Ivi m23 nini ilianzaje na kwa madhumuni gani kwani migogoro ya wenyewekwanyewe vilianzaje nikwanini ilitokea hivyo angalieni sana watawala mambo haya yanayotokea leo hapa inawezekana hata wenzetu walikua naamani naupendo lakini ikatokea ujinga fulani nchi zao zikakosa amani
Huna msimamo, sijui imekuwaje nyie viongozi wetu wa dini mnakuwa waoga kusema ukweli, ma hii inawafanya mkose hata karama kwa Mungu. swala lipo wazi basi ongeeni ukweli tuone kumbe viongozi wetu wa Dini mmeshtushwa na hali hii. Mmekalia kupigia kelele waumini swala la sadaka tu.
Inaonyesha wewe unawajua watekaji, hebu twambie, watekaji na wauaji ni akina nani? Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya! Hiyo kazi yako ya uchungaji inakutosha, achana na uchawa we mzee wewe!
Hueleweki, hujulikani ulivyo, maoni yako ya hovyo kama ulivyo...... Kama, kama kama kama huwezi kuitumia kukanusha. Kweli wewe ni chawa kabisa unakiri kisha inakanusha pimbi.
Ni kweli kabisa hata Mchungaji mwingira ana kampuni ya ulinzi
Ulikuwepo kuona havihusiki jiangalie nyambafu
Hogela bishop wangu ikongo
Kweli kabisa Bishop
Serikali zote zilizopita na hii ya sasa ikiwepo zote ni zaa CCM kwahio huwezi kuzitenganisha awamu hizo.
Mbona mnamchambua kama karanga wandugu
Kwasasa ni idara ya uhamiaji na sio jeshi
Kweli sasa nchi hii tumekwisha huyu ndiyo Bishop kaamua kujizima (DATA ) Yesu mhurumie
😂😂😂😂
Hiyo miwani vipi?!!! Inakuwasha!!!
Ivi m23 nini ilianzaje na kwa madhumuni gani kwani migogoro ya wenyewekwanyewe vilianzaje nikwanini ilitokea hivyo angalieni sana watawala mambo haya yanayotokea leo hapa inawezekana hata wenzetu walikua naamani naupendo lakini ikatokea ujinga fulani nchi zao zikakosa amani
Huna msimamo, sijui imekuwaje nyie viongozi wetu wa dini mnakuwa waoga kusema ukweli, ma hii inawafanya mkose hata karama kwa Mungu. swala lipo wazi basi ongeeni ukweli tuone kumbe viongozi wetu wa Dini mmeshtushwa na hali hii. Mmekalia kupigia kelele waumini swala la sadaka tu.
Wewe ni chawa hata kama utaongea.
HAKIKA HAYA NI MANENO MAZITO YENYE PUMZI KWA WATU WENYE AKILI ZA MBALI...
How asimia 8 unaipataje. Ni Askofu wa NN.
Wewe si chawa bali ni kunguni.
Inaonyesha wewe unawajua watekaji, hebu twambie, watekaji na wauaji ni akina nani? Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya! Hiyo kazi yako ya uchungaji inakutosha, achana na uchawa we mzee wewe!
Toa jibu hizo asilimia umezipataje
Mmmmmm haya ni maoni yako sio m aya
Toka zako, mpuuzi.
Tena ni big chawa
Usamehewe
We ni chawa tena wa kihindi mkubwaaaaa,acha upumbavu
Huna lolote wew ni Chawa ndio
wewe hueliwi hakuna kitu hakuna Ukweli
Wewe ni mpumbafu unaongea usiololijua
Ujui chochote ww chawa tu
Hivi askari wetu wameshindwa kuwafahamu na kuwakamata hao unaowafahamu wewe?
Hueleweki, hujulikani ulivyo, maoni yako ya hovyo kama ulivyo...... Kama, kama kama kama huwezi kuitumia kukanusha. Kweli wewe ni chawa kabisa unakiri kisha inakanusha pimbi.
Ivi wewe mchungaji au kibaraka
😂😂😂😂
Hueleweki kama popo.Wewe ni ndege au mnyama?Kama hujuwi nyamaza si lazima uongee.