MKE WA MCHUNGAJI AUKANA UKRISTO
Вставка
- Опубліковано 10 лют 2025
- #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya UA-cam ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Yesu hakuwa Mkristo
Dini mbele ya M/Mungu ni Uislam. ukristo c dini ya M/Mungu hata yesu mwenyewe sio mkristo
ALLAH humuongoa amtakae ..... alhamdulillah
Nyie wakristo nafsi zenu ndizo zinasema kweli dini sahihi ni ipi. Ila shaytwan anawapambia kibri ktk nafs zenu
Ukiwa mbishi subiri siku roho inatoka
Yaa rabby tujaalie mwisho mwema 🤲
Tunafuatilia sana TV Mwaipopo, tunashukuru sana.
Shekhe Allah Akupe Umr Mrefu Wenye Kher na ww
Subhanallah msiba mzito hùu Allah awahifadhi waislam na vizazi vyetu
Masha Allah, Barak Allahu feek sheikh mwaipopo,shukran jazeelan
MashaAllah,Allah Amuongoze Huyo mama kw Kuijua Haki na Ameifata,Karbu ktk Din ya Kislam din ya Haki,
Yesu ni Bwana hatutetereki, hatudanganyiki. Tutaendelea kung'ang'ana kwa Yesu mpaka mwisho wetu hapa Duniani.
Kazi nzury sheikh mwaipopo Kaz nzuri
ALLAH Akbar subhaallah 🙏 Allah umuongoa amtakae inshaallah 😢😢
Nakupenda Kwa ajili ya ALLAH' Sheikh wetu Mwaipopo
Mashallah kher minnallah. Hakika upo ktk khaki Ya Lilah. Allah Akbat
Mungu akujalie Kila lenye kher
Takbiri,Takbirii Allah wa kibar
Takbiriii Takbiriii Allah Akbar ! Alhamdulilah Mwenyezi Mungu amekupenda akakutoa ktk ukafiri ukarudi ktk Dini ya haki Dini ya kweli Dini ya uislam.
Allhamdulillah. Allah kwakukurudisha kwenye uislam
Allwahu Akbar
Ungesema karejea dini furani Wala usiseme dini ya MUNGU, Mungu Hana dini unayosema.
JazakakaAllah sheikh mwaipopo ,Allah akuhifadh na akujalie mambo mazuri hapa Duniani na Akhera , Nakupenda sanaa sheikh wangu kwa msimamo wako wakuimarisha hii Dini ya Hakki.
Allahu akbar takbilli mashllah
ALLAH AKBAR , ALLAH AKBAR , ALLAH AKBAR wallillaih amdhu
Takbirr Allah Akbar. Alhamdulilah kwakurudi kwenye mwangaza nakutoka kwenye giza Allah akujalie kila lakheri
Allahu Akbar
Masha Allah Mungu amuwekeye wepesi
Wakristo wote msidanganyike uislamu ni dini ila haimtukuzi Wala kumwabudu Mungu was kweli huyo Allah siyo Mungu wa kweli,hata maandiko ya vitabu vyao vyenyewe yanathibitisha Hilo.
Ukristo sio dini aliyoitangaza Yesu, dini hiyo ilianzishwa miaka zaidi ya 14 baada ya Yesu kuondoa. Dini hiyo ilianzishwa mjini Antokia nchini Uturuki na Paulo ambaye alikuwa mpinzani wa Yesu na wanafunzi wake, Paulo na Yesu hawakuwahi kuona. Yesu haufamu ukristo Wala hakuwahi kusali Kanisani, yote hayo ni kwa mujibu wa Biblia na baadhi ya wachungaji waliopo Kanisani, na wale waliosilimu.
@@Jamalkishangu Ukristo ni dini kwa sababu Kuna wanamuamini Yesu
Yesu you pamoja na wamuaminio na kumuabudu.Kanisani yupo wakati wore,kwa vile wewe unamuelewa Yesu kimwili,ndiyo maana unataka aingie kusali kanisani.Mnadai Yesu alisali msikitini,si kweli bali alisali kwenye sinagogi.Huko alisema Yeye alikuja kwa ajili yawadhambi,si kwa ajili ya watu wema.Ndiyo maana hata nyie mnasema Yesu alisali msikitini ni kwa sababu alikuja kuwaoko ninyi kwa kuwa aliona mnadhambi nyingi
@@edwardntamaboko3414 Sasa hili usemalo ili isiwe porojo, Mwenye-Enzi-Mungu wa kweli umjuae wewe aitwa nani❓
MAANA KATIKA UISLAM, USHAHIDI UPO Q17/110
Mwaipopo unapenda jitahidi usome uujue Uislamu kw usahihi
Allahu Akbr 🤲
Mungu atuongoze 😢😢😢😢😢
Kazi kweli kweli,
Ameijuwa haki ilipo,hapana kazi hapoo!
@@mussammanga7791 kabsaa.mbona dini safi na yenye khaki bora ufatilie hutakuwa mwepesi kwa mambo yko...
Mnajulikan nyie kwa uongo acheni unafiki wakidini
Kwani kusema Yesu sio Mwana wa Mungu ahimfanyi kutokuwa Mwana wa Mungu Allah anaogopa Yesu kuwa Mwana wa Mungu unaonekana ukiwa mwiislamu ukasema Yesu kristo ni Mwana wa Mungu Allah anaumia sana na mbinguni zake na milima zinapasuka na kutetemeka wakristo tunamuumizaga Allah kwakusema Yesu ni Mwana wa Mungu atutaacha kusema mpka Allah akubari Yesu ni Mwana wa Mungu
Tutasema YESU NI MWANA WA MUNGU mpaka mbingu na milima yake hewa ya Allah zipukutike 😂😂😂😂
Mungu yupi
@@mansourhubby7398 Allah ni kusema mwenyezi Mungu hilo sio jina sema anaitwaje huyo au ni asiyejulikana?
Soma pole pole sema: muombeni mwenyez Mungu kw jina la Allah ama kw jina la arahmah.....ana majina mazuri.
Nyie wakiristo hamufahamu Mungu ni Muumbaji hazai Ala hazaliwi wala hakuna aliefanana nae Yussu mtoto WA Mariam aliezaliwa kwa Miujiza kwa Neno lake tu Alla alipo mwambia zaa na Akazaa Neno alilopekewa kupita Malaika wake Jibril Yessu Si Mungu wala mtoto WA Mungu ni Mtume WA Mungu kwa Wana WA israili Yale Makabila kumi na mbili
MashaAllah
ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR
SubhuAllah allah
Masha Allah Allah awalipie kwa kazi na awajalie duniani na akheri na awaingize jana
Takibirrrrrrrrrr
Ndugu zangu tusomeshe watoto wajae imani,Allah atupe mwisho mwema,kuna walevi lakini juu imani huwambii kitu
Jazakallah khaira Mwaipopo. Allah azid kukuongoza. Allah Akbar
Sio dreee ya kuishi
Bless
Wakristu rohozinawauma wislamu dini yahaki hakunampango wakumuabudu yesu
Ole Wako Usipomwabudu Yesu Ungali Hai Maana Kuna Heri Kwa Wale Wote Wanaomwabudu Pasi Na Kumwona.
Kanuni ya mkristo kiiman mtoto au mzazi ama mke anawajibika
Mwenyewe mbele za Mungu kumtafuta kwa bidii yake mwenyewe.
Ndio lile neno kila mtu atauchukua mzigo wake ,yaani kila mmoja atajijibia mwenyewe
Mbona hamna sauti
Hao watt kabla mama kurudi ktk uislam walikua wakifata Iman gani
Allahu akbaru
Subhanallah Allah ataupa uislam nguvu🤲🤚🙏
Kuna watu hawajasoma dini ila kwenye ukafiri hapana,tamaa ya pesa iliwashika
waislamu mmepigwa hapo naona mchungaji anapiga hela hapo.
Is true but not for u
Wewe Mwenyewe MWAIPOPO umeuacha UKRISTO ukiwa hujamjua KRISTO, huwezi KUWA MKRISTO unaye Mjua kweli kweli KRISTO ukawa Mwislamu!! YESU NDIYO NJI KWELI NA UZIMA mtu hatafika Kwa MUNGU bila kupitia kwake Yoh3:16 (YESU NI NURU YA UZIMA YA ULIMWENGU)
Pole kakuacha kama jiwe la maili yesu mwenyewe atakukataa
@@shukujaibu7143 Kwa Yesu kristo ni uzima wa milele tupo Kwa Mungu wa kweli ambaye Yu hai njooni waislamu Allah hayupo hai kama yupo hai nionyeshe kwenye Quruan
@@shukujaibu7143 Wewe Maamuma, YESU KRISTO ndiye aliye niita na sasa ndiye ninayemfuata na nimeivaa nira yake atanikataaje? Mathayo 11: 28-30 karibu Kwa YESU KRISTO YU HAI atakayekuja kuhukumu walio hai na waliokufa akiwemo Muhamadi ambaye na yeye anasubiri kuhukumiwa Kwa sababu hajui atakachofanywa.
@@paulmushi2428 yesu ye ahukum kama nani?
Edward Thomas
Uislamu siyo dini ya kumtukuza Mungu,urubuni ni mwingi,ubaguzi,mauaji,ugaidi was vikundi vya kijihad vyote ni vya kiislamu,siwezi danganyika kwa uislamu,waislamu wamerubuni watoto wengi,wanapotoa huduma Kama maji unalazimishwa usilimu,washindwe na walegee kwa jina la Yesu ukristo ndiyo dini ya kweli,ukafiri ni uislamu hata vitabu vya hadithi zenu vinasema hivyo.
Mama Mungu amekupa bahati kubwa, milioni 100 sio kitu kuliko moto wa jahanamu.
Nyinyi Wazanzibari musiojielewa sikilizeni maneno hiyo ni kazi ya CCM na nchi zamagharibi
MASHAA ALLAH
Wewe mama naenda tutahubiria wengine wataokoka nawewe mama tutamduombea urudii Bwana wako Yuko vizuri wewe umevamiwa.
Dini nn nyinyi tafute njia ya kuingia kwenye ufalme wa Mungu sio uislaam njia ni Yesu
Ninge chukua ml 100 alafu ni waambie ukristo siyo dini na wiislamu ndo dini sahii. Na pesa nimesha tumia.
Subhuanallah yani hawa watu wa msalaba wananunuwa waislamu kwa gharama ivi ? Wanafanya biashara ya Dini msiba huu . Ndugu zangu Waislamu msirubuniwe na pesa tumuogopeni Mwenyezi Mungu tuogope siku nzito ya Qiama. Pesa tutaziacha hapahapa Duniani.
Acha kuamini Kila kitu kinachosemwa hapo Huo ni UWONGO anunuliwe Kwa milioni mia moja Kwa kitu gani alicho nacho? Si bora pesa hizo tuzipeleke Kwa Watoto yatima!
@@paulmushi2428 wee kafiri naonba usinitag staki kelele na wewe. Huo muda wa kuja kubishana hapa nenda kasome bible ujuwe Je Paulo alianzisha ukristo kwasababu zipi? Kwanini Yesu hakuwa mkristo, Kwanini Makanisa yalianzishwa baada ya Yesu kuondoka. Kwanini Yesu alisujudu nyinyi mnapigq magoti ?
@@paulmushi2428 Nenda ujiulize na usome usipoteze muda wako hapa . Jiulize je iweje Yesu aseme msile Nguruwe Paulo aseme mle Nguruwe, iweje Yesu aswali ktk Sinagogi ( msikiti) Paulo awaingize kanisani, Je Paulo ni mrumi Kwanini awaletee ukristo ambao unapinzana na maandiko ya Mwenyezi Mungu. Paulo kawaambia msitahiriwe wakati Yesu alitahiriwa ? Paulo aliuwa wanafunzi wa Yesu ktk MASINAGOGI ( MISIKITI ) . Nenda jiulize Paulo ni nani ukisha mjua hutakuja kupiga kelele hapa .
@@nakundwamkubwe7823 Nisikutag Kwani hapa ni chumbani kwako? kama hutaki acha kuandika!! Mimi siyo kafiri je nikuonyeshe kafiri? Yuda 1:4 na Wanaokana YESU SI MWANA WA MUNGU hao ndiyo makafiri!
@@nakundwamkubwe7823 Unauliza habari ya UKRISTO na KANISA Soma Mathayo 16:16-18 ikusaidie
Eti tunapiga magoti hatusujudu Mkristo anaruhusiwa kusujudu au kupiga magoti Soma Zaburi 95:1-6 itakusaidia na Kama YESU hakusujudu Kila mahali alipiga magoti acha Ibada za Ibada za kukaririshwa.
uongo huu, mama ni wa uongo na shekh nae ni wa uongo, wote wawili mmepotea tu, hamna vitu kama hivi kuna sababu za siri mnazijua wenyewe mmezificha tu, Mungu wangu akayaweke wazi yaliyojificha hapa najua.
Ungetueleza na ww Siri hizo ili tujuwe Muongo nani Kati ya wahusika na ww! Au ww ndio mume wa mama huyu? Povuu!!
Boss unamjuwa huyo mzungumzaj alikuwa makers to kuliko ww na akayona hak akasilimu
Kma Uongo Tuelezee ww Ukwel ,Achaa Kufata Mazoea Din Ya Haki N Uislam 🙏
Na wewe ndie muongo kuliko shetani iblisi mbwa wewe
Shehe waipopo. Tupopamoja. Endelea. ,na. Dawa. Tupopamoja
My people perish due to the lack of knowledge
mh😮 answer sunn mwamjua lakini
hivi aritadi????
si changa la macho jamani
Sheikh Mungu akubariki
Mashallah
Ukimkana Yesu mbele za wanadamu naye atakukana mbele za Mungu.
Hajamkana yesu) issa bin maryam) yesu siyo mungu, karudi kwenye dini ya yule aliyemuuba yesu)issa
Kwani nyie Wakristo Mungu wenu anaitwa Nani Mara Yesu ndio Mungu hapa unatwambia ukimkana Yessu mbele ya Binaadamu atakukana mbele ya Mungu kwa hivyo unatwambia Kuna Mungu na Kuna Yussu
Sasa mbona mnatuchanganya Mungu ni nani na Yesu ni nani
Mm cjamuelewa Mbele ya Mungu ,Mungu Gan Yesu Atakua Mkanya Mbele
Uyo bado nimwislam huyu mama majini anayo naenda uko upotevuni umeyakumbuka mjini mwaipopo atakupa majini mengitu.
Ona dada angu ulivyo jistiri ulivyo pendeza mashallah !! Vipi ulivyo kuwa unatembea uchi kwa kuvaa vitopu na vimini ktk umri huo ? Ilikuwa aibu kutembea uchi. Uislam ni stara alhamdulilah.
Nenda kaowe Sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
@@paulmushi2428 Ataolewa na Kaka zangu wa kiislam wenye heshima zao . Me mwanamke siwezi kuowa mwanamke mwenzangu kama makafiri mnavyo owana jinsia moja 😩😀😀.
@@nakundwamkubwe7823 Kwa kweli Makafiri ndiyo Wale wa Yuda 1:4 wanafanya hivyo si ulisikia Kule Zanzibar!! pia nashukuru kujua wewe ni Mwanamke nilikuwa sijakusoma kumbe naongea na mdada
Hajawahi tembea uchi huyo,anajistiri hivyohivyo dada wa watu ila kajua kutembea na mashemeji zake(kaka za mume wake)hana lolote ibilisi nnasi mtupu hapo alipo.
@@gracekikula6279 Haya maneno uliyo andika utakuja kuyajibu siku ya Qiama!! Kumzushia mtu uongo ni Dhuluma! Dhuluma hii utakuja kuijibu.
Shekhe Mwaipopo Kwanini unafanya kosa ulilo fanya Kwa Leyla kuweka namba ya uyu dada hapa? Sio kila anae tazama hapa ni mtu mzuri utamponzea dada watu . Watu wange mtafuta uyu dada Kwa namba yako .
Kweli kabisa
Anatafuta bwana muislamu huyo,kachoka kuishi na kafiri binti wa watu,mwacheni.
@@gracekikula6279 kafiri hata awe na mipesa tele,hata mimi hapana aendetuu
@@gracekikula6279 hah😂😂😂😂😂KWA HIVYO UMEKUBALI MPAKA UMEJISEMEA MWENYEWE WAKRISTO NI MAKAFIRI 😅😅😅
wote wawili hawa watakuwa ni waganga tu, hamnaga vitu kama hivi
Ulishafika kiringeni kwao??
Yesu Christo aliwambia wafuasi wake (disciples) na wote wanaomwamini kwamba nimempa Bure nanyi wapeni Bure kwa hivyo waliomuahidi shiling milioni 100 ni wahuni kama ni kweli kuna jambo kama Hilo Yesu Christo ni mwana wa Mungu na pia ni Mungu ni ngumu muislamu kuellewa mambo haya bila mwongozo wa Roho Mtakatifu wa Mungu.Mungu wa wakristo ni Mungu wa lbrahimu isaka na Jacob Yesu Christo atakuja kuja kuhukumu wanadamu wote wa dini zote duniani nithahiri kwamba ni king of kings and Lord of lords point of correction sisi wakristo tunatangaza wokovu wa Yesu Christo sio dini dini ni ya mafarisayo kuna tafauti ya wokovu na dinip loll
Ndugu zangu tuwe na msimamo na dini yetu,wallahi inahuzunisha njaa zitatupeleka motoni
Waongo wawili wamekutana 😅😅😅😅😅
Sio tuu waongo bali ni matapeli
Na Kwa ambao tupo nje kama Zambia tufanyaje Kwa malipo?
Ww daud mwangati shetani mkbwa jini bibi zako na babu zako
Ikiwa hajaolewa tupo tayari kumfanyia nusra ya ndoa
Kaolewa na anawatoto wakubwa ila kwasababu amerudi kwenye Uislam sheikh anetaka aachane na mumewake yaani ndoa ivunjwe
DUA INALIPIWA?
Amerudishwa kuwa mfuasi wa shetani
Ngoja niku oneshe shetan yuko wp👇
(1)Timotheo 1:20
Ktk hao wakristo wamo himenayo Na iskanda ambao mm paul mtume wenu nimempa shetan watu hao
Wakristo ili shetan awafunze wakristo wasimtukane Mungu
🖕👇
Uyo ndo shetan ana wafunza msi mtukane Mungu🤣🤣
100m.... hahahaha kweli mwisho wa Dunia u karibu.
Ameen! Ameen
Wewe mwaipopo amakweli umerogwa hakili
hakili ndio nini, naomba nieleweshwe
Uongo😅
Hiyo mipango tu.Mnachukuana wenyewe Kwa wenyewe alafu unasema amerudi kwenye dini. Alafu kudanganya aina faida
Msisahau kumwambia kuwa pale anapoishi ni kwa kafiri afanye ahame akaishi kwa ndugu zake waislamu na asijihusishe na chochote cha kafiri anayeishi naye
Ww Amnakitu Unapotosha Tu Watu Ww;
Uyo mama ni muongo hajalazimishw kuslimu ndug zang waislmu tusichoche chuki
ONDOA neno MKE WA MCHUNGAJI hao waliashachana kitambo acha kutuongopea kama vile Ulivyokuwa unadanganya watu eti SISTER ASILIMU ukiwa na maana (Sister wa Roman Catholic) kumbe uongo ni dada wa kawaida tu wa mtaani!!
Je kanisa lilimpa iyo million 100?
Sheikh kwanini unamlisha maneno? Wewe hajasema aliaidiwa Wala kupewa unapomuuliza kanisa lilikuaidi nini maana yake unamuwekea maneno,,wakati huo yeye kasema mmewake ndio aliemshawishi na sio kanisa
Ndivo ilivo ktk ukristo Uyo mwaipopo ametokea Uko uko kwaiyo yte anayajua ayo Ukimuona muislamu kaingia kwnye Ukristo basi ujue ni kw maslahi ujue kaahidiwa kitu ama Mapnz
Sheikh wamchongo 😂😂😂😂😂 na uyo mama wa mchongo
Bora wewe umeona 😂
Kwan huzion video zke na dakhawa anayo litangaza...
p
Muongo
Biashara inaendelea, yaani kuombea Dua unakatwa pesa? Isipojibiwa hiyo Dua utairejesha hiyo pesa uliyokata? Mama kaletwa hapo Kwa nia ya kutangaza biashara ya Mwaipopo! Wewe mama rudi kwenye Ndoa yako.
Mimi nilipochoka ni mtu kuvunja ndoa ya MTU hii ni mbaya sana!!!
Kuna mahubir ambayo huwa kwenye mikutano hamchukui pesa kuziita sadaka maamae
@@mickdadybakari6052 Sisumbuki kujibu Matusi yako kwani ndivyo ulivyo lelewa na mafundisho ya dini yako ya mchongo ya Mwarabu mkureshi wa Makha asiyejua kusoma Wala kuandika.
@@paulmushi2428 acha kukaza fuvu dini Ip ya mchongo ya hii na ile ambayo kitabu chake kimeandika watoto walimpa mvinyo baba yao na wakalala nae ahahahahaaaa
@@mickdadybakari6052 Nakwambia Ukweli dini hiyo niya mchongo ya Mkureshi mmoja wa Makha asiyejua kusoma Wala kuandika, aliyekuwa anaabudu jiwe jeusi Al hajar Al aswad akawadanganya eti ni Allah (Yaani Mwenyezi Mungu)
Kanisa lilikuahidi laki 100 kwa lipi ulilokua nalo kama sio uongo na kutapatapa. Vuguvugu wewe
Na wewe mwaipopo c ulibadili dini sasa unchangeable nini
Shetani amekaa juu ya vichwa vyenu mnafundisha uharamia Eti dini ya Mungu ni Mungu gani kwenu nyie
Mashaallah
Mashaallah
MashaAllah