Kuna watu lazima tukubali wanatuwakilsha vema hawa wazawa munula, kapombe na shabalala wanaupiga mwingi penalt hazinaga mwenyewe lkn hawajamaa wako vizuri kabisa kiukweli mimi nawaombea wafike mbali kama samata na msuva in shaa allah.
Orlando Pirates walijua game itakuwa rahisi sana kwao. Mambo yakawa tofauti. Hongera Simba mmeiwakilisha Tanzania na mmetupa heshima kwenye soka la kimataifa
Jaman jamn mnyonge mnyongen hak yake mpen pamoj na kwmba simba imefungwa lkn wanaume wamepambana wat waltegemea simba itaoga magol kam yote lkn wameobexh sok la kiume hongeren san simba kukosea njia ndo kujua njia msim ujao mtafany vzur zaid
Katika penalty zote kapombe nimeipenda sana penalty yake anajiamni an utulivu sana..mkude kinachomsumbua ni dharau...jamaa ana dharau sana... penalty nyingi anapiga kidharau
Simba siku zote atabaki kuwa timu bora,,huwezi mlinganisha na Yanga,,aliyetolewa round ya kwanza tu .Kukosa nusu fainal ni mipango ya Mungu iwe hivyo.,,, hakuna wakumpinga.
Dah simba tumetolewa lakini sina kinyongo wala sijaumia mmetuonyesha mpila mmetuonyesha kua mnajigambua kwa timu kama orando Dah tunajipanga upya nahakika msim ujao titafika final
Hivi Shomari Kapombe anafahamu maana ya ishara anayoifanya?Au anaiga tu bila kujua,hajui kuwa ina maana ya ISHARA YA MSALABA ambayo inatumika na wakristu na yeye ni muislaam?Kwa ishara hii hana haja ya kwenda msikitini tena.
Safi sanaaa Orlando mmejua kutupa amani mjini mana tulikua hatupumui ligi ya bongo hadi iliitwa ligi ya mbuzi aisee kweli Mungu fundi🙏
Washamba utawafaham
Acha ushamba ww Africa 36 umezidiwa had na namngo ushamba tu
HAKUNA MWANAUME ANAE KUBALI KUPIGWA MBELE YA MKEWE ahsante SIMBA
Africa yanga 72 namngo 56 Simba 12 angalia umbal huo na mayeleko wenu huyo tuone mtafika wap
@@immahjr.4622 75 sio 36
Kuna watu lazima tukubali wanatuwakilsha vema hawa wazawa munula, kapombe na shabalala wanaupiga mwingi penalt hazinaga mwenyewe lkn hawajamaa wako vizuri kabisa kiukweli mimi nawaombea wafike mbali kama samata na msuva in shaa allah.
Conversations za Kapombe na Kipa Wa Orlando nimezipenda sana.
Nimejikuta nairudia pa1 na kagere
Kama umependa filamu ya Kapombe na kipa wao gonga like 👍🏿
Hongera Air Manula Molo akupe afya njema na aibariki kazi ya mikono yako
Hongereni mmepigana sana penati ni bahati
Orlando Pirates walijua game itakuwa rahisi sana kwao. Mambo yakawa tofauti. Hongera Simba mmeiwakilisha Tanzania na mmetupa heshima kwenye soka la kimataifa
Game nzuri !! Asante kwa kutuwakilisha !
Shukran simba mmejitahid sana
Jaman jamn mnyonge mnyongen hak yake mpen pamoj na kwmba simba imefungwa lkn wanaume wamepambana wat waltegemea simba itaoga magol kam yote lkn wameobexh sok la kiume hongeren san simba kukosea njia ndo kujua njia msim ujao mtafany vzur zaid
Kabisa
aliyepambana niyule aliyeshinda simba nisawa na kichaaa mwendo mrefu anarudi na makolokolo
Kfngw ni kfngwa 2
Mmebakwa kwa mbinde😂😂😂
tunasogea sasa leo timu inatolewa kwa penalt hii inaonyesha ukomavu unaongezeka sasa insha allah msimu ujao tutasonga mbele
Na bado tulikua pungugu next time tutakua imara Zaidi 🦁
Tuna penda wangefika mbali ila kauli zao za kashfa na maneno kama ya waimba taarabu yanachosha bora wafungwe tu
Kapombeee unatufaaa Wanajangwani unajiamini sana kuliko wale wa kongo wachafu kina inonga
Tuwe na shukrani kaaaaaah mbona inonga kafanya kazi kubwa sana looooh
Hivi watarudi kucheza tena ligi ya Mbuzi?
Hapewi pole mwenye kilanga
Inonga huna baya na sisi mashabiki wako kukosea penalty kawaida sana Wala isikupe shida kazi kubwa unatufanyia
Shomiii jina la kiislam but yy kaamua kuwa mkristo👏👏👏👏
Kumbe na wew umeonaee
Ukiwa na Yesu mambo ni 👍
@@janethsemboni9874 kweli
Anaitwa Shomary Salumu Kapombe lakini ni mkristo😀😀
@@ericksangajr7173 Kafuata kwa mama yake mzazi.
#aboi_4rm_makambako simba bhn wamechoma na moto ktk ya uwanja kwl mpira wa africa mhhh pmj nakuchoma lkn ndo hv tena mmerudi kwenye kombe la mbuzi
Kapombe manuna shabarara nawaelewa Sana kabla hata ya kufanya vizur
Manura Fundi jmn
Simba wamepambana kiume wamefia vitani kuimbambania taifa lake
Kuimbambania
Keeper'you again?,,Kapombe after penalt kick'Yes Iam..
😂
Game la kimataifa hili,mtu anabeza aisee
dah inaniuma sanaaaa ila naamini apo tulipo fika Ndo allah alipanga
Kipaa ameni furahisha Kama mayele 😅😂😂
😂🤣🤣🤣
Kifafa kitajirudiaa tarehe 30 mchezaji wa kimataifa ana pressure mpk anapata kifafa aibuuu 9:30
Kazi mmeifanya wanaume
Tumejitaidi kwakweli
Mkunde na inonga mmeweka ustaa, hii game kwenye matuta ilikua yetu, BC tu
George kweli kabisa wanajikutaa saa hasaa inonga
Kwahyo hapo inonga alikua anatetema kwakutumia mikono au??🤣🤣🤣🤣
Asanteni kwa Kuja...!
WAKONGOMAN WA SIMBA HAWAJUI KUPIGA PENALT
Simba hatuna wapiga penati kabisa
Kumbe mwakarobo kitambo mpaka shirikisho
Kapombe hana dini hawez mfanya mwingine vbaya ivo
Simba penat hakuna wapigaji kabisa!lkn kocha umechemka Sana dakika za mwishoni ungeingiza wapigaji penati Kama boco na nyoni!Kama walikuwepo bench lkn
Katika penalty zote kapombe nimeipenda sana penalty yake anajiamni an utulivu sana..mkude kinachomsumbua ni dharau...jamaa ana dharau sana... penalty nyingi anapiga kidharau
Polen kwa kubakwa
Tuko hapa baada ya Mamelodi kumtoa Yanga Sc
Kifo ni kifo tu. Ukifa kiume au kike mwisho ni kuoza tu
🤣🤣🤣🤣
Utatulinganisha na utopolo hata mia hamkupata hata mia mlipigwa mbele na nyuma 😂😂😂 fyuuu
Point hyo
Simba mmejitaidi
Simba siku zote atabaki kuwa timu bora,,huwezi mlinganisha na Yanga,,aliyetolewa round ya kwanza tu .Kukosa nusu fainal ni mipango ya Mungu iwe hivyo.,,, hakuna wakumpinga.
Kwani nyie makolo mlitolewa raund ya ngapi au nmesahau mmekula tatu kwenu na kutupwa kwa looser uko
uliskia wapi simba kashinda kwa matuta
Kwa watu wanaojua mpira lazima waipongeze simba . Sasa kuna wake viraka wacheza bao
Dah simba tumetolewa lakini sina kinyongo wala sijaumia mmetuonyesha mpila mmetuonyesha kua mnajigambua kwa timu kama orando Dah tunajipanga upya nahakika msim ujao titafika final
Mmebakwa bila kondom😂😂😂
@@salimramadhani5237 kua na heshima kaka kama huwezi kukoment achananyo tu sio kila mtu anapenda kujibizana lugha za hovyo naomba jitahidi kwa hilo
Up the buck s,,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Inonga katetema kama Mayele wakati hajafunga.
Nikii itazama hii kitu namuonea huruma inonga jinsi anavyo tetemeka
MKEKA UMECHANIKA
Good
Hiv Shomari kapombe n dini gan?
Acha ujinga dini inaingiaje humu au hauna la kusema???
Mkristo
Orlando mnaenda peponi woooote
SIMBA WANASONGA UGALI
Wacha wapigwe maana taraweh imehamwa kisa mpira
Muwende kwa yanga mukajifunze kupiga penalty
Wamebakwa lkn kwa tabu
Diamond
Kagere wetu huyo anamiaka 25
Yani nikiangalia hv nasisimka 🙄jmn Simba
Unyama
orando mmefanya lamaana Sana
Hamna kufa kiume
🐖🐖🐖🐖🤣🤣🤣 huku kwetu mpaka sasa bado wamelala.
Kipa Katetema. Mayelee
Ndo nn
@@hadijamaiga948 tuyaache ila usisahau kula daku
Mayele ndio nani kama angekua na uwezo amekuja yanga kufata nini siangeenda mbele nawala musijal mwakan mutaenda kuyaona
@@hadijamaiga948 ushamba ndo unaowasumbua kumbuken simba ndo mbabe wenu
Offline
kachinjwa hd huku... bora ngj tuwape dozi nyingine kwa mkapa
Mtakimbiana
Manula penalty ya pili kaishia kupoga goti tu
Kwani kapombe ni mkristo😳
Kapombe ni RC
hata mm pia nimejiuliza
Dini yake inakuhusu nn?
MK14
Hivi Shomari Kapombe anafahamu maana ya ishara anayoifanya?Au anaiga tu bila kujua,hajui kuwa ina maana ya ISHARA YA MSALABA ambayo inatumika na wakristu na yeye ni muislaam?Kwa ishara hii hana haja ya kwenda msikitini tena.
Yeye ni mkristo
katkat
ua-cam.com/video/E0GaCKafGls/v-deo.html Msaada kwa Mtu aliyezimia
ua-cam.com/video/1E3RCEneY34/v-deo.html tazama benzema akipewa heshima na cristiano Ronaldo