Utajiri wa Vanila |KILIMANJARO
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Tanzania Kijani: Nimetembelea mkoa wa Kilimanjaro ili kufahamu historia ya Vanila inayolimwa mkoani humo.
Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wametajirika kupitia zao hilo. Inasemekana kuwa kuna kipindi bei ya soko la dunia ikiwa nzuri, Vanila iliyochakatwa yaani 'Black Vanila' huuzwa mpaka laki 4 hadi 6 kwa kilo.
______________________________
Camera: Justin Msechu
Drone: Ahmed Mbaraka
Written and Produced by Anna Peter
_______________________________
Fatilia kipindi hiki kila JUMAMOSI saa 12:30jioni na JUMATATU saa 3:00 asubuhi TBC1
Safi San naomba rando la mbegu
How can I call the farmers in the video?
Naitaji mbegu , naishi apa Burundi lakini mimi mcongomani