KAZI ZA MAREKANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Leo naongelea kuhusu kazi za Marekani. Pia nimejibu maswali machache kutoka kwenye comment. Topic ya kazi ni kubwa sana ila kwa leo nimeiongelea kwa ufupi sana. Naandaa video nzuri itakayokuwa na Information za kutosha kuhusu Kazi, na jinsi ya ku apply. Enjoy

КОМЕНТАРІ • 309

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla Рік тому +2

    wenzetu wako very social and politely njoo bongo sasa ukiuliza hv utaonekana unachawia kaz za watu😊

  • @Dariatwaha
    @Dariatwaha 7 місяців тому

    Asante sana dadaangu mm naitaji kazi.pia nina paspoti.kabisa

  • @MarieLulu-k9u
    @MarieLulu-k9u Рік тому +1

    Dada nimegupenda wala sijaangalia video nimegupenda ❤❤ jamani mungu unifikishe uko mimi najiamini kwa gufanya kazi za mkono maana Sina elimu ila najiamini 💪💪

  • @AgustnoJohn
    @AgustnoJohn 20 днів тому

    Thank you Sister nimekuelewa sana dada yangu

  • @stannydidasy
    @stannydidasy Рік тому +3

    I Like your energy and confidence confidence keep it up

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Thank you so much.

    • @ramamrutu4914
      @ramamrutu4914 Рік тому

      tatzio ni jinsi ya kuja dada co kufanya kazi watu wanataka sana ila shida ni njia ya kufika dada,

    • @Alya-np7gm
      @Alya-np7gm Рік тому

      Hakika kufika mtihani wallah

  • @VicentJohn-tg9yp
    @VicentJohn-tg9yp Рік тому

    Nimeipenda hiyo nzuri sana dada angu

  • @Justine_Tz1
    @Justine_Tz1 Рік тому +1

    Kazi nzuri dada kwa taarifa

  • @richardscofeld9136
    @richardscofeld9136 Рік тому

    Nakukubali Sana dada ,na mamb ya kazi ni nzur sanaa,na toka nimeanza kuangalia hii chanel naona in kua siku Hadi siku

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 4 місяці тому

    Kumetulia sana❤❤

  • @benardngosa
    @benardngosa 4 місяці тому +1

    Naomba nitafutie kazi dadaangu nateseka mm

  • @Bakariissah
    @Bakariissah Рік тому

    I'm very inspired of your videos keep it up and thank you sis

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery1174 Рік тому

    Dada nakukubali sana Mungu akubariki sana

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 Рік тому +1

    Mungu akubariki kipenzi, unatutia Moyo sana sana.

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Рік тому

    Hongera sana utafika mbali sana

  • @davidmaina4379
    @davidmaina4379 Рік тому

    Thank you for the nice video

  • @naomihezron7471
    @naomihezron7471 Рік тому

    Mungu akuweke unajua kuelezea sana

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 Рік тому

    Shukrani swali langu umenijibu vizuri kabisa

  • @damaschasiri
    @damaschasiri 8 місяців тому

    Dada ubarikiwe sana

  • @salomemuthoni6709
    @salomemuthoni6709 Рік тому

    Nice encouragement

  • @mwantondo
    @mwantondo Рік тому +2

    Hapo ni kijijini kweli kweli

  • @jobmaclean5382
    @jobmaclean5382 Рік тому +3

    You have the good vibe for helping people GOD BLESS YOU 🙌

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Thank you so much, Be blessed.

    • @stevenafraeli
      @stevenafraeli Рік тому

      ​@@hapanilipoam Steven from Tanzania

    • @stevenafraeli
      @stevenafraeli Рік тому

      Dada naomba nisandie nije uko.kufaya kazi

  • @nonsomedy
    @nonsomedy Рік тому +4

    You are so humble❤.. May God continue to bless you so much sister

  • @halibinvestment3463
    @halibinvestment3463 Рік тому

    vERY NICE CONTENTS MASHAALLAH HONGERA SANA

  • @AlfredAloyce-wh5nq
    @AlfredAloyce-wh5nq 2 місяці тому

    Nakupata dada yangu natamani sana kuishi marekani

  • @ElikanaKiheka-fl4wu
    @ElikanaKiheka-fl4wu Рік тому

    Safi sana

  • @abdallahkizenga343
    @abdallahkizenga343 Рік тому +1

    Nice sis

  • @innoofficialtz8516
    @innoofficialtz8516 Рік тому

    Thank you

  • @vom84
    @vom84 Рік тому

    Your number one fan is here, tupo pamoja sana

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Dah...Asante sana.

    • @brownjoseph5154
      @brownjoseph5154 Рік тому

      Hello dada very nice my dear nimekuelewa Sana bg up excuse me naomba kuuliza mara nyingi tunaambiwa kupata vsa ya marekani ni ngumu Sana hebu nisaidie inakaaje au inakuwaje?

    • @ibrahbird9727
      @ibrahbird9727 Рік тому

      Habar! ? hyo city gan

  • @carloskarisaqatar123
    @carloskarisaqatar123 Рік тому

    Intresting

  • @AmoniMgaya-j9w
    @AmoniMgaya-j9w Рік тому +2

    Nitafulai sana ukiniunganisha uko

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 6 місяців тому

      Pambana upate visa kazi zipo nyingi tu na connection za kazi zipo kama utahitaji reply namba yako nikupigie tuongee

  • @AndrewMbilizi
    @AndrewMbilizi 7 місяців тому +1

    Shida dadaangu connection mamaangu natamani ila dah hongereni mlio barikiwa

    • @AndrewMbilizi
      @AndrewMbilizi 6 місяців тому

      Iv gharamaake inakuaga kama kias gani

    • @AndrewMbilizi
      @AndrewMbilizi 6 місяців тому

      Shida nyingine maagent wajweli wapi na waongo wanao jifanya wakweli wapo dah ndo shida inapoanzia wengi sana naona wanatapeliwa wengine wa kuwashuudia dah utaftaji huu ni ful mitihan

    • @SelemaniAlly-o1p
      @SelemaniAlly-o1p 3 місяці тому

      Dada nambayangu watsap naitaji connection

  • @jastineondiek2289
    @jastineondiek2289 Рік тому

    Nice information dada, watching from 🇰🇪

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz Рік тому +1

    Hapo kunakanisa na shule jamani natamani kuishi hapo madamu sorry dada whattspp yako dada am proud of you 👊👊👊👊👊🌹🌹

  • @Emmanuel-f4n9f
    @Emmanuel-f4n9f Місяць тому

    Nifanyie mpango wa kaz

  • @MarieLulu-k9u
    @MarieLulu-k9u Рік тому +1

    Dada ukiwa huna kibali cha kazi inakuaje wengine uzoefu upo lakini kibali hamna🙏🙏❤tupe muongozo

  • @ShukranSaid
    @ShukranSaid 5 днів тому

    Iam ready madam na,usiniangushe pls

  • @IsaacElias-cm4hi
    @IsaacElias-cm4hi 10 місяців тому +1

    Nawezaje kufika huko?

  • @mercysamuel9281
    @mercysamuel9281 Рік тому +2

    Weww dada ubarikiwe sanaaa naomba msaada wako jamaniii

  • @FabianoSinghania
    @FabianoSinghania Рік тому +1

    Dada ni saidie na njia unapitaa namna gani kuhusu visa

  • @magretjoseph-c1s
    @magretjoseph-c1s 3 місяці тому

    Naomba kaz

  • @AnthonyDaudi-kl7fm
    @AnthonyDaudi-kl7fm 6 місяців тому +1

    dada mimi nidereva wa magari makubwa nahitaji kupata kazi pasipot ninayo shida kubwa ni viza

  • @brownjoseph5154
    @brownjoseph5154 Рік тому

    Dada umenifurahisha Sana kwa ujasiri ulionao nimeenda hiyo utafika mbari Sana nasisi pia utatufikisha mbali thanks you so much

  • @stannydidasy
    @stannydidasy Рік тому

    Asante Sana kwa kutupa madini

  • @SeivundeBushiri
    @SeivundeBushiri 5 днів тому

    Yani dada mi nihmekuelewa ombi langu Mimi kwako mi sjawah fwatilia maswala ya VIZA naomba nileweshe kidogo na garama zake na tiketi pia maana namani sana kuishi huko

  • @AgripinaPaul
    @AgripinaPaul 6 місяців тому +1

    Dada habari Kama mtu Hana chochote unamsaidiaje! Ila ana nguvu za kufanya kazi unamsaidiaje huyo mtu?

  • @JustineKwalakwala
    @JustineKwalakwala 5 місяців тому

    Mimi ni mtalamu wa kutengeneza vitu mbalimbali vya mbao

  • @kisagentabirage6693
    @kisagentabirage6693 Рік тому +1

    Dada mungu akubariki nimeipenda chanel yako naomba unisaidie Ili nije huko pls da hapa nilipo pls

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 Рік тому

    Big up. My daughter!! Am asking you!! Which location in the USA?? Sorry!!

  • @elibarickmateru6193
    @elibarickmateru6193 7 місяців тому

    Dada huwezi kuwa na mtandao wako kuita watu nnje?

  • @Dattan255
    @Dattan255 Рік тому +1

    Kufanya kazi us unahitaji work permits au huko uliko working permit si lazima?

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Kufanya Kazi US Unahitaji kuwa na Work permit, haijalishi uko jimbo gani.

  • @aishasaidmimo5239
    @aishasaidmimo5239 Рік тому +4

    dada naomba nisadie nilishaenda ubalozini wa marekani kuomba vissa nikakosa ila sjakata tamaa bado ninataka kuja marekani nina kipaji cha makeup artis nywele pls naomba msaada wako

    • @Vordmusic
      @Vordmusic Рік тому

      Walikwambiaje kipenz

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 6 місяців тому

      Inabidi utengeneze travel history nzuri na utafute strong ties ili upate visa

  • @edmundmushi2788
    @edmundmushi2788 Рік тому +1

    Dada msaada wako naitaji kuja huko passport tayari ninayo

  • @elvisbaraka1444
    @elvisbaraka1444 18 днів тому

    Mm pia natamani kuja marekani lakini mwongozo cjapata

  • @JustineKwalakwala
    @JustineKwalakwala 5 місяців тому

    Dada naweza kupata kazi ya kapenda

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 Рік тому +2

    Jamani my umenichekeshaa,eti me work here🤣🤣🤣

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 Рік тому +12

    Channel yako ni mpya lakini nakutabiria utafika mbali sana na pia weka subtitle za English pia upate hata watu wasiojua Kiswahili, chanel yako itasaidia wengi sana

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂 nicheke kwanza mie, Yaaani Dadaa unavyoongea utazani rahisi, Hayaaa kwa sie wanawake unapata kazi ganii kwa maeo ayo

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Kazi zipo nyingi tu Dada, Wewe tu. Kwa kuanzia unaweza kuwa Cashier.😊

  • @gracengairo6214
    @gracengairo6214 3 місяці тому

    Jamani sijasoma natamani nijepaspot ningejitaidi tu.sema English sijui my dear itawezekana?

  • @isaacbrown8856
    @isaacbrown8856 Рік тому

    Jimbo gan hilo dad ?

  • @bizimanadia6377
    @bizimanadia6377 Рік тому

    Channel yako muhimu mama 🇧🇮🇧🇮

  • @frolahsaloon2506
    @frolahsaloon2506 Рік тому +1

    Nitafutie kazi yakuleya watoto au wazee mm lakini sijui Eglishi

  • @ashafaulkner
    @ashafaulkner 8 місяців тому

    Wewe upo wapi?

  • @mikidadiabuu4475
    @mikidadiabuu4475 Рік тому +1

    Dada Mimi n Dereva Wa magar makubwa nsaidie nafanyaje nifike uko??

  • @valentinomaya880
    @valentinomaya880 10 місяців тому

    How you doing , huo ni mji gani ? Au state gani ?

  • @omarnicesang5507
    @omarnicesang5507 Рік тому

    Uko vizur

  • @lucysampa3325
    @lucysampa3325 Рік тому

    Grory habari nakupataje kwa maongezi zaidi dada ninamaswali

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Dada Lucy naomba unicheki Instagram DM @hapanilipo

  • @Wabwilerobert
    @Wabwilerobert Рік тому

    hello dadngu mm niko kenya nmetafuta passport na nkapata cv na goodconduct hivi naomba unisaidie n vipi naeza kupata kazi yoyote mm sichagui kazi tafadhali nisaidie dadangu

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Ndugu yangu kama upo Kenya nimepost kazi ya Proofreading plaase anglia Video. ua-cam.com/video/-IKTEKDxMxA/v-deo.htmlsi=lVPa2bDSwXzK187Y

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 Рік тому +1

    Dada please naomba ushirikiano wako nisaide

  • @ShukranSaid
    @ShukranSaid 5 днів тому

    Hi nimependa achana nitafute passport nitakutafuta

  • @ramaissa3452
    @ramaissa3452 Рік тому +1

    Dada namba zako tunazipataje m niko tanzania

  • @simonlugaila2576
    @simonlugaila2576 Рік тому

    Kwani hizo kazi za kukata manyasi wanawalipa pesa kiasi gani kwa mwezi?.

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 Рік тому

    You’re right lakini watafikaje in America?

  • @gloryjoseph1981
    @gloryjoseph1981 Рік тому

    Wajina

  • @DizzoclassicSoundstz
    @DizzoclassicSoundstz Рік тому

    Naiyo New York City kwa mbali sana jamani mungu nisaidie 🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇱🇷

  • @mohamedmwagao
    @mohamedmwagao 7 місяців тому +1

    Nitafikaje huko passport niko nayo nitapata vip visa

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days 10 днів тому

    Mji gani huo

  • @jumahamad2227
    @jumahamad2227 Рік тому

    Saf san dada

  • @CapeMane-c1g
    @CapeMane-c1g Рік тому +1

    Habali yako dada yangu naitwa Robson niko Alabama mobile naomba unisaidie namba yako mini ndo nimefika sijapata kazi

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 6 місяців тому

      Habari ndugu mie Nina jamaa zangu wapo USA Portland-oregon na connection ya kazi wanayo je utapenda nikuunganishe naye ?

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Рік тому +1

    Im interested nafikaje huko,ilinifike huko naomba, msadaa wako,my sister for me

  • @ernestnchellu-hl2km
    @ernestnchellu-hl2km Рік тому +1

    Dada niandae bei gani ili nitimize ndoto yangu hii kubwa kwenye maisha yangu ya kuishi Marekani na ni VISA aina gani rahisi ambayo nitakayopata kirahisi na kwa gharama ambayo kidogo itakuwa na afadhali kuimudu

    • @InformationMarketer007
      @InformationMarketer007 6 місяців тому

      Visa rahisi ni ya matembezi Kisha ukishapata na ukifika tu USA unachange visa status na unafanya kazi

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 Рік тому

    Me work there jmn dada ake 😂

  • @SudiChiguma
    @SudiChiguma 4 місяці тому

    Dada nisaidie nipate kazi Mimi ninafanya kazi yoyote

  • @bakarisultanindima3513
    @bakarisultanindima3513 Рік тому

    Ahsant dada

  • @DeusiKavano
    @DeusiKavano 3 місяці тому

    Dada naomba namba yako tuweze kuwasiliana nisaidie nauli ninayo kilakitu lakini sjui nianzie wap

  • @AlexMabamba
    @AlexMabamba Місяць тому

    Mamb

  • @KalorosiaMtani
    @KalorosiaMtani 10 місяців тому +1

    Na mimi nahitaji kuja kufanya kazi ya kulea watoto nitakupataje

  • @RockPatrick-k1u
    @RockPatrick-k1u 3 місяці тому

    Mimi naitwa jaka nipo dar esalam natafuta kazi

  • @credonolasco4981
    @credonolasco4981 Рік тому

    Habari naweza pata mawasiliano kwa maswali zaidi

  • @RockPatrick-k1u
    @RockPatrick-k1u 3 місяці тому

    Dada nierekeze

  • @denisshow522
    @denisshow522 Рік тому

    Sister natamani sana kufika huko nisingechagua kazi hataa kusomba kinyesi kwa mikono ,shida nafikaje huko ?nifadhili basi dada yangu jamani

  • @Alya-np7gm
    @Alya-np7gm Рік тому +1

    My dear friend please tusaidie sie wengine kupata kazi na hasa namba zako ili tu kujua twafanyaje kufika huko

    • @hapanilipo
      @hapanilipo  Рік тому

      Jamani nduguyangu, si nimetoa Website 5 za Ku apply Kazi. Nenda kaiangalie basi.Link:ua-cam.com/video/hDep33-jUiA/v-deo.html

  • @tryphonbalihamla2898
    @tryphonbalihamla2898 16 днів тому

    Sister naomba number yako ili nikuombe vigezo vyakunifikisha huko

  • @adammalima3408
    @adammalima3408 Рік тому

    Waooooh!

  • @stevephilip5850
    @stevephilip5850 Рік тому

    Namba madam

  • @jacksonpetro495
    @jacksonpetro495 3 місяці тому

    Hapo ni jimbo gani na maeneo gani

  • @AlexMabamba
    @AlexMabamba Місяць тому

    Wewe ni mtanzania

  • @YahyaSalim-jq4rw
    @YahyaSalim-jq4rw 5 місяців тому

    Mambo vip sister america life kuku

  • @julianaedward4190
    @julianaedward4190 2 місяці тому

    Nimeona na kanisani hapo Lutheran hapo😅😅😅😅😅nimekuelewa dia

  • @Boaz-Gwanko
    @Boaz-Gwanko Рік тому

    Nafikaje huko Dada.

  • @haloterinternant
    @haloterinternant Рік тому

    Nimekuelewa naomba yako tuwasiliane