MLIMANI CITY YA USWAHILINI (MAREKANI)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Leo naomba niwapeleka Walmart, hili ni duka kubwa sana na naweza kulinganisha na Mlimanı city. Maduka ya Walmart yako kila sehemu huku Marekani, nisehemu ambayo watu huenda kununuwa mahitaji yao ya kila siku.

КОМЕНТАРІ • 12

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz Рік тому

    Dada nakuelewa sana kwa clip zako ukweli ww uko sawa umeenda paka kule jeshini daaaaaaaaaaaaaaa✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋✋

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz Рік тому

    Mambo dada mzima ww na wewe umeshelekea sikukuu ya bata mzinga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hapo marekani 🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷💪🙏

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz Рік тому

    🤝🤝🤝🤝 na enjoy sana ila vipi kazi hapo warmat zipo dada je wanaitaji nini vipi kuhusu rugha 🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz Рік тому

    Dada vipi kazi hapo warmat zipo

  • @handzdownrecords1156
    @handzdownrecords1156 Рік тому +1

    Nice tour!!! Ninulie 75" tv nitakutumia pesa😅

  • @KennedyWafula-xj8hh
    @KennedyWafula-xj8hh Рік тому

    Vipi dada, naweza kuruhusiwa kufanya kazi masaa 20 kwa mwajiri mmoja kwa siku moja?

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Kaka Kennedy inawezekana, Ila inategemea na Kazi. Kisheria Mwajiri anakupa masaa 40 kwa wiki na kwa siku Kisheria ni masaa 8. Ukipiga masaa zaidi wanaita Overtime. Kwahiyo kazi ni kwako, ukifanya masaa mengi. Maokoto yanaongezaka.😅

  • @naomihezron7471
    @naomihezron7471 Рік тому

    Sister please

  • @vailethtitus6462
    @vailethtitus6462 Рік тому

    Kitanda na godoro simple sh ngapi?