That why nafanya niwezalo kwa mtoto wangu kesho yake aijuae Mungu babake atakuja kushuhudia zaidi ya hili,so proud of single moms who works tirelessly to make sure our kids are happy nd living like those who has dads eiish inapendeza
Uyooo maman mjinga sana kuliko kujijongeza kwa Allah kazi birthday 🎂 mjinga mze mzima watu hatujuwi kama ni mwislamu Ao kafiri subhanallah iviii haoni kama anakaribia kifo Hata Hidja hatakwenda
Kuwa na akili mungu ndio mna kuomb na kawek umri kun umri ukifk atakam ujanani aujafany ibada basi ukiwa mzee ibada muhimu sasa huy mama si umri kbsa wa mama Malia nyerere
Huyu siku moja tu ambayo atakapo kuwa kitandani mahututi ndio atajuwa dunia tamu au mbaya mana ni muda wa kutubu dhambi zake ndio kwanza anakifanya mwehu
That why nafanya niwezalo kwa mtoto wangu kesho yake aijuae Mungu babake atakuja kushuhudia zaidi ya hili,so proud of single moms who works tirelessly to make sure our kids are happy nd living like those who has dads eiish inapendeza
Mnoooo my unawaza km mimi
Na mungu kiukweli huwa anatujaalia sana single mother anaona jinsi tunavyopambana🙏Mungu tulindie watoto wetu ameen🙏🙏
@@nuruahmed4842 Amen 🙏
Darleen katolewa kwenye familia..
Pole Darleen
Happy birthday mom huwa nakuangalia sana jins kipindi iko maisha yalipoanzia mpk leo na kijana wako naseeb
No make up today you look good and natural mama twende taratibu sasa jikubali👍
Mama Nassibu mzuri wa sura jamani,nakupenda sana dada angu.❤❤❤👍👍👍👍❤❤❤❤
Aki mungu nibariki NAMI napatiye mamayangu pesa kama hii jamani😔
HAPPY BIRTHDAY macherie tifa
Happy birthday mama mzaa chema 54 but still looking fresh❤️❤️🌹
Wow hongera mama
The Queen,
Kila la kheri mama dangote❤
Unayesoma hapa fanya kazi kwa bidii sku moja umfanyie hili mzazi wako 🙏🙏🙏.
Amiin
Natumai ww ushatafta izo pesa na saii upo site ukifanya hivi kwa wazaz wako
@@marksulle6120 😂😂
Eti wengine wanawatoa kafara wazazi wao
Ameen 🙏🙏🙏🙏
Happy birthday to you mama
🔥❤️🔥
Proud of u
Tunakupenda mama from kenya
I tap this blessings...in future this is what my kids will be doing to me.
Joyeux anniversaire maman dangote
nzuri sana
Nampenda mama anapenda watoto wake wote
Asante saaana mama kuzaa raha jamoooni🥰
Kufuruu ya pesa hio
Happy birthday mama dangote ,Allah akujalie umriy tawil
Hope wambea mmeskia vizuri,mama dangote na zuchu ni marafiki wa karibu.
awa ata wakiambiwa hawawezi sikia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@perrygeorges 😂😂😂wanapenda kupea watu beef haiko na rumours za uwongo, we know them
Happy birthday to you,mama tangote
Duh kuna watu wanapesa
54 mama dangote bado young kuzaa mdogo raha happy birthday mama dangote
Courage. My mother
Wow
Hongera sana mama lakini upo tungi kidogo.
Amepombekaaa
Amin
Mashaallah
Queen Yuko wapi
Uyu mma muongo anajirudsha nyuma miaka aiseee
sasa miaka yako ao yake..mbona makasiriko kweny miaka ya mwenzenu
Uyo mama hakose myaka stini.nibasi tu nasura inakuwa inamufanana
Haya leiraty tuambie ww mamaake mzazi mwanao mama dangote anamiaka miaka mingapi
Sasa miaka 54 michache jaman mlitaka aseme anamiaka 70? Diamond mwenyewe wa89
😂😂😂
Diamond anatufanya sisi tusieleweke kwa wazazi wetu 🤣🤣
😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣 umenigusa
Nimecheka 😂😂😂
@@nancyg8664 cheka ila kama amesema ukweli ujue 😄😄😄😄
Wallah ipo siku tu na mm nataman nimtuze mama kwa chochote uwiii
Kwanini kilasiku zuchu mbona mnamuandama sana
ALIYA VULIA NGUO SASA AYAOGE NIKAMA NIKIPOFU HAONI WALIO ZALISHWA WAREMBO NAWALIACHWA WOTE
Wakosa la kusema
Ulitakaje?.
Wanamssidia apate kick
Kwini Darleen yuko wapi? Sio vizur bado ni mwanafamilia mkumbuke
NAMI naomba siku moja nimjengee mama yangu japo nyumba ya bati
Hii imeweza
Mama via hilo kofia kama mkulima wa mkonge. Happy birthday
Ameen
Happy birthday mama Ndangote we appreciate you❤❤❤❤
wapi AUNCLE SHAMTE
HAPPY BIRTHDAY MY LOVELY SISTER
mashalha
Happy birthday queen 👑
Kila la kher mama mwenz mungu nasie kizaz chetu na hii njaa
Vp Queen
Jamani khaaaa
mungu akufungulie milango ya kumuabudu na kuipa nyongo dunia
Ameen
Baba. Dangote yupo wapi
Jamani Queen Darling kwenye hi familia inakuwaje
Kwa hela hizi anaanzaje Sasa kuzeeka
Jamani
Happy birthday Mama 🎊🎊🎉😍
HB mama Diamond .may you blow a thousands candles.
Kuzaa kuzuri🥰
Mama kula Bata but usimsahau aliyekupa pumz kwa kutoa sadaka na kujenga misikiti Ni Mali ya kudumu hata ukifa unalipwa na Allah
Wivu tu unatamani ungekua wew apo kama muda upo wakuzitumia zitumie
Family yakitajiri mashaallah
Mama hawezi ruhusu mwanae aoe. Masharti
Toeni sadaka Mungu atawaona sio show TU hapo
Sadaka sio mpaka mtu Ajitangaze....mwisho wa Mazungumzo yake kasema In sha Allah....inatosha kujuwa Amemtanguliza Mungu mbele....
Tafuta pesa fala wewe njaaa inakusumbua
We unatoaga
Kuzaaa kwemaaa
🔥🔥🔥🏆
Kazoea kufanyiwa😜
Mwacheni zuchu ❤️
Rj Leo Karopokaaaa...
Kumbe Esma Sio Mama Ake Mama Dangotre
Kasemaje??
Kwani ndo unajua LEO?
Ana danganya mama diamond sasa mwaka 60
Mpeni na mzee Abdul basi hizo Pesa" Maskini, mzee Abdul maskini mama Untumia majii" yake ya uzima🤣🤣🤣🤣🤣
Nhtr mutoto wetu mze abdul hajulikani
Mbona hatujamuona mume wa Mama dangote
❤️
Kwani uncle kasafiri?
Mama dangote yuko bwiiiiii
Anabonge la kofia
Alafu hapo alipo sema anko kazuga tu kuua so😃😃
Ipo cku namimi mama yangu nitamnunulia gari
Amen
H b d mom
Naona siku hizi umebadilika Sana saivi umekuwa mtu wa busara Sana na hekima ule usharo umeaza kuisha
Anafamilia ndio maana ukiwa umeoa unabadilika na pia umri unasonga
Huyu chizi malaya ndio kaingiza hii topic
Raha
Jumaa bdo sna kua kma msii.... Yy bora tu awe chawa wa kawaida...
Ni wakati wake jamani achen Makasiriko.Kutubu ni yeye na Mungu wake unataka akiwa anaomba awaite au.Kula Maisha Mama
Kishaumana
Kwani mzee wake waliachana shamtel
Santana yuko wapi?
Ndugu kuna likizo aisee we unataka afanye kazi kila siku
Uncle shamte kwani ashapigwa teke
na huku mzee abdul anateseka sijui mtu unapata wapi hii nguvu.
Yaani hapo uncle anaenda kuzibunya kirahisi kabisa, dah! Maisha haya
Mbona Kwa Mtoto wake wa Kwanzaa🤣😂😂🤣
Sasa haya makofia kama mfuga ng'ombe vipi?
Kwelu baba alienda wapi
Uyooo maman mjinga sana kuliko kujijongeza kwa Allah kazi birthday 🎂 mjinga mze mzima watu hatujuwi kama ni mwislamu Ao kafiri subhanallah iviii haoni kama anakaribia kifo Hata Hidja hatakwenda
Tafuta hela kijana ukiendelea hivi mbele ya safari utafirwa aisee, kwanza ukute unakaa kwa bibi bado, unateseka ukiwa kijijini?
Acha Wivu.....
Kuwa na akili mungu ndio mna kuomb na kawek umri kun umri ukifk atakam ujanani aujafany ibada basi ukiwa mzee ibada muhimu sasa huy mama si umri kbsa wa mama Malia nyerere
Njaaaa inakusumbua
Kuna ndugu yako kaenda hija, mijitu mingine mipumbavu humu kufuatilia maisha ya watu
Duu si wangepeana kwa account Mara ziibiwe
Mama anaeinjio maisha 🙏🤣🔥
Mama anavaa mapama duh
😘
Babake Diamond Yuko wap hapo
Ila sioni UBAYA pale
Taraj Mrembo
Huyu Mama si mzima anaumwa hata akiongea ana pumzi pumzi
Kalewa aonekana
Happy bdy mom simba
Haa kilakitukina mwisho mumeyuwapi sasa
Wa2 ambao hawana ela wanamakasiriko
Uswahili ukizaliwa wamwisho alafu ukawa na hela kuliko wengine unakuwa mtoto wa kwanza
Bibi dada
Huyu siku moja tu ambayo atakapo kuwa kitandani mahututi ndio atajuwa dunia tamu au mbaya mana ni muda wa kutubu dhambi zake ndio kwanza anakifanya mwehu
Pesa zake wacha ale ujana
Una uhakika hatubu dhana mbaya.
Hahaha 😂 huo ni wivu tu Sasa mambo ya kufa yanausika Nini 😂😂
Ww umejuaje kama hatubu🤣au unataka awe anaitisha press conference ili uone akitubu
Wew umetubu tuanzie hapo wivu tu acha makasiliko tafuta pesa kwahyo asifurahie kisa dhambi mkamilifu Mungu pekee