Gumbo this round umeweza kuongea vzr 😊😊ata mkitoa movie zingn usibadlshe saut one lov from kenya ❤🎉🎉🎉lutat man tunakungoj ufik kenya man mie apa natamani nikuone onedaya man 🎉😊
Umeharibu kazi Yako kabisa sijapenda kabisa . Unyago haijaisha ,mgeni haikuisha,Sasa umetuweka kwenye jeneza lako , kweli? Yaani tamaa mbaya sijapenda hapa Kenya .😮
KARIBU KUTAZAMA #JENEZALANGU HII NI NZURI KULIKO ZOTE SHABIKI YETU TUME JIRWKEBISHA KUWA NA WATU AMBAO HATUTA IKATISHA TENA TUNA OBAMA LADHI KWA WALE TULIO WA KWAZA
Kwani nifa na tifa ni mapacha😮mnafanana sna afu Belinda iyo part ya roho mbaya ndo inakufaa sasa..na kumbe wazuri nyie mcpojichorachora...yni tifa na nifa mnafanana pka sauti na kuongea kwenu wooow🎉
Lutaman unatoa movie nzuri sana. Changamoto ni kwamba movie zako hazifiki mwisho. Mfano MGENI WA KIJIJI haijafika mwisho, UNYAGO nayo naona kama umeiacha. Ingependeza unamaliza movie ili kukidhi kiu ya mashabiki wako
Hoo lutha Man, mimi hapa wa kwanza🇧🇮man nipeni man likes zangu Man .❤
Napenda sana kufuatilia filamu zako ila unaboa kitu kimoja humalizi moja ndo uanze nyingine unachosha wafuatiliaji #boncena
Amalizie mgeni wa kijiji kwanza😂
Napenda sana kazi zako man niko Mozambique Man naomba like zangu man 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Gumbo this round umeweza kuongea vzr 😊😊ata mkitoa movie zingn usibadlshe saut one lov from kenya ❤🎉🎉🎉lutat man tunakungoj ufik kenya man mie apa natamani nikuone onedaya man 🎉😊
Nyimbo nimipenda sana 🎉🎉 jina la msany
mimi wasaba!gumbwa umejifikia kwenye jeneza langu,Ruthaman weye muandishi mukari,love from burundi❤❤❤❤
Umeharibu kazi Yako kabisa sijapenda kabisa . Unyago haijaisha ,mgeni haikuisha,Sasa umetuweka kwenye jeneza lako , kweli? Yaani tamaa mbaya sijapenda hapa Kenya .😮
Kweli kabisa huyu jamaa hayuko series na kazi zake
KARIBU KUTAZAMA #JENEZALANGU HII NI NZURI KULIKO ZOTE SHABIKI YETU TUME JIRWKEBISHA KUWA NA WATU AMBAO HATUTA IKATISHA TENA TUNA OBAMA LADHI KWA WALE TULIO WA KWAZA
Heeeee🙄🙄🙄 unyago ndo imeisha au???
Hautukwazi Tajirii 🎉
Mgeni wa kijiji unyago zote zimeisha kati
Nzuri sana lakini kuwa na mtiririko wa filamu zako, mgeni wa Kijiji haijaisha, unyago haijaisha Sasa una jeneza langu
Kz nzuri San boncena.ila mbn unyago hutoi ama ND imeisha😮😮😮.
wa kwanza from🇰🇪 naomba likes zenu
Unafeli sana mwana ungetakiwa umalize moaja alafu uingie nyingine ila uko vizuri mungu akubariki kazi njema
Congratulations my brother unaweza scene zote napenda unapojuwa kuvaa kila uwusika Mwenyezimungu azidi kukuinuliya kazi zako man😍👌
belina acha wajipendanie!naona umekuja kwenye ingine sula siyo yawunyago,ajili yawunyango umekuwa mupambanishi yamapenzi yakakaako❤❤❤
Kwani nifa na tifa ni mapacha😮mnafanana sna afu Belinda iyo part ya roho mbaya ndo inakufaa sasa..na kumbe wazuri nyie mcpojichorachora...yni tifa na nifa mnafanana pka sauti na kuongea kwenu wooow🎉
Kumbe Gubwa Ni HB Kiasi Iki Kma Nimemkufua Nami😂😂😂😂❤❤❤❤Kushinda Kwenye Uyango Iliishia Wapi
Nimoto kbs 🎉🎉🎉🎉kazi njema kbs 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 niatar
Lutha unanifurahisha sana kwakucheza movie namunaweza nyinyi wote nawapenda sana naangalianga movie zenu me niwakutoka 🇧🇮 lakini sai niko 🇰🇪
Huweee una malizaaa movie bwana mbona ya kijijiniii umeiachaaaa
Mimi wa mwisho man naomba like zangu man,
Huyu luta vip mbona anashindwa kumaliza move zake anapenda kurukia rukia baba filam zako ni nzuri ils unatuboa kwa kutuacha njiani
Na nikama hapitii hoja za mashabiki zake mana habadiliki kabisa wala hatoi sababu😢
Mwisho wa siku atapoteza mashabik
Lutah man uku Kenya lamu visiwani tunakubali kazi yako fresh man.Ila man tunataka ii kazi ifike mwisho usituachie katikati kama ulivyofanya kwa unyago
Waah nmewahi man nipeni like zngu 🎉🎉🎉💃💃
Oy mr.luta a.k.a boncena kazi zako nazifatilia sana lkn punguza ilo neno "man" Kila series saiv lzma uweke ilo neno "man" inaondoa ladha kias flan.
Mbona hammalizi movie vizuri unyago aijaisha mnaleta jeneza langu na unyago je inakuaje kuaje😌
Rhuta man nampenda sana man filamu sako man mimi niko mzumbiji uku ❤🎉
❤❤❤❤❤❤❤ mashaalaaa part two waiting
Njooo kwangu wandy , mimi ndio mwanaume ambayo ninafanya kazi km mwanaume achana na huyo mkaka ambayo awezi kazi
Nzuri iyi kinoma😂😂😂😂😂😂🎉 nimeipenda Congo 🇨🇩
Ruta man once again❤❤❤🎉🎉🎉
Latifa na anifa kama mapacha❤ ila belina umechezaaje humo😢 ila sio mbaya weee ni star
Aky belina umecheza na roh mbay humu.i sey naumia sana.😢😢😢daaaaah!! Haufanani ila kz nzr
Ruta utatufanya na sis tulieeee bana aaaaaaa move mzuri sana
Chora papa😂😂
Hii ni best nimeielewa
Nimeipenda hiyo man 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤kaz smart sanaaaa
Kaka. Mungu awabariki kwa kazi nzuri wapendwa Luta man unajua kaka ❤❤❤❤❤❤❤
Ruta man umetisha sana,,nakupenda sana
luta man tubadilishie kdg mapez tu ndio kila picha ni mapez
Nimekili kwa kunywa changu Gumbwa 💯🙏🙏🙏
Acha lombaya wewe muache apate kitu loo inapenda❤❤❤❤❤
Unazinguaaa,unyago imeishia wapi tenaa.mnatukata stimu sana.
Hayo ndio mapenzi bwana ruta Mani
Wew berlina muach tupenda sis masikini bwan
Kazi mzur sana, tena zaidi, lakini mbona hamumalizi kazi za kitambo jameni
Lutaa mani nakupenda sana mana unavoongea mani
Nakumbe gumbwa umzuri ivyooo daaah ckuwai tarajia😂😂😂tatizo lko huwiki duuh😢
Natamani niifatilie Ila kila nikiwaza kuishia njiani naona Bora tu niache mgeni wakijiji niliipenda Ila ndo Ivo
Kumbe uyu mtoto wachifu nimzur jmn lkn kwenye unyago anakera kwel😂😂😂
Nimempenda mpaka sauty yake kanivufia💞💞💞💞💞💞💞💞
Lutaman unatoa movie nzuri sana. Changamoto ni kwamba movie zako hazifiki mwisho. Mfano MGENI WA KIJIJI haijafika mwisho, UNYAGO nayo naona kama umeiacha. Ingependeza unamaliza movie ili kukidhi kiu ya mashabiki wako
I love you from Kenya man❤❤❤
Mnaigine na atukuona mwisho wa ileya unyago
Alafu tiffa umenepe mashallah ❤❤❤
From kenya....mgeni wa Kijiji tunawait
Kila mtu from kenya,,kenya,, haya much love from tamil,🤐🤐🤐🤐🤐
Nakubali man ❤❤
yaaa man nime kubal kazi yako man🤜
Anafanya filamu anakata njian hadi anatia kichefuchefu maliza kazine kazi nyny
Anazingua
Kumbe gumbwa mucuteee hivii😂😂😂
Tatizo yk haumalizie movie
Kaka hii itaisha vizuri timu ya sasa uhakika man trust me
apo sawa
Best film🎉🎉🎉
Napenda Sana move zen❤❤❤❤❤
Usikose kumalizia hii
Man usipomalizia hii utakosea sana
Kaka mimi PENGO TZ Nakupatia maua yakooo🎉🎉🎉🎉🎉
Luta man💪💪
Hakika hakika hakika hakika unaweza mwanawitu
Hii nikali sana to much love from kenya🎉🎉🎉🎉
Uachekutoa series ndefu Ambazo zitakufanya ushindwe kumaliza
Weeh iyo kiss irudiwe inakitu hiy 😂
Pongezi ..namwona Gumbwa hapoo
Kazi nzuri but muwe mnafika mwisho wa kipindi 👏
Napenda sana man😂😂
Afu nifa mani ulitoka kwenye Red eyes mani macho mani
Bro very nice move from zambia 🇿🇲
Mmmmh jaman😢😢😢😢
Pamoja man piga kazi mani
Kinacho boa unaanzisha movei hf unaishia njian mgeni wa kijiji hujamaliza unyago hujamaliza upo huku tena nako utaishia njian
Kumbe gumbwa ni mzuri sikujua 😂
😂😂😂
Kazi nzur
Unyagoooooi jaman
Uyango vipi
Nakubar ma blood mmetisha Sana 🎬🎬🎬🎬
Daa nimecherewa ila nilikua nimechelewa kukopa bando,, ila nipo nacheki utam,,
Najua me wa mwisho nipeni like ata 2
Nampenda❤❤❤
nawakubali sana ❤❤❤
Shemeji umeuwa tana na hiyo lafudhi ndio kabisa yaani unafanya mtu afurahie kuisikia tuu
Mbona man unyago umetuachia njia panda
Oya man atakama umefanikiwa ndo utufanyie hivi kuna mda views utakuta 10 tu
Umetisha home boy
Mbonaa unyago hamtoiii jmn
Kumbe gumbwa ndo mzur ivi alikuw anajiharbu kweny unyago na kuetua mdomo sas mbn unyag aujaish
Unaanza sasa kuvuruga vitu
Fireeeeeeeeeeeeeeee 🔥 🔥 🔥 🔥
Kila mmoja wenu nmempa like ambae hjaona yake anambie nmpe mm nko hpa kpeana like kwa wale wanaotaka like yaaan naitwa M LIKE
Ila we jamaa unapenda kujipakulia minyama misotojo duuuh sio poa
Shida haumalizi story
Sjawahi ku comment lakini hapa imenirazimu ❤❤
Nishatokea jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😂😂😂😂❤❤
Love From Chadia Official to🇧🇮
Malizia mgeni wa kijiji bana
Bro nakubali sanaa
mbna chapili sion i mov ya jeneza