Kwakweli eneo zuri sana majengo mazuri sana wenye hela wanaraha nikununua familia ikikaa hapo yaani ni kufanya kazi ya kuboresha kilimo ndani ya ukuta mwanamke mwenye akili hapo ni ajira tosha kipato kinapatikana hapo hapo
Tunguu ni wapi huko? Madalali wa Tanzanis mnatakiwa mjiongeze zaid kama mnataka kuuza kweli nyumba zenu. Kila nyumba maelezo ni nusu nusu. Usimuache mteja na maswali unamfanya aende kuangalia nyumba nyingine. Unapoteza mteja
Watu bhana mbona kila kitu kimejieleza hapo juu bei pamoja na namba za simu pia zipo gusa hapo kwenye maandishi makubwa maelezo yatakuja kamili maana hapo yako nusu ndio mana kila mtu anauliza bei mara mawasiliano vyote vipo hapo
Hajielewi huyu dalali. TUNGUU ni zanzibar.... Nje kidg ya mji ndo kilipo chuo kikuu cha zanzbar SUZA na vyuo vengne vungi kama Z.U na IPA kwa daladala kutoka mjini ni kama 600 kama sikosei
Mashallah hatujui mwenyew amekutwa na mtihan gan ila c sehem ya kuuza
Kwakweli eneo zuri sana majengo mazuri sana wenye hela wanaraha nikununua familia ikikaa hapo yaani ni kufanya kazi ya kuboresha kilimo ndani ya ukuta mwanamke mwenye akili hapo ni ajira tosha kipato kinapatikana hapo hapo
Maa Shaa Allah eneo zuri Sanaa kwa kilimo na utumaji
Hii ni paradiso ndogo🎉
Mashaallah nyumbani mzuri sana
Inauzua bei gani
Inauzwa bei gabi
Choo hicho mi nikiingia ntalala hapo hapo ntafikiri ni chumba mashaallah😂
Sehemu nzuri kuuza hasara
Brother how much is the cost? Please reply.
Bei yake imewekwa hapo ni 330,000,000 Mil.
Tuwasiliane nataka kununua ni eneo zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe
😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah nguruwe tenaa
Bangi jamani mbaya sanaaa
@@SalamaAkilimali-ly3bu😂😂😂😂
Ukinunua ni haki yako...lakini sasa eneo lenyewe liko Tunguu - Znz.😮
Sehemu ni nzry
ila hakuwa na mjenzi mzuri. kote hapo panageuzwa vila. hiyzo za mlinzi mabanda ya kitu gsni yote villa na bungaloows 20 na swimming pool yaongezwa
Sijui nn ttzo maskini Pana maisha hata bila kutoka na kutumwa mtihani
Mzuri Sana
Tunguu ni wapi huko? Madalali wa Tanzanis mnatakiwa mjiongeze zaid kama mnataka kuuza kweli nyumba zenu. Kila nyumba maelezo ni nusu nusu. Usimuache mteja na maswali unamfanya aende kuangalia nyumba nyingine. Unapoteza mteja
simu zako ziko wapi shekhe
Ni how much cost
المال والبنونا زينة احيات الدنيا.
wapi eneoo
Bei ipo hapo kwenye kichwa cha habari tungui ni Zanzibar jamani
Kwa nini ?tatizo nini tuelewane isije ikawa kesi
😂😂😂😂😂😂kwakweli kujihami nivizur
Watu bhana mbona kila kitu kimejieleza hapo juu bei pamoja na namba za simu pia zipo gusa hapo kwenye maandishi makubwa maelezo yatakuja kamili maana hapo yako nusu ndio mana kila mtu anauliza bei mara mawasiliano vyote vipo hapo
Bei ni kiasi gani.
Kwa kifupi ni wapi hasa
Zanzibar hiyo ila tuma namba zako za cm
Namba za simu ziko hapo ambapo pia kuna bei.
Kwa nini inauzwa
Nas
beii
Sema bei matajiri tupo bilioni ngap?
😂😂😂😂 Unguja iyo
😢
Bei
Habari iko wapi?
Bei inasemaje?
Kwann inauzwa ?
Mnajenga majumba hamuhamii, washahamia majini hazikaliki ndio mnauza. Nawasiwasi wenyewe wapo uingereza,
Kazi choyo tu kwani nawewe siunde alafu ufanye kama ivo kama ni rahisi
Hii yako akili mgando mmh
Toa maelezo vizuri , TUNGUU ni wapi , wadhani kila mtu hapa mtandaoni anafahamu TUNGUU ni wapi .
Hajielewi huyu dalali. TUNGUU ni zanzibar.... Nje kidg ya mji ndo kilipo chuo kikuu cha zanzbar SUZA na vyuo vengne vungi kama Z.U na IPA kwa daladala kutoka mjini ni kama 600 kama sikosei
How much tsh
anauza iyo nyumba inanini
Mkopo upo?!
Offer yake inasemaje
No za sim
Hv tunguska ni ujerumani au saudia
Zenji
Bado ipo hii
Tunguu ipo wapi?
Zanzibar
Tuwasiliane nataka kununua eneo Zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe
Kwanini inauzwa
😂hapo sasa
Ni lazima ufanye uchunguzi kabla ya kununua ili kujiridhisha.
Hii nyumba bado ipo? Number yako yenye WhatsApp ni ipi hiyo?