Yaan Beneficial for sure your great, keep it up. Nakupa one year utakua mwingine. Ongeza tuu bidii katika uandishi pia ubunifu na pia uzidi kunifunza sehemu mbalimbali. Nakuelewa Sana.
You bro..so creative.. Nakuona mbali..saaaana..kwa stand up comedy.. Hapa bongo..Bro ukae vizur..saaana...mana uko mbele utakua ndo king wao kwenye standup..take it from me..bro..!
Mr BENEFICIAL is among the greatest artist, I do love hum too much. I'M from Burundi
Tengeneza character mmoja ambae watu watamzoea to all comedian kwenye cheka wawe unique
Yaan Beneficial for sure your great, keep it up. Nakupa one year utakua mwingine. Ongeza tuu bidii katika uandishi pia ubunifu na pia uzidi kunifunza sehemu mbalimbali. Nakuelewa Sana.
Mr beneficial.. Umenivunja mbavu wallah anyone in 2019?
Masai village Tanga! Unatuvunja mbavu baba la baba! Pamoja sana!
hakika leo beneficial leo umeniua mbavuuuuuu hongera sana
We Chali ukafungue hospitali nakwambia unacho tufanyia kwenye mbavu si poa
Daaaah kwel kipaji hicho Olevel ujakionyesha broo (head prefect)
You bro..so creative.. Nakuona mbali..saaaana..kwa stand up comedy.. Hapa bongo..Bro ukae vizur..saaana...mana uko mbele utakua ndo king wao kwenye standup..take it from me..bro..!
aisee chari yangu umetisha kinoma🔥🔥🔥🔥
Daah...Mr. upo vizur Godbless uu...maana unanipa rahaaa
Uko vzuri Bro Sanaaa. Nimekubali
Huyu jmaaa anajua sanaaaaa big up brooo😀😀😀😀😀
daah umefany wonders
aseee nilicheka sana nilipo ona ile vd ya mungu angekuwa muhaya kipaji cha injili wangepewa wachaga
so impressed mr keep it up
Mr .beneficial ..mbavu zangu jamani unaweza..big up..😆😆
Yes! Nimekubali umepanda kiwango
Daaa!!! Mbagala imenivunja mbavu,unatisha kaka!!
Mbavu zangu mieeee we beneficial ni nini lkn...u made my day