THURSDAY SERVICE || PASTOR GEORGE MUKABWA || 20-07-2023

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • #jrctz #jrcchurch #Tanzania
    #jrctz #Tanzania #jrcchurch
    Gospel Teachings for soul winning Purpose.
    #jrcchurch #Tanzania #jrctz#youngministersconeference2023#
    Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
    For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
    #jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa

КОМЕНТАРІ • 69

  • @dorothymalemah3695
    @dorothymalemah3695 Рік тому +5

    Man of God, truly God bless you and keep you always. You have been a blessing to me . Mimi ni mshindi katika Kristo Yesu.

  • @phelistersbarasa4104
    @phelistersbarasa4104 Рік тому +7

    From Kenya pastor be blessed Niko kiwango kingine kupitia hili funzo

  • @ericaEdenThomas
    @ericaEdenThomas Рік тому

    Nabarikiwa sana … tafuta baraka--, maandiko very rich, wazazi, viongozi wa kiroho,utii.

  • @hellenmuhando3860
    @hellenmuhando3860 Рік тому +1

    From kenya pastor...hakika nimemuona mungu kupitia somo lako....ivi leo naweza kuomba ata kusoma biblia na kuelewa kiroho...hakika roho wa bwana yu juu yako

  • @stellalema8127
    @stellalema8127 Рік тому +1

    Asante pastor kwa neema ya neno la Mungu.Mungu azidi kukuinua sana.Unatuponya sana

  • @brightmuchiya-bo4kt
    @brightmuchiya-bo4kt Рік тому

    Ubalikiwe pastor

  • @livingstonemandari5093
    @livingstonemandari5093 Рік тому

    Asante Mtumishi,
    Nimeshina mahubiri yako.
    Ubarikiwe.

  • @letisiandaro8066
    @letisiandaro8066 Рік тому

    AMEEEN

  • @josephwawuda3204
    @josephwawuda3204 Рік тому +1

    Ameen from Jordan 🇯🇴 haki mtumishi nimebarikiwaa na kuenda viwango vingine

  • @nsyagilenzowa3887
    @nsyagilenzowa3887 Рік тому +1

    Namshuru Mungu kunipitisha nisikie mafundisho haya! Barikiwa mtumishi

  • @magdalenangaiza6451
    @magdalenangaiza6451 Рік тому

    Asante sana. Sina maneno zaidi. MUNGU Atukuzwe!

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Рік тому

    MUNGU akubariki saaana mtumishi unatubatiki sana

  • @alisialomanus6756
    @alisialomanus6756 Рік тому

    Amen pastor nabarikiwa mno namafundisho yako pastor

  • @RehemaMakolokolo-x2r
    @RehemaMakolokolo-x2r Рік тому

    Amina mtumishi mashundisho haya yananibariki sana, Mungu akuzidishie mafunuo

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Рік тому

    Amen Amen baba Asante kinywa lazima nitatamka jambo na litadhihilika

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Рік тому +4

    Glory be to God ,nakufatulia mtumishi kwa somo hili ,be blessed 🇧🇭🙏

  • @ladymacollection
    @ladymacollection Рік тому

    Ansante Baba najiona Tajiri mno maana kwenye imani nimesimama vi vitu vichache kuanzia sasa nitabadirika Ahsante mtumishi

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 Рік тому

    Asante baba kwa,somo zuri mnooo nimebarikiwa sana baba

  • @rehemaexaudi4672
    @rehemaexaudi4672 Рік тому

    Ubarikiwe kwa somo zuri pastor

  • @SharletPendo
    @SharletPendo Рік тому

    Hallelujah pastor unanibariki na kunifundisha mafunzo mazuri mnoo barikiwa milele na nahisi kuyafutilia amina

  • @juliaDzame
    @juliaDzame Рік тому

    Mungu akubariki sana mchungaji Kwa maafundisho Yako amen 🙏🙏🙏

  • @MillicentMwenesi-z3l
    @MillicentMwenesi-z3l Рік тому +1

    Ameen🙏🙏🙏 watching from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Рік тому

    Amen Amen Mukabwa Kuzimu lazima itetemeke baba nkuelewa vzr na tangu nakufuata naona naenda mbali

  • @sarahnabwire9091
    @sarahnabwire9091 Рік тому

    Amen 🙏 asate kwa fuzo from kenyA barikiwa mutumishi

  • @niveskomba-m1g
    @niveskomba-m1g Рік тому

    Asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri. Ubarikiwe sana.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Рік тому

    Amen baba nipo nakufuata na nakuelewa vzr from Egypt

  • @linahliz2130
    @linahliz2130 Рік тому

    Ukweli kabisa pastor,hata mimi nililala nikasikia nimepigwa kwa ubavu wangu wa kulia, kuamka nikawa na maumivu makali sana, but kupitia mafundisho yako nilichukua maombi ya kufunga na kukataa roho za magonjwa, and now am healed in Jesus name Amen 🙏🙏 be blessed Man of God 🙏🙏.

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Рік тому +1

    Ameen

  • @MecktridaAntony-xk6dl
    @MecktridaAntony-xk6dl Рік тому

    Amee🙏🙏🙏

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Рік тому

    Mungu azidi na kuzidi kukuongeza zaidi na zaidi Mtumishi wa Mungu Alie hai

  • @nsyagilenzowa3887
    @nsyagilenzowa3887 Рік тому +1

    Ameni mtumishi! Nimebarikiwa

  • @issackelias3677
    @issackelias3677 Рік тому

    Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu! Jamani naweza pata Namba za huyu mtumishi namkumbuka kipindi Cha nyuma sana!

  • @pastordickson1595
    @pastordickson1595 Рік тому +1

    Be blessed man of God

  • @safialuhizo4979
    @safialuhizo4979 Рік тому

    Ahsante mtumishi wa mungu nimemuona Bwana ,,,Ameeen

  • @methodmkongwa6248
    @methodmkongwa6248 Рік тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana

  • @sophiarosesanga3840
    @sophiarosesanga3840 Рік тому

    Be blessed man of God! Mafundisho yako yananipa Amani

  • @hadijanafuna-qe7hm
    @hadijanafuna-qe7hm Рік тому

    Amen mungu akubariki sana pastor unatupariki❤❤❤

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Рік тому

    Mungu wangu Leo napokea kinywa

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Рік тому

    Asante YESU KRISTO KWA NENO LAKO

  • @magdlynneayuma7318
    @magdlynneayuma7318 Рік тому

    Naanda ushuguda in Jesus name

  • @everlyneimili
    @everlyneimili Рік тому +1

    am blessed man of God with your teachings🙏

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Рік тому +1

    Vyanzo vya Baraka:
    Connection na Wazazi wako , watumishi, kuomba pamoja, Sadaka, Maombi ya usiku Maombolezo 2:19, Sadaka Ina sauti mbele za Bwana. Tusiwe tu wa Kuomba, sadaka huchochea mavuno, Sadaka huwa inatangulia Ndio mavuno yanakuja. Zahuri 50: 5-6, Sadaka husababisha huchochea Baraka.Sadaka ni kumbukumbu mbele za Mungu, Matendo 10:1-4, nguvu ya kutamka

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Рік тому

    Nna madeni sana kila kona biashara imedondoka kodi ya nyumba imeisha nisaidieni ndugu zangu.

  • @bernadethashiduki6936
    @bernadethashiduki6936 Рік тому

    Asante nimepata kitu

  • @Maua-y2c
    @Maua-y2c Рік тому

    Amen Amen Amen Amen Amen 🙏🙏🙏

  • @DanEma-l9t
    @DanEma-l9t Рік тому

    Amen 🙏🙏🙏

  • @jeanclaudeuwizeyimana4532
    @jeanclaudeuwizeyimana4532 Рік тому +1

    Mukoraze cyane mukozi w imana Asante sana amen ❤❤

  • @prisca4612
    @prisca4612 Рік тому

    Amen

  • @mosesfrancis8495
    @mosesfrancis8495 Рік тому

    Hakika

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Рік тому

    Kupitia maombi ya kufunga na kuomba Nilipokea Neema ya uponyaji wa madonda ya tumbo

  • @yusuphmarka5868
    @yusuphmarka5868 Рік тому

    Kila siku najifunza kitu kipya

  • @ronahemmajay1477
    @ronahemmajay1477 Рік тому

    Fasting ni dawa ya alcers

  • @HhsVvh
    @HhsVvh 6 місяців тому

    Ameen

  • @eveabasi2469
    @eveabasi2469 Рік тому

    Amina nimefunguliwa Kwa kipengele Cha kutamka barikiwa sana baba

  • @melodiusmwango8362
    @melodiusmwango8362 Рік тому

    Amen 🙏🙏

  • @Maua-y2c
    @Maua-y2c Рік тому

    Amen Amen Amen Amen Amen 🙏

  • @odethierpaschal99
    @odethierpaschal99 Рік тому

    Amen

  • @MaryTarimo-v5y
    @MaryTarimo-v5y Рік тому

    Amina mtumishi wa mungu mafundisho yako yananipa nguvu ya kuendelea

  • @juliaDzame
    @juliaDzame Рік тому

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @GraceMassawe-oy3yu
    @GraceMassawe-oy3yu Рік тому

    Ameeen

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws 11 місяців тому

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @melodiusmwango8362
    @melodiusmwango8362 Рік тому

    Amen

  • @EmmanuelPatrick-w8n
    @EmmanuelPatrick-w8n Рік тому

    Amina

  • @NoelaEzekieli-h4b
    @NoelaEzekieli-h4b Місяць тому

    Amen