Style aliyoitumia Makongoro Nyerere kuomba kura za ubunge
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2024
- April 4, 2017 ulifanyika uchaguzi wa wabunge wa bunge la Afrika Mashariki ambapo Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakifanya uchaguzi huo Bungeni mjini Dodoma.
Mmoja wa wagombea alikuwa ni Makongoro Nyerere ambaye style yake ya kuomba kura ilisababisha wabunge wengi kuanza kucheza kila muda alivyokuwa akiongea
Namuona Mwalimu kwa mbaaali ndani ya Makongolo, kama na wewe umeona hivyo like
Ni makongoro, sio (makongolo)
Kama unacheki hii kitu 2021.mwezi wa 5 upo timamu mno
Hahahaha!! big up makongoro! in real I appreciate on how you took the floor!!
like his father, big up makongoro
Nakupenda kaka angu makongoro una Nidhamu ya kale kuheshimu mdogo na mkubwa huna dharau.
daaaah anajua mpaka raha kumsikiliza!!!!!
very nice Makongoro J.k. Nyerere,, shikamoo mzee!
nimependa aina ya siasa aliotumia hizo ndo siasa zinazotakiwa Tz hongera makongoro kweli umetoka katika nyumba ya wenye hekima na busara
asante kwa kuja Mr Makongoro
Mh makongoro wewe unafaa kuongoza hata kwa malkia uingereza ! Your very talenting and confidently! Saafi saana
Makongoro you are my hero...big up !
Mr.makongolo is very fantastic😄😄😄
Nampenda sana huyu jamaa, anajua sana kujieleza, English yake safi
Sana
Very true..
Leo mjuba ni RC maisha yanaenda kasi
jamaa anajua sana big up makongoro
Redemption seriously
Marahabaaaaaaa... hujambo MTOTO wa Baba YETU wa TAIFA
good Mr you makongoro Nyerere
Makongoro anajua kuongea vzr
Well done..the son of
Baba wa Taifa...I admired
How you handle the floor. Congratulation.
umetsha makongoro u made a gud speach
Speech
Kumbe mwalimu alimfundisha kijana kiingereza,safi sana.
Brian Basela ila wengine hajawafundisha..!
Marahabaaa
Mimi naona kingereza kiwe kinapewa kipaumbele kwenye hili bunge.😃😃😃😃 hivi kweli shikamoo mzee katisha
Frank Sylivestar
Sema Kula Dogan
sorry *kulwa
Swahili Marahaba Shikamo
hhhh you made us to remember our first president, Big Up
Milard mungu akuongoz kweny kazi yako
Good speach
Very interesting like his father.
mama mbavu zanguuuuuu uuwi
Salute Makongoro
he speaks like nyerere
millady ayo !Good job keep it up
duh! hii style👍
I appreciate
Very very good speech,proud of you
Rais ampe kazi, Jamaa yupo vizuri
very nice mr makongoro
Km unanfurahsha hv!!!!! Nmekpenda kngereza chako! Kko vzr Mr.
He is good and bright!
Upo vizuri sana kakaangu
Natafurahi sana siku huyu jamaa akiwa hata waziri ,tutajua uwezo wake vizuri
makongoro this is ccm braza ,, merely shikamooooo
Wow! Intelligent man
Makongoro you very happy now! Thank you
Kiukweli jamaa kama Baba yake hadi sauti.
Kabisa
Hon Makongoro MARAHABAAA
Today am doing revisions. Big Up Makongoro JK Nyerere
Shkamoo.
Ukitaka kufanikiwa jishushe.ilipendeza sana.
A man is smart.
Thank you Hon.RC Makongoro Nyerere for a nice speach
😊😊😊😊😊😊😊😊
Tanzania still needs a Good Politicians... That Nyerere didn't sell him self very Good to his fellow members of the Palament.....
Gd
Nice
Makongoro nyerere shikamooo
MH. Makongoro hotuba uliotoa Kwa lugha ya kiingereza ilikua nzuri sana nimekuelewa na hapo wabunge walibaki kunyamaza baadhi Yao walikua hawaelewi lolote ulichoongelea Kwa kua baadhi Yao hawaelewi au lugha hio ilikua inawachenga niligundua Spika ilikua anakupima kama ulikua unajua kuongea lugha ya kiingereza lakini Spika alibaki kuduwaa tu hongera makongoro tumekuelewa
Sema anazeeka harka
unforgettable speech
HahahA ndalola amang'Ana ni mazomu ku kingeleza kwazo mwetu. .......big up
Awe hehehe Orasekya kweli
good ma dad
Mhe magu naomba mpe kazi mhe makongoro
I like this man
mtu anapigwa interview ya kingereza hapo, kwakua ni E. Africa. hapo kuzuga watu lakini kikubwa MTU anapimwa uwezo wa lugha ya kigeni
angel mwanaidi VEE
Makongoro karibu manyaratena
Verry funny i like it!.....
.
uncle hahahaa u made me laugh
Nimefurah baada ya kuona wabunge wengi wapo kimya nikagundua shida sio maneno hayajawapendeza shida hawaelewi kinachoongelewa
mamaaaa iyo lv kiswahili kwa kingereza kinaitwaje nauliza tuu jaman
Denis Matthew Kiswanglish
Denis Matthew Swainglish
yuko sawa anamanisha yuko chini yao,, na ndoo maana harisi ya shikamoo
Waliokuja kuona hii baada ya uteuzi wa Samia tujuane
this guy is good
very speech
Ni shidaa shikamoo
I Really Admire Ur English. It's Fantasy And Good. But Mheshimiwa Umenivunja Mbavu...Eti Shikamooo Hahahahaaaaa
🤣🤣, Daaah namuona Baba wa Taifa kwambaaaali
😀😀😀😀😀😀😀unazeeka na utani wako ,shikamoh
thank you dearly
Hahaahaa mbunge msukuma yuko wapi mazee wa la saba Sijui hapo anatafasiriwa na nani makogoro
Everyone who read my comment SHIKAMOO
🤣🤣🤣
Marhabaa
😂😂😂😂😂
baba unajua kujieleza sana
regardless of your age shikamoo.....hah hah hah
Marahaba
Safi sana Makongoro
Makongoro unajua sana asee mpaka kero hahaha
Ahahaha hata mm nimecheka
Umeongea vizuli sana na umejibu vizuli sana.
uko vizuri sana
All of you shikamoo 😂😂
alikuwa na mengi ya kuzungumza. na ile shikamoo bila kujali ukubwa au udogo wa mtu alikuwa na maana yake pia. kamwamkia waziri mkuu kamwacha spika wa bunge!!! siasa bana!!! uongozi una siri nyingi sana. napita jamani. asante spika wa bunge na makongoro nyerere pia
Stedius Bernado kasalimia wote
kingereza hakiusu mana kuna wazee wetu wengine hawajuwa na sis ni watanzania tuna lugha yetu
Divvana Johnson
Halafu anajua kujieleza kuliko viongozi wengi wakuu waliopita cna haja yakuwataja mnawajua
musukuma amemuelewa nyerere msaidieni tafsiri
haaaahaaahaaa msukuma
Salim Mrisho kuma wewe
@@ayoubchacha9090 😨
Hahaha kweli bungeni kuna wasomi kweli kweli
Kiingerezaa sio cha kubabahishaa
Makongoro umetisha
Ujinga tu watu wanakuza lugha zao sisi tutabakia watumwa.
Tokeni hapa
manina kweli hawa nyambavu zao
+mlakapolo mzenji09 kiingereza ndo lugha inayotumika kwenye EALA
Evarist Mrosso sasa hapo eala?????
+mlakapolo mzenji09 Kuna wawakilishi kutoka mataifa yote ya EAC wako hapo
u r good....
Sijaelewa kinacho ongelewa hapo coz baba angu alikua hana hela za kuniendeleza na elimu ya secondary
hawa shikamoo ni SHIDA huko EALA HAKUNA JIPYA.
nimependaaa
Huyu jamaa ni bonge la kiongozi
Wabunge wengine wanaulizaa kwa kukomoa kwa kuona et hajuii,anajua bhana political federation
Upo vzr kila idara
Una akili ww
Katisha kijuukuu
Ngucrumo