- 77
- 141 965
Aman Martins
Приєднався 20 гру 2022
Nimefanya kazi katika tasnia ya habari (Nilianzia #CloudsMedia na sasa #EFMTanzania) kwa miaka miaka kadhaa, nikapata fursa ya kujifunza mengi kwa kufanya kazi na kukutana na watu wa kila aina.
Nafikiri kwamba yale niliyojifunza na ninayoendelea kujifunza kupitia kazi hii na mengine ninayojifunza katika maisha ya kawaida, shule, kusoma vitabu na kadhalika, yanafaa kuwasilishwa kwa watu wengine. Matamanio yangu ni kuona yanasaidia angalau mtu mmoja kujifunza na kutiwa nguvu: Hiyo ndiyo sababu ya kwanza ya kutengeneza ukurasa huu.
Pili, ukurasa ninautumia kuhifadhi kumbukumbu za kazi zangu nikiamini kwamba kuna watu watakaotamani kuziona siku moja. Pia ninautumia ukurasa huu kuhifadhi kumbukumbu za watu wengine ninaojifunza kutoka kwao, ama ninaoona ni vyema kumbukumbu zao zikahifadhiwa na kuenziwa.
Amani Mkagulu (#Champ). 21/12/2022. Masaki, Dar es Salaam.
Nafikiri kwamba yale niliyojifunza na ninayoendelea kujifunza kupitia kazi hii na mengine ninayojifunza katika maisha ya kawaida, shule, kusoma vitabu na kadhalika, yanafaa kuwasilishwa kwa watu wengine. Matamanio yangu ni kuona yanasaidia angalau mtu mmoja kujifunza na kutiwa nguvu: Hiyo ndiyo sababu ya kwanza ya kutengeneza ukurasa huu.
Pili, ukurasa ninautumia kuhifadhi kumbukumbu za kazi zangu nikiamini kwamba kuna watu watakaotamani kuziona siku moja. Pia ninautumia ukurasa huu kuhifadhi kumbukumbu za watu wengine ninaojifunza kutoka kwao, ama ninaoona ni vyema kumbukumbu zao zikahifadhiwa na kuenziwa.
Amani Mkagulu (#Champ). 21/12/2022. Masaki, Dar es Salaam.
UNASHINDWA KUFANIKIWA KWA SABABU YA UGUMU ULIOWEKA KICHWANI MWAKO
UNASHINDWA KUFANIKIWA KWA SABABU YA UGUMU ULIOWEKA KICHWANI MWAKO
Переглядів: 27
Відео
MTU MMOJA ANAYEWEZA KUKUTOA KIMAISHA: MTU MMOJA ALIYENISAIDIA MIMI
Переглядів 79Рік тому
MTU MMOJA NILIYEMHITAJI KATIKA KAZI NILIZOWAHI KUFANYA NA WATU WA OFISI YA #RAIS NA NYINGINE ZILIZOKUWA ‘PRESHA’. . . Mwenyezi Mungu aliweka uwezo mkubwa ndani yako, wazazi wako hawakuzaa wala kulea mjinga, una wajibu wa kufanya : #MtuMmojaUnayemhitaji. . Sikufundishie kiburi na jeuri kusema kwamba huhitaji mtu yeyote kwenye maisha, ndio unahitaji watu lakini hao watu hawawezi kuwa na maana kam...
RAIS SAMIA ANAKWENDA INDIA; JANUARY MAKAMBA AELEZEA
Переглядів 2,1 тис.Рік тому
#JanuaryMakamba #RaisSamiaSuluhu #India #Tanzania
RIDHIWANI : MZEE KIKWETE YANGA IKIFUNGWA/ MKATABA WA BANDARI UKO VIZURI/ BANDARI BAGAMOYO KUJENGWA.
Переглядів 4,8 тис.Рік тому
Huyu ni #RidhiwaniKikwete, Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora na Mbunge wa #Chalinze. #Kikwete #BandariYaBagamoyo #MamaSalma
ZIARA YA MHE. RAIS DKT SAMIA NDANI YA DAKIKA 6 NA SEKUNDE 20
Переглядів 170Рік тому
Kwa ufupi kuhusu ziara ya #RaisSamiaSuluhu huko #Mtwara #Lindi na #Pwani. Sauti ni ya #MtigaAbdallah Video kafanya #NassoroBuriani
HASSAN NGOMA : MTANGAZAJI WA ZAMANI WA CLOUDS/ MIGODI YA MADINI/ ZIARA YA RAIS SAMIA
Переглядів 92Рік тому
Niliwahi kufanya kazi na #HassanNgoma pale #CloudsMedia. Alikuwa mtangazaji wa kipindi cha #Clouds360 kabla ya kuteuliwa na kuingia katika utumishi wa umma. Hivi sasa ni Mkuu wa Wilaya ya #Ruangwa. Nilikutana naye kwenye maandalizi ya ziara ya Rais #SamiaSuluhu
RAFIKI YANGU WA MTWARA : NIMEISHIA LA PILI/ WAZAZI WALIKOSEA/ SINA SHIDA YA UBONGO/ HARMONIZE
Переглядів 76Рік тому
Nilikutana na huyu mshkaji hapa #Mtwara. Nilivutiwa tu kuongea naye.
#Historia: ZIARA YA KWANZA YA MAGUFULI KUSHTUKIZA/ KIKWETE ALIVYOONDOKA NA NDEGE IKULU
Переглядів 281Рік тому
Hayati Dkt John Pombe #Magufuli, aliapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Novemba 5, 2015. Kesho yake alifanya #ZiaraYaKushtukiza kwenye Ofisi za Wizara ya fedha zilizo jirani na #Ikulu ya Dar es Salaam.
KIKEKE AMESAJILIWA EFM? / JONIJOO ANAENDA WAPI? / WANACHOKIFANYA
Переглядів 236Рік тому
#KikekeNaEFM #Jonijoo #BangoKubwa #EFMTanzania
#Siasa: BAADA YA SIKU 650, JANUARY MAKAMBA APOSTI/ MANENO YAKE BAADA YA KUHAMISHWA WIZARA
Переглядів 155Рік тому
#JanuaryMakamba ameposti kwenye ukurasa wake wa Twitter leo. Mara ya mwisho alipost mwezi Novemba 27, 2021. Hii pia ni posti yake ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mshariki. Kwenye Posti yake amesema "Nawashukuru nyote kwa salamu za pongezi katika jukumu jipya la kuitumikia nchi yetu katika nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mas...
DADA YAKE RAIS : WAMEZALIWA 18/ RAIS SAMIA NI WA 4/KUONANA NAYE SIO RAHISI/ WAKIMSEMA VIBAYA
Переглядів 4,5 тис.Рік тому
DADA YAKE RAIS : WAMEZALIWA 18/ RAIS SAMIA NI WA 4/KUONANA NAYE SIO RAHISI/ WAKIMSEMA VIBAYA
#Siasa: MIPANGO YA RAIS SAMIA SULUHU KUONGEZA MASOKO KWA MAZAO YA WAKULIMA WA TANZANIA.
Переглядів 54Рік тому
#Siasa: MIPANGO YA RAIS SAMIA SULUHU KUONGEZA MASOKO KWA MAZAO YA WAKULIMA WA TANZANIA.
#Wimbo: SASA WAONESHE ( Wimbo wa Mwanamke wa Shoka)
Переглядів 351Рік тому
#Wimbo: SASA WAONESHE ( Wimbo wa Mwanamke wa Shoka)
#Documentary: HISTORIA YA RAIS SAMIA / WAZAZI WAKE / UKARANI HADI URAIS/ KIKWETE AELEZA WALIVYOMTEUA
Переглядів 850Рік тому
#Documentary: HISTORIA YA RAIS SAMIA / WAZAZI WAKE / UKARANI HADI URAIS/ KIKWETE AELEZA WALIVYOMTEUA
#Historia: MHUDUMU WA IKULU ALIYEPATA KAZI BAADA YA KIFO CHA MUWE WAKE/ AWATAJA WALIOMPA KAZI
Переглядів 134Рік тому
#Historia: MHUDUMU WA IKULU ALIYEPATA KAZI BAADA YA KIFO CHA MUWE WAKE/ AWATAJA WALIOMPA KAZI
MAALIM OMARI WA ZENJI : ZINGATIA HAYA UKITAKA KUOA/ ALIVYOJUANA NA BABA YAKE RAIS SAMIA
Переглядів 103Рік тому
MAALIM OMARI WA ZENJI : ZINGATIA HAYA UKITAKA KUOA/ ALIVYOJUANA NA BABA YAKE RAIS SAMIA
#Historia : LOWASSA NA MAGUFULI/ ALIPOMPA MAUA YAKE/ NI SIKU CHATO ILIPOPEWA HADHI YA WILAYA
Переглядів 124Рік тому
#Historia : LOWASSA NA MAGUFULI/ ALIPOMPA MAUA YAKE/ NI SIKU CHATO ILIPOPEWA HADHI YA WILAYA
#Historia: HUYU NDIYE MTANGAZAJI ALIYETANGAZA SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA
Переглядів 1 тис.Рік тому
#Historia: HUYU NDIYE MTANGAZAJI ALIYETANGAZA SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA
KUZUNGUKA BAHARINI: KUSAKA DOLPHIN/ TULIONA NYANGUMI/ MAWIMBI YANATISHA KIDOGO
Переглядів 121Рік тому
KUZUNGUKA BAHARINI: KUSAKA DOLPHIN/ TULIONA NYANGUMI/ MAWIMBI YANATISHA KIDOGO
PANGO MAALUM: LIKO PAJE ZANZIBAR/ BWAWA LA KUOGELEA LA ASILI
Переглядів 83Рік тому
PANGO MAALUM: LIKO PAJE ZANZIBAR/ BWAWA LA KUOGELEA LA ASILI
#Siasa : ONYO LA JAKAYA KIKWETE KUHUSU DINI NA SIASA
Переглядів 3,4 тис.Рік тому
#Siasa : ONYO LA JAKAYA KIKWETE KUHUSU DINI NA SIASA
KILICHONILETA ZANZIBAR: KIZIMKAZI FESTIVAL
Переглядів 744Рік тому
KILICHONILETA ZANZIBAR: KIZIMKAZI FESTIVAL
ALIKOZALIWA RAIS SAMIA : GHARAMA ZA USAFIRI ZIKOJE/ TRAFFIC HAWASIMAMISHI HOVYO/ KIZIMKAZI FESTIVAL
Переглядів 1,3 тис.Рік тому
ALIKOZALIWA RAIS SAMIA : GHARAMA ZA USAFIRI ZIKOJE/ TRAFFIC HAWASIMAMISHI HOVYO/ KIZIMKAZI FESTIVAL
NAPE NNAUYE (2): KULIPA KISASI KWA ALIYEMTOLEA BASTOLA/ CHADEMA YA SLAA/ MIKUTANO YA HADHARA
Переглядів 3,2 тис.Рік тому
NAPE NNAUYE (2): KULIPA KISASI KWA ALIYEMTOLEA BASTOLA/ CHADEMA YA SLAA/ MIKUTANO YA HADHARA
NAPE NNAUYE (1): JAMBO AMBALO HAKUFANIKIWA/ MAFANIKIO/ ALIYOSAIDIWA NA KIKWETE NA KINANA
Переглядів 498Рік тому
NAPE NNAUYE (1): JAMBO AMBALO HAKUFANIKIWA/ MAFANIKIO/ ALIYOSAIDIWA NA KIKWETE NA KINANA
GERSON MSIGWA (2): RAIS SAMIA ANAKUBALIKA SANA/ BANDARI MAMBO SAFI/ SIMCHUKII MARIA SARUNGI
Переглядів 327Рік тому
GERSON MSIGWA (2): RAIS SAMIA ANAKUBALIKA SANA/ BANDARI MAMBO SAFI/ SIMCHUKII MARIA SARUNGI
GERSON MSIGWA (1): ALIUMIA KUONDOLEWA IKULU?/ KWELI ALIONGEA NA WHATSAPP MAKAO MAKUU?
Переглядів 1,7 тис.Рік тому
GERSON MSIGWA (1): ALIUMIA KUONDOLEWA IKULU?/ KWELI ALIONGEA NA WHATSAPP MAKAO MAKUU?
RUGE MUTAHABA ALIVYOTAKA NIWE MTANGAZAJI, GADNER HABASH ALICHONIAMBI : HAKUNA LINASOMIMAMA
Переглядів 96Рік тому
RUGE MUTAHABA ALIVYOTAKA NIWE MTANGAZAJI, GADNER HABASH ALICHONIAMBI : HAKUNA LINASOMIMAMA
STORI YA MUENDESHA MAGARI; MISUKOSUKO UNAYOPITIA SASA NA TUMAINI LILIPO MBELE YAKO/ UTAFANIKIWA
Переглядів 70Рік тому
STORI YA MUENDESHA MAGARI; MISUKOSUKO UNAYOPITIA SASA NA TUMAINI LILIPO MBELE YAKO/ UTAFANIKIWA
Hongera sana brother kazi nzuri.
Mtu wa maana kabisa Fred
Hyu brazza yuko vizuri ameobgea point yani yote alio ongea ni point asante kwa ufunuo
Kaka unatisha saruuut
Kumsikiliza fred mara kwa mara kunampa mtu nguvu ya kesho kubwa❤
Una busara nyingi sana rais msaafu. We are so proud to have you.
Big up sana Bro
Yaani hata sipendagi kuona sura yako ulifanya yako sasa tanzania ck hizi inaitwa tanzagiza umeme toka uliwekwa hakuna lolote ulilofanya sasa tuko gizani
Yuko vizuri sana mama anaendesha nchi vizuri hakuna viroba coco beach vinavyoelea na wafu ..!
Huyu fisadi mdogo anaeinukia anaongea pumba gani huyuu! mafisadi tuu huyu ns baba yakee mmeipiga nchi hii sanaa msiendelee kuwaona watanzania kuwa ni wajinga wote na vyeo vyenu vya kupeana nyinyi nadhani mnapgania urithishwe na uraisi ipo siku yatawatokea puani haya ma dp world ndyo haya mardhiwani haya mikataba mizuri ipiiiii???????, hii isiyokuwa na kichwa wala miguu ninyi nanyi mtapita tuu ktk hii dunia wezi wakubwa nyinyi na bandari zenu za bagamoyo
Mama Salma ni Nani hapa Tanzania .amekula na kufuja na familia yake mpaka akala bila kunawa.akae na Mme wake. Nyumbani walime Mahindi
Hata huku iringa mpaka Sasa mapori makubwa yote yanatajwa kuwa ni ya ridhiwan
We kikwete mdogo acha kupotosha mkataba ni mbovu
Utuambie kuna mafanikio yapi yaliyo leta mafanikio. Acha ya uuongo kwa hakuna mwisho hiyo igar haina. Latino wewe Huna jaabu kwa sababu ninyi ni hao makundi mnaodhani Inchi ya TANGANYIKA wengine ni kama watumwa wenu
Muuza vitu hatarishi
Jambazi hatari duniani
Watu wote hawakusoma kweli? Acheni bwana
Wafaidika wa nchi haya bana!😊
Hawa wa nafikiri wao ni nchi yao hii, wezi wakubwa hawa. Tuwashitaki wako-retire. Mafisadi wakubwa hawa!
Acha makasiriko unaweza kuwa mwanga ukizeeka😅😅😅
Kaka muogopeni mungu haya maisha siku gani mama aliyasema hayo
Ni shida katika nchi kuwa na aina hii ya viongozi wanaofikiri wawekezaji Toka nje ndio wanawezakutatua matatizo ya bandari badala ya kutumia mtaji na akili za watz, ukiona miradi ya uchumi ya umma haiendi tujitathimini badala ya kukimbilia kwa wawekezaji hao ni wakoloni wamebadili koti TU wamevaa la mtaji
😂😂😂😂😂😂
Mikataba mizuri kama loliondo ngorongoro mbalali epea richimondi kagoda merermeta gessi migodi eskro safi saaaana
Moja ya mnufaika wa nchi ya tz, ahaa tamba mwamba na uraisi huo unaunyemelea, kuleni maisha c ngoja haso.
Ni nikweli kbs mzuri juu ni family yao inafaidika
😁 "Promo sm"
Mhhhh
Hongera mama samia.. Na Hongera bwn Amani kwa Quality nzr ya picha na sauti endelea kutuhabarisha.
Interview ngumu zaid mkuu umetufanya tuisikilize kwa umakinii km sote tupo location
Asante kwa kutazama kaka
kweli kabisa
RIP President 🇹🇿
Ameen
#jmakamba hapo ndio kwake sasa
au tusioe kabisa
Acheni uhuni
HAUIJUI
Kabisaaa
Tumepigwa na kitu kizito
Ki vipi Mkuu?
Hongera mama kuzaliwa pamoja na raisi
like it
thank you
Mnapo apa shikeni matumbo yenu msishike bible 😂
Unapaswa kuwakosoa wezi wa Mali za umma
Mpuuzi ni nani? Naamini neno kuppuuzia linatumika vibaya
Unajua mpaka Sasa najiuliza Ivi uyu Mzee alikuwaje kuwaje akawa Rais,mbona kama Hana vigezo vyovyote vya Urais
Tamaa huzaa dhambi na dhambi huzaa mauti.mstaafu wee pita hivi.mkataba wa bandari hatuuelewi sisi WENYE nchi yetu ninyi miungon mwa wachache mmepewa dhamana kutuongoza na kusimamia Mali zetu
Ahsante kwa kuzaliwa Tanzania.
Nape yani wewe ni mwizi na ni mdokozi
Mzee kalale na mke wako umezeeka vibaya umeiba kipindi chako na hii pia unataka kuiba duuuuuuuuu pole na kukimbizana na wizi hadi uzeeni
Remote ipo msoga
Hatuwatak
Kweli ukinyimwa akili unapewa maisha malefu udumu baba na pumba zako
Tunahitaji tume huru ya uchazi na katiba mpya ili tuone kama ccm mtabakia madarakani.Watanzania tumechoka na wizi wenu na unyang'anyi wa aridhi
💥
Acha kuihsribu nchi yetu,umemaluza muda wako pumzika kwa amani
Wee ni mpuuz Zaid Kwan chama ndio kisikisolewe Kwan kinaongozwa na malaika