MAMA SAMIA WACHUNGAJI WAKO MANABII HAWA NIWANAFIKI WAKUBWA EV PASCHAL CASSIAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 38

  • @yusufumwanawadaudi74
    @yusufumwanawadaudi74 3 дні тому +2

    Barikiwa sana Pst

  • @WhidBakhs
    @WhidBakhs 5 днів тому +2

    Da !! Huo ni ukweli usiopingika unafiki na uchawa unaendelea kwa kasi sana tanzania kuliko ukweli na maendeleo vizuri sana mtumishi wa mungu cassian

  • @PatriciaSidi-c4w
    @PatriciaSidi-c4w 3 дні тому

    Barikiwa sana Mtumishi wa maombi ni siri siyo ya hatharani ❤❤❤❤ Tunakupenda sana w Kenya kw kuongea ukweli❤❤❤❤

  • @janethKamazima
    @janethKamazima 5 днів тому

    Mungu akusaidie cassian kweli unabomoa.....sasa nashindwa kuelewa inakuwaje kwa kweli nime panic navyomjua Bwana kwa kweli hii ni uhuni tu kamaa uhuni mwingine

  • @SelinaMwanakatwe
    @SelinaMwanakatwe 5 днів тому

    Asante mtumishi amewapa ukweli wao

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 5 днів тому

    Aleluya

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 5 днів тому

    Hongera Mtumwa Wake ni kweli kabisa maombi ni sili ya mtu wala sio kujionyesha hao hawana lolote wanaji pendekeza tu

  • @janethKamazima
    @janethKamazima 5 днів тому

    Hapa Mtumishi wangu

  • @Reginajohnson-1988
    @Reginajohnson-1988 5 днів тому

    Amen

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 5 днів тому

    Wanafiki wa mwisho.... nyakati hizi tutayaona makubwa.. wanaoomba hata hawajulikani.. wanaenda milimani huku wamevaa magunia, na kwa nyumba za ibada wanaombea taifa lakini hawatangazi kwa wanadamu. Wanamwendea Yesu aliye sirini wanaomba kwa siri naye Baba anajibu kwa wazi. Hao ni majoka tu wapenda kula, wamepelekwa kukutana kwa tamaa zao na wala hayo sio maombi. Wapotoshani waliojawa roho ya tamaa, mapepo tu kwa maumbo ya wanadamu. Bwana Yesu awakemee matapeli
    Ubarikiwe mtumishi na Mungu awe nawe siku zote.

    • @NtuliSuzan
      @NtuliSuzan 5 днів тому

      Alipoona wamekosea Kwann na yeye asiwaombee kimyakimya😂

    • @MGALILAYABillionaire
      @MGALILAYABillionaire 5 днів тому

      @NtuliSuzan akiwaombea kimyakimya atakuwa amewasaidia nini... uenda wamesahau bibilia ni vizuri wakumbushwe.
      Na Yesu pia aliwaambia mafarisayo kweli hakuwaficha kitu.

    • @NtuliSuzan
      @NtuliSuzan 5 днів тому

      @@MGALILAYABillionaire Una uhakika kuwaleta wazi kasaidia nn? Acheni Unafki muingie mbinguni hao watumishi wangekataa waandishi angesema tu pia, Huyu Tunahitaji tujue baba wa kiroho wake ni nani? Yeye ni kukosoa tu, ishu ya Martha Mwaipaja alikurupuka hivi hivi kumsema Beatrice kamsema wee alipoona upepo uko vingine akageuka kumsema Beatrice kuweni makini Huyu ni mihemko tu inamsumbua, Sasa kama watumishi Mungu kawakubali yeye anatenda haki kuwaita wanafki, kinywa chako ukikiweza control umepona

  • @BeatriceKambole
    @BeatriceKambole 3 дні тому

    Sijaona kosa , kwani wamesema wanaombea nchi , Rais wetu , congo, na nchi za Africa , Kipindi tulichonacho ni cha Toba, Tanzania , Africa, na dunia tunamuhitaji sana MUNGU kwa karibu zaidi katika huu Mwaka, 2025 wawili wakikusanyika wakiomba kwa Jina lake YESU, MUNGU yupo pamoja nao, 2 nyakati 7:14 . ,yeremia 33:3 niiteni nami nitaitika

  • @senyrutaila7304
    @senyrutaila7304 5 днів тому +1

    Huyu hajui hata njia ya msalaba huu uhuni ni kutoka dhehebu gani hawa wanataka pesa na kwa nini wamwombee samia nchi hii itasambaratishwa na manabii na mitume wa uongo

  • @mangiboss
    @mangiboss 5 днів тому

    hii mitumishi hewa inakura na serikali michumia tumbo pumbavu sana

  • @PasiweloMpembe-r4l
    @PasiweloMpembe-r4l 5 днів тому

    Injili ya kweli ubalikiwe Sana baba

  • @kassebo
    @kassebo 4 дні тому

    Ameee

  • @GraceMedardKahiga
    @GraceMedardKahiga 5 днів тому

    Tuombee wagonjwa mloganzila na,wagonjwa wengine wakohospitar mbalimbali Nchini,wengine vijijini Mungu awaponye

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495 5 днів тому

    Kwa kweli.

  • @Atsonmasebo-j9i
    @Atsonmasebo-j9i 5 днів тому

    wewe unafanya nini kila siku mitandaoni kila kitu unakijua wewe.pia nawewe nipumbavu tena mnafiki wakiroho .kwahiyo wewe nimusemanji wa mungu .mimi nilikuwa naipenda sana hunduma yako ila kuwaita watumishi wezio wanafiki.

  • @MariamHassan-kn5qs
    @MariamHassan-kn5qs 5 днів тому

    Mama Samia Mwaka huu shetani akukandamizeeeeeeeee usifanikiwe maana unakula sanaa hela za wananchi kuwapa watu wasio na faida

  • @deborakamsi
    @deborakamsi 5 днів тому

    Ukweli usio pingika ubarikiwe sana kabisa

  • @senyrutaila7304
    @senyrutaila7304 5 днів тому +1

    Nchi hii ni ya ajabu hawa wanaojikusanya na kufanya eti maombi kinacholengwa hapo ni pesa tu za walipa kodi ma kwa sababu wamemwona wanayemwombea anatoa pesa tu kila akisifiwa tunajiuliza pesa hizi anatoa wapi je hazina au mfukoni kwake watz endeleeni kulipa kodi kwa uaminifu maendeleo msahahu kwanza

    • @MariamHassan-kn5qs
      @MariamHassan-kn5qs 5 днів тому

      Mshamba uyo mama Samia mm sioni ata maendeleo yakeeee kazi yake kuwapeleka wasanii Dodoma tu

  • @MickyMgeri
    @MickyMgeri 3 дні тому

    Yan hao viongozi hata aibu tu kidogo hawana?,mbona unafiki wao umepitiliza kiasi cha kupofusha fahamu zao?,kazi tunayo sisi washirika.

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 3 дні тому

    Hapo wengine wanamzidi umli

  • @janethKamazima
    @janethKamazima 5 днів тому

    Umenena kweli,wewe ni yeremia,ezekiel,isaya wa leo huduma yako sii ya mchezo kweli hata mke Mungu akupe mtakae endana silelemama

  • @janethKamazima
    @janethKamazima 5 днів тому

    Na umoja hakunaga kwakweli hawa wameungana wengine wanatumika nq kuzimu kwakweli hata mimi nimeguswa hakuna maombi ya haya kuna watu wanagagaa madhabahuni kwa siri kuja kutangaza ndio nini

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie 5 днів тому

    Wanafiki tu hao na kola zao njaa tu mm matabi nasema tena hao wachungaji njaa tu

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 5 днів тому

    Alafu kwa nini wanafanya hivyo kuwa watu wanafiki mbona hao ni watu wazima lakini hawa ogopi aibu

  • @NtuliSuzan
    @NtuliSuzan 5 днів тому

    Cassian unakokwenda unahitaji deliverance tu sio kingine na sio Kila unachoongea kinatoka kwa Roho Mtakatifu

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 3 дні тому

    Yan wengi mulio coment munajitafutia laana

  • @Atsonmasebo-j9i
    @Atsonmasebo-j9i 5 днів тому

    nawewe ni mnafiki tu

  • @senyrutaila7304
    @senyrutaila7304 5 днів тому

    Pascal anawaambia ukweli ila nina amini haya yanamwisho

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o 5 днів тому

    Wana mtangazia nani sasa hao ni wahuni alafu wasifanye hivyo unafiki mbaya sana

  • @YohanaMchala
    @YohanaMchala 4 дні тому

    Wewe huna akili, unajipunguzia umri wa kuishi, ivi wewe wakusema akinabendera kwa huduma ipi uliyonayo, kuwa makini