Zembwela anajiona yeye ni legendary kwamba Hakuna jipya kwake huu ni unafik wa Hali ya juu kifupi ni kwamba Dogo anajua zaid yake tena sana, kanuna Kama bundiii
Kiukweli Nashidwa Kujua Kwa nn Sijawahi Ona Comedian Anaeweza Nikuta kuchekesha. Naombeni Siku Moja Tanzania itakwe nda kunitambua na Mm nitaipeperusha Bendera kote mbali
Dogo Leonard upo vzr mie kaka yko npo kama shabiki wko geita karibu my name peter or raster upo vzr nakufatilia toka final yko na eliud upo njema Sana..
Blo wewe ni fundi nakubali lakini Nina option Moja utunge Story "make msomi na Mme ambae hajasoma Kwamba sasa ikatakiwa wote wawepo kwenye mkutano make na Mme sa mkutano huo unfanyika Kwa kingereza mume hajasoma sasa itakuaje Ili wasiumbuke wakakubaliana Kwamba ikitokea habali yakucheka make atashika pua Ili mMewe nae acheke asije kuonekana tofauti sasa make kasahau Yale makubaliano kashikwa namafua kashika pua Mme kama sikacheka watu wakaandamana wakasema jamaa chi bonge lastory wewe fundiutajua unafanyaje
Wangapiiiiiii tumemuona Tx dullah apo nyuma ya zembweee
Wakati wa mungu ndo wakati sahihii😊
Zembwela anajiona yeye ni legendary kwamba Hakuna jipya kwake huu ni unafik wa Hali ya juu kifupi ni kwamba Dogo anajua zaid yake tena sana, kanuna Kama bundiii
Roho Zaifu tuu na Hana Cha kuchekesha zembel
Hata japo ange smile tu!
Zembwela anachekea tumboni
Msenge tu
Mshamba tu
Dogo yupo vizuri kiukweli. Nakutakia kila lililo jema kwako!
Anaweza sana huyuu jamaa
Zembela anazingua
Mpelekeni kwenye bondi za korosho huyo make ni mgumu hachekagi huyo 😂😂
Anachekea tumboni
Atakuwa ana bandama 😂😂😂
Zembwela umeongeza mzuka kwa Dogo big up.
Zembwela anadhani u jaji ni kuwa kauzu......aangalie British Talent show ajifunze ujaji anamuondoa mtu kwenye reli anadhani anakosea
Huyo jaji mwingine amekaa Kama bodyguard 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zembwela uyo
Mpk anaboa
Very nice
Jaji ni atary huyo
Jaji ni atary huyo
That guy In suit Ako serious sana.
Haawezi enjoy hii show anajifanya amevaa uhusika wa kijinga kweli,jiachie jienjoy😂😂😂
I favorite the song ❤❤❤❤rose and fenny the qn of power
Yani watu wengine walikuwa wanacheka zembwera maana alikuwa amekaza sana
We need comedy like this one wengine wao wanajua wanawake tuu hakati tuna maisha ya zaman ambayo ni zaid ya kichekesho
Yah point
Wanaongelea kuhusu ngono tuu
Unaweza Sana
Nataman saan kuona bato ya huyu mwamba pamoja na Mr. Romantic
Sky revolution tishaaa saaaanaaaa mwamba orecy in the beat
😅😅😅mamae iyo ya daladala ilishanitokea
Kiukweli Nashidwa Kujua Kwa nn Sijawahi Ona Comedian Anaeweza Nikuta kuchekesha. Naombeni Siku Moja Tanzania itakwe nda kunitambua na Mm nitaipeperusha Bendera kote mbali
Dogo Leonard upo vzr mie kaka yko npo kama shabiki wko geita karibu my name peter or raster upo vzr nakufatilia toka final yko na eliud upo njema Sana..
Good boy kazi nzuri
Niaje
Congratulations ♥️
Blessed kjana
Ulistahili ushindi kaka angu love u
Kweli utabiri wangu ulitimia
Kwani zembwela nini jamani 🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Zembwela hacheki kakunja kweli ,😂😂😂😂😂
Umeuwa mwanangu 👏👏
Alafu hatuna time na zebwela si tunacheka tuu.
Noma sana Ila zembwela acha izo sapot vijana bsna
Leonaldo we hufai nakutakia matawi kaka fumba mbali mana huzuirik tu wewe Mungu awe nawe blood mmasai shabik yako apa,,❤
Wew Ni Mwamba💪
Tx dullah alikuwepo hapoo
Mkali wa misimu yote ndaro OG🎉🎉🎉❤
Dah yani mim sichoki kutazama hii
Uko sawa kaka
Nakubar kaka
Daah uyu ndo no one comedy tanzania nanianabisha nihatali sana 😂
Noma
Kaliiiiiii
Hapo kwakuludi kwa wenzako nimecheka mpaka bas🤣🤣😆
Zembwela jaman😂😂😂😂😂
Huyu leonardo anajw mpk anakera😂😂😂
Huyo mwenye miwani sasa
Blo wewe ni fundi nakubali lakini Nina option Moja utunge
Story "make msomi na Mme ambae hajasoma Kwamba sasa ikatakiwa wote wawepo kwenye mkutano make na Mme sa mkutano huo unfanyika Kwa kingereza mume hajasoma sasa itakuaje Ili wasiumbuke wakakubaliana Kwamba ikitokea habali yakucheka make atashika pua Ili mMewe nae acheke asije kuonekana tofauti sasa make kasahau Yale makubaliano kashikwa namafua kashika pua Mme kama sikacheka watu wakaandamana wakasema jamaa chi bonge lastory wewe fundiutajua unafanyaje
Zembwela mshamba sana
So good
Mmm hicho kibaba kipo Kama bodigadi sura ngum hatakiwi kabisa kuwa sehem hiyo
Kiongozi awe na akili timamu😂😂😂
May God keep you longer
This guy is talented surely.
Zebwela mnamwejaga wa nini narisura lake kama tako
😂😂😂😂
😂😂😂😂wewe
Yako Tena nimechoka Kwa saunti. Mnooo
😂😂😂😂😂😂😂
Zembwela ana madeni vikoba adda yaan
Ametisha mwamba 😂😂😂😂,ila zembwela mb!!
Hapo hapa mchekeshaji hata mmoja hao wote vicheko vyao vipo karibu
Kwa kweli
😂😂😂😂😂 unaweza ukakaxlika alafu unacheka bila kutaka
Nikuongezee nguvu Au inatosha dini yako 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Zembela unanini umenuna mwanzo mwisho na tinted yako usoni🤣😂🤣😂🤣
Ana masifa tu na yeye,au roho ya kukunja
Kama jambazi
Katajwa na dymondi kwenye nyimbo anavimbaaaa kashakua maarufu anajikuta
Namkubaliii sana❤❤❤
Majaji wamejaji kihalali kbsaa
I dont know what language he is speaking lakini jamaa anajua sana
Umetisha sana
Nakukubal bro 😂
Kazi ya bibi inaonekana Leonard
Kaz nzur
Bofya hapo juu usikie Diamond alichokisema juu ya huyu dogo, "Leonardo lazima nimtimue"
Best one
So talented
Baba Levo kanunu Sana
Sio baba levo ni zembwela
Zembwela Kama FBI agent
Ana sifa tu
Haishi hamu hii comed hasa yahuyu jamaa nampenda
Bien
Wanng kuna mjomb aliyevaa miwan achek cjuh ana bandama
Anachekea tumboni
Kwer kwer
Anaweza San huyu jam
Noma huyu
Moumaa sana
Uyo jamaa wa macho nne anajilazimisha asicheke kbx yaan😂😂😂
Anachekea tumboni
🎉🎉🎉🎉 hahahahahaha 😅😅😅😅😂😂😂😂🎉 kaka Zang
KAMA UMEMUONA TX DULLAH GONGA LIKE HAPA😂😂
nakukbrii..Sana'a
umetisha lakini naomba kuuliza huyo zembwela hapo amekuja kufanya nn
Ahahahaa hahahaha
Nice
Uyu bibi uyu😂😂😂💔
Zembwela mjinga kwamba ndo kujitofautisha au nn ushamba tu
Anachekea tumboni
Safi
Braza umekaza sana hata kutabasam😂
Nakukubali Sana leonaldo
Kusema kweli nimecheka had nikahis utumbo umekatika
Achekeshi ndo mana zembwela kabinyau safi sana
Chekesha ww
Hhhhhh nilikuaga sijui eti utaniua unachekesha sana
Tulia kwa kutulia msanii wngu apa Naphy sky sky revolution njoo dom tufanye kaz
Hahahahaha Kuna wazee sijui wakat ana zaliw alipew kitabu Cha kununa
Sawaa kiongozi
😅😅😅nampt huu mwamb
Darr uyo mwana fund xana
".. kata ushanga hamna namna"🤣🤣🤣
Tktk
Zembwela umeeenda kufanya Nini mbona hucheki
Kwa kifupi huyu jamaa ana akili sana ktk ucheshi wake
Yuko good sanaaa
Kinacho mfanya baba level asicheke nn❓❓❓❓❓❓❓
Huyu ni noma
Balaaa