🔴

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 вер 2024
  • ‪@nyundotv‬

КОМЕНТАРІ • 29

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 3 місяці тому +1

    Huyu mzee inaonekana hakumlea mwanae. Mzee hovyo!!
    Too much information!

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Рік тому +3

    Baba hukutakiwa kusema mapungufu ya mwanao katika mitandao umeshamjengea picha mbaya tayari kumbuka ww ni baba ungetumia hekima kunyamaza

  • @jumasaidi8157
    @jumasaidi8157 Рік тому +2

    MZEE KAMWE HATAHAYO MAHOJIANO NI KWA SABABU YA ALLY ,

  • @abdulatifumuyango9800
    @abdulatifumuyango9800 Рік тому +3

    Hapa sina chakuwe nasoma komenti🙄

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 6 місяців тому

    Mzeee waakizamani sanaaa uyuuuuuu mamboo ayoo yakizamani achaaa Mtoto yukoo kazini

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Рік тому +1

    Na ww mwandishi mbona mbea hivo ukimgombanisa ali na baba yake utapata nini acha unafiki

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 2 місяці тому

    Mzee unachofanya sio sahihi! Hayo unazungumza kwenye mitandao sio mahala pake! Unamapungufu makubwa!!!

  • @AsmaMussa-zr3og
    @AsmaMussa-zr3og 3 місяці тому

    Mzee manara alikua Hekima sana

  • @lubuvamgosi720
    @lubuvamgosi720 6 місяців тому

    Uko sahihi baba

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 3 місяці тому

    Bila Ally ungehojiwa kakuheshimisha sana Ally

  • @josephtibu4591
    @josephtibu4591 Рік тому

    simba nguvu moja ❤❤❤❤❤👍

  • @shadoomarymtibo2191
    @shadoomarymtibo2191 Рік тому +1

    we mzee unakosea wanakugombanisha awo wandishi

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Рік тому

    Hapa sasa nimeelewa, kuna tatizo. Ndiyo maana Ali Kamwe anaropoka ovyo kiasi hata cha kuiaibisha yanga sababu ni kwamba hana radhi na Mzazi. Na akiendelea hivyo atakuja kufika mahali maisha yatampiga ili akili imrudie. Wazazi ni Mungu wa pili duniani. Na anachowafanyia sasa ndicho atakachofanyiwa na wanae na hata zaidi ya hivyo.

  • @SaidMohd-l9y
    @SaidMohd-l9y Рік тому +1

    Mtoto

  • @lubuvamgosi720
    @lubuvamgosi720 6 місяців тому

    Uko

  • @HeliDilunga
    @HeliDilunga 4 місяці тому

    Mzee mwanao yupo kazini acha kuongea sana mtoto ananyonya

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 11 місяців тому +1

    Mwandishi huna akili hata kidogo mambo ya familia haya kuhusu acha umbea uliza maswali ya msingi wewe utakuwa ulisomea umbea yani wandishi wengine bana hawana akili kabisa

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 3 місяці тому

    Huku kuhojiwa kila mara tena na waandishi wasiokuwa hata na hoja za msingi ni kujitafutia migogoro tu, sasa unaenda kuhoji mahusiano ya familia za watu au kuhusu mpira? Father ajiangalie anamuongelea mwanae kwa chuki ya wazi kwenye media bila kufikiri namna gani vinaweza kuibomoa familia yake. Inavyoonekana hawako sawa ila ss ukivileta kwenye media ni kuongeza tatizo.

  • @jafarirajabukemo1218
    @jafarirajabukemo1218 Рік тому

    Mzee kaongea ukweli mtupu

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 Рік тому

    Mzee wangu umekosea ungemwita mwanao pembeni ili mzungumze nae,

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 6 місяців тому

    Mtoto atenganishe kazi na nidhamu kwa mzazi atajiadhibu

  • @bernadethamugetalazaro7579
    @bernadethamugetalazaro7579 6 місяців тому

    Nyie huyu mchaga hakumlea Ali asiongope Ali ka kulia kwingine baada ya kupata hiyo nafasi ndo anajipendekeza tushawachoka wazee wa mjini

  • @MohammedHaji-ew9wo
    @MohammedHaji-ew9wo Рік тому

    Mimi nasema hakukosea kwasababu mtoto ni mtoto tu kwa mzee wake hata uwe milionea hata uwe superster kiasi gani mazali imezaliwa wewe bado ni mtoto kiburi kinakupeleka pabaya na radhi ya mzee sio lazima akutamkie akiwa hajaridhika tu na style yako ya maisha basi hiyo ni radh

  • @salimbilal6786
    @salimbilal6786 10 місяців тому

    Mzee kamwe lakini kumbuka ahamed aliwahi kumkosea hata mungu kwa usemaji huo huo kivipi aliwahi sema nitaikamua yanga kama maiti hapo vip wewe ni shekhe nini haki za maiti

  • @zaniamohammed2258
    @zaniamohammed2258 Рік тому

    Narudia tena baba unakosea na pia unamuharibia mwanao

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 6 місяців тому

    Safi sana mzee ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @SaidMohd-l9y
    @SaidMohd-l9y Рік тому

    So ajabu tunachokiona Kwa ally kamwe

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 6 місяців тому

    Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 6 місяців тому

    Hata Mimi matoto matano yanga wanne wapo na mimi