TANASHA DONNA: AFUNGUKA UKWELI HATUWASILIANI NA DIAMOND/HANIPI MATUMIZI YA MTOTO/HAMISA/ZARI/MWIJAKU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • KUPITIA kipindi cha bomba la Sanaa nchini Kenya kinachoruka kwenye TV47 Tanasha amefanya mahojiano na mtangazaji mahiri sana Tony Mwirigi na kuzungumzia mambo kadhaa ambayo yanaendelea kwa sanana kuhusu yeye na Hamisa pamoja na kuweka wazi kuwa hawazungumzi na Diamond.

КОМЕНТАРІ • 272

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta2578 4 роки тому +48

    Jamani nimependa alivyo jibu maswali yake......Tanasha umenifanya nikupende kwa kweli 💗💗💗

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 3 роки тому +14

    Duh katika wanawake wa diamond huyu nakubali msomii sanà hagaa vitu vya ajabu haropoki tuuu big up tanashaaaaa 💪💪💪👌

  • @maggykavata9439
    @maggykavata9439 3 роки тому +12

    mtoto mmoja hawezi kushinda kumlea that guy he doesn't deserve u..u are so beautiful my sister

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 4 роки тому +17

    Masha Allah, mwanangu tanasha umejibu vizuri sana maswali ,nakupenda sana tanasha

  • @eunicekiilu9330
    @eunicekiilu9330 2 роки тому +3

    This lady is just wonderful an Icon. Moving on with such a clean heart waa

  • @wemakatishankatha5963
    @wemakatishankatha5963 3 роки тому +11

    young lady with a beautiful heart

  • @MariamMohamed-bw8xf
    @MariamMohamed-bw8xf 4 роки тому +30

    Tanasha mama nassib junior nakupenda sana na ume jitahidi kuongea kiswahili like that 🙌🏽😍

    • @azizaally1706
      @azizaally1706 3 роки тому

      ww ni mwanke jembe shika uzi huo huo

  • @fearless7125
    @fearless7125 3 роки тому +7

    She speaks soo well and the truth. 😊

  • @brendahmwende6473
    @brendahmwende6473 3 роки тому +5

    Big up to our Kenyan queen.. Chuki iekwe kando na tufocus na the positive vibes onlu

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 4 місяці тому

    I love this lady she look down to earth. Hope it's true

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 4 роки тому +7

    I Love you Tanasha it’s very much true what you are talking about. 🙏🏽💓

  • @margaretcharlton1960
    @margaretcharlton1960 3 роки тому +1

    Donna my darling to what you have said it’s true. You don’t have to tell DP that need to take care of his blood, if he doesn’t want to take care, they are so many single parent and they are doing wow. I respect you so much and I’m very proud of you. Keep smiling 😊

  • @sharifaseif5174
    @sharifaseif5174 4 роки тому +12

    Very cute darling, keep on moving sweetheart, may Allah bless your efforts!! Ameen

  • @halimaabdallah2625
    @halimaabdallah2625 4 роки тому +9

    I love this girl 😍

  • @annamrima5507
    @annamrima5507 3 роки тому +1

    I hv just liked yr conversation...keep it up

  • @stacia4797
    @stacia4797 Рік тому +1

    your the best,independent woman tanasha

  • @eunicewanjau2390
    @eunicewanjau2390 3 роки тому +2

    Tanasha you are such a sweartheart😘😍

  • @anglemallya3998
    @anglemallya3998 3 роки тому +4

    Tanasha una roho safi sana hupendii chuki ambzo hazina msingi

  • @CarosKitchen
    @CarosKitchen 4 роки тому +20

    Tanasha amenenepa 🥰🥰ila amekuw amzuri

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 роки тому +2

    You are cool really be blessed💖💖🙏🏼

  • @carolsayo6409
    @carolsayo6409 7 днів тому

    She's the best

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno9326 4 роки тому +4

    Pole tanasha Mungu atakusimamia

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 3 роки тому +4

    Love from Kenya

  • @khadijatirionaire2510
    @khadijatirionaire2510 4 роки тому +5

    Nakupenda sana wee bint ..❤❤❤

  • @lydiakenya2814
    @lydiakenya2814 4 роки тому +4

    I love this girl

  • @faithbahati8938
    @faithbahati8938 4 роки тому +2

    Tanasha wangu nakupenda sanaaaaaaaaa

  • @naimanurdin1354
    @naimanurdin1354 4 роки тому +4

    Dada nampenda sana huyu
    Naomba Mungu Azidi kukubariki mamy

    • @saravikula9090
      @saravikula9090 3 роки тому

      Hongera Dada kwa ujasiri na hoja zenye nguvu pambana kutafuta maisha mengine ni ziada

  • @dorismwenda4758
    @dorismwenda4758 4 роки тому +5

    I feel u T.
    Ma heart was broken when u broke up.
    Though am team Zari

  • @ininahazwechristella8190
    @ininahazwechristella8190 Рік тому

    Tanasha uko mzuli sana we ni namba one muwake wote wa mondi

  • @nasimiyususan8927
    @nasimiyususan8927 4 роки тому +2

    Beautiful 👑🙏🙏😇

  • @sylviagoddard568
    @sylviagoddard568 4 роки тому +2

    New York city love you .you're Beautiful in and out💕

  • @berniceonegbmusic2324
    @berniceonegbmusic2324 4 роки тому +3

    Tanasha ana roho safi sana

  • @fannytonny9032
    @fannytonny9032 3 роки тому +1

    Beautiful in and out

  • @thymathyma7931
    @thymathyma7931 4 роки тому +2

    Jesus cry my God, hamdulillah very nice save junior

  • @joycemuname5885
    @joycemuname5885 3 роки тому

    Love you tanasha tanasha so much love

  • @euniysharon4704
    @euniysharon4704 4 роки тому +2

    kabisa tanasha sweet luv

  • @paulinafanuely1868
    @paulinafanuely1868 4 роки тому +1

    Nakupendaga Sana'a tanasha

  • @nyamoyanaomi7222
    @nyamoyanaomi7222 4 роки тому +4

    Nice tanasha

  • @buyukubwa9713
    @buyukubwa9713 3 роки тому +1

    Ukiangalia sana Tanasha anaonekana ananipenda Diamond ila kuna kitu in the box inaweza kuwa mama dada ndugu wa Diamond kuna kitu kati

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 роки тому +7

    Tanasha. Umehongeya vizuri sana ongera sana kwako. Lakini kusema Kweli Diamond ni muongo kwasababu Alisema heti Anaongea na baby mama wote watoto wake kumbe ni uwongo. Huyu mwanaume nimongo sana natena Anapaswa kutowa child support kwa watoto wake wote. Hilo ni jukumalake na sio kulazimishwa. So Tanasha wewe na mwanamke wangu ongera sana kwako.

  • @jasminlyall1243
    @jasminlyall1243 4 роки тому +3

    Tanasha is gorgeous and God is with you.

  • @citymwacheo4497
    @citymwacheo4497 4 роки тому +2

    Nimekupenda bure Aisha alhamdulillah

  • @renathajohn879
    @renathajohn879 4 роки тому +5

    tanasha alipokuwa kwa dai alijifanya hajui kiswahili leo anaongea vizuri sana ..
    aliyegundua hilo nipeni likes zangu

    • @florabaruti8032
      @florabaruti8032 4 роки тому

      @@liliankarla4786 we mwenyewe fala kenge wewe

    • @liliankarla4786
      @liliankarla4786 4 роки тому

      @@florabaruti8032 MF

    • @duduvule8124
      @duduvule8124 4 роки тому

      @@liliankarla4786 U are fkn @$$#013

    • @annalfonce259
      @annalfonce259 4 роки тому +1

      Sura kama jaba ume tewa juzi kasiya mwache Tasha

  • @linahsemindu9575
    @linahsemindu9575 3 роки тому +1

    Yan dai hapa kaacha mke jmn Tena saiz yake jmn😩🔥

  • @mariamathuman9703
    @mariamathuman9703 4 роки тому +42

    Tanasha jiangaishe usitegemee Cha mtu mwanamke ngangari

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 4 роки тому +3

    Tanasha. 👍. Supper good 🙏🏽💓💓

  • @achyachy6367
    @achyachy6367 4 роки тому +17

    Tanasha I love that you have moved on...though truth be told, Diamond loved you from his heart but unfortunately for you, you had your other goal strategy to benefit from him which he came to realise early enough..you were not genuinely in love with him........I love that you are not begging for child support like Zari and Hamisa, child support should come naturally from the kid's father but not him being forced or reminded to support his blood... ..I love you for that...us luos we don't beg ..... you look pretty Gal. Keep doing your thing, God will bless you big ...kiss Nasib junior for me ...

    • @judithmanasekitomari5824
      @judithmanasekitomari5824 4 роки тому +2

      True that umesema ukweli kabisaaa

    • @achyachy6367
      @achyachy6367 4 роки тому

      @@kinyamal8201 Very true

    • @achyachy6367
      @achyachy6367 4 роки тому

      @@judithmanasekitomari5824 👍

    • @cheekygyal944
      @cheekygyal944 4 роки тому +4

      M not in support of this coz kama hangekuwa anampenda sidhani kama angebeba mimba haraka plus angevumilia madharau yote aliyofanyiwa,nways who am i to judge🙌

    • @achyachy6367
      @achyachy6367 4 роки тому +7

      @@cheekygyal944 if you have a goal , you will do everything and anything until you achieve it...she had a strategy...alivumilia madharau thinking that the guy was going to give in to her demands ...the problem with Tanasha, she thot that Diamond loved her so so so much and that he would do anything literary anything for her...until she got a shocker !!!

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 Рік тому

    Asallamalequ Maashalla Maashalla Natasha Donald💞💞💞

  • @zenamshana6852
    @zenamshana6852 4 роки тому +2

    Nice interview 💕

  • @johnmwadime4590
    @johnmwadime4590 4 роки тому +20

    Daah! Kanenepa 🤗🤗

  • @kisakim5660
    @kisakim5660 4 роки тому +2

    Sikuwahi kujua Kama unaongeaga vizuri hivyo I love it ❤️🥰

  • @damarissaline.2315
    @damarissaline.2315 3 роки тому

    Mature responses

  • @rizikibondora3550
    @rizikibondora3550 4 роки тому +9

    Kwani before tanasha na hamisa hamukuwa Munatok business ulipokuwa na diamond but why now🤔🤔vile umeachana na diamond ndo umerealize you need to support each other realy

  • @rispermokaya1902
    @rispermokaya1902 3 роки тому +1

    Good girl I love you so much don't depend to a man even has we are single

  • @kulway4669
    @kulway4669 4 роки тому +1

    Kweli

  • @ikhlassathman8782
    @ikhlassathman8782 3 роки тому +2

    Wanaume mukiachana ukisubiri kupewa child support bila kupelekana mbio utasubiri sana lazima mupelekane kiasi ndio walivyo.

  • @rosemarymathew9215
    @rosemarymathew9215 3 роки тому

    Utatoka tu tanasha mungu atakuwezesha

  • @zainabubakari8489
    @zainabubakari8489 4 роки тому +2

    Nmejifunza kitu kutoka kwako tanasha love mingi mingi

  • @angelinajoseph1248
    @angelinajoseph1248 4 роки тому +1

    Nakupenda bure

  • @mwanahawahamis1321
    @mwanahawahamis1321 3 роки тому

    umependeza saana tanasha

  • @catherine2621
    @catherine2621 4 роки тому

    God bless you

  • @chany9950
    @chany9950 4 роки тому +1

    Je t,aime tanacha

  • @wardamasoud4061
    @wardamasoud4061 4 роки тому +1

    Love u tanasha

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 4 роки тому +3

    basi kwenye hii comment section utaona single mothers kama wote watakavokuja kutuhubiria jinsi gani wanaume hatufai na Tanasha ni hero😂😂😂.....fieni mbeleeeeeee!

  • @AyushAli-gv1yl
    @AyushAli-gv1yl 4 роки тому +6

    This Dude is bored kila swali diamond why she has a new work u can talk about na ana kazi nyingi sana na biashara kw nn asimuulize huyo diamond mwamfanya km mungu wa pili mxiiiiiiiiiiw

  • @kautharsalat6449
    @kautharsalat6449 4 роки тому +4

    Hongera sana unajitambua kweli

  • @buyukubwa9713
    @buyukubwa9713 3 роки тому

    Wazazi wanapelekea mtoto anaishi maisha ya one side maisha ya mama au maisha ya baba jambo ambapo linaweza kumwathiri mtoto kisaikolojia mtoto anapoanza kutafuta baba au mama inaumiza sana hata kama anakaa na baba au mama mwenye pesa
    Kwani baba na mama ni Mungu wa.pili

    • @fatmamgunda4049
      @fatmamgunda4049 3 роки тому

      Ndugu yangu huwezi sema mzazi ni mungu wa pil huon km umemshirikisha mungu ,mungu hafananishi na kitu chochote na wal hafanan na kitu chochote km yeye ndiyekaumba viumbe vyote utasemaj mzaz ni mungu wa pil

  • @saraabigail211
    @saraabigail211 2 роки тому

    Beautiful and intelligent young lady! He lost Gold!! I don't know, what do men really want?

  • @veroniquesiwak1343
    @veroniquesiwak1343 4 роки тому +4

    Waoo amenenepa vizuri sana

  • @linahsemindu9575
    @linahsemindu9575 3 роки тому

    Nakapenda haka ka dada jmn💞💞

  • @fozyafozya4060
    @fozyafozya4060 4 роки тому +7

    Amenenepa mashaallah 😍

  • @atuganilekitego8616
    @atuganilekitego8616 Рік тому

    I like it, me too siezi force my baby daddy kusapot my kid

  • @mwanahawahamisi9052
    @mwanahawahamisi9052 3 роки тому +3

    Nimependa ulivojibu sana hayo maswali

  • @thymathyma7931
    @thymathyma7931 4 роки тому +1

    Good mama naseeb junior from Kenya mama wow good day good Allah new mama , LOVE you ok bye mama naseeb thank you I love u i am coming from coming from Ke ja veri nice dance studio where can I s studio where NIC Asia comedy of rhombus are very nice fire, you

  • @diascookout8270
    @diascookout8270 3 роки тому +1

    U are Right Young Lady

  • @naumi2302
    @naumi2302 Рік тому

    Tanasha mzur jaman kasaut katam kakiupole😊

  • @sherin3171
    @sherin3171 4 роки тому +6

    Nakamenepa mashallah

  • @christinenyaboke4655
    @christinenyaboke4655 4 роки тому +4

    Na amenona sana waaah

  • @aishaismail9685
    @aishaismail9685 4 роки тому +6

    Nampenda tanasha asee kazuri

  • @sophiascarion2359
    @sophiascarion2359 3 роки тому

    Tanasha I love u

  • @smootkizy_jr
    @smootkizy_jr 4 роки тому +4

    Watangazaji wa kenya hawajui kuvaa yani wanavaa nguo kama vibaka wapolaji wa Ubungo stand yan hawaendan na fashion na kipind kabsa stylish zao ni za buzaaaaaaaa

    • @shijacs23
      @shijacs23 4 роки тому

      Kenya hiyo fashion

    • @marthalasoi8253
      @marthalasoi8253 4 роки тому

      Buza kwetu koma wewe vyuuuu

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 4 роки тому +3

      Iyo nguo ya juu ameva hata wewe uwezi nunu nguo za ngali sikuzote ukaha ivio km hazielewiki

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 4 роки тому

      Mtu unaangalia eti kavaa nini?? Inashangaza kwa kweli

    • @smootkizy_jr
      @smootkizy_jr 4 роки тому

      @@magynzioka1122 mtangazaji kioo cha umma bana sio aonekane kama mporaji wa stendi bwana

  • @jackiewange1348
    @jackiewange1348 4 роки тому

    Love mamake nassib don't need to b supported do ur own

  • @amourdelicieuse2961
    @amourdelicieuse2961 3 роки тому +1

    Uko mjinga sana Tanasha Dona hamisa kakuloga akupendi ata kidogo nika Mnafki hamisa ni mchawi alikuloga ukaondoka nyumbani kwa Diamond bila kukufukuza...angalisho n'a hamisa

  • @Abubakarallyhamad-kj9sx
    @Abubakarallyhamad-kj9sx Рік тому

    Shidah ya TZ tunapenda kuliza maswal ya mapenz tuh 😂

  • @aishaaboud4406
    @aishaaboud4406 4 роки тому +1

    Mwanamke bomba👍

    • @innocenthamisonndalahwa9541
      @innocenthamisonndalahwa9541 3 роки тому

      U' re brilliant women love u keep moving forward this interview had made u different and put u a next level good good

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 4 роки тому +7

    Ila Tanasha mzuri daah

  • @zackybenny4320
    @zackybenny4320 3 роки тому

    Tanasha mzur sana

  • @wardasalim6140
    @wardasalim6140 3 роки тому

    You ............yau

  • @HawaaHawaa-ke2um
    @HawaaHawaa-ke2um Рік тому

    Huyo nimkenya halisi hajui kushindana, kimapenzi kz kutafuta hela sn

  • @siajohn6626
    @siajohn6626 3 роки тому +1

    kamenenep 😍😍😍😍

    • @THeFOODIE39234
      @THeFOODIE39234 3 роки тому

      Kweliii nimeona but shes good love her

  • @zahramurangara2508
    @zahramurangara2508 3 роки тому

    Tanasha mpole sana

  • @aishamwinyi3566
    @aishamwinyi3566 4 роки тому +2

    Kumbe jaman anakijua kiswahil vzr sana chezea wabongo

  • @SaraSara-nf1uc
    @SaraSara-nf1uc 4 роки тому +2

    Tanasha unajielewa ata kuwaliko watu uliowapita umri haki ntakupenda sana

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 роки тому

      Sana sio yule mtu mzima asiyejiheshimu kutwa kutwa mitandaoni miaka 40lakini bado hajiheshimu mhm

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 роки тому

      Zari hajiheshimu nguo zake kama si mtu mzima

  • @luksenen7759
    @luksenen7759 4 роки тому

    Unanenepa sana mond alikuwa hakulazi usigizi kwaku chomeka ndizikubwa usikuwote ukakondeyana dada ivisijuwikama itananihii tena😃😃😃

  • @sumayahfathi9413
    @sumayahfathi9413 4 роки тому +2

    Huyu mtangazaji mbeya Sanaa, hana maswali mazuri ila mbeya tu, kutaka kuchimba

    • @judynasambu8428
      @judynasambu8428 3 роки тому

      Huna mahalo pengine ni hapa Tu as soon as tnz

  • @carenalphonce5013
    @carenalphonce5013 4 роки тому +2

    Dah tanasha mzuri jamani

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 роки тому +1

    Karembo jamani

  • @maimunaabdalla7146
    @maimunaabdalla7146 3 роки тому +1

    Tanasha babe,tulikuonya mondi born shamba,uswazi wewe ni born uzunguni mtazinguana,wewe umekulia Kwa pesa mondi amekulia Kwa dagaa ,kapata pesa ukubwani asikutambie washamba Tuuuu..tutalea mtoto wetu banaaa iko nini?🇰🇪001

  • @philemonnyankuru5042
    @philemonnyankuru5042 4 роки тому +2

    Katoto kazuri Sana daah!
    Zo mapaja😝😋

  • @racheltumanyre2713
    @racheltumanyre2713 3 роки тому

    Thank