Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Umeona Umeona Bwana...Mr Falu
Safi sanaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwahiyo mwizi mstaafu hiyo nyuma ndio nyumba yake au?
Mwamba anasimulia ila kama hana uhuru😂😂
Watu w yanga wachawi kweli
Unatakaka battle na wanautopolo wewe shaur yakoo
Kam huna kazii chana chupii yako halaf ushone Tena makario ya nyanii 🍑
Kifalu katukaba sana mtoni mimi nimeishi huyu jamaa alikua anakaba hatari
Linkon mabolo umekaanae india mji gan
Mbinu zao za kitoto kweli wakati kufuri ina kitundu kidogo dawa yake pini tu au sindano kufuri inaachia.😂😂😂
Atariii sn wewe
Daaah
nashauri wasimuliaji wapewe kinywaji chochote coz wanongea mda mrefu.
Hayo maeneo yote viwanja vyangu yani kifaru katutesa mbwa huyo kipindi hiko
NIKAFIKA NIKAMKUTA MZEE HAYUPO😁
Jamaa namjua alikua mwizi hatari jambazi noma huyo
Kifalu tuloishi kwa mtoni kwa kindande tunajua balaa lake
Umeona bwana
Njota ya kupendwa na waganga
Pamoja saana Mr Everything 💪
Siku hizi wanakatakata ugali kama wanaufua😥😥😥
Waganga ndio uwapa nguvu majambazi kutuumiza
Mchizi anapoteza muda kwa maswali yasiyokuwa na kichwa wala miguu
Nimewahi kuidaka
Hicho kitabu ..hatari kubwa..kimbieni.
Ndugu yangu kifalu umefanana sana na jamaa mmoja mkazi wa magomeni nilikaanae INDIA 92 jina lincon mabolo mkabaji mkubwa enzi izo🇹🇿🇬🇷😁
🤣🤣🤣🤣
Bwana mabolo🤔😂😂😂
Kifalu alikua hatari sana nimeishi mtoni mashine ya maji mtoni kwa kindande alikua na akina ndonga amekaba watu wengi huyu mwamba acha tu
Mbinu ubadilika KILA siku
Umeona Umeona Bwana...Mr Falu
Safi sanaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwahiyo mwizi mstaafu hiyo nyuma ndio nyumba yake au?
Mwamba anasimulia ila kama hana uhuru😂😂
Watu w yanga wachawi kweli
Unatakaka battle na wanautopolo wewe shaur yakoo
Kam huna kazii chana chupii yako halaf ushone Tena makario ya nyanii 🍑
Kifalu katukaba sana mtoni mimi nimeishi huyu jamaa alikua anakaba hatari
Linkon mabolo umekaanae india mji gan
Mbinu zao za kitoto kweli wakati kufuri ina kitundu kidogo dawa yake pini tu au sindano kufuri inaachia.😂😂😂
Atariii sn wewe
Daaah
nashauri wasimuliaji wapewe kinywaji chochote coz wanongea mda mrefu.
Hayo maeneo yote viwanja vyangu yani kifaru katutesa mbwa huyo kipindi hiko
NIKAFIKA NIKAMKUTA MZEE HAYUPO😁
Jamaa namjua alikua mwizi hatari jambazi noma huyo
Kifalu tuloishi kwa mtoni kwa kindande tunajua balaa lake
Umeona bwana
Njota ya kupendwa na waganga
Pamoja saana Mr Everything 💪
Siku hizi wanakatakata ugali kama wanaufua😥😥😥
Waganga ndio uwapa nguvu majambazi kutuumiza
Mchizi anapoteza muda kwa maswali yasiyokuwa na kichwa wala miguu
Nimewahi kuidaka
Hicho kitabu ..hatari kubwa..kimbieni.
Ndugu yangu kifalu umefanana sana na jamaa mmoja mkazi wa magomeni nilikaanae INDIA 92 jina lincon mabolo mkabaji mkubwa enzi izo🇹🇿🇬🇷😁
🤣🤣🤣🤣
Bwana mabolo🤔😂😂😂
Kifalu alikua hatari sana nimeishi mtoni mashine ya maji mtoni kwa kindande alikua na akina ndonga amekaba watu wengi huyu mwamba acha tu
Mbinu ubadilika KILA siku