BABA ALALAMIKA KUCHUKULIWA MKE WAKE PAMOJA NA WATOTO WAKE/ WAMECHUKULIWA NA KAKA YAKE TUMBO MOJA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ •

  • @philipbruno9991
    @philipbruno9991 4 роки тому +24

    Umaskini Mbaya sana aisee vijana wenzangu wa kiume tutafute sana hela....Mzee wangu Sali omba sana Mungu atakusaidia.

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 роки тому +1

    Pole sana baba mungu atakipa mwengine

  • @allynura6084
    @allynura6084 4 роки тому +2

    Hao sio familia yako baba achana nao sio watu wazuri katika maisha yako

  • @khadijamasaninga1092
    @khadijamasaninga1092 4 роки тому +5

    duh. maskini anatia huruma. miaka yote hiyo bado anamtaka mkewe!! ana upendo wa kweli kwa mkewe!

  • @tunuyaomar5017
    @tunuyaomar5017 4 роки тому +2

    Ni huumbaji wa Mungu haukosolewi ila huyu baba ni upole plus upumbavu hata kama mtu ni mpole lakini muda mwengine akili inabidi itumike kwani wanawake wameisha achana nae tafuta mke mwengine utakuja kufa kihoro...

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi6671 4 роки тому +17

    Wanini tena huyo mwanamke kashatembea na kaka ako mda mrefu huo achana nae atakuja kukuua

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 4 роки тому

      Amuache

    • @missmoona4497
      @missmoona4497 4 роки тому

      Kifo kinamuita huyu ukiachwa achika iwe mke au mume nihatar sana sikuhiz kumng'ang'ania mtu ambae hakutak na kaisha kupiga tukio

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 4 роки тому

      @@missmoona4497 amuache tuu

  • @dalianakerefu490
    @dalianakerefu490 4 роки тому +5

    Hapa ukifuatilia Sana unaweza ukaambiwa huyu baba alimtelekeza mkewe maana nilimsikiliza mwanzo alihojiwa akasema anavua samaki huko kwa hio alihama kabisa akawa anakuja Mara moja moja Sasa huwezi jua kama nae alikua na mke huko akawatelekeza ila tunaomba tujue na upande wa pili

    • @gladysgeofrey2624
      @gladysgeofrey2624 4 роки тому

      Ni kweli kabisa

    • @saidabdul5586
      @saidabdul5586 4 роки тому +3

      Hivi mumeo akikaa siku kumi na nane kazini siku kumi nyumban uone kakutelekeza tamaa tuu huyo mwanamke maana hata mm nimemsikiliza tena clip ndefu kuliko hii huyo mkewe inaonekana tamaa tuu ya pesa hakuna lingine wanawake sisi wengi wetu tumeweka pesa mbele

    • @ramlamburi9743
      @ramlamburi9743 4 роки тому

      @@saidabdul5586 umesema kweli

    • @bettermajubu7037
      @bettermajubu7037 4 роки тому

      Anajisogeza Sasa baada ya kuona watoto wamesoma atakosa wa kuja kumsaidia atavuna alichokipanda watoto wana hasira sana hasa wakisikia jinsi anavyowachafua Mahakamani alienda lkn akashindwa maana wanajua hali halisi

  • @diahemedsalumdia6594
    @diahemedsalumdia6594 4 роки тому +1

    Daaah ndugu kbs sio poa

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 4 роки тому

    Hii Dunia bado Kuna wanaume wanaojua kupenda hata mke akusaliti ni bora uoe mwingine nafsi yako iwe na Aman na Hao wtt watakujua tu Angalia maisha yako na mke mwingine

  • @AishaAisha-rh1fc
    @AishaAisha-rh1fc 4 роки тому +16

    Uyu nina mashaka nae uyu mwanaume mkorofi sasa hapo ana wachafua tu ...wanawake wamechoka matukio

    • @rosekaiza2716
      @rosekaiza2716 4 роки тому +4

      Ni lweli kabisa hata anavyoongea anaonekana ana aibu nyingi huyu muongo atakua alimtesa Sana mke wake na kaka akaamua kumchukua shemeji na watoto ili anusuru maisha ya huyu bwana Sasa ameamua kumchafua huyo kaka yake ili kumkomesha kwenye vyombo vya habari Kwanza anaonekana mkorofi Sana na nikatili huyu baba sihukumu lkn maelezo yake yanaonyesha sio kweli kabisa ya mtoto ndio anarudia rudia tu!

    • @zulfamohamed4549
      @zulfamohamed4549 4 роки тому

      @@rosekaiza2716 😂😂😂😂

    • @AishaAisha-rh1fc
      @AishaAisha-rh1fc 4 роки тому +2

      @@rosekaiza2716 mm nimesikiliza nikatazama na ongea yake na jinsi alivyo kaa nimeona kuna namna kiukweli geah kurusha hii habari kakosea sana alitakiwa adi apate upande wa 2 ndio angerusha na kuweka maendelezo matukio mengi ya ukatiri zidi ya wanawake Leo mwanamke aondoke tu kwa mwanaume alie mpenda na kumzaria watoto hapana ila ndio vyombo vyetu vya habari

    • @maisarahakizimana7074
      @maisarahakizimana7074 4 роки тому +2

      Aisha Aisha@ kweli lazima kuna Sababu muongo huyu Baba

    • @meisme7540
      @meisme7540 4 роки тому +3

      Hii dunia ina mambo mengi sana, msiusemee moyo. Inawezekana mnaloona nyinyi sio kweli. Uchawi upo jamani na watu kila siku wanapewa masharti ya ajabu ajabu ili wawe na pesa. Yeye sio chizi hii ni media ya pili anaomba msaada wa kisheria kwa kuwa hana uwezo kama kuna mwanasheria atakayeweza kumsaidia. Hata wanawake pia huwa tunawapiga wanaume matukio.

  • @mrembowakisukuma1447
    @mrembowakisukuma1447 4 роки тому +8

    Umasikini tatizo ungekua na pesa wangekusikiliza

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 роки тому +2

    Pole Sana Kwa Mitihani, ila Huyo Mke Achana Naye Kabsaaaa, Sheitan Huyo.Pigania Wanao.Wakupe Watoto Wako,Wazae Wao.

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 4 роки тому

    Apana iyo familia wanajua wanacho kifanya labda mali zake zina mtaka Asante ivyo

  • @dulaijumaa2903
    @dulaijumaa2903 4 роки тому

    Acha ujingaaa wewe mzeee umeshakataliwa sasa siujue maisha yako vitu vyengine niujinga sanaa

  • @getruded4470
    @getruded4470 4 роки тому +2

    Doh mama mchafu uyo...na ukute watoto si wake😱🤢😰

  • @salhaissa2619
    @salhaissa2619 4 роки тому +5

    Achna nae uyo mwanamke na ao watot kaoe watot utapta wengne!km watot kwel wko watakuja2

  • @hadija846
    @hadija846 4 роки тому +1

    Mambo ya kafara mashariti ya waganga hayo ❌
    pole sana baba
    tafuta mke mungine upate baraka hachana nao hao mafirauni wachafu

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 4 роки тому +4

    Mmmh huyu baba nae achane na huyu mama muhimu apambane kujua kwaza hao watt wake maana mtihani mke amtaki watt awamtaki watt wanao warudi kijijini wakati maisha ya dar mazuri ndo hapo ss wanapo mkana baba yao

  • @ashanalinga8719
    @ashanalinga8719 4 роки тому +1

    Dah kunawatu waonevu kwenye hii dunia 😢sasa uyo Kaka ake kama alikuwa anataka watoto akae nao siangemuomba tu kuliko kuwachukua kwanguvu
    Yaani awo watoto wamefundishwa amkatae baba yao

  • @fatumaramadhan9301
    @fatumaramadhan9301 4 роки тому +3

    Pesa pesa pesa pesaaa 🙌hao watu laanakumllah pamoja na watoto unamkataa mzazi kisa pesa kweli.. Tena Sio watoto wadogo mitoto inajielewa 🙌Yaraby tuongeze na vizaz vyetu na utuepushe na hizi laana

    • @bettermajubu7037
      @bettermajubu7037 4 роки тому

      Ukweli ni kwamba huyu Mtani au Mang"ombe Chilemeji anajikosha hivi Unaweza kumtekeleza mke na watoto zaidi ya miaka mitano? Hujui mke anaishije na watoto tena huko visiwani alipokuwa huyu baba alioa na kumwacha mkewe Ni muongo huyu Mtani kakae kasomesha watoto wote leo ndo anasema ujinga namna hii namfahamu tumetoka kijiji kimoja Ni jirani yangu na ndo maana baba zake wadogo waliona Ni mpumbavu mkewe alikuwa akifanya kazi ya upishi hapo shuleni kwa shemejie

    • @fatumaramadhan9301
      @fatumaramadhan9301 4 роки тому

      @@bettermajubu7037 Kumbee!??!!

    • @bettermajubu7037
      @bettermajubu7037 4 роки тому

      Niliishiwa mb nimerudi nilikuwa naongea na huyu mkewe ambae Ni wifi yangu anasema toka andoke kwake 2014 tyr alikuwa katelekezwa miaka 8, huyu Mtani alikuwa Kwenye uvuvi wa samaki visiwani alioa wake 3 akawa nao huko hy kabaki na watoto akija anafikia kwao na hao wake zake je miaka 8 kuna ndoa? Mbaya kila akija Ni matusi ondoka sikutaki na watoto wako tena haya matoto Ni haramu ilifikia hatua akanyang'anywa mashamba ya kulima kijiji tunategemea mashamba je angeishije na watoto na kuna siku huyu baba alimfukuza na panga akitaka kumuua huyu ndo kukimbilia kwao sasa anapodai watoro hawasomi Ni uongo mkubwa mkubwa anamaliza chuo uganda anaesema kaolewa na babae mkubwa, wawili Wamenaliz a form six uganda wanasubiri kwenda chuo kikuu mmoja tunae hapa udom na mwingine yuko certificate dar leo ni zaidi ya miaka 19, hawako pamoja na watoto waliamua kwenda kwa baba yao mkubwa baada ya yy kusema Ni watoto haramu na Kweli walipoitwa polisi walimkana hata kama ni mimi

    • @bettermajubu7037
      @bettermajubu7037 4 роки тому

      Kijiji kizima cha Nambaza wanajua fika kuwa alimtelekeza huyu mama na watoto na ni muda huyu mama yuko hapo kijijini kwao wote tunatoka kijiji kimoja na mtaa mmoja namjua sana huyu Mang'ombe au Mtani tatizo walioana wadogo sana mwanaume alikuwa na miaka 17 Na mke kati ya 16 au 17

  • @bupekeresha2817
    @bupekeresha2817 4 роки тому

    Umasikini mbaya sana!!!! Pole Sana Babaang

  • @aysherkitoi1845
    @aysherkitoi1845 4 роки тому +3

    Mhm hao siyo watt wake ni watt wa kakake au wafanye DNA

    • @Haikaa255
      @Haikaa255 4 роки тому

      Kabisaaa,hao co wanae inaonekana

    • @abdullahrashid6297
      @abdullahrashid6297 4 роки тому +1

      Inawezekana sio wa kwake watoto
      Au watoto wamepandikiziwa sumu na mama yao
      Yote yanawezekana daah noma sana

    • @saidabdul5586
      @saidabdul5586 4 роки тому +2

      Hao watoto wamepandikizwa chuki tuu wameona kwenye masirahi pesa mbaya sana

  • @MrTouch-rm4rh
    @MrTouch-rm4rh 4 роки тому

    Aisee hii dunia inamambo sana mungu tufanyie wepesi

  • @happydaimon4060
    @happydaimon4060 4 роки тому

    Eti unampenda mke wako kweli unamoyo gani huo we baba c unfanye maisha yako

  • @estermahenge5972
    @estermahenge5972 Рік тому

    Duuu amempola watoto wote sanaaa😭😭😭😭uyo kk ake sio bure ni mchawi🙆

  • @rachealkitawa2153
    @rachealkitawa2153 4 роки тому

    mmmh makubwa ayo jamani kaka mtu kula kuku na vifaranga vyote mayai pia daah!!!weee umeweza kisa kusaidia kulea ata mungu awezi kubariki kumnyanyasa kaka yako mdongo

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 4 роки тому +4

    Kwa jinsi wanaume wanavyotutesa wanawake katika mahusiano siwezi kumuhurumia mwanaume wa aina hii ni pambe tu

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 3 роки тому

    Kunaneno limenichekesha japo ni huzuni eti na mke wangu anasoma from one

  • @rachelmsekena603
    @rachelmsekena603 4 роки тому +2

    Wanawake tulivyokua wengi halafu wewe unakaa kumlilia mwanamke mmoja doh! si uachane nae tu tafuta mwanamke mwingine uishi nae huyo sio ridhiki na hata hao watoto inawezekana sio wako kweli inaonekana walianza zamani hao.

    • @jemimabakari
      @jemimabakari 4 роки тому +1

      Ndoa anayong'ang'ania ivunjwe ni ya bint na baba ake mkubwa😭

  • @barakafidelisfidelis7451
    @barakafidelisfidelis7451 4 роки тому +3

    Pole sana ndungu

  • @happydaimon4060
    @happydaimon4060 4 роки тому +1

    Kweli wewe baba ndomana kaka yako kakuchukulia mke unaonekana hamnazo kabisa we fanya maisha yako

  • @naimaaliy604
    @naimaaliy604 4 роки тому +2

    Inalilliha wainaillahi rajioun pole sana babangu

    • @kissmarry8649
      @kissmarry8649 4 роки тому

      0718898246 anipigie hio nirahisi sana nipe namba zangu au anitafute

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 4 роки тому +1

    Huyo kaka ake anaonekan wtt ni wake, si ana hel kaka ake apimwe DNA bac,

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 4 роки тому +1

    Hao watoto sio wako mkeo amezaa na kaka yako hushituki tu,ameamua kukaa sasa na familia yake mkapime DNA

  • @agnesmajura2267
    @agnesmajura2267 4 роки тому

    Inauma

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 4 роки тому +4

    Tungepata maelezo kwa upande wa pili ingekuwa vizur pia.

    • @maisarahakizimana7074
      @maisarahakizimana7074 4 роки тому

      Kabisa huyu Baba simuamini

    • @adelinabaitu3291
      @adelinabaitu3291 4 роки тому

      @@maisarahakizimana7074 anaboa sana anataka MTU ambae yuko na kk yake siachanenao waolewe wote aendelee na maisha yake

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy9265 4 роки тому

    Huyo sio mwanamke baba yangu, pambana na hali yako, hiyo yote ni sababu ya umaskini, muombe Mungu Kama ni watoto wako ipo siku watakutafuta tuu, mbaya mkeo ndio aliekusaliti

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому

    Yani inasikitisha na hatakama sio watoto wako bado lipo tatizo anaingiliana na watoto wake

  • @mohamedkalumba5379
    @mohamedkalumba5379 3 роки тому

    Aise huruma sana ushauri wangu yaani Kaka yake n'a huyu jamaa watoto wote pamoja na huyu jamaa wote wapimwe DNA hatua hiii ya kwanza itasaidia kumjua kwanza baba wawatoto ni yupi baada ya hapo mmbaya atajulikana ni yupi na sheria itafuata mkondo wake na atachukuliwa hatua

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 роки тому +1

    Mm sitakubali eti unafundishie watoto wakae kwako hutaki wakaekwangu uwagundishee tembeza kiatu huyo jamaa naona ni freemason huyo

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed4549 4 роки тому +1

    Uyo mwanamke s wakuishi nae ten wew maan n shetan

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому

      Kwanini na yeye amtake tena asimuache

  • @mamumiyaskitchenvlogs5858
    @mamumiyaskitchenvlogs5858 4 роки тому +1

    duh! ya leo kali da Geah Mungu ampe uvumilivu huyu baba

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому +1

      Dunia hii jamani

    • @mamumiyaskitchenvlogs5858
      @mamumiyaskitchenvlogs5858 4 роки тому +1

      @@kweka14l35 Ina mazito Mungu atueke mbali na mitihani ya kidunia

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому +1

      @@mamumiyaskitchenvlogs5858 ila anachekesha na kuhuzunisha 😭😂

    • @mamumiyaskitchenvlogs5858
      @mamumiyaskitchenvlogs5858 4 роки тому +1

      @@kweka14l35 hhhh atekesha kidogo nae amelala mpaka mke ankwenda kwa kaka,watoto pia watwaliwa ye hatiifi fahamu hhh balaa Mungu atustiri

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому +1

      @@mamumiyaskitchenvlogs5858 namuonea huruma basi tu yaani watoto saba na mke 🙈🙈

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 роки тому +1

    Mungu Amlaan huyo jamaa 🤔

  • @citymwacheo4497
    @citymwacheo4497 4 роки тому

    Babaangu mm naona uachane na mkeo na watt waache tu wapate elimu kama ni damu yako ipo cku watakuja tu wenyewe wewe sali ukiomba mungu

  • @aquarianknight
    @aquarianknight 4 роки тому +12

    HILO JANAJIKE KAKUSALITI NA KAKAKO, NA WEWE BADO UNA MNGANGANIA! HUYO NI TAKATAKA ACHANA NAYE !!

  • @olivermunisi6396
    @olivermunisi6396 4 роки тому

    Umaskini huu jmn mungu msaidie huyu baba daah

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 4 роки тому +3

    Huyu baba vipi 😳 Yaani watoto saba unawaacha kwa kakayako awasomeshe? Na wewe ukiwa wapi? polesana Mungu atakusaidia

    • @roseuwambe8089
      @roseuwambe8089 4 роки тому

      😭itakua wote sio wake niwa kaka akee

    • @fatoomefathima5307
      @fatoomefathima5307 4 роки тому +1

      Walitoloka alikuwa anawasomesha wenyewe mke ndio mpika sumu kwa watoto

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому

      😂😂😂 watoto wote alikua wapi

  • @tunuyaomar5017
    @tunuyaomar5017 4 роки тому +1

    Kweli inauma ila upole ukizidi sana haya ndio matokeo,inaonyesha fika huyo jamaa anatumia pesa yake kuhonga hadi polisi wakuthibitishie kua sio watoto wako na wala huna mke maana hata kama yeye alikua anakuja kwako na kutia mimba bado hawezi kujimwambafai kihivyo , jipange tafuta mke mwengine huyo hakufai atakuja kukuua hata kwa sumu usifosi mapenzi hapo tonge lishakuponyoka...

  • @marrypius576
    @marrypius576 Рік тому

    Achan na mke wew pamban na watoto tu

  • @anjelamassawe8997
    @anjelamassawe8997 4 роки тому +5

    Labda hao watoto mke wako
    Kazaa na kaka yako

    • @saidabdul5586
      @saidabdul5586 4 роки тому

      Sasa mbona mkewe alomuowa kwa ndoa hajawahi hata kuzaa nae na kasema hajwahi sikia kama kuna sehemu kuna mtoto kwahiyo mbegu zake kazalisha kwa shemeji yake tuu muongo huyo kaka ake mchawi tuu

  • @asiakinia9344
    @asiakinia9344 4 роки тому

    Angepatikana na uyo mwanamke tumsikilizie nayeye duuh kama ni hivyo mbona bs utakua mtihani mkubwa wallah Tena ni msiba mzito

  • @rosemarymbungi9434
    @rosemarymbungi9434 4 роки тому +1

    Dili tu na wanao huyo mwanamke hakufai tena

  • @miriamlaurean2226
    @miriamlaurean2226 4 роки тому

    Dah,kaka mnyonge sana jmn

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 4 роки тому

      wa2 km hawa waogope best ndo viwembe siri ya mtungi na shilingi uciangalie upande 1

  • @zuwenaabrahman9913
    @zuwenaabrahman9913 4 роки тому

    na hiyo siyo family hawana mana wote wako pamoja daa mtihani

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 4 роки тому +3

    Duuh jamani binadamu hata

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 роки тому

    Mwanamke si wako tena mzee wangu yani hakufai atakuwekea hata sumu ufe ili waishi kwa kujianafas labda watoto wako ndo wakuwadai Na Kama washakuwa watu wazima akili zao zikisharud vizur bas watakutafuta tu sio kuwang'ang'ania

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 4 роки тому +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂BABA APO KITANDA AKIZAI HARAMU MKE ALIKUWA ANA ZAA NA KAKA YAKO

  • @kautharsalat6449
    @kautharsalat6449 4 роки тому +2

    Kuna watu wanadhambi sana hii dunia

  • @mecktildatushabe7898
    @mecktildatushabe7898 4 роки тому

    Pole bana

  • @halimahalid252
    @halimahalid252 4 роки тому

    Hao watoto nao watapigwa laaana na Mungu umri walionao wanafanya lusudi kumkana baba yao....hawakutakiwa kufanya hivo hata kama baba hana Mali...wamekosea sana

  • @mauvaisecompagnie951
    @mauvaisecompagnie951 3 роки тому

    Kisu Cha shingo ..kaka msenge

  • @du8284
    @du8284 4 роки тому +8

    WANAWAKE WAPO WENGI BABAANGU ACHANA NAE HUYO MWANAMKE ASIJE AKAKUUWA JAMANI, WANAWAKE WAPO WENG SANA🤔🤔🤨

    • @elizaschinga5749
      @elizaschinga5749 4 роки тому +1

      yn huyo mwanamke inaonekana kaanza mahusiano na kaka ake mda mlefu alafu kwann iyo familia wanakubalina nahilo swal

    • @elizaschinga5749
      @elizaschinga5749 4 роки тому

      yn huyo mwanamke inaonekana kaanza mahusiano na kaka ake mda mlefu alafu kwann iyo familia wanakubalina nahilo swal

    • @du8284
      @du8284 4 роки тому

      @@elizaschinga5749 NIKWELI KABISA, MANA WANAOGOPA KUMWAMBIA KISA ANAHELA 😢😢😢

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 роки тому

    Huwezi kutembea na mama na mtoto wake km mtu mwenye akili timamu,itakuwa ndo wanaomuingizia pesa kwa njia ya magiza yake, pia ulisema alikuwa hawatunzi si kweli mbona kaoa mke mwingine na wanaoishi vizuri? Kakake ndo mgumba maana alioa na hakuzaa ,jamani km alihakukuta unaweza jibu unavyotaka

  • @pendorobert3552
    @pendorobert3552 Рік тому

    ila wakulya ndo tabia zako kuna baba alilala na wanae wote wakiwa wadogo hata wakubwa na ndugu wanajua lkn wanafichaga mambo yao eti familia

  • @msafiribakari5941
    @msafiribakari5941 4 роки тому

    Mwanaume akichukua mke wamtu amfanye wake na mke ana waschana wakike wakubwa bila shaka atalala na mtoto mkubwa wa huyo mke hiyo si siri

  • @mamahustru
    @mamahustru 3 роки тому

    DNA ??????

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 4 роки тому

    Mmmh,huu ni mtihani wewe kaka achana na huyo mwanamke tena hao uwenda kakako amekutilia

  • @fauzafauza1873
    @fauzafauza1873 4 роки тому

    NDUGU KUFAANA NA SIO KUFANANA NA HUYO MKE HAKUFAI TENA ALLAH ATAKUPA MWENYE KHERI NA WW , AMIIN YARABY

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania3089 4 роки тому +1

    Ww kaka angu vp Mbona ilo jimke unalo linganganiya ata shepu alina endeleya kuishi na mke wako wa ssivi dai watoto tu ww

  • @directorndellu5436
    @directorndellu5436 4 роки тому +2

    Inakuwaje alee watoto wako saba uliona wapi wewe? Unavyoambiwa watoto sio wako pengine mimba zilikuwa zinapandwa wakati mke upo nae kwako, Mzee utakufa kufuatilia hizo mambo

    • @roseuwambe8089
      @roseuwambe8089 4 роки тому

      😭😭

    • @jemimabakari
      @jemimabakari 4 роки тому

      Pesa! Ana shule, kwa hiyo amewaweka hapo, mmoja amemuoa na walimtoroka.

  • @najma3268
    @najma3268 4 роки тому

    Sometimes subra ni ujinga, yaani miaka yote hiyo unajua kila kitu Na bado huchukui maamuzi, mm sikupi pole, mwanaume unashindwa kuwa Na maamuzi, maamuni nayo ni busara, ushachelewa ungekemea kipindi kile kile cha awali, hapo sasa chukua watt to bas huna chako hapo , kweli mwenye pesa ndo Ana nguvu

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 3 роки тому

    Huyu baba ana tatizo

  • @abuibra
    @abuibra 4 роки тому +2

    Nyie dini gani!!?Kabila gani!!?Mila gani!!?binadamu au mumifanana na binadamu!!!,Mazingara gani!!?.kichefuchefu tu.

  • @joynnko5186
    @joynnko5186 4 роки тому +1

    Huyu baba jamaniiii
    Upendo gani huo

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому

      😂🤣🤣😂 sasa akirudi atampenda au atamuua

  • @khadijahussen434
    @khadijahussen434 4 роки тому +1

    Huyo kakaako hana mke ? Pole sana lkn

  • @mamayahaya9739
    @mamayahaya9739 4 роки тому +2

    Wewe ni mjiga sana hata Mimi nakukimbia

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому

      😂😂🤣🤣🤣 namshangaa sana kwanini anamtaka tena

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 4 роки тому +1

      Huyu baba kuna kitu anaficha story yake haijakaa sawa

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому

      @@cdeleo9336 sasa kwani kuna shida gani kusaidiwa kulea watoto badala afurahi yeye anachukia 😆

  • @milkamugomo218
    @milkamugomo218 4 роки тому

    Sasa mkeo tayari amekusaliti na ndugu yako badala ushugulike upate watoto wewe wataka mke tena achana naye fata wanao

  • @fatmamustapha6929
    @fatmamustapha6929 4 роки тому

    Km mwanaume yupo Benet na mm nitaangaika nahivyo hivyo lakin sio kufanya hichi kitu ukwel inaumiza

  • @dinahdianah9653
    @dinahdianah9653 4 роки тому

    Mambo ya ndoa inaitaji usikize pande zote , hawa wanaume wa siku hizi waongo alaf wanakua wakwanza kutafta msaada wakati wao wenyewe kichaa.. wanawake wamechoka na uvumilivu wa kunyanyasika kisa ndoa

  • @mohdbest9488
    @mohdbest9488 4 роки тому +2

    Hili bushoke kweli yaani uko radhi kurudiana na mkeo kaka yako akimuacha si uboya huyo

    • @roseuwambe8089
      @roseuwambe8089 4 роки тому

      Duu masikini nimaonezi sana aniowe mimi

  • @saraSara-hi8mo
    @saraSara-hi8mo 4 роки тому +2

    Inawezekana huyo mama aliwaambia wewe sio baba yao ukute anatembea namkeo muda mrefu sana pasipo wewe kujua

    • @roseuwambe8089
      @roseuwambe8089 4 роки тому

      Nikweli na watoto sio wake niwa kaka ake

    • @saraSara-hi8mo
      @saraSara-hi8mo 4 роки тому

      Ndio watoto sio wake niwakaka yake kwamaelezo anayo sema uyobaba kwamba yeye alikua anafanya kazi yauvuvi kujanyumbani nimarache kwahiyo hapo kaka alikua anafanya kazi yake kwamkeo

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv 4 роки тому

    Yani mwanamke ambae sio muhuni anapata mume muhuni mwanaume ambae muhuni anapata mwanamke muhimu kwa nn wasingekuwa wanapatana muhuni kwa muhuni asiekuwa muhuni apate sio muhuni mwezie pole kwa kweli tafuta mke mwingine uyo akufai na usije mrudia maana utakapo mrudia ipo siku utakuja kumuuwa kwa7bu utakuwa na maumivu makubwa ya kutembea na kaka ako

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 4 роки тому

    Baharia unafeli wapi acha uzembe tumia mwili uo yani unaacha kuwatia vitasa wote wawili unakuja kulalamika mbele ya kamera

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 роки тому +2

    Kuhusu mke mzee mkubwa achana nae, chukua watoto wapime DNA, kama sio wako nao achana nao, na uyo kakaako pia sio kaka sahihi kwako Fanya mambo yako achana nae, yawezekana pia uyo kaka anatumia ushirikina

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 роки тому

      Damu moja DNA majibu yatatoka ya kaka na mdogo wake

  • @nikitadiamorelivingstone2831
    @nikitadiamorelivingstone2831 4 роки тому

    hapo cha kudai ni watoto wako tu, huyo mwanamke hakufai sio mke tena.

  • @OmanOman-bh4yh
    @OmanOman-bh4yh 4 роки тому +1

    We baba acha ujinga watu wanatombwa na kaka yako bado unawataka du sio kupanda uko

  • @monicaalute158
    @monicaalute158 4 роки тому

    Very sad

  • @modesterjulius1186
    @modesterjulius1186 4 роки тому

    Hujielewi wew bado unampenda

  • @minaahussein5056
    @minaahussein5056 4 роки тому

    Inawezekana hata watoto baadhi ya watoto sio wake kaka alianza kumzalisha kabla hajamtorosha

  • @leahsilau6983
    @leahsilau6983 4 роки тому +4

    Mtihani Daaa hapo kumaliza utata ni kupima DNA tu.😎

    • @roseuwambe8089
      @roseuwambe8089 4 роки тому +1

      Watoto sio wake D N A haina haja maana hatawatoto wakitoka hapewi taalifa inamaana sio wake

    • @jasminegabriel4247
      @jasminegabriel4247 4 роки тому +1

      DNA hiyo si damu moja

    • @saidabdul5586
      @saidabdul5586 4 роки тому

      @@roseuwambe8089 mbona unaongea kwa uhakika wote kama wee ndio mkewe au walivokuwa wanakojoleana ulikwepo😄

    • @saidabdul5586
      @saidabdul5586 4 роки тому +1

      @@roseuwambe8089 wa kwake maana kitanda hakizai haramu watoto wamezaliwa ndani ya ndoa saba wee useme sio wake

    • @leahsilau6983
      @leahsilau6983 4 роки тому

      @@roseuwambe8089 kweli hiyo nayo Point usikute kakake alikuwa anakula siku 🥺

  • @fauzafauza1873
    @fauzafauza1873 4 роки тому +2

    KITANDA HAKIZAI HARAMU WATTO WOTE WAKO KWA SHERIA UYO SIO MKE MWEMA USIMPENDE TENA HAKUFAI KABISA

  • @jacksonkadutu4444
    @jacksonkadutu4444 4 роки тому

    Asilazishe huyo akafute mke mwingine na azae watoto wengine bado ananguvu huyo

  • @marydaffa8205
    @marydaffa8205 4 роки тому +2

    Wakwanza mie leo

  • @martalositotiktok6590
    @martalositotiktok6590 4 роки тому

    Jamani sheria itumike

  • @asiaminja3556
    @asiaminja3556 4 роки тому

    Yaani kuna wanaume wa ajabu khaa yaani bado unamtaka huyo mwanamke huko ulikotoka hakuna wengine duuh sidhani kama una mtoto hapo kaka yako alishakuzunguka muda maskini daah pole tu...DNA ingekuwa rahisi mngepima lkn nakuonea huruma dah

  • @mwajabuhamisi7095
    @mwajabuhamisi7095 4 роки тому +1

    Mkeo nae malaya unawezaje kutembea na mtu na kaka ake achana nae mwanamke mwenye stallah mwenye kujiheshimu awezi kulala na mtu na kaka ake

  • @denischacha9104
    @denischacha9104 4 роки тому

    Achaujinga mwanamke wanini Achananae menya kitukingine huyo ni malaya labdafanya kuchukuwa watoto

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 4 роки тому +3

    Kwa Maelezo yako unaonekana "boya" yaani mkeo unanyang'anywaje yaani

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 4 роки тому

    Lakin iyo nika hana itamla kizazi na kizazi wewe subilia majibu ila muokoe mwanao

  • @wildatmsellem7531
    @wildatmsellem7531 4 роки тому +3

    Maskini namuonea huruma aiseee inauma