SIRI 4 ZA UTAJIRI KATIKA BIASHARA
Вставка
- Опубліковано 29 тра 2020
- Siri nne (4) za utajiri katika biashara yoyote ile utakayopanga kuifanya basi maelezo yaliyo katika video hii yatakusaidia sana unapoanza biashara ndogo au kubwa na kufanya uweze kufanikiwa sana.
Usiache ku subscribe, comment, share and Like this video.
Share this video with a friend: • SIRI 4 ZA UTAJIRI KATI...
Let’s connect:
Instagram: / bro.babuu
Twitter: / brobabuu
MY CHANEL: cutt.ly/U1JJpZx
#SIRI #UTAJIRI #BIASHARA
Maelezo yaliyo katika video hii yatakusaidia sana unapoanza biashara ndogo au kubwa na kufanya uweze kufanikiwa sana.
.
Asante mwalimu kwa somo nzuri hii, nashukuru
Asante kk
iko mkao mzee shukrani ziende kwa mdhamini wetu wa kipindi
Shukrani buda.. Mdhamini kama mdamini au sio
Naipenda haswa pande ya uaminifu
Umejifunza nini apo kwen uaminifu.
This is what i call PROPER USE OF SOCIAL NETWORK
I wish everyone to have the same mindset, You are very RIGHT Magida
Kabisa mzee wangu
Pamoja sana!
Asante
Bro Asante sana kwa ushaur wako ubalikiwe sana
Amen. Karibu sana
Bro nmekuelewa sana
bro this is awesome...umeniongezea thamani today
Shukrani sana mkuu.. 💫
Mambo
Fresh sana mkuu. Mbabe TV
@@brobabuu3973 nice
Nakubari sana bro
Asante sana ndugu.
Good
Thanks Yussuf
Point tupu kubwa SANA
Ipi umeielewa sana?
Nitumie namba yoko bloo
*0766245639* WhatsApp
Makini sana akili mingi
naam
Ndugu nimekuelewa sanaa
asante ssana ndugu
Umkopeshapo jirani yako cho chote kikopeshwacho usiingie katika nyumba yake kwenda kutwaa rehani kwake.
Kumbukumbu la Torati 24:10
Simama nje, yule umkopeshaye akuletee nje ile rehani.
Kumbukumbu la Torati 24:11
Naye akiwa ni mtu maskini, usilale na rehani yake.
Kumbukumbu la Torati 24:12
Sharti umrudishie rehani lichwapo jua, apate kulala na mavazi yake, na kukubarikia; nayo itakuwa ni haki kwako mbele za Bwana, Mungu wako.
Kumbukumbu la Torati 24:13
Usimwonee mtumishi mwenye ujira aliye maskini na uhitaji, kama ni wa nduguzo, au kama ni wageni wako mmojawapo walio katika nchi yako, ndani ya malango yako;
Kumbukumbu la Torati 24:14
mpe ujira wake kwa siku yake, wala jua lisichwe juu yake; kwa maana ni maskini, moyo wake umeutumainia huo; asije akamlilia Bwana juu yako, ikawa ni dhambi kwako.
Kumbukumbu la Torati 24:15
Barikiwa sana MKUSHI. Nimependa sana maneno yako.
@@brobabuu3973 nilipata point moja na nimechukua hiyo kuifanyia kazi. Hasa Siri ya tatu na nne hasa nne
Mm nahitaji kujua hyo uliyofundishia ni program gani na ninaweza vp kuipata?
Km nikipata nanba yako itapendeza zaidi. Asante!
Karibu sana mkuu. Nimetumia VideoScribe kufanya presentation.