MAMA WAWILI NINA MIAKA MINNE SIJAWAHI KUSHIRIKI TENDO MUME WANGU KANIKIMBIA KISA NILIMFUMA NA MDOGO
Вставка
- Опубліковано 14 січ 2023
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi. - Спорт
Mashaallah mashaallah umepeendeeeza mama wa wili hongera sana
Mama wawili Hongera mwanamke mwenzangu, jitunze mungu atakupa mume, Alhamdulillah na mie nina miaka 6 sijafanya mapenz kwakua niko mwenyewe sihitaj kubadilisha Nami namuomba mungu anipe mume in sha Allah 😘
Dah! Ungesema hivi mbele yangu ningekutunza dada yangu.
Dah! Huyu dada atapata mtu wa maana amini nimeongea kwa kuguswa sana Mungu yupo pamoja na wewe endelea hivyo hivyo Usimuache Mungu Dunia ipo tu tutaiacha sisi tunapita tu. Mungu hapiti anadumu tengeneza kesho yako zinaa ni hatari nuksi mikosi kujidhalilisha kujivunjia heshima. Utakuwa dada yangu. Bro naomba mawasiliano yako.
Ma sha allah
Mdd mzuri ma sha allah
Mwuombe allah akujaalie mume mwema utampata
Badilisha msimamo jistiri vaa jubaa udhuria ktk darsa la kina mama
Allah atakufanyia wepesi wa kila hitajio lako
maashaallah maashaallah mama wawili nakuona tena kwa mara nyingi love 💘♥❤💖💕😍💘♥
Maa shaa Allah huyu dada Allah amhifadhi na amjaalie kila la khair
Mashallah dada mzuri Allah azidi kukulinda pamoja na wanao
Mashallah Allah akuzidishie imani na usiache ibada na dua Allah atakupa mume wa heri
Mama wawili unamsimamo mzuri sana endelea kupambania wanao
Allah akujaalie mume mwema
Amiin 🤲
Mungu mbere dada yangu utapata muchumba god bless 🙏
Mungu yupo pamoja na ww kila kitu kitakuwa sawa kwa wakati
Mashaallah
kweli dada hongera sana
Hongera sana mama wawili kwa uvumilivu
Masha ALLAH una msimamo mzuri
Mungu akujalie Mume wa kheri na wew ❤❤
Masha Allah Allah akupe nguvu
Inawezekana kabisa Kuolewa Bila kuzidiwa kinacho Takiwa kuwana misimamo nahofu yamungu mimi nime olewa Mala mbili lakini cjawahi kuzidiwa nahao walionioa
Mdada wangu nakupenda sana
❤mashaallah Allah atujaalie mume mwema lnshaallah
ManshaAllah mama wawili nakupenda sana hakika unamuogopa Allah umetulia Allah akupe mume mwema atakae ijuwa thaman yko na utulivu wako wewe ndo mwamamke haswa wa kislam mtihan ulio nao bado umetulia Allah azidi kukuhifadhi na Akufungulie milango ya rizki amiin nakupenda sana mwanamke ulio tulia utapata mume alie tulia kama ww na kuijuwa thaman yako mwanamke asie zini ndo Allah anae mpenda Allah yupo karibu na ww akupe kher zaidi na zaidi love u mdogo wangu
Hongera mwanamke lazima ujithamini
Kapendeza wawooooo
Mwenyezi Mungu azidi kukuhifadhi huo ndo uislam unavotuongoza.
Kawaida kukaa bira mwanaume kitu kikubwa uwe mpambananaji tuu
Hongera Sana Mama wawili Mungu atakujaalia utapata Mume bora Inshaallah
Ameen
@@khadijahali4837 Amiin
Mashalla she is good woman and she deserve batter husband material
Sura umejaaliwa
Mungu akusaidie mamaangu
Hongera sana dada simama na dini yako
Amenenepa mashallah mashallah
Inshallah utapata mwenye kheli na ww
Inawezekana kaka zair tena zaidi ya miaka 4
Mama wawili umependeza MashaAllah heri ila tumbo akuna baby umo
Mh tumbo la shibe ilo we ulioni
@@LoveStory-ne2ee 🤣🤣
@@LoveStory-ne2ee kumbe
Zahir vp munirah ameshaolew
Bora maana ndugu zetu wazanzibar wanaongoza kwa ndoa za siri yaan wanapenda sana hahhahah yaan bora ulivyoshtuka
Kiukweli Hilo alisemalo dada naamini nisahihi na inshaallah kwa msimamo huo atafanikiwa nahilo lawezekana awe na subra na huo mtazamo wa kuolewa na jamaa hiyo kwenye mtazamo and tu aowe kwa sura hiyo jalipo sawa kimsingi kurdhiaana ni ni sharti ktk ndoa kwa hiyo sura hiyo yupo sahihi nakufahamiana nadugu ni muhimu hakuna ndoa ya Siri Ina madhara makubwa ktk sheria
USIZINI JITUNZE UPATE MUME MWEMA
Mama wawili anadhibitisha unaweza kuoa wake wawili basi kumbe inatakiwa niongeze waaa
Zahir umekua adimu kwa vipindi vyote. Kumbe upo. Munira keshaa enda unguja?
Nipo...
Mda mrefu Zahir ulipotelea wapi ? Vipi huko kwa Zabibu na kwa mama happy ?
Asaalam aleykum vipi Hali yako mzima
Dada upo sawa,,, ila hapo kwenye suala la mpaka ujiskie wewe nayo ni changamoto,,,
Kaa ulee watto wako mama wawili dunia hii ya leo
Kuolewa Ni andiko
Naitaj no. Ya uyu dd Nina kk angu na nitacmamia mm Kila hatua Kama tutaafikiana
Namba zake muombe zahir
Hapo ndio kuna kizungumkuti
Upo sasahihi Kuna mdg wangu Kaolewa na mtu wa Zanzibar lkn upande tanga huwezi amini hakuna ndugu hata mmoja wamume anaejua km kaoa
Eeeh 🤣🤣
@@uwimana6533 habar ndohiyo nawala hana mke mungine nihuyo mdg wangu tu dogo kasepa anadai talaka yk
@@aishashaibu4772 mtume mazito 🤭
Nataka uwe mke mwenza wngu
Mama wawili kapendeza jamani zahir vipi munira kaishia wapi tumemmis
Mimi nina 10 sija faja mapenzi mpaka naumwa
Kaka zahir tuletee Munira jamani Kwan comment zetu kwani uzioni🤔
Mbona kama mjamzito?🤔🤔
Hyu dada ni wife haswaa anahitaj mume mcha mungu mnoo....inshaallah utapata hitaj lako
In sha Allah atapata
Allahuma Amin 🤲🤲🤲
Kisheria n mke wa mtu hajapewa talak ni bora amwambia hyoo bwana ampe karatas yake
Umeshapewa talaka? Na kama uende bado
Wapo hao watu wanakuposa na kukuoa bila kukuzini
Malink ya kwenye magrupu mbona hamuweki saizi wengine simu zilipotea nimewamis wanafamilia wangu
zahir Nakupenda Sanaa kutokana Namoyo wako ♥️♥️Nakilaa Ninaposkia hiyo saut yako Namkumbuka Sanaa sere😭Mimi sina mengi yakuongea👉 zaid ya🤲Dua Kwa Mungu Akujaliye Umri Mrefu hili Uzid kusaidia Jamihi kutoka hapa🧘Nakusogea 👉paleee🙏
Zahir unataka ataje na majina 🤣🤣🤣
Hata mie namiaka sita sijawahi kuonana na mwanaume
Muongo wewe
upo omani nn kamamm
@@maimonamaimona1177 Nami nilitaka nimwulize hilo swar umeniwahi🤣🤣🤣🤣yani Ukiishi inch za,,,,,,Unaweza toboa ata myaka 10 bila ,,,,,
@@janethkomba4485 kabisa mm nishamaliza6 nimebakisha miez5 nimalize7
@@maimonamaimona1177 Ongera yako
Hahahaha zahir ushakosa mke wa pili ww bado mdogo
Mm pisi zangu asee sio hizi alafu huyu dada yangu
@@maximumtvonline 😂😂😂 zahir umenifanya nicheke wallah
Kaka zahr hussen kwa nn usiongeze jiko😜😜😜😜😜😜
Unanichukuliaje Kwan ..
@@maximumtvonline 🤣🤣🤣🤣🤣nakuchukulia kam kidumee ss kwan ttzo nn?
Zahir twakumisi mno kaka yetu ,munira kashaolewa?
Kumbe
@@maloomaalmnsj5111 mbona mwenzio anauliza nawe unasema kumbe?
Hata sijui kaendaga wapi...
Haaaaaaaa tatizo wanaume ni kuku hata akila sasa ivi akitoka nje anataka kula tena haaaaaaaaaaa
Mimi nina miaka 10 tena hii sijashiriki tendo la ndoa muhimu Lea watoto kwanza na upambane na maisha.
Kwa miaka 10 sidhani kama ni kweli
@@bakarimohammed2796 kweli sidanganyi
Subuttuuuu,,miaka 10 masihara?
@@bakarimohammed2796 inategema yupo wapi kama yupo nnje ya nchi sana arabuni arafu anajieshimu saw
Utakua uarabuni ww sio tz
I missed you bro zahir
Nipo hapa
Huwezi kuolewa mpaka uwe umepewa talaka na kama hujapewa wende kwa shehe wa mkoa kudai talaka utamuelezea 2 atakupatia
Zahir tuliku ku miss sana umeadimika brother
Am back...