GAUNI LA BIBI HARUSI LAWAKA MOTO UKUMBINI DAR, GARI LAO HUMMER LAGONGA
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- Siku ya harusi kikawaida wengi wetu huwa ni siku ya furaha lakini inapotokea visa vyenye mshikemshike huwa inatibua kabisa furaha hiyo, AyoTV leo inakuletea hizi dakika 7 za simulizi ya harusi ambayo moto ulishika kwenye gauni la Bibi Harusi wakati wakiingia ukumbini ambapo pamoja na kwamba pia siku hiyo ilionekana kuwa na vimikosi baada ya gari la Maharusi hao kuligonga gari jingine kabla ya kuingia ukumbini, haikuwapunguzia Maharusi hao furaha yao kwa namna yoyote ile....
Unapo kua na shughuli muwe mnatoa sadaka. Sadaka inakinga shari nyingi zinazo tokea.
We umejuaje kuwa hawakutoa sadaka?
Sadaka gani unaisemea wewe? 🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒
Huwezi andaa sherehe bila kutoa sadaka kanisani au Kuna sadaka nyingine?
👍🏻👍🏻
@@johannesishengoma1232 yeye katoa ushauri..tu. Sisi waislamu tunaamini sadaka ni muhim sana
Du hongera sana dada kwa ndoa nzuri na pole kwa misukosuko
Mbwembwe hizi, mtaja ua watoto wa watu, hakuna cha shetani wala nini, hivo vimoto mloweka hapo cjui mnaviitaje alivipitia karibu vikanasa kwenye shela.
🤣🤣🤣
@@neemamohammed7359 🤣🤣🤣🤣
Ndio
Wewe ndio umenena yaan kitu kikitokea waafrika sie tunakimbiliaga kwenye imani za ajabu wkt hapo its obvious
Kweli kabisa dada nilitaka kuandika hivo wabongo ushamba umetuzid sijui hivo vimoto vya nini kwenye harusi daaahhh
It's scary Ila GaraB speaks about it Kama Ni kitu kidogo kabisa; hii Ni attitude nzuri Sana ya ku-face changamoto yoyote in life.
Bibi harusi alipelekewa Moto 😂😂😂
@emmanuel majo mpelekee moto 😂
Tunamshukuru Mungu akuungua m2 na shetani alishindwa ila uchawi tuu
Mungu anakupenda dada shukuru sana Mungu,kwakukuepusha nahuo moto
MAMOTO HAYO SASA YANINI KUMBINI!!!!!?? JIFUNZENI.
🤣🤣😂😂😂 cjui ya nn mi nawashangaa sana
Huyo mpambaj atakuwa na lake jambooooo asa moto og ukumbin wa nn angeungua je
Mashaalah
@@naimaofficial33 Naima Hujambo?
Haswa hizo ni cheche ni hatari alafu wameweka karibu uku wanajua shela ni pana na refu wameyataka wenyewe
Mhmmm ndiyo Tanzania bhana hatari saana
wanatakiwa waombe sn hii ndoa
Halaf nilikodisha sasa. Na mwenyewe hataki lingine anataka lilelike
Kama kaweza kulikod bas hela anazo
😂😂😂😂
Maombi yanini wakati nyie mlijichanganya kwan hamjui maana ya fire works? Yan kila kitu shetan na uchaw africa amken achen fikra pitofu
🤣🤣🤣
Maombi Nimuhimu Wakati wote
Fire works bomb zenyewe
Nyieeeeeee 🙌😭uchawi huu khaaaa 🙏
Mmmmmmmm acha uswahili kitu kawaida unaona apo na macho yako, uchawi uwo kwio😁😁
@@fettyabiola1389 🙆🙆🙆🙆ndo nimeangalia mwanzo mwisho ushwahili gani sasa unasema
@@neemadickson9526 kwakuwa uyo mc kasema walipata ajali , we ajali ya uchawi unaujua, hashuo walizonazo kwenye gari umegonga tu gari la mtu , na uyo fire works ni fire kama jina lake moto unawaka na nguo tena shela neti na satin tupu ile unataka isiwake, kavaa mahmeli au nayo pia si mbele ya moto , firework za birth day cake humuunguza mtu sikwambii zile za sherehe, hakuna uchawi pale punguza imani izo
@@fettyabiola1389 sawa nilikuwa sijawatch vzr dear ndomaana ila nimeshaelewa🤝
@@neemadickson9526 😂
Tunako elekea tutaungana tu ktk ndoa zetu za MKEKA🤣 We unadhani ndoa yako itaizidi ile ya MBILIABERI aliyo fungia angani!? Na je? Ilidumu !!? Acheni ulimbukeni ktk ndoa,,,safari ni ndefu ! Bado hujaamka usiku saa 7 ukakuta MTOTO kachemka MWILI na unatakiwa uamke umpeleke hospitali !!!!(Acheni tamthilia )
Harusi za mbwembwe nyingi Nakujionesha kua Hela zipo Zina nuksi sana utakuta kakodi ilo gauni na Gari pia, Pole Yao wamejifunza kitu apo
Hizi ni Hila
Hujazipata tuu hizo hela, Kwan ww ukiwa nazo huwezi Kodi gauni hela hiyo🤣
Tz mna chuki za ajabu
@@elviraramadhan3900 Tulioolewa bila shughuli yoyote kimya kimya na bado tukapigwa majuju tukaugua nusu ya kufa chuki tu zinakuwaga kwann aolewe fulani!! huwa hawaionei wivu ile sherehe bali ni ile ndoa inayopitishwa ndiyo wanayoifanyia hila kibao binaadam ss wengine hatar sana
@@nasrahassanabioll6559 yaan sijui inakaaje hii kwa watanzania 🤣 mtu mwenyewe hamjui Ila Sasa chuki kama za mama wa kambo🙌
acha wivu wew
Roho mbaya tu ukizeeka nahisi utakuwa mchawi wewe ,
Hizo ni dalili mbaya,Kuna wanadamu wabaya washafanya Mambo yao hapo
Ni hasad na ayni ....
mambo.haya yapo tz pekee
kama mlikodi ilo gauni mriripe sasa
mh
@@kiehbhzh7044 hahahaha angeungua tako bwana harusi asingeonja tunda
Kwa jinsi watz tulivyo teyari wamehusisha na imani za kishirikina.tuaitoke nje ya simulizi tuliyopewa na washiriki wa hiyo sherehe.
Wabongo mnapenda harusi adi gauni linawaka moto
Dah! Hii ajar niliiona mbez beach ya chinii hummer nyeupe... Dah! Nowmaaa
Ashukuriwe Mungu Kwa kuwaepusha na hayo mabaya yoye
Amiin
Amin
Amen🙏
Wabongo washamba sana hivo vimoto vya party mnaweka kwenye harusi daaahhh mbwembwee vimezidi matokeo ndio hayo
Hizo ni ishara mbaya wasali sana
Huyo bibi harusi kuna kitu alifanya 😂😂😂😂 🏃♂️
😂kitu gani hicho tuambie na ss jaman tukijue
@@nasrahassanabioll6559 itakuwa kaiba mwanaume wa mtu huyo 😂😂😂
Hujatoa wee bhnaaa mbona tunamuona mshikaji mwingine
Pole sana Dada Mshukuru Mungu wenda furaha yako ingegeuka kuwa majonz makubwa,, Mungu mwemaaa
Banda la wakala linauzwa
Ukubwa futi 5 kwa 6
Nila chuma (hard metal)
Limepigwa red oxide plus rangi
Lipo daresalaam kigamboni
Bei 600,000/=
Maongezi yapo
Ingelikuwa Arusha nalihitaji
pole sana kwa maharusi
Hapo mwanamke alieahidiwa kuolewa kafanya yake baada ya kuona katoswa hataree sana
Mc GaraB garakubwaaaaaa❤❤❤❤👌
Bonge la gundu🙆ndoa itawaka moto kila ck ndan🤣🤣🤣
Uciseme hivyo bhn
😂😂😂😂Ndio mwanzo sio
🤣🤣
Eh mshakuwa mastar
😂😂😂 kaz ipo unasherekea uku unanuka moshi😂😂😂
Uyo atakua ex wake kasababisha hayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂✌👐
Lol umenchekesha kama mazuri
🤣🤣
Mm naomb kuuliza hiv huyu gara B analipwa bei gani jamani maana nampenda anajua kunogesha
Anachomeka na bado anapiga disco tu? Ni ulevi au nini???
Mmeyataka wenyewe huo moto wanini humo ndani fundisho hata kwa wengine ila poleni
Hii n roho mbaya
Huo moto ni sehem ya sherehe tuu
Ndio kusema mambo ni motooooooooo
This is very dangerous uwii fireworks🙆♀️🙆♀️Ningeliaaaaa
DUU HIYO NI NGUMU SANA, MR BOB SOSY AKA KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI KABISA NA MHESHIWA GAMBO
Hapo kama amevaa kigodoro shughuli yake sasa..hahahahaha
Hizi decorations ziwe zinaangalia aina ya nguo anayovaa maharusi jaman.sa fire works zinawekwa karibu karibu wakat bi harusi kavaa gauni la cinderela??hapa hakuna cha uchawi ni kosa la event planner au mpambaji.Alitakiwa alipe fidia kwa hili
Kweli kosa ni lao wenyewe
Sio vizuri wakati wa sherehe ukubini bi arusi kuvaa shela au gahuni. Shela ni ya kanisani tu.
Kabisaaa
kanisa letu popote unavaa
Huyu MC mashaa Allah Yuko vizur kweli
Magaidi
DOGO NILIMSHAURI AACHANE NA VIMULI VINAWEZA KUWAKA MOTO HAKUSIKIA ILA AFADHALI SHEM HAJAUNGUA MAKALIO
Achen kutuchora nyie hizi kiki tu za mtandao mlikua mshajipanga kwa hilo 😂
Matukio kama haya yananogesha shughuli na ukumbusho pia kujulikana wapi habari zingeandikwa kama sio moto,kuna aliempiga Rais kiatu ila hadi leo anakumbukwa na ana jina watu wana mbinu huenda tukio lilipangwa ili habar itrend
Bdo mnaendelea kuchaza wakatimshaona hamuelewi
Mhhh dalili mbaya Sana hiyo wanatakiwa waombe Sana Sana . inaonesha ndoa yao mhhhhhhhh
Wahenga hawakukosea waliposema kuchamba kwingi lazima uondoke na kipande cha nnya!!!
Dah asee 😪
Subhannallah, mtihani kwakweli very bad 😢😏
Shetani alijiinua alitaka kufanya uharibifu. Tunamshukuru sana Mungu kwa uweza wake.
Makubwaaaa 🤔🤔🤔
Shetani mnamsingizia bwana; Uzembe wa hali ya juu...Ebu Watanzania tuwe responsible na na makosa yetu! The planning was horrible 😕
Kwa kweli yaan huyu Shetani nae anatushangaa sana
Nyie hamwelewi, hakuna ubaya usiotoka kwa ibilisi, na everything is planned in the Spiritual realm.....no coincidence
Ni uzembe tu ulifanyika ile moto ulikuwa njiani sana
@@GloriousRestorationTV Let me save my breath....it will be a wastage of my time and intelligence to dispute your statement. Sad 😔
Mmmh........yatakayo Jiri baada ya miaka miwl MTUJuze
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🎶🙏🙏🎶🔥*
Hao inabid wasali sana kama mwanzo tu accident kabla ya haruc mmh
Ndoa hiyo gundu tupu 😅😅😅🤣
Ishar mbaya kabisaaa daaah pole Sana jaman hmmm
wacheni jealous kwani kuonavmwenzenu kaolewa dio nyinyi munabebwa tu . hapo akipata mume ndio pakusherehekea hasa wengi wanaitafuta chance km hiyo hawakujaaliwa wanaishiwa kufugwa . km ni moto kuweko ukumbini ni jumla ya mapambo na hawakuanza wao hiyo ni ajali km nyengine . kuna maharusi wanaanguka nakufa juu ya mastage mutasema wameyataka ? kwa vile kashapata mume angekaa kwake ? wacha wafurahiye siku yao na km nguo kuungua ni binaadamu wenye hasada km humu wamo wenye choyo na vijicho , wacheni hayo km nyinyi mumeshindwa kuyafanya uwezo haupo yeye anayamudu
Shida sio uwezo na wewe kuwa mwelewa kwani wangapi wenye uwezo na kila siku wanafunga ndoa ukumbini bila kuweka atli kama hiz,
@@wamoroboy8963 hawana uwezo hao wenye uwezo wanaonekana . hakuna mwenye uwezo akafanya arusi asisherehekee. arusi ni jambo pekee .
Hahahahaaha hao waliolewa ndo wamenichekeshaaa
😂😂😂😂Usikute X wake ndo alitoa wazo la moto😂😂
Wallah 🤣 🤣 🤣 🤣
Hagahaaaaaaaaaa
🤣😂😂itakuwa
Hahahaha..itakua kweli afu ukizngatia wafipa hataree...
Sobanukirwa uko Ubutinganyi bwatangiye kubaho/Abakundana bahuje igitsina baratotezwa ua-cam.com/video/lOcBZLi125o/v-deo.html
Hii ni hatari. Maana ingebidi kuvua nguo si aibu
Show linaendelea
Kwakweli ndugu
Nimecheka huyo aliyelewa kabla ya sendoff 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo ndoa ama ndoano, kudumu ni vigumu maana shetani yupo Kati yao
Shindwa wewe
Umeshapata mume Sasa mimoto yanini ktk migauni,mngeungua ndo mngepunguza hizo ngenge,tuko tuna omba waume nyie mnaangaika na mimoto.
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🙌
Eeh we nae kwan bi harusi kakosea nn apo
Rose Tembe Hapo shida Sio Bibi halusi Ila mwanaume unaweza kukuta mwanamke mwingine hakupenda haolewe huyoooo dada alitakaka aolewe yeye sasa meza kuu ikashindikana Au mwanamke kuna Mtu alishakuwa nae kwenye mahusiano wakaachana akasema tutaona Kama ataolewa ndo akatuma Moto akasahau kuwa yupo Mungu msemaji wa mwisho ambae Ni Yesu kristo alie hai ambae huwa hashindwi na chochote kumbuka shetani aliazia kwenye ajali lakini bado Mungu wa mbinguni alisimama nao aliaza kuhaibika zamani hata sasa shetani kahaibika na ataendelea kuhaibika Na Mungu awe upande wenu lolote watakalolifanya juu yenu likawadie wenyewe kwa jina la Yesu Alie hai kila pando asilolipanda Baba wa mbinguni kwenye maisha yenu likang'olewe kwa jina la Yesu
Kwani bibi harusi anakosa gani na wewe
Duh!!:Anasa vs Husda
Tatizo mbwembwe nyingi punguzeni ria mungu hapendi
C wanakulaga ela za wanaume alfu wanawaacha ingetakiwa alipuke kabs
Mmmh! Jamani...pole bi harusi
Hatariiii sanaaaa
Mmh kunguni weusi yani maombi mnakumbuka mkiwa na matatizo
Kuna rafiki yangu mmoja siku ya harusi yake alikunywa mzinga mmoja wa whisky lakini yeye ni mlevi toka zamani
Hahaha 😂😀
😂😂😂😂😂
@@عامرالشيباني-ح3ظ na mimi nakunywa pombe lakini ni bia tu tena hapa kwetu weekend ndiyo inaanza leo nimekunywa bia kazaa naogopa kunywa bia nyingi sababu huwa nikinywa sana nawapigia simu polisi nawaambia kuna mtu anagonga mlangoni na polisi wamekuja nyumbani mara nyingi hawajaona mtu hapa naishi Ulaya
Sasa unatakaje km alikunywa?yy ni mlev wa pombe.wewe je ni mlevi wa nini??
@@bahatiagape7121 mimi ni mnywaji wa pombe lakini sio mlevi na nakunywa bia tu sigusi pombe kali pia nakunywa nyumbani tu sio kwenye baa wala sehemu yenye watu wengi na sijawahi kupata ajali yeyote nikiwa nimekunywa bia na bia inanifanya niwe na hamu ya kula vyakula vitamu
Poleni sana jamani
🙆🙆🙆 tobaaaa
Mungu akuinue sana mc nowachache sana wanaojua kuwa hizi ni hila za shetani
MC Mtu wa Mungu sana. Abalikiwe sana. Shetani ni mjinga sana ujuwe
Kila siku nasema hii sio nzuri. Hata birthday za watoto mue makini. Mimi niko ulaya lakini vitu kama hivi wanaangalia safety kwanza ila kwetu wanaiga tuu hawafikiri
Sn yn wanapend sn kuiga hw
Ilikua bahati mbaya
Yashaunguza wengi sana
Kwahiyo ungetoa ushauri tu bila kusema kama upo ulaya tusingeelewa 🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒
Niunganishe nije ulaya mwaya maana uku Tanzania hakueleweki
Ila MC acha uongo unavyosimulia na picha ni tofauti kabisa mana unajifanya wewe umehusika kwenye msaada lakini huonekani ukitoa msaada huo kwenye ule mripuko 😂😂😂
Kwahiyo na hiyo habari?
Mganga wa Ex ni mkali sana 🤣🤣🤣
Jmni daah
Sasa bibi harusi unalewa ukumbini jamani 🤣🤣
Ma MC wanaona mambo nyieeee😀😀
@@nasrahassanabioll6559 mm naona ningekauka kucheka 🤣
Hakulewa bana
Halaf bado kuna mtu anasema bear tamuu 🤣🤣🤣
Bia ni tamu sana na sasa hivi niko home nimekaa nakunywa bia na niko makini sana siungui na moto
@@happynelson1136 Weeeh usiniambie nami nijarbu kuinywa nijue kama ni tamu ama laah🤣🤣
@@farajhassan1775 jaribu kunywa bia ni tamu sana ukiizoea kuiacha itakuwa tabu sana kama mimi siwezi kabisa kuacha kunywa bia na ni bahati nzuri haiunguzi maini nakunywa bia kila siku nikirudi nyumbani kutoka kazi ni halafu bia inaleta sana hamu ya kula chakula
@@happynelson1136 inaincrease digestion. Very true.
Aya ni majanga jamani
Jk acha uongo Mara nyingi hizo hupambwa kwenye kumbi mbalimbali siyo Simba ndiyo wameanzisha
Oyooo
Lakini katukio hako kamefanya harusi u
Itreand Tanzania nzimaaaa ni kumbukumbu nzuri na
Shetani ashindwe tunawaombea kwa Mungu ndoa yao idumu mpaka shetani mwenyewe ashangae🙄
Makubwa
Hahaha aiseee yaduniani ahera hayapo
Watanzania kwa kuamini uchawi sijui kwann mpo hivo...sasa apo mnaambiwa vimoto hivyo vimerukia gauni sasa uchawi unahusikaje apo sasa...sijui huwa mnaupumbavu wa nini
Diamond platnumz kazimia kwenye showua-cam.com/video/jdISDiWGE7g/v-deo.html
Pole jamani daaah
Bwana harusi hana time mbon
hapo hakuna cha shetani mulitaka wenyewe sio kila kitu shetani alowasha moto shetani ama binadamu mimoto ya nini jamani ndani ya kanisa
Navipi kuhusu ajali nayo walitakawenyewe bwana wee uchawi upo Sema haikuwasikuyake Bana Mungu na shetani walikuwa wakishindanasema haijawahi tokea shetani akashinda kama unaimani kubwa atashindwa tu shetani
Maskini😭😭
Jaman
Jamani mtoto wawatu ange ungua bule
huyo bi harusi mungu anampenda sana unapo muomba mungu akupe kitu fulani naye anakuja anakuonyesha upendo kuliko kile unamuitisha ahsante sana muumba wetu Amen🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Mbwembwe nying kwenye harusi ....maisha ya ndoa yanakuwa togautii
Analewa kwenye Shughuli afu anauliza Are u sure 🤔😂😂😂
Mnaiga Mambo ya Mabeberu, ndio maana mmelaniwa.