WEMA SEPETU AFUNGUKA WANAUME KUMTUMIA KAMA DARAJA LA UMAARUFU AJIKATIA TAMAA YA KUPATA MTOTO TENA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 8

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 10 днів тому

    Wow❤❤❤

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 8 днів тому

    Sio kwa ubaya Nauliza tu 2006 alikuwa na miaka mingapi? Tukisema 18 basi ana 37

  • @rahmatsumo3274
    @rahmatsumo3274 10 днів тому +1

    Peengine mwenyezi mungu ataki kukupa mtoto nje ya nfoa olewa mdogo wangu utapata watoto si mtoto

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 11 днів тому

    Hebu acheni kumshutumu Wema! Kuna maswali hamtakiwi kuuliza!

  • @AngelMbaga
    @AngelMbaga 11 днів тому +1

    Yaan wewe wema ningekuwa karibu nngekupiga kibao, 35 ni miaka mingi ?wewe. Hauko kwenye ndoa unazungumza maneno hayo? Na wale ambao wako kwenye ndoa wana miaka 10 au 15 hawana je? Wasemaje. Utakuja tu kuzaa na yule unayetakiwa kuzaa naye. Kikubwa Mungu akusaidie na kukuongoza.

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 11 днів тому

    Uckate tamaa Mungu yupo na atakutendea utapakata mtoto,kwa anayejua huu uchungu nimzazi nijins gn maumivu aliyonayo

    • @Hairbyfabiola
      @Hairbyfabiola 11 днів тому

      Mwambiye wema asitupi kitumaini Kuna mama aliza namyaka 60 alitafuta uzazi kabla yamyaka 30 alikuja Pata mutoto Akira 60

    • @Hairbyfabiola
      @Hairbyfabiola 11 днів тому

      Zuwena mwambiye wema awe anasikiliza kanguka ile yaburundi