MBWADUKE: RATIBA CAF MWENDO MDUNDO YANGA, SIMBA/ AZAM KIBABE SANA NJIA YA PYRAMIDS/ COASTAL...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лип 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

КОМЕНТАРІ • 55

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute4559 24 дні тому +3

    Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa

  • @annofrancis3697
    @annofrancis3697 24 дні тому

    Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako

  • @josephatn5040
    @josephatn5040 24 дні тому +13

    Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 24 дні тому +2

      Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa

    • @user-lw2ox8fu7t
      @user-lw2ox8fu7t 24 дні тому

      Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 24 дні тому

      ​@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣

    • @lameckshaba813
      @lameckshaba813 24 дні тому

      Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 24 дні тому

      yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 24 дні тому +1

    Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi

  • @johnmbwile3980
    @johnmbwile3980 24 дні тому +2

    Jamani muelewe tuu!

  • @WillfredMisungwi
    @WillfredMisungwi 24 дні тому +3

    Wa kwanza naomba likes zenu wadau

  • @user-gx9rc9dz5s
    @user-gx9rc9dz5s 23 дні тому

    Kama makundi ya ng,ombe sawa

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 24 дні тому +4

    Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa

    • @bone102
      @bone102 24 дні тому

      Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂

  • @jumazubeir5787
    @jumazubeir5787 24 дні тому

    💯🙏

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 24 дні тому

    Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti

  • @MeshackKamenya
    @MeshackKamenya 24 дні тому +1

    Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake

  • @adammafuru7971
    @adammafuru7971 24 дні тому +1

    Mpiga picha holaa

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu 23 дні тому

    nadhani wameset camera, hawana moiga picha

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  23 дні тому +1

      Umetisha sana Bro!
      Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!

  • @elishajohn455
    @elishajohn455 24 дні тому

    Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 24 дні тому +1

    Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa

  • @allytv1714
    @allytv1714 24 дні тому

    Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 24 дні тому

    Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂

  • @saidilikananowe1446
    @saidilikananowe1446 24 дні тому

    Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.

  • @DavyShine-pb7jb
    @DavyShine-pb7jb 24 дні тому

    Video camera jitahid unatuangusha

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 24 дні тому +1

    Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4

    • @bone102
      @bone102 24 дні тому

      Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4

  • @AgartonMheza-ul3ww
    @AgartonMheza-ul3ww 24 дні тому +1

    Dada jifunze kuhoji vizur

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 24 дні тому

    Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 24 дні тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 24 дні тому

    Mpiga picha mbona host humuonyeshi

  • @user-yn4oi3cz2v
    @user-yn4oi3cz2v 24 дні тому

    Kwaheri AZAM

  • @boscoShama
    @boscoShama 24 дні тому +1

    Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka

    • @rizikylaizer1602
      @rizikylaizer1602 24 дні тому

      Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 24 дні тому

    Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule

  • @user-pb1mw6mo9c
    @user-pb1mw6mo9c 24 дні тому

    Tanzania zpo tm 6 kla mwndxh anakosea kusem tnatim 4 zpo 6 jman

    • @FootballLaduma
      @FootballLaduma 24 дні тому

      Kwa mashindano ya CAF, Zanzibar ni nchi

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 24 дні тому

    Ww mwandishi inaonekana nimbaguzi ww