TAFADHALI FUATA MAELEKEZO BWANA YESU asifiwe. Haya maombi ni maalum kwa mwanamke aliyeolewa. Haya maombi si kwa ajili ya wachumba. Haya si maombi kwa ajili ya watu wanaoishi pamoja lakini hawajafunga ndoa. Haya ni maombi ya wanawake ambao wamefunga ndoa mbele ya madhabahu ya BWANA. Lengo la kuweka maombi haya ni kuwasaidia wanawake wanaopitia changamoto kwenye ndoa zao waweze kuomba na kumuona Mungu akiwatendea jambo. Tunashauri, jenga tabia ya kusimama wewe kama wewe kumuombea mume wako. Usijidharau. Amini ukiomba Mungu anasikia. Maono ya Channel hii ni kuwasaidia watu wafike mahali ambapo wanaweza wakajiombea wao wenyewe, na ndiyo maana tunaweka muongozo wa namna ya kuomba. Tamani kujua kuomba. Tamani kusimama wewe kama wewe mbele za BWANA kwa ajili ya ndoa yako. Tamani kuwa muombaji, kwa sababu inawezekana. Ng'ang'ana na YESU na atakujibu mwanangu.
Aya ma ombi niya wana wake pekeyake Ila mimi natumiya nafasi iyi kwa ajili ya muke wangu kipenzi guilaine Tom's popote alipo damu ya yesu imufinike ilete Amani kila Léo kwenyi ndowa yetu na watoto wetu Isaac Tony Ibrahim Tony pamoja na Tatiana Tony watoto wangu wote hawa wazidi ku ishi ki MUNGU katika jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen nawa ombeya wana wake wote waliyo kuwa na ndowa Amani idumu kwenyi ndowa zawo na omba vile vile kwama binti wote ambawo hawaja olewa MUNGU Awa epusha natama za uli mwengu na awape ndowa zenyi kudumu hadi uze narudiya tena MUNGU akubariki ndowa zenyi kudumu Amen Amen Amen 🙏 bila kumu sa Abu ndugu yangu prunelle popote alipo MUNGU amu epushe naki buri natama kwa jina la YESU CHRISTU amu epushe nakila hasira kali namaneno makali kwa jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏 mtu mishi wa MUNGU Isaac Java MUNGU akubariki sana popote ulipo baba
Leo trh 28/10/2023. Nimesikiliza na kuomba pamoja na wewe Mtumishi..... Kuanzia sasa Nina amini Mumewangu amefunguliwa, sitalia tena. Mumewangu Emma ametoka ktk kifungo..... Asante yesu kwa kumkomboa Mumewangu.... ... Kwa Jina La Yesu ninaenda kuuanza mwezi 11 kwa Amani na vicheko ktk Ndoa yangu...... Kwakuwa Mungu Umekwisha Ijenga upya Ndoa yangu. Nami nakuhaidi SITOKUACHA SIKUZOTE ZA MAISHA YANGU... NITAKUSHUKURU NA KUSHUHUDIA UKUU WAKO KUPITIA NDOA YANGU.........nami pia ninawaombea wanawake wenzengu wote wakafunguliwe leo kwa jina la YESU KRISTO AMEEEEN
Mchungaji Mungu akutumie zaidi nimefanya maombi haya mida ya saa 4 maana mwanaume alikua ameNizimia cm hataki kabisa kuongea na anataka tuachane gafla tu bila Sababu ilikua jpl nikaona Hali inazidi kua mbaya ndo gafla leo UA-cam ndo naona maombi hayo nikaomba baada ya maombi sauti ikaniambia kimbia haraka katoe sadaka na sikua na hela nilikua na. Ela. Ya kula tu lakin ilibidi nitimue mbio kwenda kutuma. Saa hizi kapiga sm kwa upole na. Unyenyekevu .Nakushukuru Sana Mungu anaewatumia watu wake
Amen jina la BWANA YESU libarikiwe na kutukuzwa milele. YESU azidi kuwatetea na kulinda ndoa yenu. Amani ya YESU itawale na upendo wa kwanza urudi. Katika jina la YESU
AMINA,NIMEANZA na wewe nimemaliza na wewe Asante Yesu akutetee,mme wangu amenikimbia na anaishi na mwanamk aliepewa taraka,asikii Wala aoni ataki kuniona Ila kwa maombi haya amerudi kwangu,
Eeee mungu wangu narudia tena kwenye haya maombi nina imani yana nguvu sana....Eeee mungu baba asante kwa neema yako...Eeee baba narudia tena mbele zako ninamfukuza mke mwenza alie leta majonzi,machozi na vurugu kwenye ndoa yangu namfukuza naweka ukutu kati yake na mume wangu....Eee Bwana ninakuomba huu mwaka uwe wa mwisho nakataaa uke wenza kwenye ndoa yangu ameeeen
Amen Amen YESU akushindie na aiponye ndoa yako kwa utukufu wa jina lake. Damu ya YESU isimame upande wako na kufanya ukombozi wa nafsi kati yako na mume wako. Amani na upendo wa kwanza urudi na YESU awalinde na kuwatunza.
Mchungaji mimi ndoa yangu vita kila siku kusingiziwa vitu sijafanya tunagombezana na mume wangu mume wangu mzinifu muongo na hata tungapanga kitu akisongi zaidi ya kupoteza najitahidi kwa kila hali ila sijafaulu,naamini maombi. haya hatafungua kila vifungo katika ndoa yangu😢😢😢🙏🙏🙏🙏🙏
Amen nakomboa doa yangu Kwa damu ya yesu uadui ulioko kati yangu na mume wangu u kaondoke Kwa damu ya yesu madawa aliyo lishwa ya kiuchawi ukaondoke Kwa tumbo lake katika damu ya yesu na upendo ukarije Kwa damu ya yesu
Msamaha ni uponyaji hakika nimemwona Mungu kwa ndoa yangu jina la Bwana Yesu libarikiwe hao maadui wameshindwa kupitia maombi haya be blessed servant of God 🙏🙏
Asifiwe yesu bishop naoba ushauri kutoka kwako kwa sababu mm nime changaniykiwa mume wangu amenisaliti na mwanamke mwengine nilivo juwa nika muliza akakubali makosa yake anasema nimsamee hata rudia tena lakini mm inaniuma sana sija mkosea bona anisaliti mm aliaza kunidarau aliacha kunijali kube alikuwa na mwanamke mwengine aki na huyo mwanamke pia amenioba msamaa aka sema atamacha mume wangu 😭😭
Pole mwanangu kwa yote unayopitia kwenye ndoa yako. Ninaelewa umeumizwa na moyo wako umevunjika kutokana na yote yaliyotokea kwenye ndoa yako. Lakini, huu si mwisho wa ndoa yako, bado Mungu anakuwazia mema. Nakushauri, umsamehe mume wako kwa sababu ameshatubia makosa yake. Muombe Mungu akutie nguvu ya kusimama tena na kusahau yaliyopita ili muweze kusonga mbele. Lakini anza kutumia maombi kama silaha yako kuu kwa ajili ya ulinzi na ustawi wa ndoa yako. YESU anakupenda. Usiogope.
Naamini kupitia mahombi haya mume wangu amefunguliwa tayari kupitia damu ya bwana wetu yesu christo Naamini nitarudi tena apa kutowa ushuuda na kumshukuru mungu wangu kwa makuu na mahajabu yenye atanitendea kupitia mahombi haya Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana na akuhongezeye siku za kuishi wewe na familia yako yote kwa ujumla Bwana yesu asifiwe sana
Amen mwanangu, YESU ni mwaminifu, nami ninaamini anaenda kukutendea makuu kwa utukufu wa jina lake. Mungu akubariki na akutane na haa ya moyo wako mwanangu. Amen
Amen. Amen. Amen. Mungu wetu ni mwaminifu. Alitenda, ametenda, anatenda na atatenda. Yeye ni yule yule jana, leo na hata milele. Shetani anaenda kuaibishwa kwa Jina la Yesu. Naamini Mungu amejibu maombi kwa jina la Yesu Kristo. Amen.
Amen Mungu kwa nguvi za Mungu kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu namfungua Mume wangu kwenye vifungo vyote alivyokuwa amefungwa na anarejea sasa na ukuta wa damu ya YESUitatulinda mumi Yeye na mwanetu Katika jina la YESU Kristo lipitalo majina amen
Ameen navunja kila nguvu iliyomshikilia mme wangu naharibu nakuteketeza dawa alizowekewa kwenye chakula damu ya yesu ikasafishe kila aina ya pando alilopandikizwa juu yakunichukia kua na hasira kila mja naharibu madhabahu ya mwovu ibilisi damu ya yesu ikasafishe ndoa yangu naomba yote haYa kupitia jina lako yesu kristo AMEN
Asante sana kwa maombi mazur me wangu amekwamatwa na mwanamke mwingine nasaiv anamimba nakampangishia chumba anakaaanae najua hilo pepo litatoka kwajina la yes ndowayangu itakaa kama mwanzo nashukul sana kwa maombi mtumish ubarikiw
Amen YESU akuonekanie na kukushindia kwenye ndoa yako. Amani na upendo wa kwanza urudi kwenye ndoa yako. Damu ya YESU ikushindie. Ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Nina kila sababu ya kuku shukulu mtumish kwan umenipanujaaili wa kuikomboa nafai ya mume wangu nimefukah sana kushuliki haya naomba naomba mwenyez Mungu asinipungukie kwa kila nilichoo kiomba Ktk jina lake yesu kristu Aimen
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe milele yote. Nashukuru sana kwa yote ambayo Mungu amekufanyia. YESU azidi kukutetea na kukupigania daima. Ubarikiwe sana
Mchungaji mungu akubaliki sana. Aenderee kukutunza Kila wakati naamini mume wangu na Mimi ndoa yetu imerudi katika jina layesu kirstu baba yetu arie hai amen.❤❤
Ameeen kubwa mtumishi wa mungu alishaanikimbia na kukata mawasiliano kwa maombi haya naamini mungu amesikia na atarudi kwa jina na kwa damu ya yesu ameeen ubarikiwe Sana mtumishi
Asante yesu kwa ajili ya mtumishi wako nilkiuwa nimemchukia sana mume wangu kupitia haya maombi naona furaha ba upendo vinarejea hatutaachana kwa jina la Yesu
Amen Amen mwanangu. Zidi kubarikiwa na BWANA YESU. Mungu akutane na haja za moyo wako na akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana. Amen.
Amen amen mtumishi mim ninamaumiv makubwa mno mwanaume nimedumu naye kwenye mahusiano takilinab miaka 4 mwezi Kumi na mbili ndo alipaka aende nyumbn kufahamika kosa dogo tu kaniacha Yani kaniacha jamn nashindwa hata kulala mungu anisaidie kweli pekeangu sitaweza
Ubarikiwe sana mchungaji kwa maombi haya ninaqmini nitapokea majibu kutoka kwa bwana juu ya mume wangu na siraha zote naamini zimevunjika kwa jina la yesu atalejea nyumban .
Namushukulu Mungu kwaajili yako maana nilikuwa nahangaika niombeje ili niweze kuludiana naye na tuweze kusameheana makosa yetu naomba Mungu akutunze na kuku tumia zaidi ikikupendeza naomba kuongea na wewe
TAFADHALI FUATA MAELEKEZO
BWANA YESU asifiwe. Haya maombi ni maalum kwa mwanamke aliyeolewa. Haya maombi si kwa ajili ya wachumba. Haya si maombi kwa ajili ya watu wanaoishi pamoja lakini hawajafunga ndoa. Haya ni maombi ya wanawake ambao wamefunga ndoa mbele ya madhabahu ya BWANA.
Lengo la kuweka maombi haya ni kuwasaidia wanawake wanaopitia changamoto kwenye ndoa zao waweze kuomba na kumuona Mungu akiwatendea jambo. Tunashauri, jenga tabia ya kusimama wewe kama wewe kumuombea mume wako. Usijidharau. Amini ukiomba Mungu anasikia.
Maono ya Channel hii ni kuwasaidia watu wafike mahali ambapo wanaweza wakajiombea wao wenyewe, na ndiyo maana tunaweka muongozo wa namna ya kuomba. Tamani kujua kuomba. Tamani kusimama wewe kama wewe mbele za BWANA kwa ajili ya ndoa yako. Tamani kuwa muombaji, kwa sababu inawezekana. Ng'ang'ana na YESU na atakujibu mwanangu.
Na wale ambao.wameachana na mume akaoa tena.
Kama unamchumba Ako ila kashikiliwa uko je haupasw kuyaomba
Kama ni mchumba angu ila Kuna mwanamke kamshikilia kichaw je spaswi kuomba
@@magdalenesyombua8085 Unaweza kuomba mwanangu
@@festodivule6555 haya maombi ni kwa ajili ya wanandoa mwanangu.
Aya ma ombi niya wana wake pekeyake Ila mimi natumiya nafasi iyi kwa ajili ya muke wangu kipenzi guilaine Tom's popote alipo damu ya yesu imufinike ilete Amani kila Léo kwenyi ndowa yetu na watoto wetu Isaac Tony Ibrahim Tony pamoja na Tatiana Tony watoto wangu wote hawa wazidi ku ishi ki MUNGU katika jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen nawa ombeya wana wake wote waliyo kuwa na ndowa Amani idumu kwenyi ndowa zawo na omba vile vile kwama binti wote ambawo hawaja olewa MUNGU Awa epusha natama za uli mwengu na awape ndowa zenyi kudumu hadi uze narudiya tena MUNGU akubariki ndowa zenyi kudumu Amen Amen Amen 🙏 bila kumu sa Abu ndugu yangu prunelle popote alipo MUNGU amu epushe naki buri natama kwa jina la YESU CHRISTU amu epushe nakila hasira kali namaneno makali kwa jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏 mtu mishi wa MUNGU Isaac Java MUNGU akubariki sana popote ulipo baba
Amen Mungu akubariki na akupe haja za moyo wako. Pokea sawasawa na imani yako
Leo trh 28/10/2023. Nimesikiliza na kuomba pamoja na wewe Mtumishi..... Kuanzia sasa Nina amini Mumewangu amefunguliwa, sitalia tena. Mumewangu Emma ametoka ktk kifungo..... Asante yesu kwa kumkomboa Mumewangu.... ... Kwa Jina La Yesu ninaenda kuuanza mwezi 11 kwa Amani na vicheko ktk Ndoa yangu...... Kwakuwa Mungu Umekwisha Ijenga upya Ndoa yangu. Nami nakuhaidi SITOKUACHA SIKUZOTE ZA MAISHA YANGU... NITAKUSHUKURU NA KUSHUHUDIA UKUU WAKO KUPITIA NDOA YANGU.........nami pia ninawaombea wanawake wenzengu wote wakafunguliwe leo kwa jina la YESU KRISTO AMEEEEN
Amen mwanangu YESU akupe amani na akutetee na kukulinda daima. Damu ya YESU inene maneno mazuri kwa ajili yako. Amen
Mchungaji Mungu akutumie zaidi nimefanya maombi haya mida ya saa 4 maana mwanaume alikua ameNizimia cm hataki kabisa kuongea na anataka tuachane gafla tu bila Sababu ilikua jpl nikaona Hali inazidi kua mbaya ndo gafla leo UA-cam ndo naona maombi hayo nikaomba baada ya maombi sauti ikaniambia kimbia haraka katoe sadaka na sikua na hela nilikua na. Ela. Ya kula tu lakin ilibidi nitimue mbio kwenda kutuma. Saa hizi kapiga sm kwa upole na. Unyenyekevu .Nakushukuru Sana Mungu anaewatumia watu wake
Amen
Amen jina la BWANA YESU libarikiwe na kutukuzwa milele. YESU azidi kuwatetea na kulinda ndoa yenu. Amani ya YESU itawale na upendo wa kwanza urudi. Katika jina la YESU
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Nasisi ambao tuko kwenye mahusiano natunafuatilia Haya maombi hatutasaidika ju hatujaoana
❤❤ Aminaaa
AMINA,NIMEANZA na wewe nimemaliza na wewe Asante Yesu akutetee,mme wangu amenikimbia na anaishi na mwanamk aliepewa taraka,asikii Wala aoni ataki kuniona Ila kwa maombi haya amerudi kwangu,
Amen YESU akutendee makuu na akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu
@@IsaacJavanhabari baba
Asante mtumishi wamungu amen 🙏
Eeee mungu wangu narudia tena kwenye haya maombi nina imani yana nguvu sana....Eeee mungu baba asante kwa neema yako...Eeee baba narudia tena mbele zako ninamfukuza mke mwenza alie leta majonzi,machozi na vurugu kwenye ndoa yangu namfukuza naweka ukutu kati yake na mume wangu....Eee Bwana ninakuomba huu mwaka uwe wa mwisho nakataaa uke wenza kwenye ndoa yangu ameeeen
Amen Amen YESU akushindie na aiponye ndoa yako kwa utukufu wa jina lake. Damu ya YESU isimame upande wako na kufanya ukombozi wa nafsi kati yako na mume wako. Amani na upendo wa kwanza urudi na YESU awalinde na kuwatunza.
Ameni kipenzi.
@@IsaacJavan
Same to me Pastor
🙏🙏
Amen yaani nimepata nguvu ya ajabu wakati naomba maombi nashukuru sana sasa nasubiri matokeo kwa damau ya yesu
Ameen Baba namuombea mme wangu aache kunywa pombe na aache kuchelewa kurudi nyumbani.kila siraha iteketee kwa jina la yesu ameeni.
Amen YESU akutane na haja za moyo wako na akupe ushindi
Mchungaji mimi ndoa yangu vita kila siku kusingiziwa vitu sijafanya tunagombezana na mume wangu mume wangu mzinifu muongo na hata tungapanga kitu akisongi zaidi ya kupoteza najitahidi kwa kila hali ila sijafaulu,naamini maombi. haya hatafungua kila vifungo katika ndoa yangu😢😢😢🙏🙏🙏🙏🙏
Asante kwa maono maana tunapitia changamoto juu ya waume mungu wa mbinguni azidi kukutumia juu ya watu wake ubalikiwe kwa huduma hii.
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote. Damu ya YESU inene mema kwa ajili yako na kukushindia daima 🙏
Amen Natii Haya Maombi. Mapenzi yako Mungu na Yatimie Amen
Mungu akubariki sana na kukupa ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu
Kupitia maombi haya ninaamin mume wangu atrurudi kwangu na atanipenda na atanijal mimi pamoja na mtoto amen
Nimebarikiwa na hayo maombi sana najua Kuna jambo mungu anaenda kutenda amen
Amen mwanangu. YESU akutendee kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe
Amen nakomboa doa yangu Kwa damu ya yesu uadui ulioko kati yangu na mume wangu u kaondoke Kwa damu ya yesu madawa aliyo lishwa ya kiuchawi ukaondoke Kwa tumbo lake katika damu ya yesu na upendo ukarije Kwa damu ya yesu
Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Msamaha ni uponyaji hakika nimemwona Mungu kwa ndoa yangu jina la Bwana Yesu libarikiwe hao maadui wameshindwa kupitia maombi haya be blessed servant of God 🙏🙏
Amen Amen mwanangu. YESU azidi kukuonekania katika mambo yote. Ubarikiwe sana
Mungu akutunze baba na kukuinua kwa viwango vingine
Nimepokea ushindi kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏
Asifiwe yesu bishop naoba ushauri kutoka kwako kwa sababu mm nime changaniykiwa mume wangu amenisaliti na mwanamke mwengine nilivo juwa nika muliza akakubali makosa yake anasema nimsamee hata rudia tena lakini mm inaniuma sana sija mkosea bona anisaliti mm aliaza kunidarau aliacha kunijali kube alikuwa na mwanamke mwengine aki na huyo mwanamke pia amenioba msamaa aka sema atamacha mume wangu 😭😭
Pole mwanangu kwa yote unayopitia kwenye ndoa yako. Ninaelewa umeumizwa na moyo wako umevunjika kutokana na yote yaliyotokea kwenye ndoa yako. Lakini, huu si mwisho wa ndoa yako, bado Mungu anakuwazia mema. Nakushauri, umsamehe mume wako kwa sababu ameshatubia makosa yake. Muombe Mungu akutie nguvu ya kusimama tena na kusahau yaliyopita ili muweze kusonga mbele. Lakini anza kutumia maombi kama silaha yako kuu kwa ajili ya ulinzi na ustawi wa ndoa yako. YESU anakupenda. Usiogope.
Naamini kupitia mahombi haya mume wangu amefunguliwa tayari kupitia damu ya bwana wetu yesu christo
Naamini nitarudi tena apa kutowa ushuuda na kumshukuru mungu wangu kwa makuu na mahajabu yenye atanitendea kupitia mahombi haya
Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana na akuhongezeye siku za kuishi wewe na familia yako yote kwa ujumla
Bwana yesu asifiwe sana
Amen mwanangu, YESU ni mwaminifu, nami ninaamini anaenda kukutendea makuu kwa utukufu wa jina lake. Mungu akubariki na akutane na haa ya moyo wako mwanangu. Amen
@@IsaacJavan Amen
Naamini kupitia maombi haya mume wangu amefunguliwa kutoka kwa makahaba na kurudi nyumbani kuleta amani na familia yetu! Amina!
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu naomba kupitia maombi haya Mungu akubariki ndoa kwa jina la Yesu kristo 🙏🙏
Najiungamanisha kwenye maombi haya mungu anisaidie
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele. YESU akupe ushindi
kupitia maombi hay naomba ndoa yangu ikawe nafurah kuanzia leo amin
Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake takatifu
Amen namkomboa mume wangu aliyeniwekea chuki kwa kusikiliza maneno ya watu
Amen YESU akupe ushindi
Naikomboa ndoa yangu kwa damu ya yesu dawa zote alizowekewa zikaharibike zivunjike tupendane kama mwanzo
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Mungu akubariki mtumishi kwa maombi haya
Ameen
Amen natii haya maombi . Mapenzi yako yatimie juu yetu amen
Amen YESU akutane na haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake
UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU NAAMINI KUPITIA MAOMBI HAYA NDOA NYINGI ZITAFUNGUKA AMEN
Amen mwanangu jina la BWANA YESU libarikiwe sana. Mungu akubariki, endelea kufuatilia mafundisho na maombi tunayoweka kwenye channel hii
Nina la bwana libarkiwe
Kupitia maombi hy naamini mume wangu atarud nyumbani na tutapendana Kama zamani....Amen
Mungu naomba umfungue mume wangu apate kazi na riziki za kutosha uwafungue mabosi zake wote waweze kumpatia kazi
Amen YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake
Bwana yesu asifie mungu naomba umufungulie mme wangu mungu nisaidie
Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Amen ubarikiwe naamni mume wangu atarudi kwa maombi hay miaka miwili sasa
Mungu atukumbuke miaka miwili mie miezi 5 naona kama miaka
YESU akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake
Mungu akupe ushindi
Nnakushukuru mchungaji kwa Maombi haya Mungu wa Mbinguni akubariki nnaamini mume wangu amekombolewa kwa Damu ya Yesu
Amen mtumishi tumebarikiwa🙏
Asante kwa maombi haya mungu akubariki Sana amen
Amen. Amen. Amen. Mungu wetu ni mwaminifu. Alitenda, ametenda, anatenda na atatenda. Yeye ni yule yule jana, leo na hata milele. Shetani anaenda kuaibishwa kwa Jina la Yesu. Naamini Mungu amejibu maombi kwa jina la Yesu Kristo. Amen.
Amen mwanangu YESU anaweza yote. YESU anakupenda. YESU akutane na haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana kwa baraka za milele yote
Amen Mungu kwa nguvi za Mungu kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu namfungua Mume wangu kwenye vifungo vyote alivyokuwa amefungwa na anarejea sasa na ukuta wa damu ya YESUitatulinda mumi Yeye na mwanetu Katika jina la YESU Kristo lipitalo majina amen
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Naomb mungu umlind na kumfungua mume wang kifungon na malengo tutimize bila kipingamiz na amini imekua asante mungu
Amina amina amina amina umbarikiwe mtumi shiwangu
Ee Mungu nakuomba umsaidie mme wangu kiuchumi ili maisha yabadilike Baba
Amen, YESU akupe haja ya moyo wako
Ameeen barikiwa mungu akutunze
Nakushukulu kwa maombi yako kupitia maombi haya mme wangu anafunguka naamini anafunguka mngu akubaliki amee
Amen mwanangu. YESU akutane na haja ya moyo wako. Ubarikiwe sana
Kwa jina la yesu damu ya yesu inanena mema Ameen kwajina la yesu nmefunguliwa mung n mwema naiman yeye n muweza sana
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU na uzidi kutembea kwenye ushindi
Amen MUNGU akubariki sana mtumishi Kwa maombi
Ameen navunja kila nguvu iliyomshikilia mme wangu naharibu nakuteketeza dawa alizowekewa kwenye chakula damu ya yesu ikasafishe kila aina ya pando alilopandikizwa juu yakunichukia kua na hasira kila mja naharibu madhabahu ya mwovu ibilisi damu ya yesu ikasafishe ndoa yangu naomba yote haYa kupitia jina lako yesu kristo AMEN
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Asante sana kwa maombi mazur me wangu amekwamatwa na mwanamke mwingine nasaiv anamimba nakampangishia chumba anakaaanae najua hilo pepo litatoka kwajina la yes ndowayangu itakaa kama mwanzo nashukul sana kwa maombi mtumish ubarikiw
Ameni
Pop
P
P
P
P
Pop
Amina mume wangu maombi haya yakufungue wewe ni hekalu la bwana 1 kor 3:16
Amen YESU akuonekanie na kukushindia kwenye ndoa yako. Amani na upendo wa kwanza urudi kwenye ndoa yako. Damu ya YESU ikushindie. Ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Ameen barikiwa mtumishi kupitia haya maombi Mungu anaenda kinishangaza
Nina kila sababu ya kuku shukulu mtumish kwan umenipanujaaili wa kuikomboa nafai ya mume wangu nimefukah sana kushuliki haya naomba naomba mwenyez Mungu asinipungukie kwa kila nilichoo kiomba Ktk jina lake yesu kristu Aimen
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe milele yote. Nashukuru sana kwa yote ambayo Mungu amekufanyia. YESU azidi kukutetea na kukupigania daima. Ubarikiwe sana
Mtumishi ubzrikiwa sana kwa maombi haya naombanukupigie
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen mtumishi
Mchungaji mungu akubaliki sana. Aenderee kukutunza Kila wakati naamini mume wangu na Mimi ndoa yetu imerudi katika jina layesu kirstu baba yetu arie hai amen.❤❤
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe na kubarikiwa milele yote. YESU akupe amani yake na ushindi daima
Mungu akubariki mchungaji
Naamini Mungu atatenda muujiza juu ya Mahusiano yangu yalio kufa yanaenda kulejeshwa sasa na kuwa ndoa Takatifu
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ameeen kubwa mtumishi wa mungu alishaanikimbia na kukata mawasiliano kwa maombi haya naamini mungu amesikia na atarudi kwa jina na kwa damu ya yesu ameeen ubarikiwe Sana mtumishi
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Asante yesu kwa ukomboz wa ndoa yangu
Amen YESU akupe ushindi mkuu
Asante yesu kwa ajili ya mtumishi wako nilkiuwa nimemchukia sana mume wangu kupitia haya maombi naona furaha ba upendo vinarejea hatutaachana kwa jina la Yesu
Mungu akubariki sana baba
Ameeni nakomboa ndoa yangu Kwa damu ya yesu
Amen Amen damu ya YESU ikushindie
Ubarikiwe mtumishi wamunga napokea na Mume wanga naamini amefungukaAmen.
Amen mwanangu, YESU akuonekanie na akupe ushindi na amani kwenye ndoa yako
Libarikiwe jina la Bwana Yesu...Ahsante kwa maombi haya.Nimeomba na nitaendelea.Ninaamini Mungu atatutendea soon kwa jina la Yesu.
Amen Amen mwanangu. Zidi kubarikiwa na BWANA YESU. Mungu akutane na haja za moyo wako na akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana. Amen.
Namuomba mungu amfungue mme wangu asibadilike badilike
Amina asante sana mtumishi wa Bwana Yesu. Hakika ni maombi yenye uvuvio wa Roho Mungu akubariki sana
Amen zidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele
Mchungaji niombe sana
Amen, nimepokea kwa jina la yesu kristo,❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen Amen ubarikiwe sana
AMEN UBARIKIWA BABA YANGU MTUMISHI ISAAC.MUNGU AMESIKIYA MAOMBI YETU 👏🤝🤝🤝✊✊✊♥️♥️♥️
Amen Amen mwanangu, Mungu akubariki kwa baraka za milele
Eemunguwangu naomba damyayesu ikanenemema juuya ndoayangu ,ikafute uchawiwote aliotekwa mumewangu ikamfungue mumewangu ikamuachanishe nauzinzi kilamitego aliyotegewa yakichawi naitawanya kwanjiasaba kwadamyayesu yenye thamani natangaza furaha, jamani, upendo naushikiano kwandoayangu ktk jinalayesu ameen
Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake takatifu
Mungu akubaliki baba naendele kukutia nguvu AMINA❤️🤲
Amen mwanangu, zidi kubarikiwa na BWANA YESU milele
Amen amen mtumishi mim ninamaumiv makubwa mno mwanaume nimedumu naye kwenye mahusiano takilinab miaka 4 mwezi Kumi na mbili ndo alipaka aende nyumbn kufahamika kosa dogo tu kaniacha Yani kaniacha jamn nashindwa hata kulala mungu anisaidie kweli pekeangu sitaweza
YESU akutetee mwanangu na kukutia nguvu. Usiogope, Mungu anakuwazia mema na anayo mipango mizuri na maisha yako.
Bwana asifiwe 🙏🙏
Amen BWANA YESU asifiwe
Asante Sana muchungaji naamini kupitia maombi Aya tutafanikiwa Sana na kufanya Mambo makubwa kwa jina la YESU,
Kupitia maombi haya MUNGU utaleta amani na furaha ktk ndoa yangu. Amina
Amen ubarikiwe na BWANA YESU akushindie
Ameeeni ubarikiwe mutumishi nahitaji ndoa yangu ifunguliwe kuanzia sasa
Amen ubarikiwe na BWANA YESU. Nakuombea ushindi
Amen 🙏,nakomboa ndoa yangu kwa damu ya yesu 🙏
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele
Amina namwomba Mungu mume wangu aache kunywa pombe
Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Asifiwe yesu dady asante kwa maombi haya mungu akubariki sana🙏🙏🙏🙏🙏
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU akutendee makuu
Amee ubalikiwe kpitia maombi yako kuanzia sasa mme wangu atafunguliwa mngu akubaliki sana amee🙏
Amen mwanangu, YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake
Nimeomba maombi haya juzi ,jana na leo na nimemuona Mungu akinitendea .Haya maombi yananguvu sana na nitaendelea kuyaomba maana namuoma Mungu
Amen nakuombea YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Amina amina amina amina ❤
Amina 🙏🙏🙏 ubalikiwe san
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote
Amen 🙏.. Asante kwà maombi Mazur ubarikiwe na tumebarukiwa Sana
Ame Amen 🙏 mchungaji mungu akubari sana nimeona ukuu wa mungu kupitia maombi aya.
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Ubarikiwe sana mchungaji kwa maombi haya ninaqmini nitapokea majibu kutoka kwa bwana juu ya mume wangu na siraha zote naamini zimevunjika kwa jina la yesu atalejea nyumban .
Amen Mungu akubariki na akushindie katika yote
Ameeni barikiwa
Amina mtumishi
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Damu ya yesu mfunguwe mume wangu na pepo la uzizi leo hii anafunguliwa kwa jina la yesu
Amen Amen mwanangu, YESU akutendee makuu kwenye ndoa yako
Naikomboa nafsi ya mume wangu kwa damu ya YESU
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU
Amen God do miracles I trust in you
Mungu naomba na mimi unikumbuke juu ya ndoa yangu nakata roho ya mafarakano
Mungu akutane na haja za moyo wako. YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake
Mtumishi wa Bwana Yesu naomba uendelee kunibeba napita ktk wakati mgumu
Namkomboa mume wangu kwa damu ya yesu nashukuru sana mtumishi wa mungu Nina Imani ndoa inarnda kuwa na amani
Amen Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU. Mungu akupe haja za moyo wako
Amina baba
Namushukulu Mungu kwaajili yako maana nilikuwa nahangaika niombeje ili niweze kuludiana naye na tuweze kusameheana makosa yetu naomba Mungu akutunze na kuku tumia zaidi ikikupendeza naomba kuongea na wewe
Amen ubarikiwe na BWANA YESU. Mungu akushindie na damu ya YESU inene mema kwenye maombi yako.
Ubarikiwe sana na bwana kwa maombi mazuri 🙏
Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
@@IsaacJavan Amen 🙏
Amen ubarikiwe kwa maombi mazuri
Naitaji kuawasiliana nawe
@@wazirichiduo52 Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amina kwa ushindi wa Yesu kristo
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Ameni naamini mume wangu amefunguliwa kwa jina la yesu
Amen Amen YESU azidi kukuonekania na kukushindia katika yote
Mungu akutumie zaidi Mtumishi
Amen uzidi kubarikiwa na BWANA YESU milele
Ameen napokea kwamikono miwili
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana niombee sana
Amen YESU akushindie kwa utukufu wa jina lake takatifu
Asante yesu kwakumfunguwa mume wangu ameni 🙏🙏🙏🙏👏👏👏
Amen mwanangu, sifa na utukufu kwa YESU. Ubarikiwe sana
Naomani lila nguvu za ngiza zilizo mushiak mime wangu na kuniacha mmi naziteketeza katika jina la yesu
Amen YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana
@@IsaacJavan AMEEN
@@elizabethgonah4814 Amen Amen
Mungo akubariki mtumishi, kwa maombi haya mme wangu anarudi
Amen mwanangu. YESU akushindie
Amen haya maombi yamenisaidia sana tena sana Mungu awaongezee akili na hekima zaidi
Amen mwanangu, zidi kubarikiwa na YESU azidi kutenda makuu kwenye maisha yako kwa utukufu wa jina la YESU. Amen Amen
Bwana yesu asifiwe nipo kwenye maombi yakumkomboa mume wa mtoto wangu haika na mume wake inossenti nimevutiwa na haya maombi mungu akubariki ameeni
Amen mwanangu, YESU akutane na haja ya moyo wako na akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe na BWANA YESU milele