EXCLUSIVE: MAMA DANGOTE AFUNGUKA BAADA YA ZUCHU KUTOTOKEA KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 273

  • @trizahwanjiru4978
    @trizahwanjiru4978 2 роки тому +41

    That why nafanya niwezalo kwa mtoto wangu kesho yake aijuae Mungu babake atakuja kushuhudia zaidi ya hili,so proud of single moms who works tirelessly to make sure our kids are happy nd living like those who has dads eiish inapendeza

    • @annethsongwe6063
      @annethsongwe6063 2 роки тому

      Mnoooo my unawaza km mimi

    • @nuruahmed4842
      @nuruahmed4842 2 роки тому +4

      Na mungu kiukweli huwa anatujaalia sana single mother anaona jinsi tunavyopambana🙏Mungu tulindie watoto wetu ameen🙏🙏

    • @trizahwanjiru4978
      @trizahwanjiru4978 2 роки тому

      @@nuruahmed4842 Amen 🙏

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 роки тому +28

    Darleen katolewa kwenye familia..
    Pole Darleen

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku6293 2 роки тому +7

    Happy birthday mom huwa nakuangalia sana jins kipindi iko maisha yalipoanzia mpk leo na kijana wako naseeb

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 роки тому +8

    No make up today you look good and natural mama twende taratibu sasa jikubali👍

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому +1

    Mama Nassibu mzuri wa sura jamani,nakupenda sana dada angu.❤❤❤👍👍👍👍❤❤❤❤

  • @everlyneminayo3881
    @everlyneminayo3881 2 роки тому +7

    Aki mungu nibariki NAMI napatiye mamayangu pesa kama hii jamani😔

  • @apolinewangendo7363
    @apolinewangendo7363 2 роки тому +3

    HAPPY BIRTHDAY macherie tifa

  • @furahaemerance1218
    @furahaemerance1218 2 роки тому +6

    Happy birthday mama mzaa chema 54 but still looking fresh❤️❤️🌹

  • @elizabethwoga5140
    @elizabethwoga5140 2 роки тому +6

    Wow hongera mama

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 2 роки тому +5

    The Queen,

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 2 роки тому +10

    Kila la kheri mama dangote❤

  • @abednego3876
    @abednego3876 2 роки тому +80

    Unayesoma hapa fanya kazi kwa bidii sku moja umfanyie hili mzazi wako 🙏🙏🙏.

  • @sifamaombi3727
    @sifamaombi3727 2 роки тому +6

    Happy birthday to you mama

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 роки тому +5

    🔥❤️🔥

  • @lomonatz
    @lomonatz 2 роки тому +7

    Proud of u

  • @roselynealima3618
    @roselynealima3618 2 роки тому +3

    Tunakupenda mama from kenya

  • @blessedema9123
    @blessedema9123 2 роки тому

    I tap this blessings...in future this is what my kids will be doing to me.

  • @amissaabubakar2792
    @amissaabubakar2792 2 роки тому +3

    Joyeux anniversaire maman dangote

  • @bimkubwamohd3254
    @bimkubwamohd3254 2 роки тому

    nzuri sana

  • @lettysalala2504
    @lettysalala2504 2 роки тому +13

    Nampenda mama anapenda watoto wake wote

  • @boyiddy9323
    @boyiddy9323 2 роки тому +2

    Asante saaana mama kuzaa raha jamoooni🥰
    Kufuruu ya pesa hio

  • @khadijachao4546
    @khadijachao4546 2 роки тому +6

    Happy birthday mama dangote ,Allah akujalie umriy tawil

  • @estherndolo6237
    @estherndolo6237 2 роки тому +2

    Hope wambea mmeskia vizuri,mama dangote na zuchu ni marafiki wa karibu.

    • @perrygeorges
      @perrygeorges 2 роки тому +1

      awa ata wakiambiwa hawawezi sikia🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @estherndolo6237
      @estherndolo6237 2 роки тому +1

      @@perrygeorges 😂😂😂wanapenda kupea watu beef haiko na rumours za uwongo, we know them

  • @anjelinkasungungwanyi6713
    @anjelinkasungungwanyi6713 2 роки тому +1

    Happy birthday to you,mama tangote

  • @Rahmah-dr9xd
    @Rahmah-dr9xd 2 роки тому +7

    Duh kuna watu wanapesa

  • @carolinemusimbi9232
    @carolinemusimbi9232 2 роки тому +5

    54 mama dangote bado young kuzaa mdogo raha happy birthday mama dangote

  • @azomafiabanguboy698
    @azomafiabanguboy698 2 роки тому

    Courage. My mother

  • @bisimwadieume5064
    @bisimwadieume5064 2 роки тому +5

    Wow

  • @cosmecosta2631
    @cosmecosta2631 2 роки тому +7

    Hongera sana mama lakini upo tungi kidogo.

  • @auntykulu7013
    @auntykulu7013 2 роки тому

    Amin

  • @elysahussein5804
    @elysahussein5804 2 роки тому +5

    Mashaallah

  • @johnjefacharo9599
    @johnjefacharo9599 2 роки тому +1

    Queen Yuko wapi

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 роки тому +16

    Uyu mma muongo anajirudsha nyuma miaka aiseee

    • @SLTN4503
      @SLTN4503 2 роки тому +4

      sasa miaka yako ao yake..mbona makasiriko kweny miaka ya mwenzenu

    • @juliennenzeyimana3274
      @juliennenzeyimana3274 2 роки тому +1

      Uyo mama hakose myaka stini.nibasi tu nasura inakuwa inamufanana

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 2 роки тому +1

      Haya leiraty tuambie ww mamaake mzazi mwanao mama dangote anamiaka miaka mingapi

    • @tunsumejohntunsumejohn2210
      @tunsumejohntunsumejohn2210 2 роки тому +1

      Sasa miaka 54 michache jaman mlitaka aseme anamiaka 70? Diamond mwenyewe wa89

    • @kellythateacher1570
      @kellythateacher1570 2 роки тому

      😂😂😂

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 2 роки тому +25

    Diamond anatufanya sisi tusieleweke kwa wazazi wetu 🤣🤣

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 роки тому +1

      😁😁😁😁😁😁

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 2 роки тому +1

      🤣🤣🤣🤣 umenigusa

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 роки тому +2

      Nimecheka 😂😂😂

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 2 роки тому +3

      @@nancyg8664 cheka ila kama amesema ukweli ujue 😄😄😄😄

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 2 роки тому +2

      Wallah ipo siku tu na mm nataman nimtuze mama kwa chochote uwiii

  • @wastarabakry8740
    @wastarabakry8740 2 роки тому +23

    Kwanini kilasiku zuchu mbona mnamuandama sana

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 2 роки тому +3

    Kwini Darleen yuko wapi? Sio vizur bado ni mwanafamilia mkumbuke

  • @christinamwala9229
    @christinamwala9229 2 роки тому +3

    NAMI naomba siku moja nimjengee mama yangu japo nyumba ya bati

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 2 роки тому

    Hii imeweza

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 2 роки тому +1

    Mama via hilo kofia kama mkulima wa mkonge. Happy birthday

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 2 роки тому +6

    Ameen

  • @tida3727
    @tida3727 2 місяці тому

    Happy birthday mama Ndangote we appreciate you❤❤❤❤

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 2 роки тому +6

    wapi AUNCLE SHAMTE

  • @marthasimon9591
    @marthasimon9591 2 роки тому +4

    HAPPY BIRTHDAY MY LOVELY SISTER

  • @zaituneadremaneadremane5698
    @zaituneadremaneadremane5698 2 роки тому

    mashalha

  • @lindashagala9767
    @lindashagala9767 2 роки тому +2

    Happy birthday queen 👑

  • @kessykibunde7011
    @kessykibunde7011 2 роки тому

    Kila la kher mama mwenz mungu nasie kizaz chetu na hii njaa

  • @omarrashidi5990
    @omarrashidi5990 2 роки тому +1

    Vp Queen

  • @mariamakungwa5391
    @mariamakungwa5391 2 роки тому

    Jamani khaaaa

  • @naimamohamed2216
    @naimamohamed2216 2 роки тому +8

    mungu akufungulie milango ya kumuabudu na kuipa nyongo dunia

  • @gracehizza8525
    @gracehizza8525 2 роки тому

    Baba. Dangote yupo wapi

  • @lablondedivine7710
    @lablondedivine7710 2 роки тому

    Jamani Queen Darling kwenye hi familia inakuwaje

  • @phyinajonathan8082
    @phyinajonathan8082 2 роки тому +7

    Kwa hela hizi anaanzaje Sasa kuzeeka

  • @ashleystarqueen8780
    @ashleystarqueen8780 2 роки тому

    Jamani

  • @felizwanzagi8465
    @felizwanzagi8465 2 роки тому +3

    Happy birthday Mama 🎊🎊🎉😍

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 2 роки тому +1

    HB mama Diamond .may you blow a thousands candles.

  • @mariammbughi2702
    @mariammbughi2702 2 роки тому +1

    Kuzaa kuzuri🥰

  • @rehemadyamwale7475
    @rehemadyamwale7475 2 роки тому +7

    Mama kula Bata but usimsahau aliyekupa pumz kwa kutoa sadaka na kujenga misikiti Ni Mali ya kudumu hata ukifa unalipwa na Allah

    • @rustanilwilson394
      @rustanilwilson394 2 роки тому

      Wivu tu unatamani ungekua wew apo kama muda upo wakuzitumia zitumie

  • @aminamwanakombo2097
    @aminamwanakombo2097 2 роки тому +3

    Family yakitajiri mashaallah

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 роки тому +1

    Mama hawezi ruhusu mwanae aoe. Masharti

  • @silviafaraja8636
    @silviafaraja8636 2 роки тому +4

    Toeni sadaka Mungu atawaona sio show TU hapo

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 2 роки тому +1

      Sadaka sio mpaka mtu Ajitangaze....mwisho wa Mazungumzo yake kasema In sha Allah....inatosha kujuwa Amemtanguliza Mungu mbele....

    • @ethanethan4437
      @ethanethan4437 2 роки тому +1

      Tafuta pesa fala wewe njaaa inakusumbua

    • @mariamumuniss1338
      @mariamumuniss1338 2 роки тому

      We unatoaga

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 2 роки тому

    Kuzaaa kwemaaa

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 2 роки тому +3

    🔥🔥🔥🏆

  • @HansBwoi
    @HansBwoi 2 роки тому +5

    Kazoea kufanyiwa😜

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 2 роки тому +4

    Mwacheni zuchu ❤️

  • @cutemamy9602
    @cutemamy9602 2 роки тому +1

    Rj Leo Karopokaaaa...
    Kumbe Esma Sio Mama Ake Mama Dangotre

  • @Xconxeo_399
    @Xconxeo_399 Місяць тому

    Ana danganya mama diamond sasa mwaka 60

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 2 роки тому +12

    Mpeni na mzee Abdul basi hizo Pesa" Maskini, mzee Abdul maskini mama Untumia majii" yake ya uzima🤣🤣🤣🤣🤣

    • @joleal7941
      @joleal7941 2 роки тому

      Nhtr mutoto wetu mze abdul hajulikani

  • @buyoyasubira9444
    @buyoyasubira9444 2 роки тому

    Mbona hatujamuona mume wa Mama dangote

  • @tonykkabwe9937
    @tonykkabwe9937 2 роки тому

    ❤️

  • @sadajuma6714
    @sadajuma6714 2 роки тому

    Kwani uncle kasafiri?

  • @markismzurisana5994
    @markismzurisana5994 2 роки тому +6

    Mama dangote yuko bwiiiiii

  • @irenelucas7915
    @irenelucas7915 2 роки тому +1

    Ipo cku namimi mama yangu nitamnunulia gari

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 2 роки тому

    H b d mom

  • @zachaliamachibola8291
    @zachaliamachibola8291 2 роки тому +2

    Naona siku hizi umebadilika Sana saivi umekuwa mtu wa busara Sana na hekima ule usharo umeaza kuisha

    • @tourismtourism9204
      @tourismtourism9204 2 роки тому +1

      Anafamilia ndio maana ukiwa umeoa unabadilika na pia umri unasonga

  • @siyamanda7073
    @siyamanda7073 2 роки тому +6

    Huyu chizi malaya ndio kaingiza hii topic

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 роки тому

    Raha

  • @mbwanakhamis9634
    @mbwanakhamis9634 2 роки тому +2

    Jumaa bdo sna kua kma msii.... Yy bora tu awe chawa wa kawaida...

    • @maryjonh311
      @maryjonh311 2 роки тому

      Ni wakati wake jamani achen Makasiriko.Kutubu ni yeye na Mungu wake unataka akiwa anaomba awaite au.Kula Maisha Mama

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 роки тому

    Kishaumana

  • @luccysmith0002
    @luccysmith0002 2 роки тому

    Kwani mzee wake waliachana shamtel

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 2 роки тому +6

    Santana yuko wapi?

    • @bongelabwana7523
      @bongelabwana7523 2 роки тому

      Ndugu kuna likizo aisee we unataka afanye kazi kila siku

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 2 роки тому +2

    Uncle shamte kwani ashapigwa teke

  • @nangabohh3
    @nangabohh3 2 роки тому

    na huku mzee abdul anateseka sijui mtu unapata wapi hii nguvu.

  • @asharamadhani8668
    @asharamadhani8668 2 роки тому +1

    Yaani hapo uncle anaenda kuzibunya kirahisi kabisa, dah! Maisha haya

  • @cutemamy9602
    @cutemamy9602 2 роки тому +3

    Mbona Kwa Mtoto wake wa Kwanzaa🤣😂😂🤣

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Рік тому

    Sasa haya makofia kama mfuga ng'ombe vipi?

  • @paulinekabui649
    @paulinekabui649 2 роки тому

    Kwelu baba alienda wapi

  • @Alihamdulil
    @Alihamdulil 2 роки тому +2

    Uyooo maman mjinga sana kuliko kujijongeza kwa Allah kazi birthday 🎂 mjinga mze mzima watu hatujuwi kama ni mwislamu Ao kafiri subhanallah iviii haoni kama anakaribia kifo Hata Hidja hatakwenda

    • @bongelabwana7523
      @bongelabwana7523 2 роки тому +5

      Tafuta hela kijana ukiendelea hivi mbele ya safari utafirwa aisee, kwanza ukute unakaa kwa bibi bado, unateseka ukiwa kijijini?

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 2 роки тому +2

      Acha Wivu.....

    • @omarymhina6268
      @omarymhina6268 2 роки тому +1

      Kuwa na akili mungu ndio mna kuomb na kawek umri kun umri ukifk atakam ujanani aujafany ibada basi ukiwa mzee ibada muhimu sasa huy mama si umri kbsa wa mama Malia nyerere

    • @ethanethan4437
      @ethanethan4437 2 роки тому

      Njaaaa inakusumbua

    • @jamessimba749
      @jamessimba749 2 роки тому

      Kuna ndugu yako kaenda hija, mijitu mingine mipumbavu humu kufuatilia maisha ya watu

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 2 роки тому +3

    Duu si wangepeana kwa account Mara ziibiwe

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 2 роки тому +4

    Mama anaeinjio maisha 🙏🤣🔥

  • @michaelmkungula3754
    @michaelmkungula3754 2 роки тому +5

    Mama anavaa mapama duh

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 2 роки тому +1

    😘

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke9951 2 роки тому

    Babake Diamond Yuko wap hapo

  • @PItty322
    @PItty322 2 роки тому +4

    Ila sioni UBAYA pale

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому

    Taraj Mrembo

  • @fatmasaggaf107
    @fatmasaggaf107 2 роки тому +11

    Huyu Mama si mzima anaumwa hata akiongea ana pumzi pumzi

  • @salmaayubunyoka5417
    @salmaayubunyoka5417 Рік тому

    Haa kilakitukina mwisho mumeyuwapi sasa

  • @mariamumuniss1338
    @mariamumuniss1338 2 роки тому +2

    Wa2 ambao hawana ela wanamakasiriko

  • @activestudios.
    @activestudios. 2 роки тому

    Uswahili ukizaliwa wamwisho alafu ukawa na hela kuliko wengine unakuwa mtoto wa kwanza

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 2 роки тому

    Bibi dada

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 роки тому +9

    Huyu siku moja tu ambayo atakapo kuwa kitandani mahututi ndio atajuwa dunia tamu au mbaya mana ni muda wa kutubu dhambi zake ndio kwanza anakifanya mwehu

    • @heritier5119
      @heritier5119 2 роки тому +1

      Pesa zake wacha ale ujana

    • @hadijaabdallah8614
      @hadijaabdallah8614 2 роки тому

      Una uhakika hatubu dhana mbaya.

    • @modrinmaufi9142
      @modrinmaufi9142 2 роки тому

      Hahaha 😂 huo ni wivu tu Sasa mambo ya kufa yanausika Nini 😂😂

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 2 роки тому

      Ww umejuaje kama hatubu🤣au unataka awe anaitisha press conference ili uone akitubu

    • @isabellamethod1842
      @isabellamethod1842 2 роки тому

      Wew umetubu tuanzie hapo wivu tu acha makasiliko tafuta pesa kwahyo asifurahie kisa dhambi mkamilifu Mungu pekee