🇹🇿SHAMBA HILI PAMOJA NA NYUMBA ZAKE ZINAUZWA NA LIPO TUNGUU.🇹🇿BEI MIL 330,000,000 ☎️☎️+255777-709695

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 62

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 11 місяців тому +2

    Mashallah hatujui mwenyew amekutwa na mtihan gan ila c sehem ya kuuza

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 10 місяців тому +3

    Kwakweli eneo zuri sana majengo mazuri sana wenye hela wanaraha nikununua familia ikikaa hapo yaani ni kufanya kazi ya kuboresha kilimo ndani ya ukuta mwanamke mwenye akili hapo ni ajira tosha kipato kinapatikana hapo hapo

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 10 місяців тому

    Maa Shaa Allah eneo zuri Sanaa kwa kilimo na utumaji

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 місяців тому +2

    Hii ni paradiso ndogo🎉

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 10 місяців тому

    Mashaallah nyumbani mzuri sana

  • @mariethaadelinminja6429
    @mariethaadelinminja6429 Місяць тому

    Inauzua bei gani

  • @smina8226
    @smina8226 7 місяців тому

    Inauzwa bei gabi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 10 місяців тому

    Choo hicho mi nikiingia ntalala hapo hapo ntafikiri ni chumba mashaallah😂

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 11 місяців тому +2

    Sehemu nzuri kuuza hasara

  • @fatimaburhani1015
    @fatimaburhani1015 10 місяців тому +3

    Brother how much is the cost? Please reply.

    • @csato9415
      @csato9415 9 місяців тому

      Bei yake imewekwa hapo ni 330,000,000 Mil.

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 10 місяців тому +1

    Tuwasiliane nataka kununua ni eneo zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 10 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah nguruwe tenaa

    • @SalamaAkilimali-ly3bu
      @SalamaAkilimali-ly3bu 10 місяців тому +1

      Bangi jamani mbaya sanaaa

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 10 місяців тому

      ​@@SalamaAkilimali-ly3bu😂😂😂😂

    • @csato9415
      @csato9415 9 місяців тому

      Ukinunua ni haki yako...lakini sasa eneo lenyewe liko Tunguu - Znz.😮

  • @muhamadmasoud4936
    @muhamadmasoud4936 11 місяців тому +1

    Sehemu ni nzry

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 10 місяців тому

    ila hakuwa na mjenzi mzuri. kote hapo panageuzwa vila. hiyzo za mlinzi mabanda ya kitu gsni yote villa na bungaloows 20 na swimming pool yaongezwa

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 11 місяців тому

    Sijui nn ttzo maskini Pana maisha hata bila kutoka na kutumwa mtihani

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 10 місяців тому

    Mzuri Sana

  • @ceomom2213
    @ceomom2213 8 місяців тому

    Tunguu ni wapi huko? Madalali wa Tanzanis mnatakiwa mjiongeze zaid kama mnataka kuuza kweli nyumba zenu. Kila nyumba maelezo ni nusu nusu. Usimuache mteja na maswali unamfanya aende kuangalia nyumba nyingine. Unapoteza mteja

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 10 місяців тому +1

    simu zako ziko wapi shekhe

  • @salomekilavi6421
    @salomekilavi6421 10 місяців тому +1

    Ni how much cost

  • @HhhTt-vl9ct
    @HhhTt-vl9ct 11 місяців тому

    المال والبنونا زينة احيات الدنيا.

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 10 місяців тому +1

    wapi eneoo

  • @fatmakhatib2935
    @fatmakhatib2935 10 місяців тому

    Bei ipo hapo kwenye kichwa cha habari tungui ni Zanzibar jamani

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 10 місяців тому +1

    Kwa nini ?tatizo nini tuelewane isije ikawa kesi

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂kwakweli kujihami nivizur

  • @fatmakhatib2935
    @fatmakhatib2935 10 місяців тому

    Watu bhana mbona kila kitu kimejieleza hapo juu bei pamoja na namba za simu pia zipo gusa hapo kwenye maandishi makubwa maelezo yatakuja kamili maana hapo yako nusu ndio mana kila mtu anauliza bei mara mawasiliano vyote vipo hapo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 місяців тому

    Bei ni kiasi gani.
    Kwa kifupi ni wapi hasa

  • @zakiamohamed7611
    @zakiamohamed7611 10 місяців тому +1

    Zanzibar hiyo ila tuma namba zako za cm

    • @csato9415
      @csato9415 9 місяців тому

      Namba za simu ziko hapo ambapo pia kuna bei.

  • @hemedmadaya6371
    @hemedmadaya6371 9 місяців тому +1

    Kwa nini inauzwa

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 10 місяців тому

    beii

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc 11 місяців тому +1

    Sema bei matajiri tupo bilioni ngap?

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 10 місяців тому

    Bei

  • @hemedmadaya6371
    @hemedmadaya6371 9 місяців тому

    Habari iko wapi?

  • @hamadmussa8402
    @hamadmussa8402 11 місяців тому

    Bei inasemaje?

  • @fatumazakalia-yx4kg
    @fatumazakalia-yx4kg 9 місяців тому

    Kwann inauzwa ?

  • @mamyomar1241
    @mamyomar1241 9 місяців тому

    Mnajenga majumba hamuhamii, washahamia majini hazikaliki ndio mnauza. Nawasiwasi wenyewe wapo uingereza,

    • @khatibsaid5010
      @khatibsaid5010 8 місяців тому

      Kazi choyo tu kwani nawewe siunde alafu ufanye kama ivo kama ni rahisi

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 місяці тому

      Hii yako akili mgando mmh

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 10 місяців тому

    Toa maelezo vizuri , TUNGUU ni wapi , wadhani kila mtu hapa mtandaoni anafahamu TUNGUU ni wapi .

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 10 місяців тому

      Hajielewi huyu dalali. TUNGUU ni zanzibar.... Nje kidg ya mji ndo kilipo chuo kikuu cha zanzbar SUZA na vyuo vengne vungi kama Z.U na IPA kwa daladala kutoka mjini ni kama 600 kama sikosei

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 10 місяців тому

      How much tsh

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 10 місяців тому

    anauza iyo nyumba inanini

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 10 місяців тому

    Mkopo upo?!

  • @mudymudy3132
    @mudymudy3132 11 місяців тому

    Offer yake inasemaje

  • @Zahraalhabsi-yz4fe
    @Zahraalhabsi-yz4fe 11 місяців тому

    No za sim

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 11 місяців тому

    Hv tunguska ni ujerumani au saudia

  • @mwanakhamisimwinyimatano1185
    @mwanakhamisimwinyimatano1185 7 місяців тому

    Bado ipo hii

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 10 місяців тому

    Tunguu ipo wapi?

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 місяців тому

    Kwanini inauzwa

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 10 місяців тому

      😂hapo sasa

    • @csato9415
      @csato9415 9 місяців тому +1

      Ni lazima ufanye uchunguzi kabla ya kununua ili kujiridhisha.

  • @Hapi-Awa
    @Hapi-Awa 8 місяців тому

    Hii nyumba bado ipo? Number yako yenye WhatsApp ni ipi hiyo?