WAJERUMANI NI WATU WAGUMU SANA| TULIWASILIANA WIKI 3 TU AKAPANDA NDEGE KUNIFATA |WENGI NI BIPOLAR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024
  • Enala ameeleza Safari ya kutumia mtandao kukutana na mume wake na changamoto za mahusiano kutokana na utofauti wa utamaduni.
    Anakwambia alitumia mtandao ndani ya miezi 6 tu na kukutana na mume wake, ambae waliwasiliana kwa Wiki 3 tu na mume kupanda ndege kumfuata.
    Thank you Ena for allowing this to be online
    www.oda.international

КОМЕНТАРІ • 131

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 3 місяці тому +1

    Binti mrembo na heshima zake. Kudos kwa wazazi wakali wamelea binti kanyooka na msimamo. Hongereni sana. Asanteni mazungumzo mazuri kama arudi tena tupate muendelezo.
    Lugha inabidi apambane aweze kujichanganya na maisha ya hapo. Nyumbani Mwenyezi mungu akikujalia utarudi hata matembezi. Msikilize mumeo, jengeni maisha yenu hapo, mtarudi Nyumbani Tz panapo majaliwa na uhai.

  • @ashurajuma2024
    @ashurajuma2024 8 місяців тому +11

    Nimekupenda sana dada ,umenifurahisha kuona unatamani kukaa nyumbani kuwa na mji wako..umekuwa na akili kama zangu 😂😂😂.maisha marefu kwako na mumeo

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 8 місяців тому +10

    Enala nilkua namuona tu TikTok jmn I'm happy to hear her story nilitaman nijue
    Ila ndoa tamu kanenepa😊

  • @dianaleole5383
    @dianaleole5383 8 місяців тому +7

    Enala anaongoea vizuri sana 😊 pia nawewe mubarikiwe sana

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 8 місяців тому +6

    Kabisa my dear usiangalie maisha ya mtu na kuna tofaut kubwa kati ya kuolewa na mzee na kuolewa na kijana

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 6 місяців тому +4

    Enala please ishi huko umtunze mama mkwe wako, she deeply loves you, cherrish her, she is a gem

  • @josephtwopointoh
    @josephtwopointoh 5 місяців тому +2

    You were raised well, kudos to your parents

  • @hildahillary9586
    @hildahillary9586 8 місяців тому +9

    Nilikuwa na subiria sana interview na huyu dada she is so beautiful

  • @yunismashoo846
    @yunismashoo846 8 місяців тому +5

    Nimewapenda wote santeni 😍😍

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 8 місяців тому +2

    You are so gorgeous girl all the best our sister keep up well our brother in law

  • @gracejayne4580
    @gracejayne4580 8 місяців тому +2

    Official dating assistant I love your look in this video . Wow your well done hair, your beautiful dress... you're so attractive. I wish you give us that look in all your videos .❤

  • @husseinsalimbora3534
    @husseinsalimbora3534 8 місяців тому +4

    Ahsante dada nipo na wewe daima katka couching zako.

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia9713 8 місяців тому +4

    She's beautiful na akili nyingi sana❤

  • @linnahmusiba4365
    @linnahmusiba4365 7 місяців тому +1

    Nana you are the best congratulations

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 5 місяців тому +1

    Binti nimempeda yupo vizuri❤❤❤

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 7 місяців тому +5

    Nimegundua wajerumani ni wakali ila ni watoaji sana wa pesa wanajua wajibu wao kama vichwa vya familia

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 7 місяців тому +1

    Nimewapenda bulee❤❤❤❤

  • @ClaraRuhara
    @ClaraRuhara 5 місяців тому

    Safi sana Enala umeongea vizuri

  • @MadinaAbduKyabazinga
    @MadinaAbduKyabazinga 8 місяців тому +3

    Shena uwe unauliza maswali ungeuliza reaction yao ilikuaje baada ya wao kumeet for the first day

  • @carolotieno26
    @carolotieno26 8 місяців тому +3

    Very inspiring

  • @NattiePeter
    @NattiePeter 6 місяців тому

    Asante shena
    Asante Enala

  • @ElikanaKiheka
    @ElikanaKiheka 5 місяців тому +1

    Safi sana aiseee

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 7 місяців тому

    Asante nimejifunza

  • @rukiyajama3492
    @rukiyajama3492 7 місяців тому +1

    Mungu akubariki

  • @laetitiamathe5779
    @laetitiamathe5779 8 місяців тому +3

    Amazing story

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa1038 8 місяців тому +1

    Ilikuwa Nzuri sana 😊

  • @emmystephen1518
    @emmystephen1518 Місяць тому +1

    Wapooo

  • @jennifersongani2734
    @jennifersongani2734 8 місяців тому +3

    Wajerumani 🔥

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 8 місяців тому +2

    Agemate big up sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 місяці тому +1

    Mi nachoamini kila mmoja bwana ma maisha yake,iwe ni kw awazingu au laa!
    Ndo maana ht interview humu story ni tofauti hzifanani
    Kuna ambao wamepata wanaume wazungu ambao wanawatunz vzr wanapewa pesa ,na kuna amabo qamembiwa wafanye kazi
    Jmn kil ammoja kivyake cha mhimu kuzi gati vitu mhimu,focus kwa unachotaka

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 8 місяців тому +1

    M napenda mzungu na mweusi waki changa dam😊

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 8 місяців тому +1

    Finally ❤

  • @GraceMona-v5b
    @GraceMona-v5b 6 місяців тому

    Nana mcute jamani hongera😊

  • @esterkivaria8986
    @esterkivaria8986 8 місяців тому +7

    Mama zetu wa kiafrika 😅😅

  • @SuzanneMyles
    @SuzanneMyles 8 місяців тому

    Nakupenda ❤❤❤

  • @SuzanneMyles
    @SuzanneMyles 8 місяців тому +1

    Enala babe❤❤❤😊

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 місяці тому

    Hakika , mwanamke anaweza badirisha mwanaume Kwa Neema ya Mungu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 місяці тому

    Mama wa kiafrika ktk ubir wake
    Dadeki mpk raha anafuatilia mpk chuo
    Nimempenda huyo mama

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 8 місяців тому +2

    Ushaur kwa agement Enala kaa ujerumani fanya cha maana usirud bongo myb kwenda kutembea tu

    • @Urembomilele_
      @Urembomilele_ 7 місяців тому

      Yan ataelewa badae

    • @emmanuelchiza7733
      @emmanuelchiza7733 7 місяців тому +1

      Acha fikra za kitumwa asirudi wewe
      tz kwanini? unafikiri ulaya ni peponi we bogasi kweli,,

    • @blessedaggie9159
      @blessedaggie9159 6 місяців тому +1

      Jamani, muacheni afanye anachotaka...maisha sio ulaya tu

    • @janethalley4046
      @janethalley4046 5 місяців тому

      Huyu dada anajua anachokifanya, my dears nimeishi nje 4 good years sio rahisi kama mnavyofikiria. Maisha ni magumu na hakuna enjoyment kama huku kwetu kwa hiyo mpaka amesema anataka kurudi anajua kitu gani atakuja kufanya huku kwetu

  • @lucymakendi2728
    @lucymakendi2728 3 місяці тому +1

    ❤❤

  • @sasibaluk5758
    @sasibaluk5758 8 місяців тому +1

    How I can contact you

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 8 місяців тому +2

    ASANTE SAN enala

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 8 місяців тому +3

    Shennah hilo swali la " unaelezeaje baada ya kuolewa na mzungu wanakuona tajiri " Mama Mzungu , wanajua una hela , tajiri umeshaliuliza sana , limeshajibiwa sana , kuendelea kuliuliza kila siku sioni kama lina faida tena ,
    Watazamaji wako tumeshaelewa .
    Uliza maswali mapya .

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 місяців тому +3

      Nitumie maswali mapya

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 8 місяців тому +5

      @@OfficialDatingAssistance
      1 . Tungependa kujua baada ya kufika majuu miezi yake ya mwanzo ilikuwa na changamoto gani ??
      Vyombo vya usafiri , supermarkets , grocery stores mwanzoni alipata changamoto gani ??
      2 . Je imechukua muda gani mpaka kaweza kumkaribisha Mama yake au Baba au dada yake ( Kwa wale ambayo wamewahi kualika ndugu zao .
      3 . Je imechukua muda gani kupata makaratasi / vibali. vya kazi na kuishi na changamoto ilikuwa ni nini au kwanini kwake amepata mapema ??
      4 . Je ndoto alizokuwa nazo muda mrefu za kudate au kuolewa na mzungu amekuta ni zile zile au amewakuta wazungu wako tofauti na alivyokuwa anawafikiria ??
      5 . Profile yake huko kwenye mitandao ya kimahusiano alitumia hiyo hiyo kila mtandao au kila mtandao aliweka tofauti ??
      6 . Je familia ya mume au mke ilikupokeaje baada ya kuonana nao ??
      6 . . Kama mgeni wako ni mjasuriamali mwulize ugumu au wepesi wa kuanzisha biashara kwenye nchi husika .
      7 . Mwulize kwenye nchi aliyopo kama binti yuko Africa ana ndoto ya kufika nchi hiyo na angependa kuwa mjasuriamali je atafute ujuzi kwenye kazi zipi ambazo zina soko kwenye nchi husika ??
      8 . Kila mgeni anaekuja mwulize Kwa culture ya mume wake au mke wake ni tabia ipi ambayo hutakiwi kuionyesha , kwetu ni sawa lakini kwao inawakwaza , hii itasaidia wanaotafuta wenza wajifunze .
      9 . N.k

    • @ManyemaCollection
      @ManyemaCollection 8 місяців тому

      Nimekupenda bure

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e 8 місяців тому

      😊

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 7 місяців тому +2

    Wasichana wakipindi hiki muwe macho mambo yanabadilika wazungu wazungu watawalaani.mashoga.mengi huyu mwacheni

  • @NzeyimanaVéronique
    @NzeyimanaVéronique 5 місяців тому

    Kabisa

  • @onesmowega85
    @onesmowega85 8 місяців тому +1

    Msongole❤

  • @KwizeLee
    @KwizeLee 7 місяців тому

    jamani iyo tinda tunaweza kuyitumiya ni app gani na inaomba pesa?

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le 3 місяці тому +1

    Shena natafuta Ile interview ya yule dada alisimulia mume wake aliondk alipo fika kwao alikuwa anaumwa na yeye anaumwa ndugu zake walimloga niandikaje nimeona amesema amekuta na mume wake

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 місяців тому +3

    Mama Mjedaa 😂😅

  • @DativaVedasto
    @DativaVedasto 4 місяці тому +1

    Dada shena unanifurahisha eti unaoga mahela hahahah

  • @monicaqawo459
    @monicaqawo459 6 місяців тому +1

    Shena natamani tungesikia your exclusive

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 5 місяців тому +1

    Inala ni wa kishua😂

  • @eobardthawne7126
    @eobardthawne7126 7 місяців тому

    How do I get on the show?

  • @AngelMinga-x6b
    @AngelMinga-x6b 2 місяці тому

    Dada shena mm spo facebok nifanyaje

  • @GGgh-dv8pd
    @GGgh-dv8pd 3 місяці тому

    Tupen Namba zenu

  • @mwaneylushino3389
    @mwaneylushino3389 8 місяців тому +1

    Natamani kujua profile yake tinder aliiwekaje,aliandikaje na picture zilikuwaje na zilikuwa ngapi

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 місяці тому

    😂😂nimecheka majibu ya mama ss

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 6 місяців тому

    Kila mbongo anataka mzungu,unadhani utapata mwanaume wa peke yako, mtashare tu, kama daladala ak😊ishuka huyu anapaanda huyu siku nzima

    • @ephigenianyange711
      @ephigenianyange711 5 місяців тому

      Sidhanii..na ikitokea akikuacha atakulipa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 місяці тому

      Wala wapo wadada wabongo ambao hawataki na hawana hata Muda n wazungu .
      Na wengi wanatoaka wazungu wamepitwa kwenye matukio sn ya kuumizwa na wanaume wanaamua kuangaia upande wa pili

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 місяці тому

    Yuko sahihi ,picha unazoweka ndio zitakuletea mtu unaemtaka

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 8 місяців тому

    Safi cana

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 5 місяців тому +1

    Uyu dada bado ajui anataka nn, kwaio anataka kukaa bongo aolewe na mjerumani?? Atakua hamtendei haki uyo mzungu...

  • @magrethpeter6049
    @magrethpeter6049 8 місяців тому

    Shena Mrs mzungu😂😂😂

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 4 місяці тому

    Eti mama anapenda maua, kwa mama wa kibongo gani aache kupenda vtenge.

  • @jossekiswaga9564
    @jossekiswaga9564 7 місяців тому +1

    Nimekupenda bure dada

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 6 місяців тому

    Na mimi niko Oman Nikiwa na story nakupataje

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 8 місяців тому +2

    Nice interview ❤️

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 8 місяців тому +1

    Dada tuletee wanaume Hawa wanawake wanategemea wanaume kwenye kuaso kwao mwanaume ndo ana stori nzuri ya kwake bila kumtegemea mtu tuletee wanaume Hawa madada story zao za wanaume inawezekana bila wanaume wa kizungu madada wa kiafrika ulaya awapawezi tupe dume

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 8 місяців тому +1

      Acha mawazo mgando kuna madada mahustler mbaya na hao wanaume unaowataja wadangaji pia wapo wengi tu km upo nje ndo utaelewa. Usijudge watu

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 8 місяців тому +1

      Sijamaanisha ni wadangaji nimesema tunataka motivation ya pande zote mbili Sasa mdada amekalia nimekutana na bwana ndo kanileta na wanaume mnamaanisha wakutane na mabwana tupe story nzuri yaan mabwana wawe wamekutana kwenye safari ya hustling

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 8 місяців тому +1

      @@suleimanbalemba3348 ndo nakujuza wanaume kibao wamefika ulaya na us kwa sababu ya wake zao🤣🤣🤣 kutoka Africa kuja huku kwa hustling sio easy kihivyo unavyodhani. Ni wachache sana wanaofika hvyo. Na huko mitandaoni wamejaa wanaume wa kiafrika ambao wako tayari hata kulipia ndoa za makaratasi ili waje sababu njia rahisi zaidi ya kufika nchi za watu ni kupitia ndoa kaka.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 місяців тому

      Maneno mazuri kabisa

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 місяців тому

      Well said

  • @abdullahaljabri110
    @abdullahaljabri110 7 місяців тому

    Tatizo wasichana wa bongo wengi wao wanatama na kutakaa kwa haraka alafu pesa wameweka mbelee sana kuliko utu

  • @ZawadiJoeli
    @ZawadiJoeli 8 місяців тому

    🤗❤️

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 8 місяців тому

    Hatusikii

  • @Serenawilson11
    @Serenawilson11 8 місяців тому +2

    Kuishi na wagermany sio kazi ndogo inatakiwa uwe kichaa hahaah arafu niseme hata mm nmepoteza marafiki wote sababu wakiniomba hela nasema sina wananinunia had leo sina rafiki ....

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 місяців тому

      Karibu kwenye kipindi Serena tupate darasa kutoka kwako

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 8 місяців тому

      @@OfficialDatingAssistance mambo yangu hayajakaa sawa dear ila takutafuta namba yako ninayo

    • @immaculateakilimali7220
      @immaculateakilimali7220 8 місяців тому

      Kujiunga na darasa ni kiasi gani

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 8 місяців тому

      @@immaculateakilimali7220 umemuelewa kwel dada shena ? Anamaansha nikaribie kutoa darasa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 місяці тому +1

      Wapuuzi ww hela unachuma?
      Wapotezee wajinga sio marafiki hao

  • @PetraBartosova-o6h
    @PetraBartosova-o6h 8 місяців тому

    Uyu dada tulipanda nae boti ya azam alikuwa na mzungu wake nimemkumbuka toka Zanzibar to dar

  • @IreneMsuya-y3r
    @IreneMsuya-y3r 3 місяці тому

    Je wazungu wakiachana huwa wanatembeleana kama mfano wa baba yako mkwe na mama mkwe wako au

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 місяців тому +2

    Jitahid ukae German kidogo Enala

  • @Nakhtal
    @Nakhtal 8 місяців тому +1

    huyu dada anaongea ukweli mm hapa nadate na mjerumani chamoto nakipata

    • @MaaneML
      @MaaneML 8 місяців тому

      Mimi nimeshakula na block kabisa. Niliona red flag nikamuliza ikawa kosa. Mzee miaka 58 ila niliona kama yuko na stress Sana.

    • @ZintanaAhmedy-pe4ou
      @ZintanaAhmedy-pe4ou 5 місяців тому

      Mhh ndugu yanguu Mimi nakarbia kufa kabisa na stress king'ang'anizi anajali sana kuhusu Mimi lakini Hela hanipi na Kila siku akija kwangu yeye Hana Hela inafika kipindi naona anajitesa hata yeye mwenyewe. Amepungua sas Mimi hata sielewii jamani nachokaaaa😢😢😢

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 місяці тому

      ​@@ZintanaAhmedy-pe4ouss SI umuache? Au mumeoana?

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa1038 8 місяців тому +1

    Nipo full white 😂😂😂😂

  • @annamussa185
    @annamussa185 8 місяців тому +1

    Jamani hivi Tinder huwa wanalipia or free?

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 8 місяців тому +1

      Za kulipia ni uhakika

    • @victorianambololo5718
      @victorianambololo5718 8 місяців тому +2

      Mimi nimejaribu kulipia,baada ya kutengeza card,lakini bado sijapata access ya kutuma ama kureply msg.

    • @rosemerryfaustin1900
      @rosemerryfaustin1900 8 місяців тому

      ​@@victorianambololo5718 umelipia vipi tafadhali

  • @SamiraSalim-w5t
    @SamiraSalim-w5t 7 місяців тому

    Poa

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 8 місяців тому +2

    ❤️❤️❤️

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 8 місяців тому +2

    ❤❤❤❤

  • @jennifersongani2734
    @jennifersongani2734 8 місяців тому +1

    ❤❤❤

  • @teddyvicky9901
    @teddyvicky9901 8 місяців тому +1

    ❤❤❤

    • @JessyKalonga
      @JessyKalonga 6 місяців тому

      Hongera msongole nilihudhuria Arusi yako karibu Tegeta

  • @JescaSesuni
    @JescaSesuni 7 місяців тому

    ❤❤