MRISHO GAMBO ANAHUSIKA KUMPA SUMU RC MAKONDA? - HAJAITWA KUHOJIWA POPOTE - UKWELI UPO HIVI...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024
  • MRISHO GAMBO ANAHUSIKA KUMPA SUMU RC MAKONDA? - HAJAITWA KUHOJIWA POPOTE - UKWELI UPO HIVI...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 112

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 місяці тому +10

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @RACHAELMALALE
    @RACHAELMALALE 2 місяці тому

    Mungu atakuponya boldozer makonda
    0:00

  • @isamoo736TV
    @isamoo736TV 2 місяці тому +2

    KICHWA CHA HABARI CHAKO KINATIA HATARUKI BRO

  • @simonkaaya1220
    @simonkaaya1220 2 місяці тому +6

    Naomba tuombe kila mtu kwa IMANI yake amuombee kwa MWENYEZI MUNGU AMPONYE. Bado Taifa linamuitaji. Mapungufu yapo kwa kila binadamu ata YESU alituhumiwa na Kusalitiwa.

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 2 місяці тому +2

    Kila jambo lina mwisho wake kama rizki yetu kwa makonda imeisha tutashukuru mungu na kama bado pia tutashukuru mungu akuna atakae ishi milele cha msingi ni kwamba kama kiongozi wetu yuko likizo apumzike vema arudi kwa nguvu kutumikia wana arusha mungu akubariki mdogo wangu makonda

  • @RACHAELMALALE
    @RACHAELMALALE 2 місяці тому

    Pole rc makonda

  • @RACHAELMALALE
    @RACHAELMALALE 2 місяці тому

    Mungu atakuponya boldozer makonda
    0:00

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 2 місяці тому +22

    Unatuletea story!!! Tunamtaka Makonda!!!

  • @ZainaJuma-t5g
    @ZainaJuma-t5g 2 місяці тому

    Ee mungu amnusuru makonda wetu na mabalaa hayo, amjaalie awe kiongozi mkubwa zaidi ya hapo❤❤

  • @Pixxmoleli
    @Pixxmoleli 2 місяці тому

    Mungu husika

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 2 місяці тому

    Mungu mnusuru Makonda. Maelezo yako ni pumba tu. Rafiki wa karibu ananafasi ya kukufanyia chochote kuliko hata adui. Makonda akidhurika, wanaotuhumiwa wachunguzwe

  • @nickb3289
    @nickb3289 2 місяці тому +8

    Mwenyez Mungu amponye 🙏

  • @SesiliaYustini
    @SesiliaYustini 2 місяці тому

    Eee mungu Kwa nn tukipata chapa kazi Wana yeyuka Kuna nn? Kwani tusadie tuu mungu wambingu na araz 🙏🙏🙏

  • @bmajesky63
    @bmajesky63 2 місяці тому +3

    Makonda will not die watakufa wapuuzi wengine mpaka Mungu atakaporuhusu Makonda kufa

  • @Mutako-ig1ik
    @Mutako-ig1ik 2 місяці тому +8

    Huyo baba wawatu makonda akifa aiseee watanzania mutakuwa watu wa ajabu sana nitawachukia milele japo wanaangu pia ni wa Tanzania iweje kila kiongozi imala na mwenyekujali masirahi ya nchi na mupambaniq haki tzd anadhulikq

    • @FadhiliMgalla
      @FadhiliMgalla 2 місяці тому

      Nduguyangu mimi kila ninavyo angalia hizi kilipu nazidi kuto kuelewa kabisa Yani ngoja tusiongee kwanza

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik 2 місяці тому

      @@FadhiliMgalla Mungu amulinde huyo baba wawatu namupenda sana jamanii mie siyo mutanzania ila wanaangu ni wa Tanzania wakipataga kiongozi mzuri najikuta namupenda sana kuliko maelezo nilimupenda Magufuri wakamuondoa nikamupenda Majaliwa wakamukalisha kimya saa hivi hana kauri amekuja Makonda wanataka kumupoteza aiseee sjui wana Mashetani gani ila kabla Kikwete na Mwiguru hawajaondoka duniani hii nchi haitakaa ipate kiongozi bola ata siku moja

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 2 місяці тому +16

    Wachunguzeni hao wote waliousika kumpa sumu Makonda kama ni Watanzania wa kweli na kama sio wafukuze wote

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 2 місяці тому

      Wafukuzwe Nanani usinichekeshe

  • @DAVIDJOSEPH-u8r
    @DAVIDJOSEPH-u8r 2 місяці тому +1

    Hii inch imewekwa . kwaajiri ya watu wachche. Ndiomaana akiwepo kiongoz mwenyewe haiba na uchungu wawatu wachin..anapotezwa.

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 2 місяці тому

    Sasa hii story ndo ya kuichunguza why global ndo mnamsafisha?amewatuma au?

  • @ALBERTMWEMEZIBATAMUZI
    @ALBERTMWEMEZIBATAMUZI 2 місяці тому +2

    hao ni marafiki mungu awabariki

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 2 місяці тому

    Sema alipo Makonda acha Mboyoyo 😂😂🎉🎉

  • @Nandymsophe
    @Nandymsophe 2 місяці тому

    Kaka hatutak maneno meng sis tunamtaka makond. Wet tu akiwa mzim wa afya

  • @Richforever66
    @Richforever66 2 місяці тому

    Yani Rais jamaniii amsaidie makonda coz daaaa

  • @mazongeshomari8032
    @mazongeshomari8032 2 місяці тому

    Hatamimi naamini maneno yamsimuliaji

  • @VailethVee
    @VailethVee 2 місяці тому +9

    Hatutaki maneno mengi kaka waambie tunamtaka makondaa wetu akiwa na afya

  • @philomenastephen3364
    @philomenastephen3364 2 місяці тому

    YUDA ISKARIOTE HAKUWA MBALI NA YESU. NAYE ANGEPEWA NGUVU ZA KIROHO ANGEJUA ATAKAYE MSALITI.

  • @novatusmakunga3030
    @novatusmakunga3030 2 місяці тому

    Superb 👍👍👍

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 місяці тому +1

    Na ole wenu iwe kweli tunamtaka Makondaaaa😢

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 місяці тому

    😢😢😢😢😢😢

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 2 місяці тому +11

    Wahuni wanataka kumchonganisha gambo na makonda

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 місяці тому

      WATU WANAONGEA UJINGA SANA KITU KAMA HIPO HAKIPO

  • @MatidoniFasitini
    @MatidoniFasitini 2 місяці тому

    Hii mitandao na yenyewe inachangia kuvuruga aman ya nchi yetu mamlaka ya mawasiliano ifanye kaz yake tunataka taarifa zinazoeleweka

  • @ashakomba8034
    @ashakomba8034 2 місяці тому

    Mnachokitafta mtakipata 😢😢

  • @ramadhanchonya9497
    @ramadhanchonya9497 2 місяці тому +1

    Tunamtaka makonda

  • @adolftimanywa2709
    @adolftimanywa2709 2 місяці тому

    Ameñ

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 місяці тому +1

    Jamani hii ni Inchi ya ajabu kwanini wasituambie tujue yupo wapi kuliko hizi taharuki Mungu Mwenyezi tunaomba utusaidie ili mja wako arudi kutupambania

  • @AmosSija
    @AmosSija 2 місяці тому

    Haya mambo yanasikitisha kusikia viongozi wanawekewa sumu ukweli si jambo jema

  • @AyubuMsindo
    @AyubuMsindo 2 місяці тому

    Daaaaaaaa jamani 1:31

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p 2 місяці тому

    Kama mke anaweza muwekea sumu mumewe itakuwa rafiki ?

  • @EdwardYohana-nj9ky
    @EdwardYohana-nj9ky 2 місяці тому

    Acheni kuchafua jina la gambo nnacho taka kujua mkonda yuko wapi basi

  • @linusmmassy9730
    @linusmmassy9730 2 місяці тому

    Siasa za Arusha ni ngumu MNO mno

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 місяці тому +4

    Ninyi mbwa wakubwa mrisho Gambo atahusikaji wakati makonda na mrisho Gambi nimarafiki wa siku nyingi

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 2 місяці тому

    Tunamtaka mtoa uzushi ,huyo ndio anajua alipo makonda , sisi tunamtka makonda kamata huyo aje aseme ukweli.

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 2 місяці тому +1

    akiludi aachane na hio kazi

  • @bnztechnologies2676
    @bnztechnologies2676 2 місяці тому +1

    Mmmhhhh gambo huyuuuu sio

  • @gilbertmchai2490
    @gilbertmchai2490 2 місяці тому

    Akujuae ndio akumalizae

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 2 місяці тому +3

    Ni zaid ya upuuzi kabisa

  • @RukiaTanzania
    @RukiaTanzania 2 місяці тому

    UNaesema hawezi ndie rahis kuweza

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 2 місяці тому

    Mbona mnaleta makelele msituletee izo habari mlizusha kuhusu makamu wa rais kafa ikawa uzushi msituletee uzushi wenu mmeshajibiwa kuwa yupo likizo

  • @IssaMsangi-ro7qr
    @IssaMsangi-ro7qr 2 місяці тому

    Jmn

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 місяці тому +6

    Ila wabongo tuache uzushi jamani

  • @jameskilasi5131
    @jameskilasi5131 2 місяці тому

    Hujatoa jibu bdo yupo wapi makonda

  • @nickb3289
    @nickb3289 2 місяці тому +1

    Waiting

  • @jonasimwanzi
    @jonasimwanzi 2 місяці тому

    Kinana kajiuzuru CCM kuna kitu kinaendelea jamani vijana 2000 tuamuke maana awa wasitucheze

    • @gigoyrn4394
      @gigoyrn4394 2 місяці тому

      😂😂 Sasa kujiuzulu Kwa kinana sisi tuingie mtaani

  • @jumanyanda9740
    @jumanyanda9740 2 місяці тому

    Nani mwenye ushaidi wa hilo na je ni nani mwenye ushaidi kuhusu makonda alipo na je nani mwenye ushaidi wa kweli makonda kapewa sumu?

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 2 місяці тому

    Heeee

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 2 місяці тому +6

    Huo ni uwongo gambo na makonda ni marafiki sana tangu enzi za magufuli na ni marafiki sana hawana shida hao wawili hizo ni mbinu za watu wachache kumtengenezea gambo ubaya but gambo yuko vzur hanashida

    • @Sweetnaah
      @Sweetnaah 2 місяці тому +3

      Je wajua kwamba kikulacho kinguoni mwako?

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 2 місяці тому +1

      ​@@Sweetnaahhajui mtu wakwanza mwenye kukudhuru ni mtu wako wa karibu

  • @SirajiAbdalah
    @SirajiAbdalah 2 місяці тому +1

    Raha na shida vinalingana

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 місяці тому +2

    Uzushi kila kukicha! Mnamzulia Makonda kupewa sumu, mbona hamji na ushahidi na uthibutisho? Mnamzulia Gambo kumpa sumu makonda, tupe ushahidi na uthibitisho. Tunachoka na waandishi makasuku na makanjanja wasitofanya juhudi utafiti kutafuta facts wanabaki kuwaaminisha watu uvumi na uzushi! Acheni uhasidi!

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 місяці тому

      Wanaozusha wanataka wasidhaniwe ni wao😣😣

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 місяці тому

    Lisemwalo lipo mbona atajwe yeye tu

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 2 місяці тому +1

    Hivi jamani wanao toa taharifa za uongo c, wachukuliwe hatua

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 місяці тому +1

    Yuko WAPI mkuu wa mkoa Paulo Christian Makonda4

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 2 місяці тому

    Makondakana watamuuwa kama magufuri nitahama nchi hii

  • @kibemassao6478
    @kibemassao6478 2 місяці тому

    Acha mbwembwe

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 2 місяці тому

    Trust nobody

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 2 місяці тому +1

    Makonda mzima bwana mnataka kusema kikulacho au nini😮

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 2 місяці тому

    Leteni majibu sahihi yuko wapi Makonda acha maneno mengi

  • @emmanuelmasatu
    @emmanuelmasatu 2 місяці тому

    Hawa watu wanao waua viongozi vipenzi vya Watanzania ni kinanani.? Na wanatuchukuliaje watanzania.!

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 місяці тому +2

    Ole wako gambo awe ndio yeye maana rafiki anaweza kuwa adui mkubwa

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 2 місяці тому +1

    😢

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 місяці тому

    MBONA NI KAMA UNARUSHA UTETEZI?

  • @ClementMmuru
    @ClementMmuru 2 місяці тому +5

    Jamani watanzania ninani aliewaloga?kila kiongozi shupavu anatafutiwa mauti je hiiitakua ninchi ya kidicteta au huo ndio uzalendo watanzania? Duh hii Sasa ningumu kumeza jamani

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 2 місяці тому +1

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @BarakaRwegoshora
    @BarakaRwegoshora 2 місяці тому

    Tuombe subira kwa kila mtu tusitaarukishe taarifa na lawama. Tuamini lile tunalolipokea kutoka kwa serikali ndo kuna taarifa sahihi

  • @jennifersirikwa7449
    @jennifersirikwa7449 2 місяці тому

    BIASHARA ya kuamini rafiki inatoka wapi. Rafiki Ndio snitch mkubwa

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri 2 місяці тому

    Tutampa ubunge Arusha anatufaa

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 2 місяці тому

    Mmm

  • @SelijusMalambo
    @SelijusMalambo 2 місяці тому

    Tunaomba mtuambie amelazwa hospital gani 2 inchi gani alikopelekwa ,leo siku yangapi tangu amelishwa sumu na niaina gani ya sumu ,3 chakula alichokula kikiwa na sumu nichakula gani

  • @RukiaTanzania
    @RukiaTanzania 2 місяці тому

    Anekudhuru ni wako

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 2 місяці тому

    😁😁😁😁me nachekaga tu na siasa za tz

  • @WilfredKuyonza-jz2nj
    @WilfredKuyonza-jz2nj 2 місяці тому

    Tunachotaka sisi ni kumuona makonda akipiga kazi basi

  • @JustinMkumbwa
    @JustinMkumbwa 2 місяці тому

    Tunakuoma kama mmbeatu watu wanatakakujua Hali ya MAKONDA na alipo acha kutuletea mboyoyo kwani gambo hawezikuongea mpaka wewe

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 2 місяці тому

    Never trust anyone.Tena mtu wako wa Karibu ndo anakudhuru kirahisi kabisa.

  • @MiriamJoel-z2w
    @MiriamJoel-z2w 2 місяці тому

    Acheni uongo kumchuria mtiu kifo shindwa

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 2 місяці тому

    Hamna akili nyie,... Mnaleta taharuki kwa kivuli Cha uzushi.... Kama uzushi kwanini muiweke tusikie. Mbaafu

  • @nickb3289
    @nickb3289 2 місяці тому +1

    Kama n kwel

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 2 місяці тому

    kikulacho...

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np 2 місяці тому

    Kikulacho kiko nguoni mwako. Wajuwakwamba. Baba ana weza kuwua mwanae wakumuzaa. Atashindwaje. Kwarafiki yake. Lisemwalo lipo fanya ucunguzi

  • @OmaryRamadan-m8v
    @OmaryRamadan-m8v 2 місяці тому

    Shida yetu sisi so maelezo shida yetu ni makonda tumuone basi😢😢😢😢

  • @MastarKuntuabaharia
    @MastarKuntuabaharia 2 місяці тому +2

    Rafiki yako mkubwa ndio adui wako mkubwa chukua hiyo usiwe bwege

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 місяці тому

      Kumbe nyinyi macha-demu ndiyo mlioandika uzushi huo...

    • @section8ight174
      @section8ight174 2 місяці тому

      Huwezi kuwa panda zote mbili, haiwezekani! Ni eidha rafiki ama adui

  • @GeorgeJusto-y4v
    @GeorgeJusto-y4v 2 місяці тому +1

    Unaongea vitu vya uongo wewe umelewa nini

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 місяці тому

    Sawa, umejitahidi kukanusha kwa niaba ya mtuhumiwa labda kakutuma.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 2 місяці тому

    Yote ni yote tuombe Mungu ampe uponyaji popote alipo arudi akiwa hai bado tunamhitaji sana sana.

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 2 місяці тому +1

    AENDEE TU...KAMA ALIUAWA KINA BEN SAANANE HIYO SUMU ITAMUONDOA...

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 2 місяці тому

      Mhmhmhm 😮😮😮😮

    • @SelijusMalambo
      @SelijusMalambo 2 місяці тому

      Ok ukiitwa ushahidi unao au nimkurupukaji

  • @WilfredKuyonza-jz2nj
    @WilfredKuyonza-jz2nj 2 місяці тому +1

    Sikuhuzi watu wanaweza kufanya jambo kisha wakakaa kimya na kuziacha media walizozilipa pesa ziwasemee ili wao waendelee kubakia kwenye safe zone. Ni mtazamo wangu kwa uelewa wangu wa mambo tumia akili kulitafakari jambo linaloongelewa au uvumi wa namna yoyote ile.

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 2 місяці тому

    Mbona mnaleta makelele msituletee izo habari mlizusha kuhusu makamu wa rais kafa ikawa uzushi msituletee uzushi wenu mmeshajibiwa kuwa yupo likizo

  • @SirajiAbdalah
    @SirajiAbdalah 2 місяці тому

    Raha na shida vinalingana