Hadi mwakani nae Davistar atatupa ushuda wake alivo chinja watu Then atakua mchungaji mambo ya mastory tena hayato kuepo. Maan hakuna mchungaji alio okoka bila kufanya mauwaji. et nimeokoka😏😏 umeokoka nni ww😁😂😂😂😂🤣
You're always here spewing bitterness. We kwanza nani amekuita page ya watu wanamtafuta Mungu ukiona page inakushinda UNSUBSCRIBE .. unaongea nkama Kuna kitu unaongeza.poteaa bana
Asante Mr davista mata
Kigoma mpaka sasa wanashikilia number moja kwa haya mambo, Kigoma Mungu aitakase.
Tatizo ni njia kuu kwenda kuzimu.
Ukosefu wa elimu na dini ndo chanzo
@@nawandafamito500 kabisa uko sahihi
Asili mrundi huyo....😂😂Barankiriza jina la kirundi hilo😂
Watching from NAI 🇰🇪🇰🇪
Simulizi nzuri sanaaa
Majina tu matukio tosha, 👿👿👿👿 ni hatari sana, wharching from 🇧🇷🇧🇷🇧🇷🇧🇷.
Haha watching from Brazil au Moshi hahaha
Davister umeanza kukomaa hehe
Aiseeee thanks Mr davistar mata 🙏 🙌 we learned a lot 🤝 sema hapa bado tu aliyekuwa anaiba kwenye ndege tutaona meng sana 😄😄😄😄
Pamoja Sana Kaka
Together Mr everything 💪
Hii stori inaonekana itakua bambi sana wadau
Ndugu muandishi ningependa ufanye mahojiani Kwa utulivu maana hutulii kabisa ni kama Huwa hujajiandaa umeshtukizwa
Mnawachukulia watu poa nhe ukiwa mchungaji basi ulikua jambazi umeokoka acheni kucheza na akili za watu nyinyi.
Hapa kwa akina Musa Echese
Hehe kumbe you noticed the name
Saw tuko tumetegea 👂
Sana mkuu
Shetani ndie atoae mbinu zote za wizi
DH rubbers 1992/1994
ila Davister napenda Sana ushirikiano wako was kuitikia na kuuliza vimaswali chombweza
Pamoja sana
Pamoja sana Mr golden boy
Tupo hapa
Mwisho wa story utaxikia kawa mchungaji
🤣🤣🤣🤣
kwani bro Ina ubaya gani kuwa mchungaji yaani ametoka kumtumikia shetani amemrudia Mungu what's wrong with you guy
mna roho za chuki sana Mungu awaponye
Mwenyezi Mungu akuponye nawe uwe mchungaji....mahali uliko sio sahihi bro!!
@@issajumamwinyi6191 wewe una uhakika gani ulipo ni sahihi mshukuru Mungu kwa yote acha kuingilia imani za watu hata kama ni mpakani we tulia ulipo
Hadi mwakani nae Davistar atatupa ushuda wake alivo chinja watu Then atakua mchungaji mambo ya mastory tena hayato kuepo. Maan hakuna mchungaji alio okoka bila kufanya mauwaji. et nimeokoka😏😏 umeokoka nni ww😁😂😂😂😂🤣
You're always here spewing bitterness. We kwanza nani amekuita page ya watu wanamtafuta Mungu ukiona page inakushinda UNSUBSCRIBE .. unaongea nkama Kuna kitu unaongeza.poteaa bana
Bangi sio mboga kula pole pole hiyo bangi haiwez poa kwa hivo😂👏👏