WANANCHI WAMEMCHOKA JIRANI MKOROFI ANAWAPIGA NA KUWATUKANA ANAWATISHIA/BASTOLA/NI MBAGALA KIBURUGWA
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- Kutoka Mbagala Kiburugwa ndipo tukio hili limetokea ambapo wananchi wa eneo hilo wamekuja juu kumlalamikia Jirani yao anayefahamika kwa jina la Mchaga kwamba anawanyanyasa hapo mtaani hawana raha anawapiga watoto na watu wazima na kuwatukana matusi makubwa.Mbali na hayo wananchi hao wamelalamika kwamba mtu huyo akifanya makosa yeye wakienda kumstaki wanakuja kukamatwa wao.Wanasema jambo hilo limewachosha wanaomba serikali iweze kuwasaidia wasije kuchukua sheria mkononi.
Fwatilia tukio hili kisha utoe maoni yako
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
Kikubwa Gear tunataka mrejesho wa habari hii pls! Pls! Fatilia kwa kina
Majuungu
Kwani Acid ni shilingi ngapi?
We akili yako kama yangu
Ningefanya tukio angemtafuta mchawi watu kama Hawa si wakulea
Kabisa tuntena ya macho mnamwagia apumzke kusumbua watu au hakuna wahuni wampe kichapo
Yani angekuwa makonda asinge nyamazia hili swala mjinga mmoja huyo mpumbavu sana
Umeonaeeh!?
Kabisaaa
Kwan kumkodia wahuni shngp wakambutua na yy
😀😀😀😀😀😀
Pwent tup wallah
hii kiburugwa gan mbona angekuwa mtaa ya home angefulah
Hapo ndio namkumbuka mh' mkuu wa mkoa mstaafu wa Dar Makonda yaan hapo angekua amesha mvagaa mara moja.
Watu watamkumbuka MAKONDA
Tunamkumbuka sana MAKONDA
makonda aliamua kutusaliti wakazi wa Dar
Umeona eeeeeeee natamani arudi makonda
Huu mwaka geah umenikosha🙌🙌 Sana kutuletea matukio
Mwandishi nenda kawahoji na hao askar waseme kwanini wanamfuga huyo mtu yani ninge kuwa mimi huo mtaa kingeeleweka
Kabisa
Kabisa
Kwann msimchangie,mvizieni mpigeni mawe huyo mbona mko wengi
Point
Hayo madai yawezekana hayo mashiko ni hila za watu.
Nayeye tumuone basi jmn dada geah, maana kama anamastress ya maisha. 🙄🙄🙄
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Ninyi wapumbavu bwana, mwageni petrol hapo usiku dumu mbili tu lita 40, kibaraza chote kilowe chepechepe, alafu bandikeni tangazo tu kwamba mzee hii ni warning. MTAMUONA KAMA ATAENDELEA.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣una unaatari wewe watafanya wamechoka aoo
Nakuunga mkono
Safi sana
Ndo hapo tunapomkumbuka Paul makonda
Huyo mshenzi mkubwa kuna baadhi ya polic wanakula nae sahani moja
Nikweli
Mwenye ela akai kiburugwa mchawi uyoooo.mpigeni ndumba akomoke
Safi Sana hapo kumaliza wenyewe ndo mpango mzima
poleni Sana lakini na nyinyi mpunguze kirimu
😂😂😂
Da geah inasikitisha sana mtu mzima kama huyo Mzee Said anadhalilishwa kuvuliwa nguo pasipo na sababu za msingi huyo ni Adolph Hittler lipazie sauti da Geah lipate ufumbuzi 🙁
NAMPENDA watz na kiswahili chao☺️☺️
@@empresssonia8254 😂😂😂
Mrejesho da geah!!!!
Usisahau kutuletea mrejesho da geah.
Kabisa ili tujue nini kimeendelea
Mmmmh
Kwani mnamuogopa nini kama vp mfanyieni kitu mbaya,muundie kamati maana kwa hali hiyo ni hatari
Uyo msambaa amjui mungu
Mtu mmoja anaangaisha Kijiji kizima kwani hakuna marijali ?
hapo akuna ukweli wowote mbona wanao ongea ni wanawake peke yao? waume zao wako wap? huo ni uzushi
huu mtaa hawaishi wanaume nni?
Nauyu mama amehongea kwa uzuni sana poleni sana
sio vzr
lkn niko na swali hawa wakina mama waume zao wako wapi ama wtt hawana baba zao wakamchukulia hatuwa
Hamisi wasambaa wakorofi nae achukuliwe Sheria mkononi wasambaa wakorofi haswa wanaume.
Subhnllah kwani yy atazikwa na hiyo nyumbo
Ila wasambaa ni wakorofi saana na si waelewa,tuna huyo jirani yetu gongolamboto huko ni shida kwenye mipaka utadhani hilo eneo akifa anazikwa nalo.Yaan ni malimbukeni na wana ukorofi wa kipumbavu sana
🖐🖐🖐wasambaaa jamn cjui wana nn
Msitusemeeeeeee
Haka kamtaa watu wanazaliana sana. Hivi kuna mgumba kweli? Halafu wanaongea utafikiri wamemeza radio free Afrika.hii ndiyo kero yangu.
Tumieni sheria mkononi mwache serikali imfae mtandikeni kichapo cha sawasawa cha uhakika iliiwefundisho kwa wengine
Jamani Makonda yupo wapi asaidie wanyonge
Sijui wamempeleka wapi
Uko mbagara Akuna Ata Mwanamke Mzuri ote Mko na Sura Za Kizee kwa Nini Mumechagua kwenda Otee uko jamani😃..Naona Ote wazee Mumechoka kweli kweli
Hahahahaaaaaa jaman
Kichekooo
Maisha
Ata wewe jiraniii unatusemaa
😁😁😁😁😄😄😄😃😃😃munguu ww demu wako siy bure ako na sura kamaaa papai
Wanaume wako wapi mbona wanawake tu vp serekali ichukue hatua
Jaman mitihan San
Kwan mnashindwa kumkomoa //???? Jikusanyen watu km 6 iv mnajipanga mlangon mwake mnakunya mav mafung fung ////..
🤣🤣🤣🤣Afadhali
Ndio DW ya jeur kibur
Duuu poleni
Hivi geah una ulinzi!!??
Huyo mtu ivi haioni aridhi kila kukicha inameza watu? Au majivuno tu ktk tumbo la dunia. Jumba lenyewe halina hadhi toka amelipaka rangi mwaka arobaini na saba.
Nanyie wapeni adabu watoto maana wamama wazima baaziyawamama um awana adab vitu vyamaajabu munatuoneshin
Hao wakuu wapolisi wa eneo Hilo wachunguzwe yaonekana nimafisadi
Nyote hapo mnasumbuliwa ni mtu moja si muanda mane nyote mumpige tuu kazi iishe kisha nae akashitaki mu ende nyote kituoni
Huyo mtu achukuliwe hatua haswa, huko kumpiga Mzee na kumfinya sehemu za siri, haiwezekani. Anajivisha ubabe wa mtaa kwa lazima.
Eti Chuki za Maisha Kwa nyumba ipi ulo nalo ilo gofii ata Usio Limaliza Kunyanyasa wezie uku Jumba ata Madirisha Yameoza ajulikani ndio Ume maliza kujenga or Ndio Unajenga Acha Kunyanyasa Watu Guruguja weeee
Hivi watu wengine Wana nini kwenye ubongo waooo
Huyo wmemlea pigeni afie mbali police waje wachukukue mtu wao
Uyo nikumaliza tu,mnampiga mbaka anazimia
Huyo ana tatizo
Subuhallah Allah karimu inshallah
Jamani dunia hina mambo🙆♀️. watoto ni malaika lazima wazazi waumiye
Kabisa
Uyo wifi jamani naomba namba zake
Daa jaman ivi hi dunia
Hap ndipo ninapo m mic makonda
Duh shikamoo msambaaa
Duu katisha sheria ifate mkondo wake mshenzi mkubwa angempiga mwanangu hangekiona chamtema kuni
Sura amuonyeshiii kwanini
Yani da geah sema uku mbali Ila kunalimtu Kama ilo
Angekuwa manzese 😂😂😂huyo kengee mda huu angeita yeye hii tv ahadithie
huyo mama mwenye dera jekundu muongo ni mnafiki hatari mm naishi jirani na hapo hata huyo mzee mshirikina cctr alimkuta akipiga chabo
Kwahiyo kumbe wanamsingizia?mmh makubwa!
Kwahiyo kumbe wanamsingizia?mmh makubwa!
Tanzania ya magufuli tunataka kuiona, why police wawakumbatie wahalifu? Serikali ichukue hatua
Poleni jamani 😢
Anavyojua kujitetea sasa
Hilo baba katili msamba weki
Uyo Baba ayupo sawa akachunguzwe
Duuuh Omar Ngasinda mtu bingwa kamshindwa huyo mtu aaah s/mtaa pambaneni mnaweza kumuhamisha huyo polisi ya kwenu sio mwisho
Mnapenda kulalamika lakini juhudi za kujilinda hamzitaki! Mkiambiwe mchukue mafunzo ya mgambo aua ulinizi wa sungusungu hamtaki..! Kwani ofisini kwa Sirro hamkujui..?
Atakuwa na matatizo hayuko sawa kichwani
Hhhg
Kwani huo mtaa hauna wanaume jamani daaah 😥
Masaa"la"le ...!! Dunia mbaya kweli jamani. Ndio nini kweli ati hii eh ?
Huyo mbwa kwann amumpangii mpango mkamwagia mafuta p kaiwasha Moto akafia mbali kunguni huyo
Daaah! Asiyefunzwa na mamae hufunzwa na Ulimwengu
Gea utembee na mabausa kipenz changu 😂😂😂😂siku utavamiwa
Sa
Sasa nyie mtaa wa kamili munachindwa kumtia kamba mukamchinja kama kuku
@@sakinaabdallah7713 🤣🤣🤣🤣🤣
@@sakinaabdallah7713 ulia mbali huko.
@@verdianabanabi5943 nakuunga mkono
Hivo mnapiga kelele kwa camera mjue anawaona, mtatolewa kwa nyumba mmoja mmoja .poleni lakini
Ni kwa vike yupo dar tuu yaan hamna wanaume angekua kaskazini angepona kichaa huyo
Nataka uje mtaani kwetu
Kama vip amkeni usiku mmoja mmwage petroli muunguzeni afe mbwa wa bluu huyoo
Huyo atatizo la akili
Kwa nn msingemwangi mchanga usoni upupu dawa yake Uyooo
Hyo ndio nyumba yake au??
Hao vijana wanamshindwa kweli jmn watu wa mbagara mnanichosha jmn khaaaaa
Duh dunia ina mambo
Mabaya ndoo yachekwayo 😂 huyu jirani atakuwa atembea na kuma ya nyani mbona aogopewa hivi
We ya onyesha ni mpemba maana sio kwa matusi hayo, Jina zuri matusi huendan nayo
Ashaaaaa!, acha mitusi, au tumuamishie msambaa mtaani kwako?
@@juliankamugisha9886 😂😂😂😂
😅😅😅😅
😂😂🤣🤣 Kuma ya nyani tena?ltabidi nami nikaitafute ili niogopwe mtaani
Msambaa kazua mambo uyo munampa jini tu anahangaika nalo shez
Kwani asiende kuishi uzunguni bwa a uyooooo
Uyo mpale yeye nani tena silo upo wapi jamni mbona watanzania wanateseka jamni makufuli
Uyu atakua anamatatizo ya akiri c mzima wambeleke milembe
Ni nanu huyu muhindi au maana kasema Bhaiyaji?
yule adui wa sizan ya chokorii
Duh angekuwa huku kwetu tungemkomesha na cheo chake
Hana Cheo Nyumba Yake Ina Kwambia
Nyie nanyi ni wazembe... Mnakosa njemba tatu za maana mtaani kwenu! Mnapaka mkongo, kisha mnakamata huyo mbuzi wa kisambaa mnamshkisha ukuta,,, sugua sana halafu mnamrecord shwain... Asipohama mtaa basi atajiua mamae, kwisha khabar yake.
Mhh hio adhabu asipoacha bac c mzima
Kwani petroli Lita 3 shingapi.
Mpende Jirani yako km nafsi yako.majirani tupendane
Huyo ni jini labda
mimi kama ningekuwa na kaa na uyo mzee mtaa mmoja angenijua kwa majina yangu yote kumi maana ningemsukumia kipigo cha maana
Yan hiy ndo dawa yake anapigwa kam ngoma😂😂😂
Huku hakuna wanaume jamani??
Mtiliyeni sumu huyo au mfanyeni chiz munalalamika hamna serekali ni pesa tu
Askar n huyo wote waingie ndani
Sasa polisi inamsindwaje huyo mmoja wawaweze wapinzani?
Wakina Maman nawashauriya nyinyi Nendeni KWA Rais J.P.Magufuli atawaita wale wote na Polici wataitwa nina imani hao Polici na Wengine watafukuzwa kazi tena Vizuri sana kabisa
pumbavu zake huyo anaepiga watu ❌ Yaani police sheria iko wapi jamani?
Jamani majirani fungekeni choteni hata mavi kila siku munamumwagia mlango mpka atakapo omba samahani
M heshimiwa rais magufuli lisikie kilio chao achukuliwe hatua huyo mtu jamani anawatesa watu
Subhanallah yni anaogopewa namna iyo daaaaaaah,