FIESTA: MWIJAKU ASOMA QURAN SAKATA LA OMMY DIMPOZ, ATOA HADITHI YA VITABU VYA DINI
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2022
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Розваги
Marafiki wengi ck zote huwa ni wanafiki sana ,mtu anafahamu alafu anajifanya haelewi afanikishe Jambo ,kwa nini usingewaita wawili au muwaunganisha kama ana busara ya kuwapatanisha
Tena kwa sauti et" Yule ni mtoto wa haramu" upuuzi mkubwa Thanks Jesus ,thanks Isaka and Ismail mlima snai
MashaAllah mwijaku nakupa salute na umwehu wako wote…lakini hakuna kama Dini wallah
Huyu mwehu jamani ila dini kanishinda kwanini hatulii akafundisha wanetu atakoma Nini kwa mungu huyu dini iko nyie na maneno yake mazima mashalah rudi kwa mungu wako
Hadith na aya nyingi anazozitaja mwijaku si sahihi na kuna makosa mengi
Lakini kwa mazingira ya nyumbani anaonekana yupo sahihi
Huu ni mtihani
Mwijaku daaaa Leo ume niumiza sana kk kwa Hilo
🔥🔥🔥
Mashallah mwijakuu
Nam brother….Allahu Akbar
Mnafiki huyu mwijaku mbingu utaisikia kwa majirani
mama hazai mtoto ambaye kwake yy ni haramu kwa sababu yy ndo mbebea mimba na kumzaa hiyo mtt anayohaki ya kumrithi na kurithiwa na mama huyo
Kuna tofauti Kati ya mtoto wa haram na mtoto wa nje ya ndowa
hakuwa mtoto wa swahaba bali alikuwa ni kijana tu wa kawaida na yy mtt ndie akiekwenda kwa mama yake na kumuambia kuwa mtume (s.a.w) hasemi uongo niambie nani baba yangu hapo mm akathibitisha kuwa yy mtt wa mtu mengine baba anaenasibishwa si baba yake wa halali
Mizunguko Yako ya bajaji 🤣🤣
ongela mwijaku kaka kumbe unanijuwa dini daaaa sasa kwanin upo kwenye kamali inakuwaj
Lakini mzazi hana kosa kukosea kwake ni funzo kwa wengine
Leo nimemuelewa mwinjaku dini ina nguvu kuliko mila na desturi
Ha haaaa 😂 😂 😂. Abdullism 😂 😂 😂 😂. Go listen 2 Christian Prince and u will learn a lot about Abdullism. Let him live his life 👍
Kama ajuwa ni babake ukweli ni amsamehe na amheshimu.ikiwezekana amuangalie.kila kitu ni thawabu.
Huyu mwijaku atajuaje kama yeye si mtoto wa haramu ?
na hata kutumia nasaba ( jina la huyo baba)
anaesadikiwa kuwa wake haifai
Mwijaku ataka mboro anyonye
mtoto wa nje ya ndoa katk uislam hana nasabu na mzazi anaesadikiwa kuwa ammzaa kwa hio mtt huyo hana mamlaka ya kumuozesha, kumrithi wala kuwa ni walii katika mambo yke, naomba uelewe kuoa mtt uliomzaaa kisharia ni kosa na si mtt tu hata mama yako, ndugu wa mama , ndugu wa baba, bibi babu na ndugu wa damu ( ulio zaliwa na baba au mama mmoja) so inawezekana huyo alo fungwa ameo mtt alimzaa kwa maana ndani ya ndoa. ( mtoto wako katka uislam ulie zaa nae katika ndoa si vyenginevyo)
Kaka upo sahii lakini niko naswali naomba nikuulize..vipi kuhusu mtoto wa nje ya ndoa lakini baba ndie aliemlea mtoto amemsomesha amemfanyia kila kitu lakini mama alimuacha mtoto akiwa mdogo je uyo mtoto nae ni haramu pia? Na je yuafaa kumsaidia mamake ?
Bonge la puzi wakati diamond anagomea mzaz wake mliongea upuz kibao leo omidimpoz kagoma Yannmwjak
kwani diamond kasema yy ni mtoto wa nje ya ndoa. ila hata hivyo alipaswa basi amsaidie kama mlezi alomlea hata kidogo
Mwijaku punguza unafiq na usipende kuchezea dini kwa ajili ya dunia yako.
Mwijaku acha unafiki wako huwo,sasa wasafi BET ni halali?je ile pombe unayo taka kutangaza na Diamond je ni halali?wewe una support music na wapiga music je ni halali music?
Mwijaku unaporoja hakuna maandiko hayo wala maagizo wala hakuna idhini ya kuoa mliochangia baba eti kwa sababu wazazi went hawakuoana. Hadithi zako za uongo.
hajakosea sana mtt wa nje ya ndoa hana nasabu na anaeambiwa kua ni baba yake so hawajachangia baba inawezekana hata huyo nae si baba yake so hana uwaliii katk mambo ya mtt yule hamuozeshi harithi wala hamrith
@@alisuleimansaid2703 Ali suleiman said naomba maandiko yenye maelekezo kwa hoja zako sio sheikh fulani kasema. Sio kama natetea yanayofanyika. Kuna mzee mmoja yuko jela anatumikia kifungo cha miaka 30 kwa kufuata mafundisho ya aina hiyo na akamuoa bint aliye mzaa mwenyewe na masheikh waliomfungisha ndoa walitoweka kama upepo hata mahakamani hawakufika.
si mama tu hata huyo baba, mtoto anafaa kumsaidia kama mlezi wake au kama binaadamu mwenzio na kuhusu mama/baba kumtelekeza mtoto haiondowi haki yake ya kuhudumia wazaze wake