Dalali Jumbe Real Estates
Dalali Jumbe Real Estates
  • 7
  • 36 237

Відео

NYUMBA HII INAUZWANYUMBA HII INAUZWA
NYUMBA HII INAUZWA
Переглядів 326Рік тому
NYUMBA HII INAUZWANYUMBA HII INAUZWA
NYUMBA HII INAUZWA
Переглядів 561Рік тому
August 20, 2023August 20, 2023
August 20, 2023
Переглядів 153Рік тому
August 20, 2023August 20, 2023
August 20, 2023
Переглядів 97Рік тому
NYUMBA HII INAUZWANYUMBA HII INAUZWA
NYUMBA HII INAUZWA
Переглядів 457Рік тому
👉Nyumba Hii inauzwa na ipo KIANGA,Bei mil 70,000,000 mpaka million 65,000,000. ☎️☎️☎️ 255777-709695. . . . . #rentalproperty #tanzania #forsale #viwanja #nyumba #ujenzi #mziki #michezo
House is for RENTHouse is for RENT
House is for RENT
Переглядів 78Рік тому
NYUMBA HII INAKODISHWA KWA MWEZI DOLLAR ELFU MOJA {$1000=USD} NA IPO MBWENI . . . #vyumba #rentalproperty #renthouse #zanzibar #tanzania #tanzaniacomedy

КОМЕНТАРІ

  • @mariethaadelinminja6429
    @mariethaadelinminja6429 Місяць тому

    Inauzua bei gani

  • @smina8226
    @smina8226 7 місяців тому

    Inauzwa bei gabi

  • @mwanakhamisimwinyimatano1185
    @mwanakhamisimwinyimatano1185 7 місяців тому

    Bado ipo hii

  • @Hapi-Awa
    @Hapi-Awa 8 місяців тому

    Hii nyumba bado ipo? Number yako yenye WhatsApp ni ipi hiyo?

  • @ceomom2213
    @ceomom2213 8 місяців тому

    Tunguu ni wapi huko? Madalali wa Tanzanis mnatakiwa mjiongeze zaid kama mnataka kuuza kweli nyumba zenu. Kila nyumba maelezo ni nusu nusu. Usimuache mteja na maswali unamfanya aende kuangalia nyumba nyingine. Unapoteza mteja

  • @hemedmadaya6371
    @hemedmadaya6371 9 місяців тому

    Kwa nini inauzwa

  • @hemedmadaya6371
    @hemedmadaya6371 9 місяців тому

    Habari iko wapi?

  • @mamyomar1241
    @mamyomar1241 9 місяців тому

    Mnajenga majumba hamuhamii, washahamia majini hazikaliki ndio mnauza. Nawasiwasi wenyewe wapo uingereza,

    • @khatibsaid5010
      @khatibsaid5010 8 місяців тому

      Kazi choyo tu kwani nawewe siunde alafu ufanye kama ivo kama ni rahisi

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 місяці тому

      Hii yako akili mgando mmh

  • @dalalizanzibar9583
    @dalalizanzibar9583 9 місяців тому

    Nyumba nzuri

  • @fatumazakalia-yx4kg
    @fatumazakalia-yx4kg 9 місяців тому

    Kwann inauzwa ?

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 10 місяців тому

    Assalam alaykum warhmatullah wabarakatu vipi Hali zenu hamjambo nyote Vipi hii nyumba bado IPO?

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 10 місяців тому

    Mzuri Sana

  • @fatimaburhani1015
    @fatimaburhani1015 10 місяців тому

    Brother how much is the cost? Please reply.

    • @csato9415
      @csato9415 9 місяців тому

      Bei yake imewekwa hapo ni 330,000,000 Mil.

  • @zakiamohamed7611
    @zakiamohamed7611 10 місяців тому

    Zanzibar hiyo ila tuma namba zako za cm

    • @csato9415
      @csato9415 9 місяців тому

      Namba za simu ziko hapo ambapo pia kuna bei.

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 10 місяців тому

    Maa Shaa Allah eneo zuri Sanaa kwa kilimo na utumaji

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 місяців тому

    Hii ni paradiso ndogo🎉

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 місяців тому

    Kwanini inauzwa

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 10 місяців тому

      😂hapo sasa

    • @csato9415
      @csato9415 9 місяців тому

      Ni lazima ufanye uchunguzi kabla ya kununua ili kujiridhisha.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 місяців тому

    Bei ni kiasi gani. Kwa kifupi ni wapi hasa

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 10 місяців тому

    Choo hicho mi nikiingia ntalala hapo hapo ntafikiri ni chumba mashaallah😂

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 10 місяців тому

    Mkopo upo?!

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 10 місяців тому

    wapi eneoo

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 10 місяців тому

    beii

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 10 місяців тому

    Tuwasiliane nataka kununua ni eneo zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 10 місяців тому

    Mashaallah nyumbani mzuri sana

  • @salomekilavi6421
    @salomekilavi6421 10 місяців тому

    Ni how much cost

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 10 місяців тому

    Kwakweli eneo zuri sana majengo mazuri sana wenye hela wanaraha nikununua familia ikikaa hapo yaani ni kufanya kazi ya kuboresha kilimo ndani ya ukuta mwanamke mwenye akili hapo ni ajira tosha kipato kinapatikana hapo hapo

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 10 місяців тому

    Toa maelezo vizuri , TUNGUU ni wapi , wadhani kila mtu hapa mtandaoni anafahamu TUNGUU ni wapi .

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 10 місяців тому

      Hajielewi huyu dalali. TUNGUU ni zanzibar.... Nje kidg ya mji ndo kilipo chuo kikuu cha zanzbar SUZA na vyuo vengne vungi kama Z.U na IPA kwa daladala kutoka mjini ni kama 600 kama sikosei

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 10 місяців тому

      How much tsh

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 10 місяців тому

    Bei

  • @fatmakhatib2935
    @fatmakhatib2935 10 місяців тому

    Watu bhana mbona kila kitu kimejieleza hapo juu bei pamoja na namba za simu pia zipo gusa hapo kwenye maandishi makubwa maelezo yatakuja kamili maana hapo yako nusu ndio mana kila mtu anauliza bei mara mawasiliano vyote vipo hapo

  • @fatmakhatib2935
    @fatmakhatib2935 10 місяців тому

    Bei ipo hapo kwenye kichwa cha habari tungui ni Zanzibar jamani

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 10 місяців тому

    Kwa nini ?tatizo nini tuelewane isije ikawa kesi

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂kwakweli kujihami nivizur

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 10 місяців тому

    anauza iyo nyumba inanini

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 10 місяців тому

    Tunguu ipo wapi?

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 10 місяців тому

    simu zako ziko wapi shekhe

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 10 місяців тому

    ila hakuwa na mjenzi mzuri. kote hapo panageuzwa vila. hiyzo za mlinzi mabanda ya kitu gsni yote villa na bungaloows 20 na swimming pool yaongezwa

  • @HhhTt-vl9ct
    @HhhTt-vl9ct 11 місяців тому

    المال والبنونا زينة احيات الدنيا.

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 11 місяців тому

    Mashallah hatujui mwenyew amekutwa na mtihan gan ila c sehem ya kuuza

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 11 місяців тому

    Sijui nn ttzo maskini Pana maisha hata bila kutoka na kutumwa mtihani

  • @hamadmussa8402
    @hamadmussa8402 11 місяців тому

    Bei inasemaje?

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc 11 місяців тому

    Sema bei matajiri tupo bilioni ngap?

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 11 місяців тому

    Hv tunguska ni ujerumani au saudia

  • @mudymudy3132
    @mudymudy3132 11 місяців тому

    Offer yake inasemaje

  • @Zahraalhabsi-yz4fe
    @Zahraalhabsi-yz4fe 11 місяців тому

    No za sim

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 11 місяців тому

    Sehemu nzuri kuuza hasara

  • @muhamadmasoud4936
    @muhamadmasoud4936 11 місяців тому

    Sehemu ni nzry