Sheikh Michael, huu mchanganyiko mzuri sana kwa inavyoonyesha, Mafuta ya Karafuu kujitia kwenye mnazi huko naona hatari sana kwa yanavyo wacha hata pale baada ya kuyachanganyisha na masini mengine.
Siku hizi mnaimiza watu wabadili maumbo aliyoumba mwenyezi Mungu (zama za mwisho) Shetani alimwambia mwenyezi Mungu... Watabadilisha ulivyoviumba. Nyie ni masheikh wapumbavu ambao hamfai kuitwa masheikh.
Kusoma haujasoma, hata kusikiliza unasikiliza mambo ya anasa tu za hawo masheikh wako wapumbavu. Basi nambie wewe muumini uliyetoka hija Jana, sura na aya ya ngapi kwenye Quran imesema kurefusha maumbile ya mwili.... Au ndo kumkosoa mwenyezi Mungu kuwa kakosea kuwaumba.....? Wewe na huyo sheikh wako hamna akili.
Unajua maana ya kubadili maumbile wewee? Shekhe habadili maumbile Bali anatibu maradhi.. kwani hujawahi ona mtu amezaliwa miguu imepinda na anapatiwa tiba Hadi inanyooka Kama yako?
@@aminahassanali1190 Kuna ugonjwa wakuchanika midomo maaruf waitwa midomo wazi waufaham? Unajua Kama SIKU hizi wenye matatzo Yale hufanyiwa tiba Hadi mdomo unakuwa Kama wako??
Mwenyezimungu akupe umri mrefu shekhe wetu othman
Sheikh Michael, huu mchanganyiko mzuri sana kwa inavyoonyesha, Mafuta ya Karafuu kujitia kwenye mnazi huko naona hatari sana kwa yanavyo wacha hata pale baada ya kuyachanganyisha na masini mengine.
Shukran Shekhy,hapo nina swali kuna vitu vingine imezitaja hati juu hapa Kenya,wacha mita zinafika vizuri nikutumiye Insha Allah.
Assalam alaykum warahmatulLah wabarakatu sheikh. Nahitaji dawa ntaipataje?
Shukran shekh
Changamoto ya watanzania,ni ubishi japo jambo lenywe hatulijui,
Mungi akupe uwelewa zaid shekh
Shukrani Allah akubariki akulinde
Allaah akubaarik Inshaallaah
Shukran kwajitihada zako.
Inapatikan kwashingap hii yamaumbile kuwa makubw
Mashallah Allah akuongezee wahai
Ahsante umejibu uzuri sanaa
Shukran Ustadh kwa Elimu nzuri MASHAALLAH ALLAH Barik
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🤲🙏🤲🙏
Shida hajibu
Assalam alaykum ustadh Othman uko na elimu nzuri lakini shida yako haujibu maswali yetu.
Sheikh Niko Uganda naweza nikasaidiwa jee?kulingana matibabu
Asalaam arekum shekhe naweza kuipata dawa hiikwa beigan
Allah akubariki sheikh kwa elim unayoitoa kwa watu
Tapeli huyo abarikiwe wapi.
Shukran sana shekh wangu
Shekhe napenda unapotoa daawa unatabasamu Mungu akujaalie shekh
Assalam alaykum, ustadh Othman uko elimu nzuri lakini haujibu maswali yetu hadi Nimechoka na kukusikiliza maana unapuuza comment zetu
Assalaam alykum warahmatulullah wabarakatuh shekh.Hiyo dawa shekh imeitengeza tayari shekh?
Barakallahu sheikh wetu.
Asante shekhe
Shukran sheikh kwa elimu nzuri Allah akujalie
Sheikh napend unavyotow dawa na Tabassam mashallaah shukraan
Asalamu hallaikumu shekhe wangu VIPi aliyako na family?
Sheik iyo dawa ya kurefusha umme mm nahitaji lakin niko tɑnga je naweza nikaipataje
Assalaam aleykum sheikh vp tukiihitaji dawa ambayo umeshaitengeeza tunaipataje kwa tulio mikoani?
Hatua za kuitumia muegea katk kurefusha maumbile ni zip sheikh
Sheikh unayumba sana mungu anakuona kwa kutokomeza uma
Kweli
Doctor
Kweli kbx ustadh
Sheikh assalam aleikum vipi naipata hii dawa niko Ukunda karibu na Mombasa Kenya
unatoa hotuba au unafundisha dawa shekhe mbona maelezo mengi yasiyo na tija
A Alaykum! Shkh hizi dawa zako zote Kenya Mombasa zapatikana wapi?
Ushalipata duka!
Asante sheikh
Pelekeni maabara uchunguzi wa kisayansi ufanyike watu wengi wanataka mboro za pund acheni utapel na ujanja ujanja
Ww n mpuuzi mbona ukosoe usicho jua huo n upuuz ww unaamini wanasayansi ambao hawaamin Mungu
Mnatumia msikiti kufanya mambo ambayo hamna uhakika nayo Allah anawaona
Hii ni elimu kaka hujafosiwa
Sheikh umejaribu Hakuna matokeo?
COMO FUNCIONA ESTE TRATAMENTO,SOU DO BRASIL E HÁ MUITOS HOMENS QUE PROCURAM POR ESTE TRATAMENTO DE AUMENTO DO MEMBRO GENITAL ,AQUI NO BRASIL ?
Dawa hii yapatikana wapi Mombasa kenya.
Huu mti nimeuona sehem migadini changamwe Mombasa
Asalam alaikum jaman naomben namba
Shk hio aya
وقد خلقكم اطوال
Sijawahi iona
Zanzibar yanapatikana wap
Shekhe naomba namba yako!
Hi dua hukuitaja ya shekh
Allah bless you
Mafunzo mema Mungu akulinde na akupe umri mrefu lkn ningeomba ieleze kwa kizungu..
Mawasiliano Yako sheikh Yako wap
Apo sawa
Mashekh acheni Haya mambo wachieni waganga nyinyi simameni kwenye dini kueliminisha watu kila mhubili ni mganga
Kama huelimiki Nayo wacha wengine waelimike,,
Enda ulale wewe
Shuqran ustazi kwa dawa yako
Kazi ipo kwa kinamama
namba yako na izo dawa tunapataje
Jaman kibiliti upele ndo nn??
Nko Kenya Sheikh wangu n fanye vp na dawa pesa ya kenya n ngap na niipate vp
Sheh unapataje hyo dawa ikiwa ishaachangangwa na kwajina gani
Assalam aleykum ya shekh ukiihitaj tunaipataje hiodawa
Anapitikana Buguruni rozana ndipo penye ofisi zake
Nataka piya
Inauza shgp sheikh
Number zako Sheikh twakuomba tafadhali 🙏🏾
Na sisi tulioko mbali na Tanzania twapata vp iyo dawa?
Siku hizi mnaimiza watu wabadili maumbo aliyoumba mwenyezi Mungu (zama za mwisho)
Shetani alimwambia mwenyezi Mungu...
Watabadilisha ulivyoviumba.
Nyie ni masheikh wapumbavu ambao hamfai kuitwa masheikh.
Sasa wewe kafiri mambo ya masheikh yanakuhusu nini !?
Siundelee na ushetani wako , sie tuache na masheikh wetu
Kusoma haujasoma, hata kusikiliza unasikiliza mambo ya anasa tu za hawo masheikh wako wapumbavu.
Basi nambie wewe muumini uliyetoka hija Jana, sura na aya ya ngapi kwenye Quran imesema kurefusha maumbile ya mwili....
Au ndo kumkosoa mwenyezi Mungu kuwa kakosea kuwaumba.....?
Wewe na huyo sheikh wako hamna akili.
Muacheni atukane tatizo elimu bado haja ifahamu na ataki kuifahamu
@@burbiddy316 Kweli ndugu wengine yuaingilia yasiyowahusu,,kuropoka ropoka inabidi kuwa nao makini.
Mashallah
Niko Kenya naweza pataje dawa hizo, na kwa bei ipi?
Cheikh nipo drc congo nawezakupa matibabuya iyi dawa je?
Sheikh mimi ngependa kujuwa kama hizi dawa kenya zinapatikana wapi ngependa kununua pia.
Shekh nikitaka kuagiza nakupataje
Mm niko south africa na hitaji hizo dawa zote ntazipataje na bei gani zote
Unapatikana wp?
Muhim san
Naipataje hiyo dawa sheik
Asalam aleykm shekh asali lazim iwe ya nyiki wa dogo tu
KISHERIA AU KICHAWI MAALIM
Maana hio sio sayansi, huo ni uchawi
Hili sheikh jinga sana kama ilivyo kwa misheikh mingine. Ukilisikia kama sheikh lakini kiundani ni najisi tupu
Allah akusamehe
Nice 🤲🤲🤲🤲🇰🇪🇸🇦🔥🔥🔥❤❤
Bomuu Bomuuu weeeeeee2😂🤔💯🙌📌
mimi nilifanya kwa kutumika mafuta miaka hishilini
Ulifany kwa miaka ishilin nin master bration au
Kazi iendelee
Shekhe iyo dawa naipataje Mimi nipo nachingwea mkoa wa lindi na bei gani
Mbona sielewi
Jamani ivi kumbe kweli kweli kunayo haya tena ya kumulaani muamad tena kivipi na inawesekana aje tena
hujaeleweka
Hiyo dawa iinazwa Bei gsni? Kwa hicho kichupa cha zakari na mtu anapataje akiwa mkoani asante
1700sh
Ila mimi najiuliza mbona sheikh michael hajibu maswali kwa wenye kuuliza?
Shekhe hizi dawa hapa dar zinapatikana wapi ?
A, alykum
Number ya What’s AAp?
Kaka
Naomba unisaidie hiyo dawa tafadhali
Umriumeendakaka hivinikiutumia nitapatarungukweli
Sheikh izo dawa naziitaji nitazipataje
Asalamu alaykm shekhe nambazako vp sass ?
Wizi mtupu
Sheke muongope Allah
Acha shobo wewe
Ni tapeli.
Weak namba tuwapigie jamani
Al akhiii naweza viip kupata hiyo dawa please
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, tutaweza tukapata whatsapp number?
1700sh chupa Mombasa
Nini maana ya muegea?huu ni mmea upi kwa kingereza?
Njaa na tamaa zinatufanya tukufuru
Kenya tutazipata wapi shehe
Tutaipataje
Sheikh hakuna kosa kwa Allah juu ya kubadili kile Allah alichotupatia?
Hat mm natk kuuliza hilo swali
Wale wanaobadili figo je??
Unajua maana ya kubadili maumbile wewee? Shekhe habadili maumbile Bali anatibu maradhi.. kwani hujawahi ona mtu amezaliwa miguu imepinda na anapatiwa tiba Hadi inanyooka Kama yako?
@@aminahassanali1190
Kuna ugonjwa wakuchanika midomo maaruf waitwa midomo wazi waufaham? Unajua Kama SIKU hizi wenye matatzo Yale hufanyiwa tiba Hadi mdomo unakuwa Kama wako??
@@shakourdutilo3813 shukrn nikutak kujua zaid na si vinginevyo
Shehe naomba namba yako
Duh mchanganyiko wote huo 😭😭😭😭😭
Jiangarieni wanaume tumieni kwa makini tusiraumiane🙏
@@aminaathumani6832 Tusilaumiane kiaje
daqainaitwaje shee ikishachanganywa
Asalamu alykum mbona nilitafutaga nambayako nilipo ipata niliku andikiya ila hukunijibu sijuwi mnasaidiya vip
Jifunze kuandika kwanza ndipo uwaandikie meseji
..... Nina Imani watakujibu