To everyone reading this Keep going. No matter how stuck you feel, no matter how bad things are right now, no matter how hopeless & depressed you feel, no matter how many days you have spent wishing things were different. I promise you won't feel this way forever. Keep going..🙏Bless my day with a follower.🤲🏼 it could mean a lot
Wallah Mimi ni Alexis kutoka Rwanda, but you guys you deserve everything good yaani wawawekee nyora kwenye ...zenu munawapita woooote wakomedians, heshima zenu
Ndaro skiza story ww😅😅🤣🤣nimependa pale ndaro anamuula story niyaukweli eeh stive ameinama eti niuongo🤣🤣🤣🙌🙌maua yenu❤❤🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂Stive alokuruhusu kuvuta cha Arusha ni nani lakini 😂😂😂😂😂🙌🙌Ndaro naye yuko makin kuliza maswali juu ya story😂😂😂😂
Team Ndaro tujuane bsi congratulation watu wangu sna steve na ndaro ❤❤❤ love it from Qatar#Burundi
Eeeh...!! Yan Hawa Kumb Wa Roho Hivo😂😂😂😂
Ila steve🤣🤣🤣 ❤❤❤❤
ni nani mwingine alikuwa makini kuusikiliza uongo wa steve 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni mm 😂😂
Achana na uongo😂😂alivojichungulia chini
wapo watu WA aina hii mida ya lunch wanakuja kuhadithia story hazina kitwa wala miguu😂😂😂😂
mshikaj na mapenz tofauti😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mr ahhhh😀 na mr machalee mmeweza sana wazito mnafukuzwa hamtoki😎😂
Tushajua ni story ya uwongo lakin tumeskiliza mpaka mwisho😂😂😂😂😂😂😂
Jamani kidoti yuko wapi mbona simuoni au steave kafanya mambo analea huko kwanza maana steave kama hayupo vile ila 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 Steve utakuja kuniuwa mbwa wew 😂😂😂 ❤ from 🇧🇮
5
Xxxx
Nishatokea jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Na uyo hamadi kijicho n yupi , nadai nimuone , then Steve vuka boarder uje Kenya twakupenda sana ,njoo ufanye comedy na victor naaman
Hawa ze bus driver.
Steve utaniua siku moja😂😂😂😂😂😂
Nawapenda sana timu Steve na ndaro 😂😂😂❤❤
Ndro na Steven ni mimi mkali wenu kwalike munakumbuka ata kwa movie kama akina amadi kijicho ,dazeti toka drc jamani gongeni like hapa
Visuri nanikweli kukupa ujasiri
Nanikweli
😂😂😂
Weh mkali kwa trainding ya like kwa move za hawa
😂😂😂
we ndaro haujui , we yuda nini😂😂❤❤❤
Kama unakubali ndaro na steve na kundilote gonga like
Steve na story za jaba😂😂
Ndaro acha utaila mbona unaskiliza kama stor ya kweli😂😂😂😂
Wanapendeza Steve na ndaro napend muwe pamoja iviv❤
Ila Steve jau HAWA THE BUS DRIVER 😂😂😂 Ebu nipen like Kama umecheka kama mm😂
Steve mweusi kaka una jua wewe ni mfalme Wa comedy 🎉yani niki Angalia video zako nacheka sana
Et hawa za bus driver we jamaa ni muong sn😅😅😅😅
Ndaru anangojea mafuriko apate usafir😅😅😅
Mhhh mambo
@@kankalatz7362 yeah
Inamwixho iyo story 😂😂😂😂 ndo inaenda kuishaaaa 😂😂😂😂
Hawa the bus driver 😂😂😂
Hiyo Naipenda saana Tangu Congo 🇨🇩 vraiment 😂😂😂😅😂
😂😂😂😂😂😂😂 cjajutia mb zangu kabisa bravoo😂😂😂
Ngoja kwanza,mbn steve lkn anaeleza story akiangalia ndaro sana😂😂😂...steve mwehuuuuu ati nacheka kama mazuri#hawa the bus drive pumbavu zako 🙌 🙌
😂😂😂😂kumbe kana njaa
😂 yaani nmetega sikio kusikiza story ya Steve kumbe niya kusubiria chakula
😂😂😂😂😂 Steve kwa story❤❤❤❤
Jaman nmechkaaaa ad machoziii
Much love from malawi 🇲🇼 Nakubali kazi zenu
Nimekua wa Kwanza jamani nipeni likes zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢
watching from THAILAND
ila steve bhnaa😂😂😂😂😂😂
Twende laoo team ndaro like basi
Huyo hammad kijicho ndo Nani?
Hamand kijicho napenda tu mfaamu
Weeds
😂😂😂😂😂😂story ya Steve imepinda sana😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu😂😂😂😂
Team mweusi hivihivo kidigichali🤣
Steve😂😂talented
This duo is Amazing 🤩😍 much love from Nairobi
Steve duuh 😂nime cheka sana aisee lete namba nikupe ya soda kaka una upiga mwingi
hadi ndala zikaachwa lakini wapi 😂😂😂😂😂
Nakubar sana ndaro kaka 🤟
❤❤❤❤❤😂sviv bana
Mwisho wa story ni wap stev😂😂😂😂😂
Team steve na ndaro gonga like hap
Mweusi forever
Kenya tumezoea kupiga full tank hatuna matatizo ya kifedha.
Steve na ndaro 🥰🥰🥰
Unaskia ndaru😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 Steve na ndaro nawapenda sanaaaaaaa 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Team steve hapa gonga like
Tupo ❤❤
Badilikeni mavazi tumeyachoka
Acha ushamba Africa sisi tunaangalia talent
Za ndaro na stive🔥🔥
Stive na ndalo mko Sawa endelea, mungu akawapanulie njia
Pikeni tu mwegu nani kaisikia
😂😂😂 akweli Steve umeona akufukuzae hakwambii toka nawakubali sana ❤❤❤
Hiyo story ni ya kweli?😂😂😂steven huyo dada ni mtoto wa John cena?😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
We Yuda nn ???😂😂😂😂
Ndaro wewe yudaa
To everyone reading this Keep going. No matter how stuck you feel, no matter how bad things are right now, no matter how hopeless & depressed you feel, no matter how many days you have spent wishing things were different. I promise you won't feel this way forever. Keep going..🙏Bless my day with a follower.🤲🏼 it could mean a lot
apo n poa sanaaaaah
Amen
Ahmad kijicho jaman ni nani
😂😂😂😂😂😂nimecheka 😂😂😂😂😂 huyu bosi stiv bana safisana
Hawa jamaa wanatisha sana
Nakubali kazi zenu
Amadi kijicho anaumwa macho😅
Wallah Mimi ni Alexis kutoka Rwanda, but you guys you deserve everything good yaani wawawekee nyora kwenye ...zenu munawapita woooote wakomedians, heshima zenu
Steven una njaa kabisa 😂😂😂😂
Huyu Steve leo na story za jaba kumbe njaa
😂😂😂😂𝐞𝐭𝐢 𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐣𝐚𝐚 𝐝𝐮𝐮𝐡 😂
Nawakubali kutoka Kenya kakazangu.🤜🤛
Ndaro na stevu 😅😂😂😂😂😂😂
Hahaha teve bwana et "hawa the bus driver"
😂😂😂😂jamani story za njaaa😂😂
😂😂😂
Bora ukae kimyaaa, ukiongea sana njaa inazidi
🤣🤣🤣nakula penyewe wasile😂😂😂
Njaa ya saa sita mchana
Uyu jamaa noma😂
😂🎉❤🎉 incredible actors in Tanzania
Wakwaza Leo nipeni like zangu jamani❤
😂😂😂😂et ya uongo
Ndaro and Steve, you nailed it😂😂😂
Ila #ndarotz unajua sana mwanangu 😂😂😂
😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Steve na ndaro jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah bonge la story
Yaaaaan Leo mpak tuuleee uwoo ila hatuondokiiii hapa
Wee Ndaro Haujui😂😂😂
Much love from Zanzibar 🎉🎉
Mimi wakwanza leo jamani like hapa ❤❤❤
Which country is this?
Akaenda fruuuuuuuu😂😂😂😂
😂😂😂ndo vs steve
Noma sana😂😂
Steve sio wakumuamin kbc😅😅😅
Story nyingi Kula kwenu stevu😮😮😮😮😮😮😮😮
Hee hi historia 😂😂😂😂
Nakubali sana😅😅
😂😂😂❤