Ni huumbaji wa Mungu haukosolewi ila huyu baba ni upole plus upumbavu hata kama mtu ni mpole lakini muda mwengine akili inabidi itumike kwani wanawake wameisha achana nae tafuta mke mwengine utakuja kufa kihoro...
Hapa ukifuatilia Sana unaweza ukaambiwa huyu baba alimtelekeza mkewe maana nilimsikiliza mwanzo alihojiwa akasema anavua samaki huko kwa hio alihama kabisa akawa anakuja Mara moja moja Sasa huwezi jua kama nae alikua na mke huko akawatelekeza ila tunaomba tujue na upande wa pili
Hivi mumeo akikaa siku kumi na nane kazini siku kumi nyumban uone kakutelekeza tamaa tuu huyo mwanamke maana hata mm nimemsikiliza tena clip ndefu kuliko hii huyo mkewe inaonekana tamaa tuu ya pesa hakuna lingine wanawake sisi wengi wetu tumeweka pesa mbele
Anajisogeza Sasa baada ya kuona watoto wamesoma atakosa wa kuja kumsaidia atavuna alichokipanda watoto wana hasira sana hasa wakisikia jinsi anavyowachafua Mahakamani alienda lkn akashindwa maana wanajua hali halisi
Hii Dunia bado Kuna wanaume wanaojua kupenda hata mke akusaliti ni bora uoe mwingine nafsi yako iwe na Aman na Hao wtt watakujua tu Angalia maisha yako na mke mwingine
Ni lweli kabisa hata anavyoongea anaonekana ana aibu nyingi huyu muongo atakua alimtesa Sana mke wake na kaka akaamua kumchukua shemeji na watoto ili anusuru maisha ya huyu bwana Sasa ameamua kumchafua huyo kaka yake ili kumkomesha kwenye vyombo vya habari Kwanza anaonekana mkorofi Sana na nikatili huyu baba sihukumu lkn maelezo yake yanaonyesha sio kweli kabisa ya mtoto ndio anarudia rudia tu!
@@rosekaiza2716 mm nimesikiliza nikatazama na ongea yake na jinsi alivyo kaa nimeona kuna namna kiukweli geah kurusha hii habari kakosea sana alitakiwa adi apate upande wa 2 ndio angerusha na kuweka maendelezo matukio mengi ya ukatiri zidi ya wanawake Leo mwanamke aondoke tu kwa mwanaume alie mpenda na kumzaria watoto hapana ila ndio vyombo vyetu vya habari
Hii dunia ina mambo mengi sana, msiusemee moyo. Inawezekana mnaloona nyinyi sio kweli. Uchawi upo jamani na watu kila siku wanapewa masharti ya ajabu ajabu ili wawe na pesa. Yeye sio chizi hii ni media ya pili anaomba msaada wa kisheria kwa kuwa hana uwezo kama kuna mwanasheria atakayeweza kumsaidia. Hata wanawake pia huwa tunawapiga wanaume matukio.
Mmmh huyu baba nae achane na huyu mama muhimu apambane kujua kwaza hao watt wake maana mtihani mke amtaki watt awamtaki watt wanao warudi kijijini wakati maisha ya dar mazuri ndo hapo ss wanapo mkana baba yao
Dah kunawatu waonevu kwenye hii dunia 😢sasa uyo Kaka ake kama alikuwa anataka watoto akae nao siangemuomba tu kuliko kuwachukua kwanguvu Yaani awo watoto wamefundishwa amkatae baba yao
Pesa pesa pesa pesaaa 🙌hao watu laanakumllah pamoja na watoto unamkataa mzazi kisa pesa kweli.. Tena Sio watoto wadogo mitoto inajielewa 🙌Yaraby tuongeze na vizaz vyetu na utuepushe na hizi laana
Ukweli ni kwamba huyu Mtani au Mang"ombe Chilemeji anajikosha hivi Unaweza kumtekeleza mke na watoto zaidi ya miaka mitano? Hujui mke anaishije na watoto tena huko visiwani alipokuwa huyu baba alioa na kumwacha mkewe Ni muongo huyu Mtani kakae kasomesha watoto wote leo ndo anasema ujinga namna hii namfahamu tumetoka kijiji kimoja Ni jirani yangu na ndo maana baba zake wadogo waliona Ni mpumbavu mkewe alikuwa akifanya kazi ya upishi hapo shuleni kwa shemejie
Niliishiwa mb nimerudi nilikuwa naongea na huyu mkewe ambae Ni wifi yangu anasema toka andoke kwake 2014 tyr alikuwa katelekezwa miaka 8, huyu Mtani alikuwa Kwenye uvuvi wa samaki visiwani alioa wake 3 akawa nao huko hy kabaki na watoto akija anafikia kwao na hao wake zake je miaka 8 kuna ndoa? Mbaya kila akija Ni matusi ondoka sikutaki na watoto wako tena haya matoto Ni haramu ilifikia hatua akanyang'anywa mashamba ya kulima kijiji tunategemea mashamba je angeishije na watoto na kuna siku huyu baba alimfukuza na panga akitaka kumuua huyu ndo kukimbilia kwao sasa anapodai watoro hawasomi Ni uongo mkubwa mkubwa anamaliza chuo uganda anaesema kaolewa na babae mkubwa, wawili Wamenaliz a form six uganda wanasubiri kwenda chuo kikuu mmoja tunae hapa udom na mwingine yuko certificate dar leo ni zaidi ya miaka 19, hawako pamoja na watoto waliamua kwenda kwa baba yao mkubwa baada ya yy kusema Ni watoto haramu na Kweli walipoitwa polisi walimkana hata kama ni mimi
Kijiji kizima cha Nambaza wanajua fika kuwa alimtelekeza huyu mama na watoto na ni muda huyu mama yuko hapo kijijini kwao wote tunatoka kijiji kimoja na mtaa mmoja namjua sana huyu Mang'ombe au Mtani tatizo walioana wadogo sana mwanaume alikuwa na miaka 17 Na mke kati ya 16 au 17
mmmh makubwa ayo jamani kaka mtu kula kuku na vifaranga vyote mayai pia daah!!!weee umeweza kisa kusaidia kulea ata mungu awezi kubariki kumnyanyasa kaka yako mdongo
Wanawake tulivyokua wengi halafu wewe unakaa kumlilia mwanamke mmoja doh! si uachane nae tu tafuta mwanamke mwingine uishi nae huyo sio ridhiki na hata hao watoto inawezekana sio wako kweli inaonekana walianza zamani hao.
Huyo sio mwanamke baba yangu, pambana na hali yako, hiyo yote ni sababu ya umaskini, muombe Mungu Kama ni watoto wako ipo siku watakutafuta tuu, mbaya mkeo ndio aliekusaliti
Aise huruma sana ushauri wangu yaani Kaka yake n'a huyu jamaa watoto wote pamoja na huyu jamaa wote wapimwe DNA hatua hiii ya kwanza itasaidia kumjua kwanza baba wawatoto ni yupi baada ya hapo mmbaya atajulikana ni yupi na sheria itafuata mkondo wake na atachukuliwa hatua
Kweli inauma ila upole ukizidi sana haya ndio matokeo,inaonyesha fika huyo jamaa anatumia pesa yake kuhonga hadi polisi wakuthibitishie kua sio watoto wako na wala huna mke maana hata kama yeye alikua anakuja kwako na kutia mimba bado hawezi kujimwambafai kihivyo , jipange tafuta mke mwengine huyo hakufai atakuja kukuua hata kwa sumu usifosi mapenzi hapo tonge lishakuponyoka...
Sasa mbona mkewe alomuowa kwa ndoa hajawahi hata kuzaa nae na kasema hajwahi sikia kama kuna sehemu kuna mtoto kwahiyo mbegu zake kazalisha kwa shemeji yake tuu muongo huyo kaka ake mchawi tuu
Mwanamke si wako tena mzee wangu yani hakufai atakuwekea hata sumu ufe ili waishi kwa kujianafas labda watoto wako ndo wakuwadai Na Kama washakuwa watu wazima akili zao zikisharud vizur bas watakutafuta tu sio kuwang'ang'ania
Hao watoto nao watapigwa laaana na Mungu umri walionao wanafanya lusudi kumkana baba yao....hawakutakiwa kufanya hivo hata kama baba hana Mali...wamekosea sana
Huwezi kutembea na mama na mtoto wake km mtu mwenye akili timamu,itakuwa ndo wanaomuingizia pesa kwa njia ya magiza yake, pia ulisema alikuwa hawatunzi si kweli mbona kaoa mke mwingine na wanaoishi vizuri? Kakake ndo mgumba maana alioa na hakuzaa ,jamani km alihakukuta unaweza jibu unavyotaka
Inakuwaje alee watoto wako saba uliona wapi wewe? Unavyoambiwa watoto sio wako pengine mimba zilikuwa zinapandwa wakati mke upo nae kwako, Mzee utakufa kufuatilia hizo mambo
Sometimes subra ni ujinga, yaani miaka yote hiyo unajua kila kitu Na bado huchukui maamuzi, mm sikupi pole, mwanaume unashindwa kuwa Na maamuzi, maamuni nayo ni busara, ushachelewa ungekemea kipindi kile kile cha awali, hapo sasa chukua watt to bas huna chako hapo , kweli mwenye pesa ndo Ana nguvu
Mambo ya ndoa inaitaji usikize pande zote , hawa wanaume wa siku hizi waongo alaf wanakua wakwanza kutafta msaada wakati wao wenyewe kichaa.. wanawake wamechoka na uvumilivu wa kunyanyasika kisa ndoa
Ndio watoto sio wake niwakaka yake kwamaelezo anayo sema uyobaba kwamba yeye alikua anafanya kazi yauvuvi kujanyumbani nimarache kwahiyo hapo kaka alikua anafanya kazi yake kwamkeo
Yani mwanamke ambae sio muhuni anapata mume muhuni mwanaume ambae muhuni anapata mwanamke muhimu kwa nn wasingekuwa wanapatana muhuni kwa muhuni asiekuwa muhuni apate sio muhuni mwezie pole kwa kweli tafuta mke mwingine uyo akufai na usije mrudia maana utakapo mrudia ipo siku utakuja kumuuwa kwa7bu utakuwa na maumivu makubwa ya kutembea na kaka ako
Kuhusu mke mzee mkubwa achana nae, chukua watoto wapime DNA, kama sio wako nao achana nao, na uyo kakaako pia sio kaka sahihi kwako Fanya mambo yako achana nae, yawezekana pia uyo kaka anatumia ushirikina
Yaani kuna wanaume wa ajabu khaa yaani bado unamtaka huyo mwanamke huko ulikotoka hakuna wengine duuh sidhani kama una mtoto hapo kaka yako alishakuzunguka muda maskini daah pole tu...DNA ingekuwa rahisi mngepima lkn nakuonea huruma dah
Umaskini Mbaya sana aisee vijana wenzangu wa kiume tutafute sana hela....Mzee wangu Sali omba sana Mungu atakusaidia.
Kwa kwelii tafutaa pesaa sanaa
Yani inauma sana naitakua aliwa fundisha watoto wajibu hivyo😪😪😪😭😭
Kaka had huku
Umeona eeeh??
Pole sana baba mungu atakipa mwengine
Hao sio familia yako baba achana nao sio watu wazuri katika maisha yako
duh. maskini anatia huruma. miaka yote hiyo bado anamtaka mkewe!! ana upendo wa kweli kwa mkewe!
Ni huumbaji wa Mungu haukosolewi ila huyu baba ni upole plus upumbavu hata kama mtu ni mpole lakini muda mwengine akili inabidi itumike kwani wanawake wameisha achana nae tafuta mke mwengine utakuja kufa kihoro...
Wanini tena huyo mwanamke kashatembea na kaka ako mda mrefu huo achana nae atakuja kukuua
Amuache
Kifo kinamuita huyu ukiachwa achika iwe mke au mume nihatar sana sikuhiz kumng'ang'ania mtu ambae hakutak na kaisha kupiga tukio
@@missmoona4497 amuache tuu
Hapa ukifuatilia Sana unaweza ukaambiwa huyu baba alimtelekeza mkewe maana nilimsikiliza mwanzo alihojiwa akasema anavua samaki huko kwa hio alihama kabisa akawa anakuja Mara moja moja Sasa huwezi jua kama nae alikua na mke huko akawatelekeza ila tunaomba tujue na upande wa pili
Ni kweli kabisa
Hivi mumeo akikaa siku kumi na nane kazini siku kumi nyumban uone kakutelekeza tamaa tuu huyo mwanamke maana hata mm nimemsikiliza tena clip ndefu kuliko hii huyo mkewe inaonekana tamaa tuu ya pesa hakuna lingine wanawake sisi wengi wetu tumeweka pesa mbele
@@saidabdul5586 umesema kweli
Anajisogeza Sasa baada ya kuona watoto wamesoma atakosa wa kuja kumsaidia atavuna alichokipanda watoto wana hasira sana hasa wakisikia jinsi anavyowachafua Mahakamani alienda lkn akashindwa maana wanajua hali halisi
Daaah ndugu kbs sio poa
Hii Dunia bado Kuna wanaume wanaojua kupenda hata mke akusaliti ni bora uoe mwingine nafsi yako iwe na Aman na Hao wtt watakujua tu Angalia maisha yako na mke mwingine
Uyu nina mashaka nae uyu mwanaume mkorofi sasa hapo ana wachafua tu ...wanawake wamechoka matukio
Ni lweli kabisa hata anavyoongea anaonekana ana aibu nyingi huyu muongo atakua alimtesa Sana mke wake na kaka akaamua kumchukua shemeji na watoto ili anusuru maisha ya huyu bwana Sasa ameamua kumchafua huyo kaka yake ili kumkomesha kwenye vyombo vya habari Kwanza anaonekana mkorofi Sana na nikatili huyu baba sihukumu lkn maelezo yake yanaonyesha sio kweli kabisa ya mtoto ndio anarudia rudia tu!
@@rosekaiza2716 😂😂😂😂
@@rosekaiza2716 mm nimesikiliza nikatazama na ongea yake na jinsi alivyo kaa nimeona kuna namna kiukweli geah kurusha hii habari kakosea sana alitakiwa adi apate upande wa 2 ndio angerusha na kuweka maendelezo matukio mengi ya ukatiri zidi ya wanawake Leo mwanamke aondoke tu kwa mwanaume alie mpenda na kumzaria watoto hapana ila ndio vyombo vyetu vya habari
Aisha Aisha@ kweli lazima kuna Sababu muongo huyu Baba
Hii dunia ina mambo mengi sana, msiusemee moyo. Inawezekana mnaloona nyinyi sio kweli. Uchawi upo jamani na watu kila siku wanapewa masharti ya ajabu ajabu ili wawe na pesa. Yeye sio chizi hii ni media ya pili anaomba msaada wa kisheria kwa kuwa hana uwezo kama kuna mwanasheria atakayeweza kumsaidia. Hata wanawake pia huwa tunawapiga wanaume matukio.
Umasikini tatizo ungekua na pesa wangekusikiliza
Pole Sana Kwa Mitihani, ila Huyo Mke Achana Naye Kabsaaaa, Sheitan Huyo.Pigania Wanao.Wakupe Watoto Wako,Wazae Wao.
Apana iyo familia wanajua wanacho kifanya labda mali zake zina mtaka Asante ivyo
Acha ujingaaa wewe mzeee umeshakataliwa sasa siujue maisha yako vitu vyengine niujinga sanaa
Doh mama mchafu uyo...na ukute watoto si wake😱🤢😰
Achna nae uyo mwanamke na ao watot kaoe watot utapta wengne!km watot kwel wko watakuja2
Mambo ya kafara mashariti ya waganga hayo ❌
pole sana baba
tafuta mke mungine upate baraka hachana nao hao mafirauni wachafu
Mmmh huyu baba nae achane na huyu mama muhimu apambane kujua kwaza hao watt wake maana mtihani mke amtaki watt awamtaki watt wanao warudi kijijini wakati maisha ya dar mazuri ndo hapo ss wanapo mkana baba yao
Dah kunawatu waonevu kwenye hii dunia 😢sasa uyo Kaka ake kama alikuwa anataka watoto akae nao siangemuomba tu kuliko kuwachukua kwanguvu
Yaani awo watoto wamefundishwa amkatae baba yao
Pesa pesa pesa pesaaa 🙌hao watu laanakumllah pamoja na watoto unamkataa mzazi kisa pesa kweli.. Tena Sio watoto wadogo mitoto inajielewa 🙌Yaraby tuongeze na vizaz vyetu na utuepushe na hizi laana
Ukweli ni kwamba huyu Mtani au Mang"ombe Chilemeji anajikosha hivi Unaweza kumtekeleza mke na watoto zaidi ya miaka mitano? Hujui mke anaishije na watoto tena huko visiwani alipokuwa huyu baba alioa na kumwacha mkewe Ni muongo huyu Mtani kakae kasomesha watoto wote leo ndo anasema ujinga namna hii namfahamu tumetoka kijiji kimoja Ni jirani yangu na ndo maana baba zake wadogo waliona Ni mpumbavu mkewe alikuwa akifanya kazi ya upishi hapo shuleni kwa shemejie
@@bettermajubu7037 Kumbee!??!!
Niliishiwa mb nimerudi nilikuwa naongea na huyu mkewe ambae Ni wifi yangu anasema toka andoke kwake 2014 tyr alikuwa katelekezwa miaka 8, huyu Mtani alikuwa Kwenye uvuvi wa samaki visiwani alioa wake 3 akawa nao huko hy kabaki na watoto akija anafikia kwao na hao wake zake je miaka 8 kuna ndoa? Mbaya kila akija Ni matusi ondoka sikutaki na watoto wako tena haya matoto Ni haramu ilifikia hatua akanyang'anywa mashamba ya kulima kijiji tunategemea mashamba je angeishije na watoto na kuna siku huyu baba alimfukuza na panga akitaka kumuua huyu ndo kukimbilia kwao sasa anapodai watoro hawasomi Ni uongo mkubwa mkubwa anamaliza chuo uganda anaesema kaolewa na babae mkubwa, wawili Wamenaliz a form six uganda wanasubiri kwenda chuo kikuu mmoja tunae hapa udom na mwingine yuko certificate dar leo ni zaidi ya miaka 19, hawako pamoja na watoto waliamua kwenda kwa baba yao mkubwa baada ya yy kusema Ni watoto haramu na Kweli walipoitwa polisi walimkana hata kama ni mimi
Kijiji kizima cha Nambaza wanajua fika kuwa alimtelekeza huyu mama na watoto na ni muda huyu mama yuko hapo kijijini kwao wote tunatoka kijiji kimoja na mtaa mmoja namjua sana huyu Mang'ombe au Mtani tatizo walioana wadogo sana mwanaume alikuwa na miaka 17 Na mke kati ya 16 au 17
Umasikini mbaya sana!!!! Pole Sana Babaang
Mhm hao siyo watt wake ni watt wa kakake au wafanye DNA
Kabisaaa,hao co wanae inaonekana
Inawezekana sio wa kwake watoto
Au watoto wamepandikiziwa sumu na mama yao
Yote yanawezekana daah noma sana
Hao watoto wamepandikizwa chuki tuu wameona kwenye masirahi pesa mbaya sana
Aisee hii dunia inamambo sana mungu tufanyie wepesi
Eti unampenda mke wako kweli unamoyo gani huo we baba c unfanye maisha yako
Duuu amempola watoto wote sanaaa😭😭😭😭uyo kk ake sio bure ni mchawi🙆
mmmh makubwa ayo jamani kaka mtu kula kuku na vifaranga vyote mayai pia daah!!!weee umeweza kisa kusaidia kulea ata mungu awezi kubariki kumnyanyasa kaka yako mdongo
Kwa jinsi wanaume wanavyotutesa wanawake katika mahusiano siwezi kumuhurumia mwanaume wa aina hii ni pambe tu
Hahaaa sanna tuu
Hahahahaha
Mmh
😀😀😀😀
kwa kweli mn naona km dogo tuu hajatendwa akitendwa ata nguvu za kuenda ktk media au kumuita Geah akaongea acngekua nayo anaigiza huyu
Kunaneno limenichekesha japo ni huzuni eti na mke wangu anasoma from one
Wanawake tulivyokua wengi halafu wewe unakaa kumlilia mwanamke mmoja doh! si uachane nae tu tafuta mwanamke mwingine uishi nae huyo sio ridhiki na hata hao watoto inawezekana sio wako kweli inaonekana walianza zamani hao.
Ndoa anayong'ang'ania ivunjwe ni ya bint na baba ake mkubwa😭
Pole sana ndungu
Kweli wewe baba ndomana kaka yako kakuchukulia mke unaonekana hamnazo kabisa we fanya maisha yako
Yaani hadi linakeraa
Inalilliha wainaillahi rajioun pole sana babangu
0718898246 anipigie hio nirahisi sana nipe namba zangu au anitafute
Huyo kaka ake anaonekan wtt ni wake, si ana hel kaka ake apimwe DNA bac,
Hao watoto sio wako mkeo amezaa na kaka yako hushituki tu,ameamua kukaa sasa na familia yake mkapime DNA
Inauma
Tungepata maelezo kwa upande wa pili ingekuwa vizur pia.
Kabisa huyu Baba simuamini
@@maisarahakizimana7074 anaboa sana anataka MTU ambae yuko na kk yake siachanenao waolewe wote aendelee na maisha yake
Huyo sio mwanamke baba yangu, pambana na hali yako, hiyo yote ni sababu ya umaskini, muombe Mungu Kama ni watoto wako ipo siku watakutafuta tuu, mbaya mkeo ndio aliekusaliti
Yani inasikitisha na hatakama sio watoto wako bado lipo tatizo anaingiliana na watoto wake
Aise huruma sana ushauri wangu yaani Kaka yake n'a huyu jamaa watoto wote pamoja na huyu jamaa wote wapimwe DNA hatua hiii ya kwanza itasaidia kumjua kwanza baba wawatoto ni yupi baada ya hapo mmbaya atajulikana ni yupi na sheria itafuata mkondo wake na atachukuliwa hatua
Mm sitakubali eti unafundishie watoto wakae kwako hutaki wakaekwangu uwagundishee tembeza kiatu huyo jamaa naona ni freemason huyo
Uyo mwanamke s wakuishi nae ten wew maan n shetan
Kwanini na yeye amtake tena asimuache
duh! ya leo kali da Geah Mungu ampe uvumilivu huyu baba
Dunia hii jamani
@@kweka14l35 Ina mazito Mungu atueke mbali na mitihani ya kidunia
@@mamumiyaskitchenvlogs5858 ila anachekesha na kuhuzunisha 😭😂
@@kweka14l35 hhhh atekesha kidogo nae amelala mpaka mke ankwenda kwa kaka,watoto pia watwaliwa ye hatiifi fahamu hhh balaa Mungu atustiri
@@mamumiyaskitchenvlogs5858 namuonea huruma basi tu yaani watoto saba na mke 🙈🙈
Mungu Amlaan huyo jamaa 🤔
Babaangu mm naona uachane na mkeo na watt waache tu wapate elimu kama ni damu yako ipo cku watakuja tu wenyewe wewe sali ukiomba mungu
HILO JANAJIKE KAKUSALITI NA KAKAKO, NA WEWE BADO UNA MNGANGANIA! HUYO NI TAKATAKA ACHANA NAYE !!
Huenda hata haowatoto sio wake niwa kaka ake
@@roseuwambe8089 aswaaa yaani na itakua wameanza zamani
Geah uyo baba nikabira gani rabda mira yakwao
Amuache
@@roseuwambe8089 huenda
Umaskini huu jmn mungu msaidie huyu baba daah
Huyu baba vipi 😳 Yaani watoto saba unawaacha kwa kakayako awasomeshe? Na wewe ukiwa wapi? polesana Mungu atakusaidia
😭itakua wote sio wake niwa kaka akee
Walitoloka alikuwa anawasomesha wenyewe mke ndio mpika sumu kwa watoto
😂😂😂 watoto wote alikua wapi
Kweli inauma ila upole ukizidi sana haya ndio matokeo,inaonyesha fika huyo jamaa anatumia pesa yake kuhonga hadi polisi wakuthibitishie kua sio watoto wako na wala huna mke maana hata kama yeye alikua anakuja kwako na kutia mimba bado hawezi kujimwambafai kihivyo , jipange tafuta mke mwengine huyo hakufai atakuja kukuua hata kwa sumu usifosi mapenzi hapo tonge lishakuponyoka...
Mara hiyo mzee acha tafuta mke uoe.
Achan na mke wew pamban na watoto tu
Labda hao watoto mke wako
Kazaa na kaka yako
Sasa mbona mkewe alomuowa kwa ndoa hajawahi hata kuzaa nae na kasema hajwahi sikia kama kuna sehemu kuna mtoto kwahiyo mbegu zake kazalisha kwa shemeji yake tuu muongo huyo kaka ake mchawi tuu
Angepatikana na uyo mwanamke tumsikilizie nayeye duuh kama ni hivyo mbona bs utakua mtihani mkubwa wallah Tena ni msiba mzito
Dili tu na wanao huyo mwanamke hakufai tena
Dah,kaka mnyonge sana jmn
wa2 km hawa waogope best ndo viwembe siri ya mtungi na shilingi uciangalie upande 1
na hiyo siyo family hawana mana wote wako pamoja daa mtihani
Duuh jamani binadamu hata
Mwanamke si wako tena mzee wangu yani hakufai atakuwekea hata sumu ufe ili waishi kwa kujianafas labda watoto wako ndo wakuwadai Na Kama washakuwa watu wazima akili zao zikisharud vizur bas watakutafuta tu sio kuwang'ang'ania
😂😂😂😂😂😂😂😂BABA APO KITANDA AKIZAI HARAMU MKE ALIKUWA ANA ZAA NA KAKA YAKO
Kuna watu wanadhambi sana hii dunia
Pole bana
Hao watoto nao watapigwa laaana na Mungu umri walionao wanafanya lusudi kumkana baba yao....hawakutakiwa kufanya hivo hata kama baba hana Mali...wamekosea sana
Kisu Cha shingo ..kaka msenge
WANAWAKE WAPO WENGI BABAANGU ACHANA NAE HUYO MWANAMKE ASIJE AKAKUUWA JAMANI, WANAWAKE WAPO WENG SANA🤔🤔🤨
yn huyo mwanamke inaonekana kaanza mahusiano na kaka ake mda mlefu alafu kwann iyo familia wanakubalina nahilo swal
yn huyo mwanamke inaonekana kaanza mahusiano na kaka ake mda mlefu alafu kwann iyo familia wanakubalina nahilo swal
@@elizaschinga5749 NIKWELI KABISA, MANA WANAOGOPA KUMWAMBIA KISA ANAHELA 😢😢😢
Huwezi kutembea na mama na mtoto wake km mtu mwenye akili timamu,itakuwa ndo wanaomuingizia pesa kwa njia ya magiza yake, pia ulisema alikuwa hawatunzi si kweli mbona kaoa mke mwingine na wanaoishi vizuri? Kakake ndo mgumba maana alioa na hakuzaa ,jamani km alihakukuta unaweza jibu unavyotaka
ila wakulya ndo tabia zako kuna baba alilala na wanae wote wakiwa wadogo hata wakubwa na ndugu wanajua lkn wanafichaga mambo yao eti familia
Mwanaume akichukua mke wamtu amfanye wake na mke ana waschana wakike wakubwa bila shaka atalala na mtoto mkubwa wa huyo mke hiyo si siri
DNA ??????
Mmmh,huu ni mtihani wewe kaka achana na huyo mwanamke tena hao uwenda kakako amekutilia
NDUGU KUFAANA NA SIO KUFANANA NA HUYO MKE HAKUFAI TENA ALLAH ATAKUPA MWENYE KHERI NA WW , AMIIN YARABY
Ww kaka angu vp Mbona ilo jimke unalo linganganiya ata shepu alina endeleya kuishi na mke wako wa ssivi dai watoto tu ww
Inakuwaje alee watoto wako saba uliona wapi wewe? Unavyoambiwa watoto sio wako pengine mimba zilikuwa zinapandwa wakati mke upo nae kwako, Mzee utakufa kufuatilia hizo mambo
😭😭
Pesa! Ana shule, kwa hiyo amewaweka hapo, mmoja amemuoa na walimtoroka.
Sometimes subra ni ujinga, yaani miaka yote hiyo unajua kila kitu Na bado huchukui maamuzi, mm sikupi pole, mwanaume unashindwa kuwa Na maamuzi, maamuni nayo ni busara, ushachelewa ungekemea kipindi kile kile cha awali, hapo sasa chukua watt to bas huna chako hapo , kweli mwenye pesa ndo Ana nguvu
Huyu baba ana tatizo
Nyie dini gani!!?Kabila gani!!?Mila gani!!?binadamu au mumifanana na binadamu!!!,Mazingara gani!!?.kichefuchefu tu.
😂😂😂kweli yani kinyaaa sana
Huyu baba jamaniiii
Upendo gani huo
😂🤣🤣😂 sasa akirudi atampenda au atamuua
Huyo kakaako hana mke ? Pole sana lkn
Wewe ni mjiga sana hata Mimi nakukimbia
😂😂🤣🤣🤣 namshangaa sana kwanini anamtaka tena
Huyu baba kuna kitu anaficha story yake haijakaa sawa
@@cdeleo9336 sasa kwani kuna shida gani kusaidiwa kulea watoto badala afurahi yeye anachukia 😆
Sasa mkeo tayari amekusaliti na ndugu yako badala ushugulike upate watoto wewe wataka mke tena achana naye fata wanao
Km mwanaume yupo Benet na mm nitaangaika nahivyo hivyo lakin sio kufanya hichi kitu ukwel inaumiza
Mambo ya ndoa inaitaji usikize pande zote , hawa wanaume wa siku hizi waongo alaf wanakua wakwanza kutafta msaada wakati wao wenyewe kichaa.. wanawake wamechoka na uvumilivu wa kunyanyasika kisa ndoa
Hili bushoke kweli yaani uko radhi kurudiana na mkeo kaka yako akimuacha si uboya huyo
Duu masikini nimaonezi sana aniowe mimi
Inawezekana huyo mama aliwaambia wewe sio baba yao ukute anatembea namkeo muda mrefu sana pasipo wewe kujua
Nikweli na watoto sio wake niwa kaka ake
Ndio watoto sio wake niwakaka yake kwamaelezo anayo sema uyobaba kwamba yeye alikua anafanya kazi yauvuvi kujanyumbani nimarache kwahiyo hapo kaka alikua anafanya kazi yake kwamkeo
Yani mwanamke ambae sio muhuni anapata mume muhuni mwanaume ambae muhuni anapata mwanamke muhimu kwa nn wasingekuwa wanapatana muhuni kwa muhuni asiekuwa muhuni apate sio muhuni mwezie pole kwa kweli tafuta mke mwingine uyo akufai na usije mrudia maana utakapo mrudia ipo siku utakuja kumuuwa kwa7bu utakuwa na maumivu makubwa ya kutembea na kaka ako
Baharia unafeli wapi acha uzembe tumia mwili uo yani unaacha kuwatia vitasa wote wawili unakuja kulalamika mbele ya kamera
Ila wewe😂😂
Kuhusu mke mzee mkubwa achana nae, chukua watoto wapime DNA, kama sio wako nao achana nao, na uyo kakaako pia sio kaka sahihi kwako Fanya mambo yako achana nae, yawezekana pia uyo kaka anatumia ushirikina
Damu moja DNA majibu yatatoka ya kaka na mdogo wake
hapo cha kudai ni watoto wako tu, huyo mwanamke hakufai sio mke tena.
We baba acha ujinga watu wanatombwa na kaka yako bado unawataka du sio kupanda uko
Very sad
Hujielewi wew bado unampenda
Inawezekana hata watoto baadhi ya watoto sio wake kaka alianza kumzalisha kabla hajamtorosha
Kabisa kunauwezokano
Mtihani Daaa hapo kumaliza utata ni kupima DNA tu.😎
Watoto sio wake D N A haina haja maana hatawatoto wakitoka hapewi taalifa inamaana sio wake
DNA hiyo si damu moja
@@roseuwambe8089 mbona unaongea kwa uhakika wote kama wee ndio mkewe au walivokuwa wanakojoleana ulikwepo😄
@@roseuwambe8089 wa kwake maana kitanda hakizai haramu watoto wamezaliwa ndani ya ndoa saba wee useme sio wake
@@roseuwambe8089 kweli hiyo nayo Point usikute kakake alikuwa anakula siku 🥺
KITANDA HAKIZAI HARAMU WATTO WOTE WAKO KWA SHERIA UYO SIO MKE MWEMA USIMPENDE TENA HAKUFAI KABISA
Asilazishe huyo akafute mke mwingine na azae watoto wengine bado ananguvu huyo
Wakwanza mie leo
Jamani sheria itumike
Yaani kuna wanaume wa ajabu khaa yaani bado unamtaka huyo mwanamke huko ulikotoka hakuna wengine duuh sidhani kama una mtoto hapo kaka yako alishakuzunguka muda maskini daah pole tu...DNA ingekuwa rahisi mngepima lkn nakuonea huruma dah
Mkeo nae malaya unawezaje kutembea na mtu na kaka ake achana nae mwanamke mwenye stallah mwenye kujiheshimu awezi kulala na mtu na kaka ake
mmmh yaskie tuu kwa mwenzako
Achaujinga mwanamke wanini Achananae menya kitukingine huyo ni malaya labdafanya kuchukuwa watoto
Kwa Maelezo yako unaonekana "boya" yaani mkeo unanyang'anywaje yaani
😀😀
🤣🤣🤣🤣
Lakin iyo nika hana itamla kizazi na kizazi wewe subilia majibu ila muokoe mwanao
Maskini namuonea huruma aiseee inauma
Sana
Huyu bwana boya ndo maana kavaa blouse
Ha ha ha haaaaa