Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
Umetisha sana Bro! Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa
Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
Jamani muelewe tuu!
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
😂
Kama makundi ya ng,ombe sawa
Duuh!
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
💯🙏
Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
Eti tuna muungano eti nchi moja
Mpiga picha holaa
nadhani wameset camera, hawana moiga picha
Umetisha sana Bro!
Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh...ndiyo hilo balaa! Kumradhi. Tunashukuru sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
Kwahy ninama@nishann
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
Video camera jitahid unatuangusha
Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4
Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4
Dada jifunze kuhoji vizur
Inaonekana yuko field
Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpiga picha mbona host humuonyeshi
Kwaheri AZAM
Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka
Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru
Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule
Tanzania zpo tm 6 kla mwndxh anakosea kusem tnatim 4 zpo 6 jman
Kwa mashindano ya CAF, Zanzibar ni nchi
Ww mwandishi inaonekana nimbaguzi ww