Highlights | Team Kibwana 2-2 Team Job (Pen: 2-4) | Mechi ya Hisani 30/06/2023

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Team Job ambayo iko chini ya beki Dickson Job wa Yanga imeibuka na ushindi wa penati 4-2 dhidi ya Team Kibwana iliyo chini ya Kibwana Shomary baada ya sare ya 2-2 katika muda wa kawaida, ukiwa ni mchezo wa hisani kusaidia afya ya uzazi ikienda kwa jina la #WapeTabasamu .
    Yamefungwa magoli manne na wachezjazi wawili katika muda wa kawaida.... Wachezaji hao ni Abdul Suleiman Sopu akiifungia Team Kibwana magoli mawili dakika ya 23 na 50 huku Saimon Msuva akichomoa magoli yote mawili dakika ya 74 na 80.
    Mechi imepigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro. Tazama highlights...

КОМЕНТАРІ • 24