Yaan watendaji wake wa chini na mkoa huu anaongoza Makongoro nyerere wataenjey sana hawatokua na presha ila wajitambue wanafanya kazi na mtu asie na makuu wajitume wenyewe tu
@@R.Dickon Tena udhaifu mkubwa mnooo wanapoisaka nafasi ya kazi wanajuhudi kweli kweli wanatumia nguvu nyiiiingi ila wakishaipata tu bc wanapandisha mebega kwa majigambo wanasahau km wanawatumikia wananchi wanalewa sifa mapema sana
Roho ya uongozi lazima imtawale mtoto wa kiongozi Mungu akubariku sana mtoto wa Baba wa Taifa uongozi una mengi ya kuyasikia na kuyaona piga kazi usiogope miruzi
Huyu Hapendi Kuchukiana ktk kazi, Labda walio chini yake Wawe Vilaza ktk Kutekeleza majukumu yao, Vinginevyo kila Kikao Atachoitisha Watu Watakuwa na Shauku ya Kwenda Kuondoa Msongo wa mawazo kwa kwenda Kumsikiliza
Wanawake tuangalie wa kuzaa nao. yaani huyu hana tamaa ya mali exactly kama baba yake. Mapungufu mengine yanavumilika, hiki kizazi kije kutoa raisi tena asee
Makongoro Nyerere ni mtt wa raisi wa kwanza Tanzania. Ana kitu ndani yake cha pekee... Taswira yake kwa jamii ni rahisi tu. Kwamba kuwa mtt wa mkubwa bado unaweza kufayika faraja, upendo, rafiki na mtu wa watu wa aina zote na bado maisha yakaenda
huyu mkuu wa mkoa siyo limbukeni wa uongozi, angekuwa mkuu wa mkoa mwingine hapo angepandisha mabega na kujifanya Mungu mtu km kina chalamila na wengine wengi
Mh sijui ngoja kaka tumuone kwani ninachokijua mimi hata baba yake kwenye mikutano alikuwa hivyo,ila akiwa na kazi za kiserekali watu waovu waliisoma namba!!
Kwasababu hujui vizuri ndio maana unasema hivyo ni mcheshi sana ila pia ni mkali kuliko unavyojua, mfano mdogo je baba ake alikuaje? Magufuli alionekana dictactor au mkali sana sema kwa nyerere hatii mguu hata tone, sikiliza hotuba zake nyingi tu mbona zipo hapa hapa youtube halafu utapata majibu mazuri
Ahsante mzeewetu kwakweli umefata nyendo za baba wa taifa kwakwel mungu akupewepesi ktk utendaji kaziwako
Nampenda sana Makongoro. Anaweza Sana. Makongoro hoyeeeee. Mkuu wetu Wa Mkoa Mungu akuinue Baba
Viva makongoro ! Chapa kazi
He z so fun I like him, ako na style ya kipekee sana in leadership👏👏😁
What a leadership style of his kind!
Mungu akubariki sana Mzee Makongoro.
Dahhh hongera,...this is the right leadership we need in our country.
HahahahahahahahhahahahaaH
My best RC ever, Weldone, just Praying for you. From DIT Dar ENGINEERING Student
Yaan watendaji wake wa chini na mkoa huu anaongoza Makongoro nyerere wataenjey sana hawatokua na presha ila wajitambue wanafanya kazi na mtu asie na makuu wajitume wenyewe tu
Ishu iko hapo Kwa waafrika kujituma wenyewe ni udhaifu mkubwa
@@R.Dickon Tena udhaifu mkubwa mnooo wanapoisaka nafasi ya kazi wanajuhudi kweli kweli wanatumia nguvu nyiiiingi ila wakishaipata tu bc wanapandisha mebega kwa majigambo wanasahau km wanawatumikia wananchi wanalewa sifa mapema sana
Nampenda sana makongolo
Gud sana baba tuko pamoja kaz unaiwez Mungu akulinde
Nyerere tupu!
Jamaa ana kipaji cha Mwalimu mwenyewe kabisa Mzee Kambarage..
Huyu anajua maana ya maisha. Huna haja ya kujinunisha ndo watu wakuheshimu
Brother makongoro nakuelewa can't, bravo bro,engine wajifunze kwako,c mbaya kujifunza mazuri
Support ndg yangu Mungu akusimamie
Ha ha ha ha !! Mwenyezi Mungu akulinde Mzee wa mitonyo, Niwatonye nisiwatonye.
Mama Samia umetuletea .mkuu wa mkoa mzuri manyara hoyeeee
Standup comedy on flick😄😄
Roho ya uongozi lazima imtawale mtoto wa kiongozi Mungu akubariku sana mtoto wa Baba wa Taifa uongozi una mengi ya kuyasikia na kuyaona piga kazi usiogope miruzi
Ntoo...Nye............. Tonya. Nakumbuka 2020 kampeini ccm in Jimbo ukerewe..... Eee Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz
Siasa safi, piga kazi dogo,.baba yako alipiga kazi sana, tukikuona tunamkumbuka sana mzee. We love your family ilikomboa nchi
🤣🤣🤣🤣 yaani mkoa wetu wa Manyara unabahati kubwa sana. Barikiwa sana mkuu wetu.🙏🙏🙏.
Raha sana.
Hongera sana ucheshi
Hongera Sana Makongoro
Yaani mama hakukosea!upo vzr Kama baba wataifa!mungu akujarie
RC wetu, we are proud of you
Huyu Mzee namkubali mnoooo😂😂😂😂
Nakuelewa sana makongoro nyerere
Huyu mkuu wa mkoa atawavusha wananchi wajitambue tu,anaongea kama mwl.nyerere,Mungu amlinde
MAMA SAMIA ANAAKILI SAANA
Hana mjivuno huyo mzee kwakweli anaweza kuongea Kila mtu haswa wairagw wa irgwar daaw na wabarbayg wasio jua kiswahili hongera mzee
Uko vzr
Mwananchi ni jina maarufu. Wekeni maneno ambayo yako katika kamusi ya kiswahili. "Sijawai'' × !! SIJAWAHI !✓
Makongoro husema kwa mafumbo na misamiati. Hii ni tangu alivyokuwa mtoto. Sisi tuliosoma nae tunajua vichekesho vyake.
Hayati Nyerere huyu hapaaaa
Rc Wangu Makongoro Nyerere 😅😅
Kaka Wa Taifa katika ubora wake ,Nitonye nisiwatonye hotuba zinazoondoa msongo Wa mawazo hakika una kipaji
Mzee Kama utahamishwa makongoro nakuombea uje arxh
Kama baba kama mtoto....
Good Makongoro
Huyu Hapendi Kuchukiana ktk kazi, Labda walio chini yake Wawe Vilaza ktk Kutekeleza majukumu yao, Vinginevyo kila Kikao Atachoitisha Watu Watakuwa na Shauku ya Kwenda Kuondoa Msongo wa mawazo kwa kwenda Kumsikiliza
Jamaa huwez kuchoka kumsikiliza
watu kama hawa wanakuwaga wakali sana kwenye utendaji
Kwl kbsa... 🤣🤣🤣
Nice
Huyu n mchesh kwelikweli
Hahahahaa. Love sana sana.
Hazeeki Makongoro sababu ya ucheshi wake
Safi
unanikumbusha nyerere
aiseee
baba wa taifa kafufuka upya
Wanawake tuangalie wa kuzaa nao.
yaani huyu hana tamaa ya mali exactly kama baba yake. Mapungufu mengine yanavumilika, hiki kizazi kije kutoa raisi tena asee
Fact
Hakika
Nadhani ukifanya kazi na Makongoro mkuu wa mkoa Manyara huwezi kupata pressure wala msongo wa mwanzo.
Ofcourse
Kweli bwana hata ukileta noma kwa kazi anakuchekea tu🤦🤦
Safii
Makongoro Nyerere ni mtt wa raisi wa kwanza Tanzania. Ana kitu ndani yake cha pekee... Taswira yake kwa jamii ni rahisi tu. Kwamba kuwa mtt wa mkubwa bado unaweza kufayika faraja, upendo, rafiki na mtu wa watu wa aina zote na bado maisha yakaenda
Unajua kura za maoni alipata ngapi Butiama kwao? Wananchi ni waelewa sana, wanawafahamu viongozi, acha wabahatike na teuzi tu
hahaha hahaha! Charles bhana!
Like father like son kma babaake aseew
Hahahhahahaaaa kiazi sana namkubali sana aa 😆😆😆😆
Hawa ndio viongozi tunawataka kabisa
Kafanana na nyerere xana
Kafanana mama yake muangalie vizuri
@@amirisaid6341 huyu kafanana na nyerere madaraka ndo kafanana na mamake zaidi
Si babake
Mtu huyu anayecheka ofisini anaweza akawa na maamuzi magumu hadi ukajiona kuwa umetengwa pindi tukikosea.
Sijaelewa rafiki fafanua
Mbadala wa Agrrey Mwanri 😂😂😂😂
YAANI KAMA BABA YAKE TU, VITUKO MTUPU
Hahahhhhaaaa hongera mkuu was mkoa wa manyara nakupenda mzee tutembelee aruxh bhana
Maoni yangu Mimi viongozi wetu naomba mpunguze vichekesho kwny usiliazi maana unaweza Fanya jambo kwa vichekesho kumbe lika pokeleka vibaya
Usiliasi sio kutenda kazi hzo ni roho za kishetani
Ww acha hayo kucheka nawatu nimuhimu Sana kuliko kununa na usilias sio kununa
Chill out! Cheka kwa afya
Acha ushamba kuwa serious cyo kigezo cha kuwa kiongozi bora
Mcheshi kama mwalim nyerere
Huyu ni nyereree kabisa
Yaan sura ya dingi ake kabisa...duu
Hahaha yakwangu had raaa
Rais mtarajiwa.
duuu! Ana mouton tena
Kwa stahili hii,! Si hajabu ukakuta walimzibia maana walijua wazi akipata nafasi kwa wakati anaweza kuongoza
Hadi Sasa makongoro anaeweza kuichukua nchi
SI HAJABU //AJABU
Mh🙄
Mwidini huyo ana presure na cheo
Alioteakuhamishiwa rukwa
Makongoro sikuelewi ila nakupenda sana mzee. We ni wa pekee
Huyu hata akiingia kuongea,lazima watu wamsikilize
Feedback
Akicheka anafanana na mwalim😂😂
Ulikuwa wap siku zote hizo baba yani mtu anae kuchukia ndani ya mkoa wako basi huyo mtu atakuwa na rafik
Hahaaaaaaaaa!!!. Nmerudia mara tatu kuitizama!.
yan huyu hana ulimbukeni wa uongozi kabisaaaaa
Wacha maneno yako ya hovyo
Huyu sii wa kupelekeshwaaa hata kidogo
Hahahahahahaaaaa love u
Hahahahahaa very funny
huyu mkuu wa mkoa siyo limbukeni wa uongozi, angekuwa mkuu wa mkoa mwingine hapo angepandisha mabega na kujifanya Mungu mtu km kina chalamila na wengine wengi
Fact
Punguza masihara.weye ni kiongozi kucheka sana kunaharibu na kushusha heshima ya kuwaongoza unaowaongza fanya kiasi
Babaake alikuwa analia? Acheni chuki
@@reganshao kweli iyo ni roho mbaya tu..
@@rhodarichard4494 Yan na anaeongea hivyo mpe hata kazi ya uongozi wa familia Sasa atakavoharibu . Tunalalamika wachawi kumbe Kuna wachawi hatar mno
Kumuelewa huyu Mzee anakufikishia ujumbe Kwa njia ya Masiara
@@reganshao 😅nikweli kabsa ..nakama uyu Jamaa ana mke bas uyo mke bila Shaka anapata taab...maan nikauzu balaa ..sizan hata kam huwa anatabasam..
Hahahaaaaa
Very funny
ua-cam.com/video/tQtrcLu37Ow/v-deo.html
Kimuonekano na ucheshi ni copy ya mwalimu
Kama mzee wake vichekesho
Kabisaaa yaan
Mpaka raha aisee kua na mkuu wa mkoa wa hivyo
Yani tatizo la makongoro matani mengi sana.sijui Kama ataweza kupambana na melelani
Huo ndo wasiwasi wangu watanzania ukicheka nao tu ujue hapo kazi hakuna tena na nafasi ya kupiga ushawapa tayari. hapo hakuna kazi tena ni zawadi tu
Mzoea punda hapandi farasi 🤦
HUYU ALIKUWA WAPI???
Watu watakuzalau ukicheka nao sana
Mh sijui ngoja kaka tumuone kwani ninachokijua mimi hata baba yake kwenye mikutano alikuwa hivyo,ila akiwa na kazi za kiserekali watu waovu waliisoma namba!!
Kwasababu hujui vizuri ndio maana unasema hivyo ni mcheshi sana ila pia ni mkali kuliko unavyojua, mfano mdogo je baba ake alikuaje? Magufuli alionekana dictactor au mkali sana sema kwa nyerere hatii mguu hata tone, sikiliza hotuba zake nyingi tu mbona zipo hapa hapa youtube halafu utapata majibu mazuri
Achana na maisha ya kibabe yel
Achana na fikra mgando maisha ya ukals yameenda zake na awamu ya 5
🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️🚴♂️
🤣🤣🤣
@@amenmushi5285 💦🙏🙏
Tutaona mengi Mwaka huu.
Huwezi elewa
Eti na mm nimcheka hahah
Wewe cheka nao tu angalia usije ukavuna mabuwa.
Sasa unataka anune umesikia kununa ndoo uwongozi
Hata Mimi nashangaa
Jamani mumefaidi RC
Watu kama bro waogope sana
Kwenye maamuzi unaweza ukalia ukibanwa nae
Unavyomuona anashida na uongozi huyoooo
Hahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haki ya nani,utafikiri ni Hayati Baba wa Taifa Mwl.Nyerere.
Alimrithi Ucheshi sana
Hahahahahahahahahahahahahahahahahah!
Haya mambo ya genes haya!!!!
Miss Manyara tena? Kaka unaanza kufeli!