- 7
- 36 237
Dalali Jumbe Real Estates
Приєднався 8 бер 2023
🇹🇿TUNA UZA 👇👇👇
Nyumba, Viwanja, mashamba, Beach Plots, Beach Houses, Beach Apartments, Plots, Houses, Fields,Firms etc.
🇹🇿TUNA CHORA
Ramani za Nyumba na Tuna Toa Ushauri juu ya GHARAMA za Ujenzi wa NYUMBA { BOQ}
🇹🇿☎️☎️🤳🤳+255777-709695
🇹🇿☎️☎️🤳🤳+255743-439695
🇹🇿🇹🇿 Zanzibar -Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Nyumba, Viwanja, mashamba, Beach Plots, Beach Houses, Beach Apartments, Plots, Houses, Fields,Firms etc.
🇹🇿TUNA CHORA
Ramani za Nyumba na Tuna Toa Ushauri juu ya GHARAMA za Ujenzi wa NYUMBA { BOQ}
🇹🇿☎️☎️🤳🤳+255777-709695
🇹🇿☎️☎️🤳🤳+255743-439695
🇹🇿🇹🇿 Zanzibar -Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Відео
NYUMBA HII INAUZWA
Переглядів 326Рік тому
NYUMBA HII INAUZWA
Переглядів 561Рік тому
August 20, 2023
Переглядів 153Рік тому
August 20, 2023
Переглядів 97Рік тому
NYUMBA HII INAUZWA
Переглядів 457Рік тому
👉Nyumba Hii inauzwa na ipo KIANGA,Bei mil 70,000,000 mpaka million 65,000,000. ☎️☎️☎️ 255777-709695. . . . . #rentalproperty #tanzania #forsale #viwanja #nyumba #ujenzi #mziki #michezo
House is for RENT
Переглядів 78Рік тому
NYUMBA HII INAKODISHWA KWA MWEZI DOLLAR ELFU MOJA {$1000=USD} NA IPO MBWENI . . . #vyumba #rentalproperty #renthouse #zanzibar #tanzania #tanzaniacomedy
Inauzua bei gani
Inauzwa bei gabi
Bado ipo hii
Hii nyumba bado ipo? Number yako yenye WhatsApp ni ipi hiyo?
Tunguu ni wapi huko? Madalali wa Tanzanis mnatakiwa mjiongeze zaid kama mnataka kuuza kweli nyumba zenu. Kila nyumba maelezo ni nusu nusu. Usimuache mteja na maswali unamfanya aende kuangalia nyumba nyingine. Unapoteza mteja
Kwa nini inauzwa
Nas
Habari iko wapi?
Mnajenga majumba hamuhamii, washahamia majini hazikaliki ndio mnauza. Nawasiwasi wenyewe wapo uingereza,
Kazi choyo tu kwani nawewe siunde alafu ufanye kama ivo kama ni rahisi
Hii yako akili mgando mmh
Nyumba nzuri
Kwann inauzwa ?
Assalam alaykum warhmatullah wabarakatu vipi Hali zenu hamjambo nyote Vipi hii nyumba bado IPO?
Mzuri Sana
Brother how much is the cost? Please reply.
Bei yake imewekwa hapo ni 330,000,000 Mil.
Zanzibar hiyo ila tuma namba zako za cm
Namba za simu ziko hapo ambapo pia kuna bei.
Maa Shaa Allah eneo zuri Sanaa kwa kilimo na utumaji
Hii ni paradiso ndogo🎉
Kwanini inauzwa
😂hapo sasa
Ni lazima ufanye uchunguzi kabla ya kununua ili kujiridhisha.
Bei ni kiasi gani. Kwa kifupi ni wapi hasa
Choo hicho mi nikiingia ntalala hapo hapo ntafikiri ni chumba mashaallah😂
Mkopo upo?!
wapi eneoo
beii
Tuwasiliane nataka kununua ni eneo zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe
😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah nguruwe tenaa
Bangi jamani mbaya sanaaa
@@SalamaAkilimali-ly3bu😂😂😂😂
Ukinunua ni haki yako...lakini sasa eneo lenyewe liko Tunguu - Znz.😮
Mashaallah nyumbani mzuri sana
Ni how much cost
Kwakweli eneo zuri sana majengo mazuri sana wenye hela wanaraha nikununua familia ikikaa hapo yaani ni kufanya kazi ya kuboresha kilimo ndani ya ukuta mwanamke mwenye akili hapo ni ajira tosha kipato kinapatikana hapo hapo
Toa maelezo vizuri , TUNGUU ni wapi , wadhani kila mtu hapa mtandaoni anafahamu TUNGUU ni wapi .
Hajielewi huyu dalali. TUNGUU ni zanzibar.... Nje kidg ya mji ndo kilipo chuo kikuu cha zanzbar SUZA na vyuo vengne vungi kama Z.U na IPA kwa daladala kutoka mjini ni kama 600 kama sikosei
How much tsh
Bei
Watu bhana mbona kila kitu kimejieleza hapo juu bei pamoja na namba za simu pia zipo gusa hapo kwenye maandishi makubwa maelezo yatakuja kamili maana hapo yako nusu ndio mana kila mtu anauliza bei mara mawasiliano vyote vipo hapo
Bei ipo hapo kwenye kichwa cha habari tungui ni Zanzibar jamani
Kwa nini ?tatizo nini tuelewane isije ikawa kesi
😂😂😂😂😂😂kwakweli kujihami nivizur
anauza iyo nyumba inanini
Tunguu ipo wapi?
Zanzibar
Tuwasiliane nataka kununua eneo Zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe
simu zako ziko wapi shekhe
ila hakuwa na mjenzi mzuri. kote hapo panageuzwa vila. hiyzo za mlinzi mabanda ya kitu gsni yote villa na bungaloows 20 na swimming pool yaongezwa
المال والبنونا زينة احيات الدنيا.
Mashallah hatujui mwenyew amekutwa na mtihan gan ila c sehem ya kuuza
Sijui nn ttzo maskini Pana maisha hata bila kutoka na kutumwa mtihani
Bei inasemaje?
Sema bei matajiri tupo bilioni ngap?
😂😂😂😂 Unguja iyo
😢
Hv tunguska ni ujerumani au saudia
Zenji
Offer yake inasemaje
No za sim
Sehemu nzuri kuuza hasara
Sehemu ni nzry