EXCLUSIVE: MAMA DANGOTE AFUNGUKA BAADA YA ZUCHU KUTOTOKEA KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE...
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- EXCLUSIVE: MAMA DANGOTE AFUNGUKA BAADA YA ZUCHU KUTOTOKEA KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
That why nafanya niwezalo kwa mtoto wangu kesho yake aijuae Mungu babake atakuja kushuhudia zaidi ya hili,so proud of single moms who works tirelessly to make sure our kids are happy nd living like those who has dads eiish inapendeza
Mnoooo my unawaza km mimi
Na mungu kiukweli huwa anatujaalia sana single mother anaona jinsi tunavyopambana🙏Mungu tulindie watoto wetu ameen🙏🙏
@@nuruahmed4842 Amen 🙏
Darleen katolewa kwenye familia..
Pole Darleen
Happy birthday mom huwa nakuangalia sana jins kipindi iko maisha yalipoanzia mpk leo na kijana wako naseeb
No make up today you look good and natural mama twende taratibu sasa jikubali👍
Mama Nassibu mzuri wa sura jamani,nakupenda sana dada angu.❤❤❤👍👍👍👍❤❤❤❤
Aki mungu nibariki NAMI napatiye mamayangu pesa kama hii jamani😔
Happy birthday mama mzaa chema 54 but still looking fresh❤️❤️🌹
Wow hongera mama
Happy birthday mama dangote ,Allah akujalie umriy tawil
Kila la kheri mama dangote❤
Asante saaana mama kuzaa raha jamoooni🥰
Kufuruu ya pesa hio
The Queen,
Hope wambea mmeskia vizuri,mama dangote na zuchu ni marafiki wa karibu.
awa ata wakiambiwa hawawezi sikia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@perrygeorges 😂😂😂wanapenda kupea watu beef haiko na rumours za uwongo, we know them
I tap this blessings...in future this is what my kids will be doing to me.
Nampenda mama anapenda watoto wake wote
wapi AUNCLE SHAMTE
Tunakupenda mama from kenya
Proud of u
Unayesoma hapa fanya kazi kwa bidii sku moja umfanyie hili mzazi wako 🙏🙏🙏.
Amiin
Natumai ww ushatafta izo pesa na saii upo site ukifanya hivi kwa wazaz wako
@@marksulle6120 😂😂
Eti wengine wanawatoa kafara wazazi wao
Ameen 🙏🙏🙏🙏
Uyu mma muongo anajirudsha nyuma miaka aiseee
sasa miaka yako ao yake..mbona makasiriko kweny miaka ya mwenzenu
Uyo mama hakose myaka stini.nibasi tu nasura inakuwa inamufanana
Haya leiraty tuambie ww mamaake mzazi mwanao mama dangote anamiaka miaka mingapi
Sasa miaka 54 michache jaman mlitaka aseme anamiaka 70? Diamond mwenyewe wa89
😂😂😂
Diamond anatufanya sisi tusieleweke kwa wazazi wetu 🤣🤣
😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣 umenigusa
Nimecheka 😂😂😂
@@nancyg8664 cheka ila kama amesema ukweli ujue 😄😄😄😄
Wallah ipo siku tu na mm nataman nimtuze mama kwa chochote uwiii
HAPPY BIRTHDAY macherie tifa
Happy birthday to you mama
Mama via hilo kofia kama mkulima wa mkonge. Happy birthday
Kwanini kilasiku zuchu mbona mnamuandama sana
ALIYA VULIA NGUO SASA AYAOGE NIKAMA NIKIPOFU HAONI WALIO ZALISHWA WAREMBO NAWALIACHWA WOTE
Wakosa la kusema
Ulitakaje?.
Wanamssidia apate kick
HB mama Diamond .may you blow a thousands candles.
Kila la kher mama mwenz mungu nasie kizaz chetu na hii njaa
Queen Yuko wapi
Happy birthday to you,mama tangote
Duh kuna watu wanapesa
nzuri sana
HAPPY BIRTHDAY MY LOVELY SISTER
Happy birthday queen 👑
Joyeux anniversaire maman dangote
54 mama dangote bado young kuzaa mdogo raha happy birthday mama dangote
Kwini Darleen yuko wapi? Sio vizur bado ni mwanafamilia mkumbuke
Jamani Queen Darling kwenye hi familia inakuwaje
Hongera sana mama lakini upo tungi kidogo.
Amepombekaaa
Kazoea kufanyiwa😜
Wow
Courage. My mother
Mbona Kwa Mtoto wake wa Kwanzaa🤣😂😂🤣
Mama hawezi ruhusu mwanae aoe. Masharti
Hii imeweza
Happy birthday Mama 🎊🎊🎉😍
NAMI naomba siku moja nimjengee mama yangu japo nyumba ya bati
Inshalah
Mama kula Bata but usimsahau aliyekupa pumz kwa kutoa sadaka na kujenga misikiti Ni Mali ya kudumu hata ukifa unalipwa na Allah
Wivu tu unatamani ungekua wew apo kama muda upo wakuzitumia zitumie
mungu akufungulie milango ya kumuabudu na kuipa nyongo dunia
Ameen
Baba. Dangote yupo wapi
Kwa hela hizi anaanzaje Sasa kuzeeka
Toeni sadaka Mungu atawaona sio show TU hapo
Sadaka sio mpaka mtu Ajitangaze....mwisho wa Mazungumzo yake kasema In sha Allah....inatosha kujuwa Amemtanguliza Mungu mbele....
Tafuta pesa fala wewe njaaa inakusumbua
We unatoaga
Mashaallah
Kuzaa kuzuri🥰
Rj Leo Karopokaaaa...
Kumbe Esma Sio Mama Ake Mama Dangotre
Kasemaje??
Kwani ndo unajua LEO?
Family yakitajiri mashaallah
Mpeni na mzee Abdul basi hizo Pesa" Maskini, mzee Abdul maskini mama Untumia majii" yake ya uzima🤣🤣🤣🤣🤣
Nhtr mutoto wetu mze abdul hajulikani
mashalha
Ameen
Huyu chizi malaya ndio kaingiza hii topic
Vp Queen
Happy birthday mama Ndangote we appreciate you❤❤❤❤
Santana yuko wapi?
Ndugu kuna likizo aisee we unataka afanye kazi kila siku
Uncle shamte kwani ashapigwa teke
Yaani hapo uncle anaenda kuzibunya kirahisi kabisa, dah! Maisha haya
🔥❤️🔥
Naona siku hizi umebadilika Sana saivi umekuwa mtu wa busara Sana na hekima ule usharo umeaza kuisha
Anafamilia ndio maana ukiwa umeoa unabadilika na pia umri unasonga
Mama anaeinjio maisha 🙏🤣🔥
Kwani uncle kasafiri?
Amin
Mbona hatujamuona mume wa Mama dangote
Mama dangote yuko bwiiiiii
Anabonge la kofia
Alafu hapo alipo sema anko kazuga tu kuua so😃😃
Ana danganya mama diamond sasa mwaka 60
Jamani khaaaa
Mwacheni zuchu ❤️
Kuzaaa kwemaaa
Ipo cku namimi mama yangu nitamnunulia gari
Amen
Jamani
Kwani mzee wake waliachana shamtel
Jumaa bdo sna kua kma msii.... Yy bora tu awe chawa wa kawaida...
Ni wakati wake jamani achen Makasiriko.Kutubu ni yeye na Mungu wake unataka akiwa anaomba awaite au.Kula Maisha Mama
Ila sioni UBAYA pale
Huyu Mama si mzima anaumwa hata akiongea ana pumzi pumzi
Kalewa aonekana
Happy bdy mom simba
Kwelu baba alienda wapi
Duu si wangepeana kwa account Mara ziibiwe
Huyu siku moja tu ambayo atakapo kuwa kitandani mahututi ndio atajuwa dunia tamu au mbaya mana ni muda wa kutubu dhambi zake ndio kwanza anakifanya mwehu
Pesa zake wacha ale ujana
Una uhakika hatubu dhana mbaya.
Hahaha 😂 huo ni wivu tu Sasa mambo ya kufa yanausika Nini 😂😂
Ww umejuaje kama hatubu🤣au unataka awe anaitisha press conference ili uone akitubu
Wew umetubu tuanzie hapo wivu tu acha makasiliko tafuta pesa kwahyo asifurahie kisa dhambi mkamilifu Mungu pekee
uyu mmama kalewa uyu mbna anavoongea haeleweki😂kutoka kutoka
Uyooo maman mjinga sana kuliko kujijongeza kwa Allah kazi birthday 🎂 mjinga mze mzima watu hatujuwi kama ni mwislamu Ao kafiri subhanallah iviii haoni kama anakaribia kifo Hata Hidja hatakwenda
Tafuta hela kijana ukiendelea hivi mbele ya safari utafirwa aisee, kwanza ukute unakaa kwa bibi bado, unateseka ukiwa kijijini?
Acha Wivu.....
Kuwa na akili mungu ndio mna kuomb na kawek umri kun umri ukifk atakam ujanani aujafany ibada basi ukiwa mzee ibada muhimu sasa huy mama si umri kbsa wa mama Malia nyerere
Njaaaa inakusumbua
Kuna ndugu yako kaenda hija, mijitu mingine mipumbavu humu kufuatilia maisha ya watu
🔥🔥🔥🏆
na huku mzee abdul anateseka sijui mtu unapata wapi hii nguvu.
Babake Diamond Yuko wap hapo
Ulipoona zuchu hakufika ukaitowa hewani haraka. Wiv inakusumbuwa.
Sasa haya makofia kama mfuga ng'ombe vipi?
Uswahili ukizaliwa wamwisho alafu ukawa na hela kuliko wengine unakuwa mtoto wa kwanza
Jamanii milion ishirilini za kitanzania hivi Kenya milioni ngapi
labda laki moja
OK sijawahi elewa hii tabia ya kutoa cash in this day and age surely. Ama it's TZ culture. Kuna bank transfer etc. Who walks with cash 😂
Show off Hao
Achane chuki watoto wa kiume ...hii ndio tamaduni zetu Tanzania ..kutuza pesa ...adi msibani lazima ubebe pesa ila kumfariji mfiwa
@@mohdykessy38 lies
Wa2 ambao hawana ela wanamakasiriko
Mama hija inakusubir usikalie dunia ni ukumbusho tu
Mhmm hana habari na akhera
@@sabihaibrahim143 habari zahuko tuzifikirie sisi tu
Mungu atuhidi
Muhimu ni kumkumbusha
Hata ww pia jitafakar juu y hija
Mama kumbe bado unalipa 54
🤔🤔sisi tunatabika Oman hayupati pesa
Mpambane mtapata 😂
Ivi mnafikili anko shamte ataondoka apo kweli
Wewe ungeondoka
Hayo ma Hp munayo mupa nikujipendekeza alipo kua maskini hamukumuona