RIDHIWANI : MZEE KIKWETE YANGA IKIFUNGWA/ MKATABA WA BANDARI UKO VIZURI/ BANDARI BAGAMOYO KUJENGWA.
Вставка
- Опубліковано 16 жов 2024
- Huyu ni #RidhiwaniKikwete, Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora na Mbunge wa #Chalinze. #Kikwete #BandariYaBagamoyo #MamaSalma
Kaka muogopeni mungu haya maisha siku gani mama aliyasema hayo
Ni nikweli kbs mzuri juu ni family yao inafaidika
Mikataba mizuri kama loliondo ngorongoro mbalali epea richimondi kagoda merermeta gessi migodi eskro safi saaaana
Wafaidika wa nchi haya bana!😊
Hawa wa nafikiri wao ni nchi yao hii, wezi wakubwa hawa. Tuwashitaki wako-retire. Mafisadi wakubwa hawa!
Acha makasiriko unaweza kuwa mwanga ukizeeka😅😅😅
Moja ya mnufaika wa nchi ya tz, ahaa tamba mwamba na uraisi huo unaunyemelea, kuleni maisha c ngoja haso.
Watu wote hawakusoma kweli? Acheni bwana
Hata huku iringa mpaka Sasa mapori makubwa yote yanatajwa kuwa ni ya ridhiwan
We kikwete mdogo acha kupotosha mkataba ni mbovu
Mama Salma ni Nani hapa Tanzania .amekula na kufuja na familia yake mpaka akala bila kunawa.akae na Mme wake. Nyumbani walime Mahindi
😂😂😂😂😂😂
Ni shida katika nchi kuwa na aina hii ya viongozi wanaofikiri wawekezaji Toka nje ndio wanawezakutatua matatizo ya bandari badala ya kutumia mtaji na akili za watz, ukiona miradi ya uchumi ya umma haiendi tujitathimini badala ya kukimbilia kwa wawekezaji hao ni wakoloni wamebadili koti TU wamevaa la mtaji
Utuambie kuna mafanikio yapi yaliyo leta mafanikio. Acha ya uuongo kwa hakuna mwisho hiyo igar haina. Latino wewe Huna jaabu kwa sababu ninyi ni hao makundi mnaodhani Inchi ya TANGANYIKA wengine ni kama watumwa wenu
Muuza vitu hatarishi
Jambazi hatari duniani