#Live

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 12

  • @PrincePaul-z3s
    @PrincePaul-z3s 15 днів тому +1

    Acha uhuni ndugu yangu kumbe hata kupa bado kiukwer chama hawezi mfikia azzk Wala pacome SEMA Hujui mpira

  • @HijiraHussein
    @HijiraHussein 15 днів тому

    chamaaaaaaaaa mbna liko wazi mazeee

  • @JumafMakwega
    @JumafMakwega 14 днів тому

    Acha poro za ajabu chama ni mchezaj mzuri lakini usiwashushe daraja wachezaji wengi kila mchezaji ana ubora wake huyo chama ana madhaifu mengi hakabi timu ikiwa haina mpira kwahiyo pacome azzk hata maxnzingeli bado wazuri kiliko chama wanajituma wanashambulia na kukaba chama mvivu kukaba sio mbora kuwazidi hao

  • @SumiziBalungula
    @SumiziBalungula 15 днів тому

    Pakome aziz hawana mpinzani

  • @malitozzy3538
    @malitozzy3538 15 днів тому

    Ww jamaa mshamba sanaa unaongea utumbo wako fala ww

  • @JumafMakwega
    @JumafMakwega 14 днів тому

    Huyu jamaa anajipotezea viwers anaongea bila kuweka akiba ya maneno anaweza huyo chama asipafomu vizur kuwashinda hao aliowakuta kwahiyo usiongee sana

  • @FiliMsambwa
    @FiliMsambwa 14 днів тому

    Anaumwa huyojama sisi kama yanga azizi ndokilakitu pale yangandomana analopwa mshahala mkubwa zaidi kuliko chama

  • @SumiziBalungula
    @SumiziBalungula 15 днів тому

    Mahaba yamepunguza weledi wako.

  • @kimarobeatus
    @kimarobeatus 16 днів тому

    wee jamaa me nakukataaa

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum8436 15 днів тому

    Azizi ki ni habari nyingine mjinga wewe

  • @kimarobeatus
    @kimarobeatus 16 днів тому

    Ata kama weee ni yanga bado sija ona point uliyo ongea chama ana goli ngap zakumfikia aziz mwaka huu

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 16 днів тому

      Kwani CHAMA alikua kuzungukwa na wakina na pale Simba?