Bi Khadija wakomeshe hao wanoko waandishi wa habari uchwara. Hawana jingine kutwa kuchokonoa yasiyo wahusu wao dada zao au watoto wao wanawaulizwaga?!!! Washenzi wasio na hayo maadili ya uandishi hawayajui.
We angalia ulaya na nchi zingine wanamuziki wanaimba uzuri kabisa sikufokea watu maana wanajua nini maana ya mziki.angalia klip za daimond akienda ulaya hafokei ila huku kwetu mziki makelele.
Khadija kopa is like old wine. The older she gets the better she looks. Hongera mama ebu hao wambea wasikupotezee muda
Khadidja kopa nampenda wallah❤❤❤❤❤❤❤❤
Malkia 1st class mrembo forever. M proud of you Make STAR Lady special Zuchu 🎉🎉🎉
Mm nakuelewa sana we mama
Napenda Khadija mie 🎉🎉
❤❤❤❤ Mam Zuch Forever 💯💯🎉🎉
Nakupenda sana miss u❤
Umewakomesha na umbea wao.
Mama upo kama mtoto wa 2000 umenona
Mambo ya watoto hayo😂
Haukunihusu upuuzi wao
Hiyo hiyo Mrs Kopa
Mama nakukubali sana majibu yako
Nakupenda bure mamaweee❤❤❤❤
Khadijakopa kaongea ukweli wasanii wakiimba stejini mikono juu oyo oyo oyo.yanini
Xjapenda mna boaa jmn muachenii mama wawatu
😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Headline tafauti na navideo,jameni wanahabari WA Tanzania wambea wake kwa waume
Zuchu na daimond walitafutana wamepatana wakatafute wengine wapi wakat washapatana!!!?
Bi Khadija wakomeshe hao wanoko waandishi wa habari uchwara. Hawana jingine kutwa kuchokonoa yasiyo wahusu wao dada zao au watoto wao wanawaulizwaga?!!! Washenzi wasio na hayo maadili ya uandishi hawayajui.
So razima kuorewa nae bna bado bindi mudogo sana zuchu muacheni uyo
Unanijua miaka ya zuchu ?
Muashe amuwe ame mupididi
😂😂
We angalia ulaya na nchi zingine wanamuziki wanaimba uzuri kabisa sikufokea watu maana wanajua nini maana ya mziki.angalia klip za daimond akienda ulaya hafokei ila huku kwetu mziki makelele.
ua-cam.com/video/rVlGi9b0h7s/v-deo.htmlsi=k5IkylvYOqEwJUg4
Ila maisha mengine bwana kwani mpaka aolewe na mond si atafute mwingine mtu mzima ovyo
Napenda Khadija mie 🎉🎉