We unamuheshimu Mzee kilomoni 😅muheshimu huyo kwanza huyu magoma ni kolokwinyo kama nyie siyo yanga kadi zake zumekufa sawa na kadi ya kiliniki tu kadi huliipii we mwehu sawa na pasport ikiwa imeisha muda huwezi kusafiria kingine sawa na leseni kama hujarinyuu we huruhusiwi kuendesha usiringie kadi we siyo mwanachama bila kulipia Ada ya mwaka
Brother nimekuelewa sanaaaaa kombe jipya linaitwa magoma cup kweli nimekubali😂😂😂😂😂😂😂😂😂bro pewa maua yakoo😅😅
Yanga hiinweek trend no 1 africa
Hapo unakosea unasema tuwaachie Simba kombe msimu/mwaka huu.
Tafadhali sisi tuna mpango wa kuchukua ubingwa miaka kumi.
Salute
Good point
Huyo asiwatishe na uchawi mkamate mlete kilabuni atoe hiyo katiba yake.
Uko smart sn🎉🎉🎉🎉🎉
Sijui osca ana tetea nn sikiliza pande zote 2 halafu simamia pointi za msingi mtu hadi kafoji hadi sahihi ya mama karume si mchezo
Jamaa kaongea point sana
Nimekuelew sana kk ila hao makolo iyo tar 8 watasema tu
Msameheni magoma, huyo amejaa moyoni na mambo ya zamani/ujima abadirike.
APEWE MAUA YAKE MAGOMA 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂BUNDI KAHAMIA JANGWANI
Atuachie Yanga yetu. Akapige magoma yake huko
Achinjwe mangoma
Magoma kavimbiwa makande ya kuomba mkundu wake uliooza
Atuachie yanga yetu
Case iyi sio big deal ila vyombo vya habari ndo wanafanya ionekane kama big deal kwa ku ongeya na mzee Magoma. Anataka ku trend tu
Afugiwe kabisa uyo chawa
😂😂😂
Simba wamepata kombe la juma magoma
Mimi namsapoti magoma
Ongea kwa hoja sio kwa matusi
Mbona huyo katiba Rita haitanbuliki inatambulika ya magoma
Magoma kapata like ngapi,kumbe huwa anaroga !!!!😂😂😂😂😂
Hakuna kumsamehe mara ya 3 analeta kesi kesi zake
Waandishi hawataki kufuatilia vitu kwa kina na wenyewe wamekuwa magoma kitakita.
Awe na heshima kwa magoma? Mzee? Yule hafai kuheshimika hata kidogo Kamshauri aache mambo ya kuteka timu, hayo ni ya kale.
Yanga Africa mpo ni ngapi huna jipya
Yatapita yana mwisho
Magoma nyau Kama nyau wengine tu
Ila magoma hatumwa salama tutamnyosha
Muulizeni magoma kwan yanga inatatizo gani lauongozi lililo pelekea ashtaki uongozi wa Yanga me nadhani timu ingekuwa inapoteza mafanikio
Tumeongea point tupu
Huyo. Muacheni. Atafute. Kick. Tu. Na. Wewe. Mwandishi. Unaongea. Nini? Ulitaka. Engineer. Aongee. Nini. Na. Huyo. Chizi? Hivi. Wewe. Unaoga. Kapita. Chizi. Kapita. Na. Nguo. Zako. Halafu. Unamukimbiza. Uchi. Kati. Yenu. Nani. Ataonekana. Chizi? Naomba. Jibu.
KIMSINGI WAMETUSAIDIA, YANGA UKITUKASIRISHE NI SASA NA KUMCHOKOZA BLACK BAMBA SIMBA ATACHAPWA BILA HURUMA, KAMA MBWA KOKO.
Alie Shiba maharage ni wewe usie jua mpra lkn mwenzio yuko sahihi bwege wewe
Wewe ndo umeshba maharage,uwe na heshma na wazee
Sio kila mzee anastahili heshima! Utahesimiwa pale tu utakapojiheshimu ! RESPECT IS EARNED NOT BOUGHT!
Yani sisi tuheshimu fala mmoja kama yule hatuna muda huo kabisa ukijitoa akilini sisi ndo yanga tunakurudisha kwenye msitar
We unamuheshimu Mzee kilomoni 😅muheshimu huyo kwanza huyu magoma ni kolokwinyo kama nyie siyo yanga kadi zake zumekufa sawa na kadi ya kiliniki tu kadi huliipii we mwehu sawa na pasport ikiwa imeisha muda huwezi kusafiria kingine sawa na leseni kama hujarinyuu we huruhusiwi kuendesha usiringie kadi we siyo mwanachama bila kulipia Ada ya mwaka
Huyu naye kiroba mwingine, atakuwa kolo nini?
Kwamba haujui kuwa ata wahuni na wendawazimu wanazeeka? 😂
dogo koma simba namagoma wap na wapi acha ujinga saw?
acha uchawa dogo musilamu mzima unakua mnaaa acha unafkii
Ona domooooo
Wewe nar peleka uko ndevu zako mfuui