Katika amri za mungu hawakuruhusiwa kusema uongo,yy harmo amefanya makosa kuwafukuza kazi hai ni watu wake yy harmo angekuwa tu na msimamo akawa nao kazi.
Somoe upo sahihi kuwafukuza si solution. Atawekwa uchi mpaka ajute. Mshenzi mmakonde bora kajala kaondoka kumleta mwanamke ndani na upo unaeishi nae mbwa koko.
Daaaah bro yaani cjui wapi utaomba kazi upate maana umepoteza uhaminifu kwenye macho ya nyama....Ila sali Sana maana mwenye haki hatoachwa na Mungu mikono mitupu ukweli unamuweka mtu huru
Iyo deal kajala alikuwa ywaijua vzri ni kma setup yke afu wee kaka io ni tabia mbaya sana kumbuka harmonize alikuwa tajiri yako mambo ya ndani yabaki ndani
Kumbuka ametanguliza alikuja kufaiti maisha.. ana mafunzo ana tunu za kijeshi pia ni mtt nae Ila maelezo ya kajala na hamonaizi nisawa...Ila sawa la ulinzi bado
Nae huyo harmonize ajifunze kunyamaza kama like a man mbona kuhesabu Yale amemfanyia kajala? Kwani kajala alimshikia bunduki kwenye kichwa akamlazimisha? A wise man never behaves like that, be prudent otherwise you will keep on counting the rest of your life and be miserable.
@@adejoahjoah9155 shida ni kuwakuta wameacha kilichowapeleka pale. Mlinzi alitakiwa akae lindoni, binti wa kazi aamkie kwenye usafi. Wao wameamka tu na kuanza kujadili yasowahusu
Wanaume wote ndo walivyo hata ukiwa kama Malika vipi lazima atachepuka mana wameumbwa na tamaa siyo kama akupendi hapana anakupenda sana ila ndo hivyo wanaume wameumbwa tamaa mwanaume aweza tembea na mwanamke mpaka wewe unabidi ucheke mana pangine weww mzuri
@@kiatu kweli kama watamfukuza moja kwa moja itakua campuni ya hovyo ila sioni tatizo kama wamemsimamisha kwa muda kumchnguza ni kipi kimefanya mteja amkatae
ndg yangu weee ziki mbayaaa,hata Mimi ilishanitokea hiyo kitu baada yakuona kilaa byashar ngumu,kunamtu Aliniunganishiya kz yabar Tena kukaa caunta natena mara yangu yakwanza,Nikaulizwa nikasema nilishafanya sehemu frani kumbee lengo tu nipate kz,Sasa kilichonikuta sitokuja sahau,waudumu wainje walikuwa wananichanganya mahasabu yabili❌pia ware wanaokaa pare kaunta jinsi yakufungua bia nakata adi mdomo wachupa❌mtu Akiagiza serenget lait,Nampa cast lait,Yani mtinginyano kwenda mbale❌Nashukur meneja wahile baha naye Alikuwa mbugira TU kama Mimi,mpaka nikapata ujuzi🙏
Akuna msamahaa yy ufanya kwa masilai yake.ili asipotee kwa mziki ndio mambo kama hayo lakin akuna mapenzi pole kwa konde lakin kajala alimpenda si wajua mwana mke akipenda yuwapenda kweli.
Yaani hiyo nyumba kubwa huwec ficha mwanamke asijulikane.hiyo ni nyumba Iko rooms kama 30 na kitu utaeza ficha mtu hata week msima pila kujilikana .cwec haamini hiyo story
Asee nimecheka San hii interview huyu dogo ni uongo mtupu kuanzia Leo tik tv siwafatilii huyu dogo namjua A-Z majina Ake original ad wazazi wake wote an Kwa ujumla familia Ake naijua na tupo majirani na hayo majina kadanganya sio majina yake nimecheka ad bas
Yani wewe kaka yani una kasura kamekaa kilinzi kweli, hata kama hukupenda kuwa mlinzi ila kweli unaonekana mlinzi hata kwetu kuna mlinzi yani mnafanana hadi ongea ila yeye mtu wa geita
Huyo mlinzi ni mpumbavu na mmbea,mambo ya watu alitaka kuyaingilia ya nini,Kisha unajieleza wewe hulala kazini 🤣🤣🤣 sidhani kama Kuna mtu atakubali awe mlinzi kwake 🤣🤣🤣
ninge kua napesa dogo ningemfungulia tu banda la chips.au duka la nafaka nikamujiri.kaz ya ulinz huyu kafosi tu wala haendani nayo🤣🤣🤣🤣kuongea tu kwake tabu.ila watu kama hawa hua ni waaminifu na wakweli.
This is being petty Harmo should styleup Kisha kuelewa Kila mtu, mfanyikazi kupuga ngumzo kati Yao Ina kosa lipi, sasa utawafukuza kazi watu wote kwako kwasababu ya kupiga ngumzo kati Yao?? Mbona tusiwe watu wazima Kisha tumpee watu uhuru wanahitaji?
Tik tv kumbe nyie habari zenu zote ni ushubwada tu harmo anatembea na mabordgad af om ndo alindwe na huyu😂😂huyu dogo ni jirani etu huwezi jua lbd kiki anataka atoke awe star ila apo Kwa interview ni uongo mtupu 🤣🤣🤣
I like the confidence of this young siera golf he has good memories...
Harmo anaakili sana, aliona hawezi kufuga wambea yani mnakuja kunisema kwangu hata mimi ningewafukuza walahi
Kwahyo unafurahia wenzio kifukuzwa kazi, je ingekuwa ni ndugu yako kafukuzwa ungejiskiaje
Kufukuzwa sio suluhisho, angewafunga mdomo wasisema au akawaongeza mshahara, ila imekula kwake, amewafukuza sasa siri imetobolewa.
Makosa yamlinzi nikuingilia ishu za client wake akutumwa kuchunguza client vile anaishi nafamilia yake kaz yake ilikuwa Kwa gat kiereere kilimponza
Katika amri za mungu hawakuruhusiwa kusema uongo,yy harmo amefanya makosa kuwafukuza kazi hai ni watu wake yy harmo angekuwa tu na msimamo akawa nao kazi.
Somoe upo sahihi kuwafukuza si solution. Atawekwa uchi mpaka ajute. Mshenzi mmakonde bora kajala kaondoka kumleta mwanamke ndani na upo unaeishi nae mbwa koko.
Tiki tv mko vizuri sana hamna papara
Pole sana mungu atakujali
Daaaah bro yaani cjui wapi utaomba kazi upate maana umepoteza uhaminifu kwenye macho ya nyama....Ila sali Sana maana mwenye haki hatoachwa na Mungu mikono mitupu ukweli unamuweka mtu huru
Pole Sana kijana mungu atakupa liski nyengine hapo ww unakesi kabisa ila uyo hamo kajishitukia na ubaya wake mwisho ni aibu
Yani hii tiki tv hanmanga kazi nyingine Kazi ni hammoniz na kajala watanzania mwapenda hombea sana!!!!
Wewe kama hufuatilii harmonize na kajala itakuwa hujui yamjini
daaa aisee poleee
Pole Wewe 🥲mm huyu mwanamziki ako natamaa mno hii kajara asingeludiana na hamonaize
Mlinziii mjinga Sana hajuii mpaka 😂
Mambo ni 🔥🔥
Hatari
Mapenzi upofu kwanza harmo na kajala ni mtu na mama yake japo dini inaruhusu ila hapana
😂😂😂😂🤣🤣🤣
Mwacheni.konde.awazagamue.kwanzaa.kajala.amezeeka.nswewe.ukome.umbeaaa
Pole sana kaka nakuombea urudishwe kazini
Ila siyo kwa mmakonde walahi
Nahivi kaongea kabisa weeeh
Arudishwe kazin kwa huo mdomo wake ili aendelee kuaribu
Kweli kaka hana kosa maana lingetokea tukio baya huyu mlinzi na dada wa kazi lazima wangehojiwa pia mie sioni kasa la kijana huyu
Iyo deal kajala alikuwa ywaijua vzri ni kma setup yke afu wee kaka io ni tabia mbaya sana kumbuka harmonize alikuwa tajiri yako mambo ya ndani yabaki ndani
Mama yangu alinihusia katika maisha usiwe unaongea sana ila usikilize sana
Nikamuuliza kwa nini ? Akaniambia mdomo huwa unapinza kichwa.....
Hongera Hongera nitakuishi👍
My guy stay humble God will do
Ndiyo maana unaongea kumbe ushatimliwa pumbavu, sasa jifanye unajua kuendelea kuongea uone kama utatudishwa hata kwenye hiyo kaz
Huyu mtu hafai kuwa mlinzi hajui mipaka ya kazi yake.
Kumbuka ametanguliza alikuja kufaiti maisha.. ana mafunzo ana tunu za kijeshi pia ni mtt nae Ila maelezo ya kajala na hamonaizi nisawa...Ila sawa la ulinzi bado
Hajuwi mipaka kivipi ww
Mwenyew kasha Seema hat mafunzi Hana 🤣
Nae huyo harmonize ajifunze kunyamaza kama like a man mbona kuhesabu Yale amemfanyia kajala? Kwani kajala alimshikia bunduki kwenye kichwa akamlazimisha? A wise man never behaves like that, be prudent otherwise you will keep on counting the rest of your life and be miserable.
Umbea umekuponza bro, ulisahau kilichokupeleka
Mbona hajamwambia kajala chochote sema waliamuwa wanateta na dada
@@adejoahjoah9155 shida ni kuwakuta wameacha kilichowapeleka pale. Mlinzi alitakiwa akae lindoni, binti wa kazi aamkie kwenye usafi. Wao wameamka tu na kuanza kujadili yasowahusu
Pole sana kaka
Asante tiki tv kutuletea mlinzi
Hata mm wamenikuna vizuri ndiyo maana nawapenda
Kevin hongera Kwa kazi nzuri
Anafanya poa sana
Hapa job hamna😂💙
😂🤣😂🤣😂dogo kashaaharbu mchongo
Kakimbiza wafanyakz ili asitangaziwe siri zake kweli konde boy hafai wakati anamlilia kajala msamaha ili arud kumbe michepuko ndo kz yake
Ww acha kuongea mapezi uyawez kuyaingilia
Kajala angevumilia kama zuchu mwanaume hachungwi cha msingi kama anakuheshimu anakupa kula, kuvaa, mambo mengi utakuwa mama bora maisha ni mafupi
Ujuhi wajibu wa kazi yako
Hajuh kabisa
Maskini kajala dahh kumbe ndo yalitokea yote hayo dahh hadi huruma
Dada mfanyakazi alioongea na ya kaka mulinzi same thing
Mmmmmh hatr sn
Nkajua ntakua wakwanza kumbe wapi kuna watu mpo motoo
Hahahhaha 🤣🤣🤣🤣
Yuko sawa mwana ume
Nimewamiss sana
Dahhh
watchman usingizi
Kumekuchaaa
Hii n gurue
Harmonize alisema shepu la kajala linampa wazimu,bado anaafurahiswa kwenye tendo afu bado anachepuka duh.....!!!! Balaa zito
Wanaume wote ndo walivyo hata ukiwa kama Malika vipi lazima atachepuka mana wameumbwa na tamaa siyo kama akupendi hapana anakupenda sana ila ndo hivyo wanaume wameumbwa tamaa mwanaume aweza tembea na mwanamke mpaka wewe unabidi ucheke mana pangine weww mzuri
Wanaume hamtosheki.. Shepu... Tendo...urembo Ata mpewe pesa pia bado hamtulii😂😂😂😂
Kosa sio lako kaka juu wenyewe .walijichanganya sasa hapo kiliumana 😂😁live live
Atleast angeambia company is isimfute kazi.
Harmo saf sana uy k siy taip yako
kama namuona mlinzi anavyozugazuga kuokota takataka huku kalegea mdomo kama selengo alivyoiba soda ya big dady 😄 🤣 😂 😆 😄
Hahahahaaa...!
Polendugu miminakuombea uludikazini
Ndiyo maana nawapenda Tiki Tv mnafuatilia jambo kwa umakini na kutujuza tusioyajua
Ukweli kabisa
Umbea umekija nyoo huna lolote
Mbona issue simple sana si wambadilishiiee lindo, hayo makampuni uchwara ndo tunayo yatafutaa wampe sasa hata viinua mgongo vyake.
Sa we mlinzi kaz bado unayo au ndo bas tena maana anatowa siri za boss
Kashapururishwa
Hiyo security company ya ovyo. Utamfukuza vipi mfanyakazi bila kujua kosa au kampuni inamilikiwa na mteja?
@@kiatu kweli kama watamfukuza moja kwa moja itakua campuni ya hovyo ila sioni tatizo kama wamemsimamisha kwa muda kumchnguza ni kipi kimefanya mteja amkatae
Umbea mbaya sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jikaze kaka na pole maana unaongea kwa uchungu sana ila ndiyo siku nyingine ujifunze kunyamaza fanya kilichokupeleka sio kuingilia mambo yasiyokuhusu
Ukienda kazi fanya kilichokuweka pale yale mengine achana nayo, yangoswe achia ngoswe.
kweli kila kazi nitaaluma ya mtu.huyu hana taaluma ya ulinzi.mlinzi lazma ujue nani kaingia na nani katoka.huyu kapalamia taaluma ya walinz.
Mwenywe kasema KAZI ya Ulinzi haikua lengo lake,bimaana hajaipenda.
Kwanza angalia nywele zake kofia inakaaje hapo?!?! Kazi za ulinzi INA mambo yale Yale ya ukaguzi zikiwemo nywele na ndevu
ndg yangu weee ziki mbayaaa,hata Mimi ilishanitokea hiyo kitu baada yakuona kilaa byashar ngumu,kunamtu Aliniunganishiya kz yabar Tena kukaa caunta natena mara yangu yakwanza,Nikaulizwa nikasema nilishafanya sehemu frani kumbee lengo tu nipate kz,Sasa kilichonikuta sitokuja sahau,waudumu wainje walikuwa wananichanganya mahasabu yabili❌pia ware wanaokaa pare kaunta jinsi yakufungua bia nakata adi mdomo wachupa❌mtu Akiagiza serenget lait,Nampa cast lait,Yani mtinginyano kwenda mbale❌Nashukur meneja wahile baha naye Alikuwa mbugira TU kama Mimi,mpaka nikapata ujuzi🙏
But big ap wakukaya😂😂👏👏
Sasa ndiyo nmeamini kale kadada ka kazi kamesema ukweli
Ndo ukweli ulivyoo.
Sasa kajala alitegemea awe mwenyew haswa kwa msaniii😂😂😂😂😂yeye tuu angelitulia aache wivu myaka inakwenda tena harmo damu ikingali moto
Sasa huyo analinda Linda nini
Mapenzi hayana umri,tuwapeenii tu Ushauri wa kweli.
Mhhh yani harmonize kayabananga mwenyewe na round hii sijui atahonga nn tena akubaliwe na asamehewe 🤪🤪🤪🤪
Mara hii ni ndege tuu😂😂😂😂
Akuna msamahaa yy ufanya kwa masilai yake.ili asipotee kwa mziki ndio mambo kama hayo lakin akuna mapenzi pole kwa konde lakin kajala alimpenda si wajua mwana mke akipenda yuwapenda kweli.
Jamani au ni kiki tu mapenzi yanauma sana,kama kweli alifanya hivyo anakosea sana bro kondeboy
Kuigiza hujui kajifunze kaole
Yanii dahh hatari kweli
Japokuw najua hawawezi tena kukurudisha kwa harmonize
Acha nisikie mlizi kwanza maana hawa ndo huwa wanajuaga mambo mengi ya boss nani kaingia nani katoka
Labda huku (walinzi au maids) ndio kina H wanatoaga stories 😅
Walinzi mjifunze kupitia huyu kasha wahalibia uwaminifu
Hamo mtoto wa kiislam acha umalaya hauna mwisho mwema si utafute mke uoe?
Tiki Tv nawapata kutoka Tanga hapa
Yaani hiyo nyumba kubwa huwec ficha mwanamke asijulikane.hiyo ni nyumba Iko rooms kama 30 na kitu utaeza ficha mtu hata week msima pila kujilikana .cwec haamini hiyo story
Mna umbeya watanzania kufatilia maisha ta watu keee
We unataka wafuatilie maisha ya wanyama au?🤔
Yani watanzania ni wa mbeya sana desole pour vs
Wanawake sisi sumu!!! Blaza kupiga Story tena na wafanya kazi wa ndani shida.. wanajua nyumba kuliko mwenye nyumba
Ww ndyo wale wanao olewa na jini mpuzi kweli ww
Sasa harmonize unamtaka au
😅😅😅😅😅😅😅
Ukitaka kujua wanawake wote ni vinyonga na hawaaminiki wala hawafai mfano tuliopewa na Mungu ni Kajala.
mlinzi mwenye kachoka hata afanani kulinda kwa konde
Mapenzi upofu, mapenzi uchizi, mnaongeeea halafu kajala anakumbuka mpini anaamua kusamehe acha mm nipige tu puchu.
😂😂😂nyonga tumbili kaka 😂😂
Tuliosubiri hii tujuanee
Mimi wa kwanza🤣
@@amangearge9594 wa 2 mimi
hapa, issue NI kweli??? maana Kiki nazo zipo et, totally I can't believe it
Na ndio ushakuwa m'mbeya kuhusu ndoa za watu
Mmakonde kiburi punguza tamaa ya ngono
Bora
Harmonise alibugi alafu alafukuza wafanya KAZI sababu ya haya😏
Mlinzi kumbe unayujua mengi ehh
Daaaaa jmn mlio vzur msaidieni dogo
Muongo
Duuh huyu hafai kabisa yaani umbea mpaka unasahau kufunga geti
🤣🤣🤣🤣🤣
Duhh
Kijana hajuwi wajibu wakaziyake inabidi akasomeye ulinzi pole kijana
Alipoeka bango lakumtaka niliuliza wakiachana jee ataweka bango ? nikatukanwa nikaambiwa hawatoachana .
Naceka
@@ماريافيدال Lazima tucheke km mazuri viliiiiile😅😅😅
Duu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asee nimecheka San hii interview huyu dogo ni uongo mtupu kuanzia Leo tik tv siwafatilii huyu dogo namjua A-Z majina Ake original ad wazazi wake wote an Kwa ujumla familia Ake naijua na tupo majirani na hayo majina kadanganya sio majina yake nimecheka ad bas
Bora asingewafukuza huenda wasingetoa siri
🏃🏃🏃🏃🏃🏃 namuwahi kajala hata awe tu mchepuko wangu.
😂😂😂😂😂
🤣🤣
@@FatmaAli-xd2jo hatujambo dada
😂😂😂😂
Bro you failed to follow the principle of confideciarent or professionalism
Majagaaa
Muongo umetumwa
Harmonize bora afuate ushauri wa mama yake
Mama ni mama tuu
Mama ni mama kila siku hakun ungine
Mapezi Haina ushauri ukipenda umependa
Yani wewe kaka yani una kasura kamekaa kilinzi kweli, hata kama hukupenda kuwa mlinzi ila kweli unaonekana mlinzi hata kwetu kuna mlinzi yani mnafanana hadi ongea ila yeye mtu wa geita
Dharau haya ni maisha TU,hakuna sura za ulinzi,omba toba
Tiki tv inabamba🧢
Kinoma
Huyo mlinzi ni mpumbavu na mmbea,mambo ya watu alitaka kuyaingilia ya nini,Kisha unajieleza wewe hulala kazini 🤣🤣🤣 sidhani kama Kuna mtu atakubali awe mlinzi kwake 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Jamani🤣🤣🤣
Mlinzi analala?
Wewe huna makosa wakurudishe job place ingine
Pole kaka sasa unakosea kuongea kazi sidhani kama watakurudisha kazini wewe anza tu kujipanga utafute kazi upya kaka
Mwambie huyo
ninge kua napesa dogo ningemfungulia tu banda la chips.au duka la nafaka nikamujiri.kaz ya ulinz huyu kafosi tu wala haendani nayo🤣🤣🤣🤣kuongea tu kwake tabu.ila watu kama hawa hua ni waaminifu na wakweli.
wakwanza nipeni likes ata kumi ivi
Hongera sana kwakweli maana siyo kitoto
Mm sijui hata nmekuw wangapi
Hay mm acha nipate ubuyu sijachelew sana
This is being petty Harmo should styleup Kisha kuelewa Kila mtu, mfanyikazi kupuga ngumzo kati Yao Ina kosa lipi, sasa utawafukuza kazi watu wote kwako kwasababu ya kupiga ngumzo kati Yao?? Mbona tusiwe watu wazima Kisha tumpee watu uhuru wanahitaji?
Huu jama viongozi wake wamuhondowe hana nidhamu ya kazi ametumwa kulinda yeye anachukuwa jukumu la kuchukuwa umbea anadhalilisha kampuni ilio muajiri
Tik tv kumbe nyie habari zenu zote ni ushubwada tu harmo anatembea na mabordgad af om ndo alindwe na huyu😂😂huyu dogo ni jirani etu huwezi jua lbd kiki anataka atoke awe star ila apo Kwa interview ni uongo mtupu 🤣🤣🤣
Dogo ulikuwa ulijitahidi ktk majukumu yako lakini jaribu kutambua namna ya kufanya kazi na maboss!
Punguza mdomo
harmo ni mshamba tu unamfukuza mtu kazi kisa mambo yenu ya kipuuzi kipuuzi broo kua na akili ya kii utuuzima bx 😠😠😠
Hata mimi nakufuta. Huwezi ongea mambo ya tajiri wako!
no huo ni utoto bn tena kama ni jinsia ya kiume ni ushamba kabisa
We fara huyu mlinzi hafai mbeaa sanaaa yeye angepiga kimyaaa tu yana muhusu nini?we mlinzi tu