CAF CC | PENATI ZOTE HIZI HAPA | ORLANDO PIRATES 1-0 SIMBA SC (PEN 4-3)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 124

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 роки тому +35

    Safi sanaaa Orlando mmejua kutupa amani mjini mana tulikua hatupumui ligi ya bongo hadi iliitwa ligi ya mbuzi aisee kweli Mungu fundi🙏

    • @balakakashomwa360
      @balakakashomwa360 2 роки тому +3

      Washamba utawafaham

    • @immahjr.4622
      @immahjr.4622 2 роки тому +2

      Acha ushamba ww Africa 36 umezidiwa had na namngo ushamba tu

    • @donedaddy4561
      @donedaddy4561 2 роки тому +2

      HAKUNA MWANAUME ANAE KUBALI KUPIGWA MBELE YA MKEWE ahsante SIMBA

    • @immahjr.4622
      @immahjr.4622 2 роки тому +1

      Africa yanga 72 namngo 56 Simba 12 angalia umbal huo na mayeleko wenu huyo tuone mtafika wap

    • @tausshasani2064
      @tausshasani2064 2 роки тому

      @@immahjr.4622 75 sio 36

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani7014 2 роки тому +11

    Kuna watu lazima tukubali wanatuwakilsha vema hawa wazawa munula, kapombe na shabalala wanaupiga mwingi penalt hazinaga mwenyewe lkn hawajamaa wako vizuri kabisa kiukweli mimi nawaombea wafike mbali kama samata na msuva in shaa allah.

  • @zaitunialliiy6075
    @zaitunialliiy6075 2 роки тому +8

    Conversations za Kapombe na Kipa Wa Orlando nimezipenda sana.

  • @damsonkelvin1215
    @damsonkelvin1215 2 роки тому +22

    Kama umependa filamu ya Kapombe na kipa wao gonga like 👍🏿

  • @agilimohamedi3779
    @agilimohamedi3779 2 роки тому +12

    Hongera Air Manula Molo akupe afya njema na aibariki kazi ya mikono yako

  • @aprow2059
    @aprow2059 2 роки тому +6

    Hongereni mmepigana sana penati ni bahati

  • @edsoneliah2802
    @edsoneliah2802 2 роки тому

    Orlando Pirates walijua game itakuwa rahisi sana kwao. Mambo yakawa tofauti. Hongera Simba mmeiwakilisha Tanzania na mmetupa heshima kwenye soka la kimataifa

  • @titobernard383
    @titobernard383 2 роки тому +10

    Game nzuri !! Asante kwa kutuwakilisha !

  • @husseinabdhallah8792
    @husseinabdhallah8792 2 роки тому +1

    Shukran simba mmejitahid sana

  • @halimajuma2340
    @halimajuma2340 2 роки тому +11

    Jaman jamn mnyonge mnyongen hak yake mpen pamoj na kwmba simba imefungwa lkn wanaume wamepambana wat waltegemea simba itaoga magol kam yote lkn wameobexh sok la kiume hongeren san simba kukosea njia ndo kujua njia msim ujao mtafany vzur zaid

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 роки тому +11

    tunasogea sasa leo timu inatolewa kwa penalt hii inaonyesha ukomavu unaongezeka sasa insha allah msimu ujao tutasonga mbele

    • @maryjkiosa3380
      @maryjkiosa3380 2 роки тому +2

      Na bado tulikua pungugu next time tutakua imara Zaidi 🦁

  • @bashirumilumba8421
    @bashirumilumba8421 2 роки тому +5

    Tuna penda wangefika mbali ila kauli zao za kashfa na maneno kama ya waimba taarabu yanachosha bora wafungwe tu

  • @hajihija1903
    @hajihija1903 2 роки тому +2

    Kapombeee unatufaaa Wanajangwani unajiamini sana kuliko wale wa kongo wachafu kina inonga

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 2 роки тому

      Tuwe na shukrani kaaaaaah mbona inonga kafanya kazi kubwa sana looooh

  • @bashirumilumba8421
    @bashirumilumba8421 2 роки тому +3

    Hivi watarudi kucheza tena ligi ya Mbuzi?

  • @uwesushabani2181
    @uwesushabani2181 2 роки тому +4

    Hapewi pole mwenye kilanga

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 2 роки тому +3

    Inonga huna baya na sisi mashabiki wako kukosea penalty kawaida sana Wala isikupe shida kazi kubwa unatufanyia

  • @sosomacharles6685
    @sosomacharles6685 2 роки тому +2

    Shomiii jina la kiislam but yy kaamua kuwa mkristo👏👏👏👏

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 2 роки тому +1

    #aboi_4rm_makambako simba bhn wamechoma na moto ktk ya uwanja kwl mpira wa africa mhhh pmj nakuchoma lkn ndo hv tena mmerudi kwenye kombe la mbuzi

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 2 роки тому +1

    Kapombe manuna shabarara nawaelewa Sana kabla hata ya kufanya vizur

  • @zunnahmohammed4719
    @zunnahmohammed4719 2 роки тому +6

    Simba wamepambana kiume wamefia vitani kuimbambania taifa lake

  • @wazirimpeo8995
    @wazirimpeo8995 2 роки тому +3

    Keeper'you again?,,Kapombe after penalt kick'Yes Iam..

  • @iuem5792
    @iuem5792 2 роки тому +2

    Game la kimataifa hili,mtu anabeza aisee

  • @najmakhamis335
    @najmakhamis335 2 роки тому +2

    dah inaniuma sanaaaa ila naamini apo tulipo fika Ndo allah alipanga

  • @budodilufega8597
    @budodilufega8597 2 роки тому +4

    Kipaa ameni furahisha Kama mayele 😅😂😂

  • @salumalele4850
    @salumalele4850 2 роки тому +2

    Kifafa kitajirudiaa tarehe 30 mchezaji wa kimataifa ana pressure mpk anapata kifafa aibuuu 9:30

  • @alfredidabaliga814
    @alfredidabaliga814 2 роки тому +1

    Kazi mmeifanya wanaume

  • @fadinangemae253
    @fadinangemae253 2 роки тому +3

    Tumejitaidi kwakweli

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 2 роки тому +1

    Mkunde na inonga mmeweka ustaa, hii game kwenye matuta ilikua yetu, BC tu

    • @emeldaswai9221
      @emeldaswai9221 2 роки тому

      George kweli kabisa wanajikutaa saa hasaa inonga

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 роки тому +3

    Kwahyo hapo inonga alikua anatetema kwakutumia mikono au??🤣🤣🤣🤣

  • @ip_header
    @ip_header 2 роки тому +1

    Asanteni kwa Kuja...!

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 2 роки тому +2

    WAKONGOMAN WA SIMBA HAWAJUI KUPIGA PENALT

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 роки тому

    Simba hatuna wapiga penati kabisa

  • @jeffreymgaya7568
    @jeffreymgaya7568 5 місяців тому

    Kumbe mwakarobo kitambo mpaka shirikisho

  • @ellyswai1801
    @ellyswai1801 2 роки тому +3

    Kapombe hana dini hawez mfanya mwingine vbaya ivo

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 2 роки тому

    Simba penat hakuna wapigaji kabisa!lkn kocha umechemka Sana dakika za mwishoni ungeingiza wapigaji penati Kama boco na nyoni!Kama walikuwepo bench lkn

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 2 роки тому

    Katika penalty zote kapombe nimeipenda sana penalty yake anajiamni an utulivu sana..mkude kinachomsumbua ni dharau...jamaa ana dharau sana... penalty nyingi anapiga kidharau

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana650 2 роки тому

    Polen kwa kubakwa

  • @ukweli255
    @ukweli255 5 місяців тому

    Tuko hapa baada ya Mamelodi kumtoa Yanga Sc

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 2 роки тому +5

    Kifo ni kifo tu. Ukifa kiume au kike mwisho ni kuoza tu

  • @rajaabuseifu66
    @rajaabuseifu66 2 роки тому +1

    Simba mmejitaidi

  • @danikilawe7498
    @danikilawe7498 2 роки тому

    Simba siku zote atabaki kuwa timu bora,,huwezi mlinganisha na Yanga,,aliyetolewa round ya kwanza tu .Kukosa nusu fainal ni mipango ya Mungu iwe hivyo.,,, hakuna wakumpinga.

    • @alexapolinaly4755
      @alexapolinaly4755 2 роки тому

      Kwani nyie makolo mlitolewa raund ya ngapi au nmesahau mmekula tatu kwenu na kutupwa kwa looser uko

  • @ummuruwaida3440
    @ummuruwaida3440 2 роки тому +1

    uliskia wapi simba kashinda kwa matuta

  • @edsoneliah2802
    @edsoneliah2802 2 роки тому

    Kwa watu wanaojua mpira lazima waipongeze simba . Sasa kuna wake viraka wacheza bao

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 роки тому +1

    Dah simba tumetolewa lakini sina kinyongo wala sijaumia mmetuonyesha mpila mmetuonyesha kua mnajigambua kwa timu kama orando Dah tunajipanga upya nahakika msim ujao titafika final

    • @salimramadhani5237
      @salimramadhani5237 2 роки тому

      Mmebakwa bila kondom😂😂😂

    • @enickosanga4921
      @enickosanga4921 2 роки тому

      @@salimramadhani5237 kua na heshima kaka kama huwezi kukoment achananyo tu sio kila mtu anapenda kujibizana lugha za hovyo naomba jitahidi kwa hilo

  • @sbusisoqmbhele3665
    @sbusisoqmbhele3665 2 роки тому +2

    Up the buck s,,🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sosomacharles6685
    @sosomacharles6685 2 роки тому

    Inonga katetema kama Mayele wakati hajafunga.

  • @HawaArkam-dj8zg
    @HawaArkam-dj8zg Рік тому

    Nikii itazama hii kitu namuonea huruma inonga jinsi anavyo tetemeka

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 2 роки тому +2

    MKEKA UMECHANIKA

  • @nakampephillemon8848
    @nakampephillemon8848 2 роки тому

    Good

  • @petit1078
    @petit1078 2 роки тому

    Hiv Shomari kapombe n dini gan?

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 2 роки тому

    Orlando mnaenda peponi woooote

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 2 роки тому +1

    SIMBA WANASONGA UGALI

  • @yasiniselemani2412
    @yasiniselemani2412 2 роки тому

    Wacha wapigwe maana taraweh imehamwa kisa mpira

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 2 роки тому

    Muwende kwa yanga mukajifunze kupiga penalty

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 2 роки тому

    Wamebakwa lkn kwa tabu

  • @jerryjulius6421
    @jerryjulius6421 2 роки тому

    Diamond

  • @mikidadijoseph5612
    @mikidadijoseph5612 2 роки тому

    Kagere wetu huyo anamiaka 25

  • @chejamuya2470
    @chejamuya2470 2 роки тому

    Yani nikiangalia hv nasisimka 🙄jmn Simba

  • @kadsam9779
    @kadsam9779 Рік тому

    Unyama

  • @emmanuelpaulmadahagoi7017
    @emmanuelpaulmadahagoi7017 2 роки тому

    orando mmefanya lamaana Sana

  • @edsonyahaya1227
    @edsonyahaya1227 2 роки тому

    Hamna kufa kiume

  • @sosomacharles6685
    @sosomacharles6685 2 роки тому

    🐖🐖🐖🐖🤣🤣🤣 huku kwetu mpaka sasa bado wamelala.

  • @nuury6220
    @nuury6220 2 роки тому +1

    Kipa Katetema. Mayelee

    • @hadijamaiga948
      @hadijamaiga948 2 роки тому

      Ndo nn

    • @nuury6220
      @nuury6220 2 роки тому

      @@hadijamaiga948 tuyaache ila usisahau kula daku

    • @bwagizoselemani8434
      @bwagizoselemani8434 2 роки тому +1

      Mayele ndio nani kama angekua na uwezo amekuja yanga kufata nini siangeenda mbele nawala musijal mwakan mutaenda kuyaona

    • @swaleheismail46
      @swaleheismail46 2 роки тому

      @@hadijamaiga948 ushamba ndo unaowasumbua kumbuken simba ndo mbabe wenu

    • @nuury6220
      @nuury6220 2 роки тому

      Offline

  • @geofreymahally7115
    @geofreymahally7115 2 роки тому +1

    kachinjwa hd huku... bora ngj tuwape dozi nyingine kwa mkapa

  • @sosomacharles6685
    @sosomacharles6685 2 роки тому

    Manula penalty ya pili kaishia kupoga goti tu

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 2 роки тому +1

    Kwani kapombe ni mkristo😳

  • @HusseinKarim-f4d
    @HusseinKarim-f4d 2 місяці тому

    MK14

  • @barnabasluambano6794
    @barnabasluambano6794 2 роки тому

    Hivi Shomari Kapombe anafahamu maana ya ishara anayoifanya?Au anaiga tu bila kujua,hajui kuwa ina maana ya ISHARA YA MSALABA ambayo inatumika na wakristu na yeye ni muislaam?Kwa ishara hii hana haja ya kwenda msikitini tena.

  • @mgundamgobajaphety8551
    @mgundamgobajaphety8551 2 роки тому

    katkat

  • @konayamaarifa8643
    @konayamaarifa8643 2 роки тому +1

    ua-cam.com/video/E0GaCKafGls/v-deo.html Msaada kwa Mtu aliyezimia

  • @mnyamatv505
    @mnyamatv505 2 роки тому

    ua-cam.com/video/1E3RCEneY34/v-deo.html tazama benzema akipewa heshima na cristiano Ronaldo