CCM WANAPIGANIA MBOWE ASHINDE, WAMELETA USALAMA WA TAIFA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 113

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 12 днів тому +5

    Lyela Mungu akupe maisha marefu kwa faida ya Watanzamia.

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 12 днів тому +4

    Nice job Lyenda

  • @musajulius3667
    @musajulius3667 11 днів тому +1

    Nimekukubali sana we jamaa unaongea point

  • @emmanuelmziray1073
    @emmanuelmziray1073 13 днів тому +12

    Nimekupenda Bro. Yeriko ni Shetani

  • @jkomedikaduli
    @jkomedikaduli 12 днів тому +3

    Kwani police wakiwepo kuna shida gani shida ya chadema ndo hiyoo

  • @MwakaHappy
    @MwakaHappy 13 днів тому +16

    Mungu tupe tundu lisu

  • @TeodoriLussona
    @TeodoriLussona 11 днів тому

    You sahihi kaka

  • @TeodoriLussona
    @TeodoriLussona 11 днів тому

    Hongera sn lisu

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 12 днів тому +2

    Lyenda umekuwa imara muda wote hongera sana na umepanda sana kisiasa kupitia hili

  • @ERICKMARTIN-w2h
    @ERICKMARTIN-w2h 12 днів тому +2

    Karibu sana Tundu Lisu uraisi wa 2025

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 12 днів тому +3

    Wewe kama unamchukia Samia kimpango wako Mimi Sina sababu ya kumchukia. Samia hoyoooo❤❤❤

  • @SaraSara-i1l
    @SaraSara-i1l 11 днів тому

    ❤❤❤❤❤

  • @KilimoMichael
    @KilimoMichael 11 днів тому

    ❤safi

  • @hanifhassan183
    @hanifhassan183 12 днів тому +4

    Cc CCM tunasema hata mchaguae Robot kipigo mnacho 2025 octoba

    • @FintanFelix-z6c
      @FintanFelix-z6c 11 днів тому

      Watu upenda Giza kuliko nuhu sasa we unapenda giza

  • @ChristerKok
    @ChristerKok 12 днів тому +2

    Kwani watapiga kura?

  • @JacksonManumbu
    @JacksonManumbu 12 днів тому +2

    Asanteee lisuuuu

  • @Mzalendowetu
    @Mzalendowetu 11 днів тому

    Nyie waongo siku zote.

  • @alfredhuta
    @alfredhuta 13 днів тому +6

    True

  • @angelangaiza2274
    @angelangaiza2274 13 днів тому +3

    Lissu juuuuuuuuuuuuuuuu....

  • @emmanuelmziray1073
    @emmanuelmziray1073 13 днів тому +9

    Super Bro Lyenda

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 12 днів тому +1

    Ila hio sawa wale walitaka mboe ashinde

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 12 днів тому +1

    Uko street sana brooo

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 12 днів тому +1

    Waandishi naomba mumuhoji yeriko Nyerere na wenje tafadhari

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 12 днів тому +2

    Samia,Mwinyi Nchimbi,Wasira,Makala, hoyooooooooo🪴🌹🏂❤️🙏🙏🎊🎉🌺

  • @NaftaryMgoye
    @NaftaryMgoye 8 днів тому

    Mbona anaropoka badala anyooke kwenye point bangibangi tu

  • @hajimjaja1163
    @hajimjaja1163 12 днів тому +2

    Huyu Dogo ni mtu muhimu sana Watanzania tumuangalie kwa makini sana 😅😅

  • @boxing_being_hard01.
    @boxing_being_hard01. 11 днів тому

    Ni mbaya sana kuwa kiongozi mjinga alafu unajiamini.

    • @IlhamKhalid-mt3jp
      @IlhamKhalid-mt3jp 10 днів тому

      Nihatari sana kuona mtu anaongea pumba kisha anajiaminisha

  • @KalicKaguz
    @KalicKaguz 12 днів тому +2

    Mwanasiasa mwepesi sana

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 13 днів тому +8

    SAMIA ANAMGOMBEA WAKE HAPO?

  • @naturelifeonearth-ek1wd
    @naturelifeonearth-ek1wd 12 днів тому +3

    Lyenda nakukubali sana

  • @Mzalendowetu
    @Mzalendowetu 11 днів тому

    Tupo Bega kwa Bega mpaka tuone mwisho wako.mtamtambua Mbowe ni nani

  • @JamesMahhay
    @JamesMahhay 12 днів тому +1

    Saffffi tundulisu

  • @Mzalendowetu
    @Mzalendowetu 11 днів тому

    Ama zenu ama zetu.chadema tutajua ni ya nani.lisu atakimbia hatuwezi kuwapigia tena kura

  • @BichongolaInvestment
    @BichongolaInvestment 12 днів тому +1

    HONGERA SANA WAJUMBE

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 12 днів тому +1

    Mungu tusaidie tunaomba Amani Tanzania

  • @happymushi4493
    @happymushi4493 12 днів тому +1

    ungooooo

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 12 днів тому +1

    Mvuta bange kaingilia Maongezi hapo 🤣🤣😅

    • @hanspop6961
      @hanspop6961 12 днів тому

      😂😂😂Alooo ndio wakupewa nchi labda Nchi kavu

  • @danielgadiye7983
    @danielgadiye7983 9 днів тому

    Nisije nikafungua turbo

  • @elizabethsaibo3658
    @elizabethsaibo3658 12 днів тому

    We are need Tundu lisu

  • @Leodimk-n5c
    @Leodimk-n5c 12 днів тому

    Wale waangelizi wa nje wamesaidia sana kuzuia

  • @AndreaNzunda-f7o
    @AndreaNzunda-f7o 12 днів тому +8

    Tundulisu ndo mkomboz wa nchi hii

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 12 днів тому

      Subirini awakomboe kabla hajajikomboa mwenyewe.

  • @SophiaEmmanuel-x8i
    @SophiaEmmanuel-x8i 12 днів тому

    0:31 wamekuja kumlinda mbowe kwaiyo ni mtu wao

  • @neemansasu9761
    @neemansasu9761 12 днів тому +1

    Tuna Jembe Emmanuel Nchimbi

  • @FrankEmmanuel-y1e
    @FrankEmmanuel-y1e 12 днів тому +2

    Hivi huyu jamaa analalamika ulinzi umeimalishwa anashangaa ..ajui hapo kuna mabalozi wa nchi mbalimbali

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 12 днів тому +1

      anapayuka huyu mjumbe na kikubwa ajaribu kupangilia speech zake kuutaja usalama wa taifa na kumhusisha rais moja Kwa Moja sehemu ambayo hahusiki kwa chochotena taasisi yake anayoiongoza ni kukosa adabu

  • @alphoncekazeba3958
    @alphoncekazeba3958 12 днів тому

    et wa hovyo ! duu

  • @Kaguttapixel
    @Kaguttapixel 13 днів тому +2

    1:18 Eti hatupeleki chama kwa SAMIA (Kiufupi Lissu ni muhimu sana)

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 12 днів тому +1

    Hawa wanapambana na ccm au wanachagua mwenyekiti wao?
    Mbona kama malaria imepanda kichwani??😂😂😂😂

  • @DevisStanslaus
    @DevisStanslaus 11 днів тому

    Bloody he says is thiker than water!

  • @BozaNassoro
    @BozaNassoro 12 днів тому

    NI KWELI POLISI WA NN KWENYE UCHAGUZI WA CHADEMA?

  • @ERICKMARTIN-w2h
    @ERICKMARTIN-w2h 12 днів тому

    Dah kumbe na hayo yapo Tanzania

  • @fredrickmkuvandenga
    @fredrickmkuvandenga 12 днів тому

    Kimeumana

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 12 днів тому +1

    Mshamba tu

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 12 днів тому

    MH. LISSU ni MUWAZI na Kiongozi MAZURI Katika UPINZANI WA ccm

  • @NeemaKimambo-t1f
    @NeemaKimambo-t1f 12 днів тому

    Napita

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 12 днів тому

    Mwaka uu mtamu huku mama huku baba uchaguz mkuu

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 12 днів тому

    Eboo sasa uwe mkali ndouogopewe auuu chogo tu

  • @matanokitwana3249
    @matanokitwana3249 12 днів тому

    Mwisho wake ni nini kujenga Chama au kuinadi ccm kila Mahali tusitumike Vibaya kila Mahali ccm ccm ccm tunaipaisha Kisha tunstafuta mchawi

  • @salomeurio560
    @salomeurio560 12 днів тому

    Hawajawahi kupambana WAZITO WAWILI kama hivi leo, ni lazima ulinzi uhimarishwe...

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 12 днів тому +1

    Sasa mpaka unalalamika kuhusu walinzi kwani ao walinzi walivofika ktk mkutano wenu mulikua wapi mukawaacha ?
    Jee iyo kauli unasema msaliti wenu mutamfanya kitu isilaumu familia yake
    Jee kwani munawafanyaga watu kitu gani watu ?.
    Au wewe kumbe ni miongoni mwawatu wasiojulikana?

  • @ernestwegga6557
    @ernestwegga6557 12 днів тому

    Samba anahusiana vp

  • @CharlesSomeke-p8m
    @CharlesSomeke-p8m 12 днів тому

    Hata abiria analondwa iweje mkusanyiko wa watu kwani wamewavuruga nini mbona kweye maandamano mnawahitaji na wanawalinda jitaidini bhana kuweni wastaarabu

  • @mnikofamily2005
    @mnikofamily2005 12 днів тому

    Pole jaman ss ni wana democrasiaa hatuitaji ulinz, leo mumeona

  • @AbdullahAhmed-t7p6l
    @AbdullahAhmed-t7p6l 13 днів тому +1

    Same of chadema political ground campaign are complin ccm leadership brought police forces on chadema election question same of chadema question why whale chadema got is own security

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 13 днів тому +1

    Kumbe lyenda hapigi kura

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 12 днів тому

    sisisem wameangukia PUA

  • @GiliardLugala
    @GiliardLugala 12 днів тому

    Muda mwingine tukue kila kitu ccm inaonyesha kujiamini hakupo

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 12 днів тому

    Sasa km ni makomandoo we utawafanya nini km awajakupaka baby oil hadharani " Sasa unataka ulinzi usiwepo? We chizi nini yakitokea matatizo ya usalama atalaumiwa nani? Kwani huo mkutano wa CCM ukuona walinzi?

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 12 днів тому

      Huyu jamaa hajitambui siasa majitaka ndio anafanya Tanzania ni nchi na chadema ipo ndani ya Tanzania kwa hiyo ulinzi ni lazima

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 12 днів тому

    Mwandishi unalazimisha swal.

  • @jovinusmutabuzi4647
    @jovinusmutabuzi4647 12 днів тому

    Muda bado wa mbowe kuondoka madarakani.simamia kura za lissu vinginevyo hacha vurugu.

  • @SalimMshihiri-g9d
    @SalimMshihiri-g9d 12 днів тому

    Kunguru tu huyo

  • @salomeurio560
    @salomeurio560 12 днів тому

    Kwahiyo Mbowe hatakiwi kushinda? Haki imeshatendeka maana wajumbe wameshafanya kazi yao..

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala 12 днів тому

    Huu ni ujinga na kutojiamini au uonekane umesema wao kila kitu ccm poleni Sana.

  • @salomeurio560
    @salomeurio560 12 днів тому

    Hata sasa CCM hawamtaki Mbowe, kwani Mbowe anahusika wapi CCM?

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 12 днів тому

    Wacheni kupotosha umma nyie bhana muogopeni mungu wenu heading mbovu kabisa na wacochezi wa fujo tu

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 12 днів тому +1

    Muachieni chama chake cha ukoo alichokirisi

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 12 днів тому +2

    WEWE MUHUNI TU KAMA WAHUNI WENGINE,MNATAKA KUTUUZA KWA WABELGIJI WANAOWAFADHILI MAANA LISSU KILA KUKICHA YUKO UBELGIJI NA FAMILIA YAKE

  • @salomeurio560
    @salomeurio560 12 днів тому

    Public opinion na WAPIGA KURA wao wanasemaje..? 4:15

  • @musajulius3667
    @musajulius3667 11 днів тому

    Lisu ni jembe

  • @eliahbukukumwaikuju7403
    @eliahbukukumwaikuju7403 12 днів тому

    Mpumbavu tu huyu, anaongea vitu kwa kuhisi tu..

  • @HalimaMayunga
    @HalimaMayunga 12 днів тому

    Muacheni Rais wetu Samia fateni mambo yenu

  • @RamadhaniRacx
    @RamadhaniRacx 12 днів тому +1

    Nimeipenda hii ""samia anagombea nafas gani apoo""

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 12 днів тому +1

    Kweli Samia wetu anapendwa,leo hapo anaingiaje samia kwenye uchaguzi wao wa Chadema?

    • @AmaniMollel-yj9vo
      @AmaniMollel-yj9vo 12 днів тому +2

      Samia ni rais wa inchi ila anampendelea mbowe kwanini? Hiyo ndiyo anamanisha mhojiwa

    • @henrymntangi7783
      @henrymntangi7783 12 днів тому

      sema samia wako sio wetu asee

  • @bongo39
    @bongo39 13 днів тому

    Mshaanza malalamiko kichwa kama dumu

    • @MicahGhloloj-bs4cy
      @MicahGhloloj-bs4cy 13 днів тому +2

      Embu tuma pc ya kichwa chako tukione pia 😂😂😂

    • @Ambwene
      @Ambwene 12 днів тому

      Mwanaume lazima uwe mbaya au wewe shoga unapumuliwa matakoni

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 12 днів тому

    Mpumbavu wewe kama huyo Lissu wenu mutakoma sasa.

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 12 днів тому

    Sasa nyie ndio mnaogopa MMungu kwanini kakataza mifiro nandio mnakubali watu waowane nakuhalalisha mifiro

  • @evelina9621
    @evelina9621 12 днів тому

    Watanzani.bado.kuijitambua.

  • @HURUMAKALINGA
    @HURUMAKALINGA 12 днів тому

    Kumbe nyie ni wauwaj nimeamin kwann useme hapatakalika

  • @amosmangura
    @amosmangura 12 днів тому

    Huyu jamaa nizaidi ya muongo

  • @gaspermatee3970
    @gaspermatee3970 12 днів тому

    Heshimu mboe wewe mtoto yule ni mzee mpuuzi

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 12 днів тому

    Mnagombana wenyewe chumbani, lawama mnawapelekea Ccm. Shame on you!

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 12 днів тому

    HUYU JAMAAA ni CHIZI tu maneno yake hayaeleweki mara tunasubiri kutangazwa Kwa TUNDULISU mara usalama, mara migambo, mara wanajeshi kauli zenu mnastahili kabisa kukosa uongozi hata wa mtaaa

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 12 днів тому

    Acha ushoga CCM wapiganie iweje kwa akili Yako ilivyo kuwa makalioni huyo mwehu Kuna anayemuogopa Tena vzr spite yeye ili chama kife huwezi kuongozwa na mwehu ambaye ni kibaraka wa wazungu familia Iko nje na marofa wasio jiambua wanamunga mkono

    • @evansdecaprio8196
      @evansdecaprio8196 12 днів тому +2

      Let mdaharo wa samia na lissu ndio utajua kichwa kipi kimeenda shule kikafaulu