Ulijuaje #_MONI_CENTROZONE yani Leo nimekaa Na MWANANGU Tukawa tunackiliza AUDIO halafu Tukawa twajiuliza CHUPA ni veep maana NGOMA ni WIYU WIYUU king`OLA ile ile kumbe nawe wapika Kitu huko Daah xaf xana #_BLOOD maana c MA DJ tunacheza Ngoma xana Kona za XTAREHE big Up
Nilikuwa nasubiri hii chupa la moto mjomba ako kakutafutia wa kukueka nda licha ya kufuga mbwa kanunua na gani sikuiz nacheza kalate mbwa nawapiga lock tu🤗🤗
Wangap wankubal Majengo Sikoni Music tujuane kwa likes
Yeeeeah mnyama wa moto
Kweli La 🔥 🔥 🔥 sema nini #zone wewe mziki wako ni wa miaka 40 ijayo ndiyo wataelewa namaanisha kizazi hiki Hakuna anayeweza elewa. Big Up Brother
majengo sokani woraa
Zn we ninoomaa sn
Uyu video vixen kafanana na babeeeeeeee etu Nai balaaaaaaah
Wanang was dodom like zen Kwa mdau
Nani amejikuta anacomments kabla hata ajaangalia video kama mm😊.Ngoma Kali blaza😍😛
Nakubl Sana majengo sokoni saluti San kutoka Kwangu #Laxmajormusic
In 2024 march kama bado tunaangalia hii like hapa please ❤
What a great song , Tatizo wabongo wameshikwa akili na malaya wa Tandale, keep up the good work.
Ulijuaje #_MONI_CENTROZONE yani Leo nimekaa Na MWANANGU Tukawa tunackiliza AUDIO halafu Tukawa twajiuliza CHUPA ni veep maana NGOMA ni WIYU WIYUU king`OLA ile ile kumbe nawe wapika Kitu huko Daah xaf xana #_BLOOD maana c MA DJ tunacheza Ngoma xana Kona za XTAREHE big Up
Moni unajuaa sema hawakupi heshima yako💥💥
ukitazama mwaka huu umekua mtamu sana kwa moni na country. nafeel good music ya hawa machalii in termz of rap music
Kama saiv una mtoto mzuri kitandani anakupa vitu vya moto kama mimi dondosha like tujuane
Asilimia % kaka, hatar bro wahunii so watuu
Huku #lamoto kule #moto 🔥🔥
@young lunya
Track hizi kali balaa
Better trapper la motoooo #midoli @broka best olso
Hii ngoma kali sana sema tz sijui tunafeli kwenye view hii ngoma
Bishoo wa raba safiiiii 🔥🔥🔥🙌🏿
Nilikuwa nasubiri hii chupa la moto mjomba ako kakutafutia wa kukueka nda licha ya kufuga mbwa kanunua na gani sikuiz nacheza kalate mbwa nawapiga lock tu🤗🤗
Moni unajua sana kama playlist wako hadi wazee wa kilingeni -- heshima kwako not to mention Hans Zimmer na "Now we are free"
Mina shangaa kuna watu hawakubali hii ngoma ok kama umekubali naomba like hata kumi2 oyoooo lamotoeeeeee👊
Goma kali sana 🙌
moni unajua bro # unyamwezi tuu
Mon tuna kukubar sana nan kakubar hii ngoma gonga lik tuend sawa
Goma lako lamotooooo pa1💪💪
Hii nyimbo huwa siichoki jmn
Vannesa kaua moyo I like dis braza
Madem wa mjini hawako Loyaly" Wakiombwa siyo wachoyo" Mabrother man hawako loyal wamemfanya Vanessa akawa moyoooo Konki sana
Hujawah niangusha toka nikujue.... You deserve to be the best
Watu kutoka #majengo_sokoni_music tujuane kwa kugusa like apa 🇹🇿🇰🇪🇺🇸💪
Unden group mazeee watsap
nyimbo kaliiiiiiiiiii balaaaaaa
Love from Kenya ♦♦♦BEST RAPPER👑👑👑
Sawa mwakilishi we2 dom town majengo sokoni hom boy
Moto fire 🔥 🔥 bwaga lyk kama unaikubali hii ngoma
nakubalii ni motooooo babaako 👊👊👊
Napenda sana mziki wako nakukubali sana napenda sana ngoma zako na unavorap
Leo mm wa kwanza moni video kali good song
Kazi nzuri sana kaka 👍🏾
Moni Unajua 🔥🔥🔥
kali nyingine kutoka makao makuu ya nchiiii gonga like kama unatoka dodoma
We jamaa nakukubali sana 🙌 🙌
Mchizi anakiamsha mnooo... kwenye show akiwa na watu wa drums na violinist vizuri, anaua show zote. Nyimbo za Majengo Sokoni zinaamsha sana.
bonge la ngoma kwel la moto
Nakubal cetrozone udom hapa
Kazi nzur
Ngoma hiii iko vizur
Wapi Like zenu #singida & #dodoma gang (centralzone),,,,majengo sokoni to the world
Lamoto lamato hii ngoma ni chuma cha pua
You killed man"
Big-up home boy
Ya moto never give up
Licha ya kufuga mbwa kanunua na GUN Sasa nacheza KARATE mbwa nawapiga ROUND KICK❤️lamoto
Shkopa Mbayaa!! 💪🔥
Naikubal sana hii nyimbo
Moni Centrozone wamoto sana brother
Kizazi sana mkuu wangu duh! @moni amna chakusema apo mzee wangu
Kali sana hi moon
Sio Fan Wa Trap Musics..Buh Lamoto Ni Ngoma Kali Daily naskiza..kama marks bas naipa A ya 80
Goma la 🔥🔥🔥 kinyamaa💪
🔥🔥🔥 bonge la ngoma keep making some good music bro respect 👍👍🙌
Saaa nachezaa karatee mbwaa ntawapigaa papiii😄
yan uyo dem ndo wakampa viwig vya nai ad akafanana nae 😂😂🙌
Endelea kuporomosha mangoma,,,,,siku moja wataelewa tu
kama penzi lako 🔥🔥🔥👍👍
👇👇👇👇👇👇
This biiig bro lit
Madem wengine awako loyal,
wakiombwa sio wachoyo,
kama umeskia hii mistari weka like yako apa.
Mabraza men amko loyal mmemfanya vee kaumwa moyo
pia tumeuckia
moni m ni xhabikia yako number 1👌👌
kichupa kikali bro ,Shangaz na asubir tu posa!!!
Likes zangu👍🏾
Kwahyo wote kwenye comment zenu mnajifanya hamjaliona jicho la kungu 😂😂...tulio liona jicho la kungu like zenu hapa
Majengo finest🚀
Goma hili noma sana
Mambo ya visosi na korodani... Tanga moja hiyoo hahah
Lamoto lamoto kweli..safi sana mdogo wng
Emo nae moni centralzone majengo sokoni #LA MOTO#
Ngoma kali sana hii
Beats kali 🙌🙌
Wanangu Wa Chugga naomben like hapa
We jamaa ni Moto
Kipaji chako sio cha kawaida kaka
mwambieeeee shangazi naleta posaaaaa
Amazing Sana
Jana ndio nimeskiliza hili goma asew kali ikabid nilifate kulichek
Kwahii ngoma umeongeza shabiki ambae ni mm
Nan kaona monicetrozone pacha wake mlela
Muzki mzuri video kali noma saana
mon apo umetisha mzee baba nakubaliiii bro
Ambaye ameelewa mpaka leo 2021 tjuanee
Dah Moni msanii sana basi tuu hatuna management strong za kutosha
My big broski 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Baaaaddd Man 🔥🔥🔥
Kinyamweziiii....trap ya level za mbele.
Hakuna msanii hapa. Kuimba huwezi
huyu dogo noma sn anacheza na beat yoyote
Oyooooo 😁😁😁 five minutes
M mwenzako kila kitu chako nakiona kizuri your m fvrr artust trap unajua
Kweli la moto mzee kama mimi na baby wangu penzi letu la moto
Wakukaya we ni moto...
Moni mtu mbaaaaad majengo sokon 🔥🔥🔥
Kwa mbali naisi namsikia sipwaa
😍😍 Wimbo wangu 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🖤
Big🔥🇰🇪💣
Big up moni
mi naona hizi ngoma munazotoa zitakuja kutuua maghetoni mana zinatupaisha juu respect moni
Moni wa centrozone mtu hatari sana
Moni ili ngoma Ni hatariiii kweli video out now tena Ni LA moto mzee baba mungu awe nawe kW kila kazi yko
Makao Makuu ya Nchi Stand Up mtoto wa MAJENGO SOKONI
Noooooooommmaaaaaaaaa🙌🙌🙌🙌