga udi si haramu maana haijaharamishwa

    • @khamisjuma7616
      @khamisjuma7616 6 місяців тому

      udi haujakatazwa na serikali ila dini hivi vyombo ni haramu

  • @AbuuDharry
    @AbuuDharry 6 місяців тому

    جزاكم الله خيرا

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 5 місяців тому

    Saidi Dj anaona raaha

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 6 місяців тому +1

    Kama vichwa vyenu vibovu halaf msome miaka mitano hiyo lugha mtaielewa kweli?

  • @AliHassim-hs8in
    @AliHassim-hs8in 6 місяців тому +3

    Wewe "khawarij" Abuu Humeid, wenzenu wanapozungumzia fani mwasema wanaviburi,wasahau ewe khawarij katika vyuo vyenu hua mna kiarabu kiiingi cha ulimini kisicho kaida je tuseme pia nyinyi mna viburi?,
    Halafu muacheni saidi atulie, hana habari na nyinyi ,kidume shaffie amkufurisha ibnu ntemia kule nendeni mumtetee wewe humeidi, kassim mafuta mjibuni shaffie acheni na mada ndogo ndogo za ndevu, mwanachuoni wenu akufurishwa kule ,mko kimyaaa kama hampo, mbona hamuendi, ati huja shaffie ni Shia, hilo so jawabu kavunjeni hoja mum nusuru shekhe la mashekhe zenu

  • @KhatibBahorera
    @KhatibBahorera 6 місяців тому

    Shekhe achana nae bana huyu atakupotezea mda maana hawa wanatetea kuvaa hirizi kwakutumia balakha na nahau kwahiyo hakuna kitu hapa maslahitu

  • @Markazabuuhanifa
    @Markazabuuhanifa 6 місяців тому

    Uyu Dj Said hafai ata kuskilizwa

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 6 місяців тому

    Ww khabith una kuikejel Sunna ya rasuulullah

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 6 місяців тому +2

    Sheikh Said uliwapiga kifundoni mpaka leo kinauma wakilala wanakufikiria wakikaa wanakufikiria wakienda wanakufikiria hawaamini kilichotokea si MCHEZO

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 6 місяців тому

    Msiba mkubwa Wallah

  • @GhalibLindi
    @GhalibLindi 6 місяців тому +1

    Mipasho na kejeli havijawahi kua dini wala suna ya mtume saw

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 6 місяців тому +1

    Huyu saidi anakuumizeni sana ndo eshapewa hachafuki

    • @AbuuSumaiya-mj8om
      @AbuuSumaiya-mj8om 5 місяців тому

      Hivi nyie kweli ni vichaa kwasababu huyu shekh wetu abdallah humeyd kipenzi chetu kukufahamisheni dini yenu kite huku hamuja muelewa munataka nn Tena nyie mbona munacheza na shimo la moto nyie na uwezo wa kujinasua munao kwasababu Bado mupo hai nyieeee

    • @AbuuSumaiya-mj8om
      @AbuuSumaiya-mj8om 5 місяців тому

      Naam" nikweli huyu jamaa akapewa u dj nasio elimu kama ataka elimu aende masjd ghufeli au masjd Aisha akasome dini kwaza ndio azungumze mitandaoni

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 6 місяців тому

    Huwa wanadanganya kuwa Massunny hawajui fani za lugha hapo walipotea bali wao uhifadhi mutuni peke yake matumizi hamna

  • @mohamedkusomabunu1644
    @mohamedkusomabunu1644 6 місяців тому

    Assalam alykum MAONI yangu. Ili KUOMDOSHA mgogoro na fitna mwaonaje tuwapambanishe HAWA masheikh wawili Kwa HISHIMA na taadhima Ili TUJUE nani MKWELI na ANAE ongea kwa ILIMU na ninani fidhuli mpotoshaji Kwa sababu matusi KATIKA DINI tumekatazwa. Na tubawapa FAIDA WASIO KUWA WAISLAMU

  • @hamisomar2240
    @hamisomar2240 5 місяців тому

    Makhurafi hamna kitu kichwani ,wenu ushabiki tu

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po 6 місяців тому

    kasome kwanza

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 6 місяців тому

    Tena anaimba anafumba macho nawasiwasi na sauti anaregeza bado macho kurembua tu mpumbavu wa mombasa

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 6 місяців тому

    Dj side , side kama side 😂😂😂

  • @Biziman-pu4kf
    @Biziman-pu4kf 6 місяців тому

    Sasa nyinyi mbumbu mwapewa hoja nyinyi mwaleta matusi mteteni dj

  • @AbdurazaqRashid
    @AbdurazaqRashid 6 місяців тому

    Shekh,umefanya vyema kumkosoa said juu ya suala la ndevu,ila shakh bachu amekukosea nini

  • @sulebeka7202
    @sulebeka7202 6 місяців тому

    Ustadh humeid nakuomba ukiraddi mtu hakikisha unaraddi kwakutafuta radh za allah,usihadaliwe nakuona koment upande wako zikonying,asili ya makafir niweng kwaiyo uwing wakupelekwa nawatu weng kaburin haimaanishi unaenda peponi'
    Hivyo kosoa kwadalili za Aya na Hadith
    Usiraddi watu kwaufaham wako
    Hivyo Fanya kher kwakutafuta radh za allah
    Jengne kama unaongea halafu unaangalia koment bx bdo ukonyuma kiibada
    WWE raddi au sema halafu usitafute sifa kwa watu utajauka patupu dunian
    Fanya kitu kwakutafuta radh za allah

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 6 місяців тому +2

    Hamjui fanni bachu mpaka sasa kaamua kubaki kenya anajifunza mustwalahul hadith akijua tu tunamuomba aingie tena anga zetu aone mara hii atakunya

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 6 місяців тому

      Wpiga kelele tu nyinyi wakenya mazero brain njoo na vyeti vyako vya darasani tuongee fala wewe

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 5 місяців тому

    Hapa hakuna tofauti na taarabu kabisa , bado Jina la bendi tu hapa litolewe na lichapishwe rasmi kwa youtube

  • @OmarAli-ey1uz
    @OmarAli-ey1uz 6 місяців тому

    Mohammad bachu alikurupukwa kufanya munakasha na dj lakini mahizbi hawana akili

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 6 місяців тому

    Juzi lilikuja Zanzibar linapolewa kwa msafara ujinga mtupu bidaa kubwa la mombasa

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5ui 6 місяців тому

    Hamumuwezi hata mukimuita dj kawakaanga mpaka mmejikijolea😂

  • @hamisomar2240
    @hamisomar2240 5 місяців тому

    Makhurafi huyu mwenzenu hajazidi yeyote elimu Ahlul sunnah twataka kubainisha haki,watuwasije hadaika na hawa wapiga guitar.

  • @UB40X1
    @UB40X1 6 місяців тому +1

    Huyo dj hana ilmu yoyote ni mtu mbumbumbu lakini masufi washatekwa. Kusoma lugha hakumfanyi mtu kuwa ilmu.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 6 місяців тому

      Ww wamsikia tena bachu masufi hamuwawezi kilimu na kila fani hamuwawezi

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص 6 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂 okk hhhhhhhhhhhhhhhh ​@@saba-gv3mj

    • @ramadhanmbwana5718
      @ramadhanmbwana5718 6 місяців тому

      Wana fani gani hatuko nayo hao masufi

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 6 місяців тому

    Ah huyu dijei side mpotoshaji tu

  • @alkhayraatv
    @alkhayraatv 6 місяців тому

    Nyote tumewaskia lkn kama vile wajua kueka picha za watu huku ukiraddi ingekua uzuri sana ukituekea picture za lugha huku tukiona ukiraddi ki lugha shekh hemedi

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 6 місяців тому

    Utaizungumzaje Sunna kama hivo japokuwa mm siwakubali hawa mufsidiin mawahabi wao niwaharibirif wadin na akhlaq nahilo lipo wa ktk jamii zetu lkn kwahili naww hatukubali upuuzi huu wakuikejel Sunna

  • @AbuuRayyan-j8x
    @AbuuRayyan-j8x 6 місяців тому

    Kama Shekh Abdullah ni kafiri kama alivo sema uyu mmoja ktk wachangiaji WA koment. Mimi na mwambia ivii Kafiri ni babayako na mamayako na wewe.

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 6 місяців тому +1

    We humeid kama ni kidume itisha niqash uone kilichomtoa bachu manyoya

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc 6 місяців тому

    Hizo nahau zako zinakuferusha bwamdogo side

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 6 місяців тому +1

    Muhammad bachu amefanya vituko mno huwezi shindana na ghurafi mpiga magita suffiy kama huyu

  • @allymtito8117
    @allymtito8117 6 місяців тому

    Dj, ww nimsanii maana unapiga gitaa na nivyombo vya miziki mtume kakataza, sas wew wafuata mtume yupi!!, au uko kwenu kuna mtume wenu

  • @AbalhassanaliHassan
    @AbalhassanaliHassan 6 місяців тому

    3:17

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 6 місяців тому

    Mimi namtaka uyu dj said anga za ki secular mamae aje na vyeti form four six na vya primary kote na gpa yake ya chuo mamae

  • @JumaBilali-pq9ge
    @JumaBilali-pq9ge 6 місяців тому +1

    Acheni kutiana AIBU😢

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 6 місяців тому +3

    KIBOKO YA MAWAHABI

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص 6 місяців тому

      Nani mutrib??? 😂😂😂😂😂 tumesikia kaka hapa na tumejua sio kweli... 😅😅😅😅😅 kidevu embe...

    • @yusuphhamisi504
      @yusuphhamisi504 6 місяців тому

      DJ anaweza kuwa kiboko yako wewe tuu

    • @AbuuSumaiya-mj8om
      @AbuuSumaiya-mj8om 5 місяців тому

      Mm naamini aliye ungozwa na ALLAH hawezi kupotea na aliye potezwa na ALLAH hawezi kuongoka maana siamini kua Kuna mtu kwa dalili zote hizi alizo zibainisha shekh wetu abdallah humeyd kipenzi chetu akatokea mtu ikawa Bado hajamuelewa tunamuomba Allah atupe afya na salama "

  • @swalehali3037
    @swalehali3037 6 місяців тому

    Hata shekhe lake pia yuaweka ndevu

  • @musabomar661
    @musabomar661 6 місяців тому

    Hiki kisufi kinaongea kitu gani? Apewe piano na guitar Tu akajiimbie kurafi mmoja huyu

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor 6 місяців тому

    Huyu shehe muongo

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 6 місяців тому +1

    Dj saidy unataka sasa tukuite dada

  • @hawasheha8520
    @hawasheha8520 6 місяців тому

    shekh kinanda Tena AAA usifanye istihizai katika din

  • @mbaroukkhalfani9244
    @mbaroukkhalfani9244 6 місяців тому

    Chanel za youtube kama hizi na madhehebu haya ni kupanfikiza chuki kwa hakuna ajue hatma njema ya mwengine

  • @arafatally3723
    @arafatally3723 6 місяців тому

    Nauliza lipi la faradhi kati ya kufuga ndevu na kuthibitisha sheria za Allah katika mgongo wa ardhi?Wakati ndugu zenu katika ardhi takatifu na kuukomboa msikiti wa Al Aqsa kutoka katika mikononi mwa Wazayuni.Zindukeni

    • @shamsuddin4582
      @shamsuddin4582 6 місяців тому +1

      Sas we nae umetokea wapi!! Kila jambo lina pahala pake, we waelewa linalozungumzwa hapa???

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 6 місяців тому +1

    We huyo said haumuwez umesima miez yako 6 hauwez kusimama na said na hauwez khmchafua huyo amesha teuliwa na allah

  • @salimmohamedakidzmoh6993
    @salimmohamedakidzmoh6993 6 місяців тому

    Jamani kuhifadhi kusoma na kutafsiri kwa lugha ya mama hadithi na Quran sio usomi.......usomi ni kueleza mafhum na zote hizo zimekuja kwa lugha ya kiarabu shekh said kaeleza istilahi za kiarabu wewe shekhe kuraddi Shekh Said kaeleza ufahamu wake kilugha wewe hujaeleza chochote wewe watutafsiria kwa lugha ya kuswahili bila ufahamu wowote kilugha wala kisheria .......... Wazunguka kwengine badala ya kutuelezea mahallu nizai hapohapo kwenye ndevu waenda kwenye dhwaraba wapi na wapi

    • @hussenmzaganya1081
      @hussenmzaganya1081 6 місяців тому

      kuna wakati unapobainikiwa unaempenda kakosea kaa kimya kumsitiri. shekhe Abdallah humeid amenukuu ufahamu wa wanachuoni wanao elewa lugha na mafuhumu yake kuliko huyo saidi, kwamba ziachwe, akamtaja ibun athiir na imamu nawawiy, tunajua unampenda saidi ila kwa hili kubali kachemka, au saidi anajua na anaufahamu kuliko wanachuo hao?.

    • @salimmohamedakidzmoh6993
      @salimmohamedakidzmoh6993 6 місяців тому

      @@hussenmzaganya1081 yaani ungelisema hayo yaliyosemwa ni makosa kwa upande alioueleza shkh said....sijapinga maneno ya yeyote isipokuwa uslubu aloutumia saidi upo wazi kwamba watu wazieke vzuri ndevu zao kwa kuzipunguza zipendeze....... Huyu shekhe mwengine atuambia hata kupunguza haifai hata kiakili haiingiii ndevu toka zianze kuota mpaka umri utakaojifia zisikatwe jamani munapopinga mupinge kwa inswafi..........

    • @salimmohamedakidzmoh6993
      @salimmohamedakidzmoh6993 5 місяців тому

      @@hussenmzaganya1081 kuwa ni kauli ya mwanachuoni si huja manake kiwa jambo lina ikhtilafu bac kauli ya mwanachuoni si huja ni kwa wewe mfuasi umeshika kauli ya mwanchuoni kwa fahamu ya namna gani wanachuoni mbona ni wengi tu shekhe kwa hiyo tukisema mwanachuoni flani kasema kadha basi mbona wengine wamesema kadha ....kinyume na huyo .....hiyo haiwi huja ila ikiwa jambo halina ikhtilafu...

  • @mohammedsaid3045
    @mohammedsaid3045 6 місяців тому

    Swa mazayuni nyiye mnacheka si basi

  • @GhalibLindi
    @GhalibLindi 6 місяців тому

    Hasta ingekua kakosea, njia inayotumika kumkejeli, sio njia nzuri

    • @abuumalik518
      @abuumalik518 6 місяців тому

      Kama yeye alivyokejeli sunnah ya mtume kuwacha ndevu ,au masikio yako mabovu hayasikii ikikejeliwa sunnah yasikia akikejeliwa khurafi ,au hebu rejelea kumskiza vzr utaskia akikejeli sunnah mpaka watu wacheka.
      Usikurupuke akhy.