DIAMOND Afunguka KURUDIANA na TANASHA/ "Kweli NILITAKA KUOA/ ZARI/ Anawivu sana"
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Diamondplatnumz #Tanasha - Розваги
Hata pale kenya alisema Tanasha ni mdogo mzuri sana na anamtambua kitandani. But leo hii ako wapi. DIAMOND mtambue Mungu wacha unafiki
Like from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ziko wapi jamaniiiiiiiii
You've it all
They are finished they thought they will be married to him ooops, getting pregnant faster while there's another special girl behind so sad, women let's us find our own money
Diamond is a gentleman, infact he respects babymamas, ni venye hajapata mwanamke wa kumelewa,
Wow amazing you know what hapo kidogo ume bonga points mond anyway mm ni fun daimond ilahaiamanishi aki fanya vitu vyenye sipoa nita msapoti no, ila ushauri mdogo kwa yule mwenye yuwatarajia kuolewa na mond the first thing ushajuwa hulka zake so umkubali vyenye yuko na ukubali job yake, kwa mke wa Kiba Amina haiamanishi kuwa hakuna majaribu yako thele ila yuwa mwelewa mumewe this is 4the one who want to stay with daimond platinumz much much much love from 🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Zari should move on and live her life
Diamond is a mamas boy
Chibu tanasha anatosha jamani, munafaana napenda nikiwaona pamoja malizeni tofauti zenu mulee mtoto Kama familia.
Tanasha run with all ur might rudi huku kwetu uuuuuuuwi!!that man is so unstable hajielewi.....
Kabisaaaa
Tatizo la diamond kukumbatiana sana na ma❌. Na uchafu anazaazaa nje mke atakae mpata labda kwako anaziki akubali kila kitu kumrizia diamond lakini sio hao walokuwa na kitu ni ngumu kukubali kuolewa na diamond.
You can be joeleusy to some one whom you don't love so you should not blame zari
Weeeewww simba nakubari ❤❤❤❤❤💌💌💌💌💌💌🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲
Dah
Diamond hawezi owa
Mhhhh jamani wivu lazima
Kweli dai leo kanichekesha kweli,tangu nimujuwe duh!!!!
Eeh mumemuona diamond hawezi oa Sasa wa leo,mm Nasha ngaa na wanawake kama tanasha na zari warembo lkn hawana kheraa za kikee
Kivipi
Itakua ndo maana tanasha akasepa kipind kile, ila mondi tulia wanawake hawaishi
Mbona yes zipo nyingi sana
Na hilo tatizo la kuchukuwa wanawake ndo nini mambo unaharibu mwenyewe. Punguza mambo ya ubishoo hayo ndo yanayokuharibia.
😍😍😍😍💞💞
Alisema ako single
Translation please
Yes coz we don't understand
Eeeeeh wacheni huyo atumwe na shetani pesa ya shetani lazima ikutume
ufakara wako ni wa mungu?? tafuta hela kijana at your age you dont feel ashamed talking ill of other mens wealth. Abig shame on you. PIMBI wewe
Fala mkubwa
Mpuuzi wa maisha huji elewi
Kuna Wanamuziki wengi wanafny Mziki na wameoa lkn hawana cfa km ww ukitaka kuishi na mke kw cc Waislamu achana na maex wko ibaki salamu tu ndio tukaambiwa tuzae Ndani ya Ndoa ingekuwa uliwaoa isingekuwa ishu
Sawa
Lakini zari anatosha jamani.....
Zari ni Mama mkubwa😂😂
@@carolynemohammed518 ni mama yako
@@mercynoreen3288 zari yupo busy na gay wako 🙏🏾
Hahaha mod unanifurahisha
Anatosha kabisar
Huyu jamaa mshenzi Sana😆😆😆😆
Tatizo Wabongo wana uswahili sana mitandao inakuza Jambo jambo dogo wanalifnya kubwa Mtu hata km hajamind bc atamind yani uwe na moyo wa chuma
Kweli kabisa
Kubaliiiii mondiii duniaaaaa nzimaaaaaaa hadiii nakufaaaaaa
Diamond muongooo🤣😂😂Una vijimaneno sana ww lover boy🤣🤣.. Wajitetea tu.. 😂
Uwongo ina onekana live. Lakini wacha tumsamehe, labda hataki spotlight
😁😁😁
Diamond wewe wa tuuzi sana wacha kumzalalisha zari kama wewe unataka kumuoa mjaluo utapatapata wewe sisiwenyewe twawaogota itakuwa wewe ngoja diamond umenisinya kweli hautapata kama zari
Wewe pepo amekufanya makao yake eti mzuri sana mzuri sana my foot kuliko hao ulio zaa nao naku unfollow mwenye kureplace nafasi yangu ndo hiyo na nimeenda
Aho
Sauti Kama ya babako and unamkataa
mbona wachanga nyikiwa baba
Hpo ni sawa chibu mtoto mzuri huyo usi muache mpaka aku zalie msani
Mnasema tanasha yet anazungumzia msichana mwingine
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tanasha aachane na huyu mtu anampotezea mda akubali waliachana na wanalea tu mtoto coz yuwamtumia kama alivokuwa akimtumia hamisa
@@sweetmeena5970 true..amwite pale kwa stage wa perform yet diamond haku perform ya Tanasha ..lazima angelipwa
Diamond usikulupuke kuowa ndoa nijambo dogo ila nikitukikubwa mno tafuta mke bora na siyo bora mke
Nani huyo ulitongoza tangu 2013sielewi
Even me, I have not understand
Wema
Tena wa mataifa matatu mburundi,mwarabu mtanzania mmh
Wema sepetu
Kwani mwaka jana alikuwa na wema
Mondi anaficha tanasha kabsaa
Translate please
Yan mkongo tu Diamond haja onja hivi koffi akupe msichana wa huko
Chibu umeongea, wengi wajifunzee!
Nimecheka apo kwa inshallah yote kheri 😂😂😂😂😂diamond bahna
Yani nimecheka
HUYO TAMBWE KUKATISHA HAYO MATANGAZO 😬😬😬😈
Ungeliowa alafu Zari vipi sasa? 🤔 Khaaaaaa 🚴♂️🚴♂️🚴♂️
Punguzaga misifa uishi bila matangazo utazaa na wangapi
Kulikuwa na haja gani ya kutaja dollar elfu 7...hahhahaa😂😬😀😁
Joule esma aliwayi kumuposti katambo
Hanaga maoaji huyo
Diamond muongo bhana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mondi umijua kunivunja mbavu hahahahhahahaahahha eti inshallah yote kheri yataisha nimicheka jamani mm na nilikua full stress 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣unatupatia
Chibu umekuwa kunivunja mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Miarabu mwehu huyoo aolewe na wewe loooh muarabu wa wapu huyoo
Mwarabu mswahili atakuwa
Na hawo waraabu ndio naona muna hamu nawo sana sielewi kwa nini kila msanii akiwa na mwanamke mweupe kidogo ni muarabu hee
This guy is confused ....hajuwi yupi wakukuwa nae ila mungu atamsaidia...na pia amwombe mungu sana kwakufanya mamuzi ilaakiwa ataumia njia zake yeye kama yeye hata weza atabakia kuwa kama mzee wake akiomba kwa wanawe...ila mama zao watakuwa vile vile alivyo mkana baba yake wakumlea ila walewatoto hawata wakana baba zao wakuwale ...hahah Tanasha pls come home there we have learned rich guys better than him am sure you will never regrate ...and your son will grow this guy is undecided MWACHE! ....kwani hajuwi Nairobi nini...hahha
Fame huisha ni anakuone wivu anajuwa utakuwa juu ...kumliko so he is avoiding it all ...mpe kishogo alaa
Wewe wacha zako
Pesa zakunyetesha.. Misifa wewe.
거짓말이 너무 많아 smh...
Kama zari ako na wivu . .si uoe wawili baas😂😂😂mpenda kuruka njia
misifa wee huna llote
8
Hahahaaa
😂😂😂😂😂😂
Baba.nasibu tuna.kushauti.muowe.mama.nasibu.apana.uyo.bibi.kize.zari.ameisha eneza myaka 50.wewe.una.endana.na.mama.nasibu.tanasha
Jinga we we,Unamlazimisha aje wakati hamtaki
Hahaaa amekwambia ana mtoto mzuri 😂😂😂😂😂 wakati mwingine asema kaoneshwa kwenye ndoto kuwa niwake nacheka kwa kweli😂😂😂😂😂
Diamond muongo kweli unasema uongo tupu
Mrongo mkubwa weweee
Mrongo awe na dem asimpost anavyo penda kiki huyu mamake alivyo na kiki wanafki wote
.
Muowe tu wema kama watoto ushapata
Wakuoa utakuwa wewe bwana
Bado upo upo kwanza