Huu ndio ukweli kilichotokea Kwale na Shumba Mjini - 1
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- Kufuatia taarifa za mapigano baina ya wafuasi wa CCM wa kijiji cha Kwale na wafuasi wa ACT Wazalendo wa kijiji cha Shumba Mjini, wilaya ya Micheweni, kisiwani Pemba, ambayo yalipelekea watu kadhaa kujeruhiwa na kisha kuvamiwa kwa kijiji cha Shumba Mjini pekee na vyombo vya ulinzi na usalama, vilivyopiga mabomu, kuvunja majumba ya watu, kuchukuwa mali na fedha pamoja na kuwapiga na kuwakamata watu kadhaa, jioni ya saa 11:00 leo hii Jumapili ya tarehe 18 Oktoba 2020, Weyani TV imetembelea kijiji hicho kujionea hali ilivyo, ambapo imeshuhudia mitaa ikiwa mitupu na wanaume wengi wakiwa wamehama majumba yao kukimbilia maeneo mengine. Huu ndio ukweli wa tukio lenyewe kama linavyosimuliwa na mama ambaye ameomba asioneshwe sura yake.
Nawapongeza weyani mnatowa khabari kwa uzuri nawasifu sana kwa kazi nzuri
Mashallahu pemba kuzuri safiiiii kuliko zanzibar
Aslm alkm. Jamani sielewi nimesoma comment lakini bado sijaelewa vizuri. Nawapa pole lakini
Allah atawasimamia inshaallah hakuna lenye na mwanzo likakosa kuwa na mwisho akhera waache wajisahau akhera sio mbali
mtihani kweli kweli mi nqumia lkn hii lugha nimejikuta nacheka mtihani, Allah atupe shifaa wa zanzibar.
Allah atufanyie wepes huunimtihani Allah bariklana
Hio ndio serikali za kidhulma ya kidemocrasia ilivyo haijali maisha ya raia wake wala na kikubwa zaidi n kuwadhulumu wananchi wake Ya rabb ucku wa madhal umekuarefu tupe nusra/khilafa kwa rehma zako yarabb. Poleni sana ikhwan wa pemba shumba mjini na micheweni Allah atawahifathi
Poleni Sana,
Polen sana . Mwenyez Mungu akufanyie wepes ,yataisha tui hayo
Kwanza hao wanafiq wa kwale ni iwe marufuku kwa wari wasivuke wametuzoea sana wana vita na cc washumba tokea jadi na haswa wakisaport wauaji ccm
Haya polen jamaa zangu.ndio ulimwengu
nasheka kma mazuri vile mama aogopa kupigwa mti
Ungecheka zaidi kama ni mama yako kapigwa miti?
Ccm daima mnapenda funjo wapizani
Hii kua vikosi vya ulinzi kuiba ktk majumba ya wanyonge sijui itaishia lini ? Nahisi wanapenda kuvamia sehemu ili wapate kuiba
Wao wenyewe wanyonge hawawezi kuacha kuiba, ila mbwa hawa nao tunao mitaani uvumilivu ukitushinda patakua hapatoshi wajue ivo.
Na kubaka
Subhanallah poleni sana hakika kilio chenu allah anakisikia
Uyu mama cjamuelewa kbsa luga kaongea sana kikwao
@@starito7787 mi nahic wakat umefka
What kind of a country is this, nchi imejaa dhulma maskini kama hao unawaibia unategemea nn kama so kuchomwa polisi wa pemba mmegeuzwa kuwa ni majibwa all police to hell
Mkome hamna adabu nyie Pemba km mwanamke kweli unosha sura yako
Allah awape subra .hakika hayo watayasahau wao na viongozi wao tu ila kwa Muungu hyatofutika abadan una watachomwa .leo wauna dola na majeshi ila sik ya kiama wataouna faida yawanayoyafaunya hapa kwa sababub yakushika madaraka . Alianza firauuna na wezake ila alipotea wao sijui nan wanaojiita viongozi waislamu nakufanya hayii
Poleni Sana
poleni sana watu wa shumba mungu atawalipa. wanao waganyia unyama kama huu
Hiyo ndio serekali ilotumwa dah mtihan kwakweli Allah atuondosheee huu utawala wa madhalim
Oook@@salma0000
Wanajisifu kwa malandikruza haditopu viyoyozi, wananchi wanapata taabu, maisha ndio haya!! Mungu wasaidie ndugu zetu wanaoteswa!
Kiuyu wamekuwa wakionewa kila wakati wa uchaguzi. Mtu wa mwanzo kuuliwa Znz wakati wa vyama vingi aliuliwa hapo Shumba kijiji jirani. One day YES
@@salma0000 inshaAllah
@@salma0000 amiin
@@MultiJd4 tushayazoea hayo sisi wapba . Na wameanza kuuwa tabgu siku ya mwanzo ilotangaziwa CUF kusajiliwa micheweni wakapandisha bendera Subhanallah walipelekwa FFU na watu 5 wakashutiwa 2 wakafa kijana alokuwa juu ya mlingoti akapigwa risasi za matako na kutokea kwenye utupu wa mbele akapona roho lakini walimuathiri just ana age 23 years alikuwa.
Lakini huyo Mkuu wa mkoa alopeleka jeshi yuko wapi? Feruzi kashaliwa na funza hiyo CCM kaiwacha .
Mijitu ya kwale ni minafiq ya ccm tokea jadi nasie washumba daima tunapinga ccm na uvamizi wanaoita mapinduzi matukufu ushenzi mtupu
Ni aibu sana askari Kuwaibia wananchi wanyonge njaa gani hii ila Allah a naona na atawahukumu
Amina
Una uhakika
Serekali ndo wanao waachia
WANAWAKE NA WATOTO ALLAH ATUFANYIE WEPESI AMIIN
Amiin yaraby kwa sote
Alshabab tanzania
Hawa CCM..wanajua kuijenga unguja tu kimaendeleo Pemba wanaidharau wanajua huku hakuna watu wenye hadhi ya kuwaletea maendeleo jaman Wazanzibari tuamkeni tulip lala hiki chama hakofaii ona mazingira yalivyo dunk Pemba
Hii tv y kinafiki sana na inachochea uvunjifu wa Aman kwenye nchi yetu
inamana huwamini ama
CCM ndo wanaoondoa amani ya nchi hii kwnn hawataki kuachia sanduku la kura litoe majibu, Wazanzibar tumewachoka na mwaka huu hatukubali wakitoka 27 na sisi tupo
Chama Cha Madhalim
HAKIKA YUPO HAKIMU WA HAKI HALALI WALA HASINZII ANAYAJUA TUNAYOYATENDA
Poleni sanaaa watu wa shumba ila huu ni wakati wa kubadilisha viongozi2 hawafai ccm jamaaaani
Tukirud katika QUR,AN tukufu ALLAH (SW) anasema kua, hakik baad ya ziki bas kunafaraj inakuja lakin pia akasem kua atamteremsha alie juu amshushe chini zaid ya chin na alie chini bas atampandisha juu zaid ya alo juu kwaiy tuwe na subra. Lakin tukemee, tuchukie au tuondoe na inshaallah fursa ya kuondoa ni tareh 27 na 28.
Hawa ccm hufanyafujo kwa makusudi halafu husema wao wana dola kwa maana hawaulizwi chochote na wala wao hawapigwi.
Huku kwale na makangale yake waliko ni hao ndugu zetu wa damu kazi zao kupika pombe ndio wanasupport CCM wakifanya yao maana hawavamiwi na police wakiuza gongo lao . Wamekaribishwa pale kulimia watu mashamba ikisha wamejifanya ile pba ni yao .
Subhanallah Allah atasaidia insha Allah kwni dhulma haisimami kamweee
Mungu awangamize hao mazalimu hao maakari wawo hawana huruma wala ubinadamu kikweli ila hayo yte yanamwisho ishallah poleni yte wahanga
Poleni sana ndugu zangu Allah yupo na huu mwaka ndyo wa mwsho kwa hao magaidi
Lakini wanaume ni ushamba huo kukimbia. Nyumba ukawacha mke pekee
hayajakukuta ww broo kiufupi tuwaombee dua tu ndugu zetu
Mjomba usiongee ivo yani wee acha tuu
Simainishi kua iyo hasara haijanikuta mm vyoo namainisha ukienda msituni mchukue mkeo ukikubali kukaandani ufe na mkeo unajua mwanaume si mwanamke mwanaume waweza wekewahenzap ukafikiria nini ufanye na ukajitetea vizur ila mwanamke hana hayo .
nyie weyani acheni unafiki huo
Pole sana ndungu zangu
Amina
Alaysa llahu biahkami lhakimin hakuna lisilo na mwisho hio ndio kz kuiba kubaka lkn ipo ck
Sasa hao polisi yanini kuwafata watu usiku kuwapiga na kupiga mabomu wakamateni tu kwanini muwafanyie ivo
Vyombo vya habari vikisimama na kutoa habari kwa usahihi ,,ukweli utajulikana na haki itajulikana
CCM ni watoto wa kifalme wasiguswe, walobakia hawana maana wala si watu, wapige wao tu wala wasirejeshewe serikali ndo wanawakinga
Washazoea kututesa sis wapemba ila wajue iko siku wataenda kujutia kwahili wanalotufanyia nass allah ndotegemeo let
Hao police maisha yao ni ya dhiki sana ndio maana wanatafuta fursa ya kuvamia na kuiba na wakishastaafu wanadhalilika sana wengine wana kuwa makuli wengine majambazi wengine punguani na ndio wengi
Allah awaangamize police wote wasiosimamia haki na uadilifu na wanaofanya kazi kwa misukumo na mihemko ya kisiasa
Ishalla Mungu atawalipya duniyan ahera iende hesabu yanamwsho hayo ishalla kwauwezo wake Allah
Poleni ndugu zetu
Hio ndio dalili ya FIRAUN mwisho wake ulipokaribia kufika aliongeza sana unyanyasaji ila alisahau kua ALLAH SW ametuumba viumbe wake katika njia ya kwamba kadiri ya utesavo kumbe ndio unawaunganisha wale uwatesao na hapo nguvu ya pamoja ndio huja kuondoa udhalimu. Kwangu mimi hio ni ishara ya mwisho wa udhalimu
Hongera sana kwa habar mzuri
Allahumma ya rabbi 🙏🏼
Twajifanya Vidume mwisho wa siku twakimbia twawaacha wakeezee peke na watoto....kwanini Hatuwii wastarabu kufanya kampeni za Siasa zikaisha Kistarabu Tatizo twajifanya ni Vidume kisha mwisho wasiku twakimbia....
Aiwishi hao alshababu wakaja wakawstiya adabu hawa polisi
Kherii ponjiani
Majeshi nendeni mukapigane na vidume mtwara uko sio munakuja kupiga wanyongwe mbwa nyie wakutumikishwa
Waambie baba bonge la 5
Aibu gani kwa nchi yetu Tanzania!
Mapinduzi daima
Uonevu Daimaa
Kikubwa tuombee Amani haya y uchaguz yakupita tu WAZANZIBAR wenzangu
Makufuli wachukuwe mbwa wako washenzi mi ccm Allah awalani lool
jiandaeni nusra ipo karibu
Kw sbb gn wamewafanyia hvy. Au wamegundua n act wote.
Allah atufanyie wepesi poleni sana ndugu zetu
Wanajikiriaje viumbehao kwa hawataondoka duniani?
SubhaanaAllaah, mtihani kwelikweli
Anatokea mpemba anasema yeye ccm ! Alla atatulipia
Dah
Ccm wana roho mbaya sana ..
Yani wameshindwa hata kuwatengenezea hata vilami kidogo ..!!
Hizi sindo ngome zao ...!!
Angalien mazingira kisha unamkuta mtu ccm oyee
Ndio hapo , labda wamerogwa sio bure.
Ccm
Chanzo
Chanzo
Matatizo na ndiyo Kama hayo laana tullahi
ALLAH atufanyie wepec
Aaaamin
Alshababi inshallah musiwe na was was wapo mara hii watakoma sirro
Siro hawawezi Alshabab ni wanaume, na kawaida yao hawaogopi kufa
Twawaombea Mwenyezi MUNGU awanusuru na madhila hayo ndugu zetu waZ'bar. Allah huakbar
Hao wote wanaomuzulimu allah atawaonesha mbele ya kiama
Inasikitisha sana ccm hsijuwi kukataliwa. Wanafanya fujo na kutisha watu wasiende kupinga kura na mfano ni huyo hapo yote ni kuwa hakuna Ccm pemba mmzima kila walifanyalo wanaona bado mungu mkubwa atahukumu hapa duniyani ahra hesabu
Wakikupigeni wapigeni, wakikuueni wauweni. Hii ndio dawa iliobaki tu. Jumuiya za kimataifa hazitosaidia lolote zaidi ya kutoa matamko tu.
Mie wananichosha apo tuuu ...ilikuwa saivi waje na jeshi lao walinde raia ila wanasubiri tufe....nnuchukia mfuko wa vyama vingi ..tena sana
Angalia maisha yanduguzetu
Poleni dada zangu
Poleni sana Allah atatufungua inshallah
Wamezamiriya kutumaliza hawa lakini Allah yuko na sisi wazanzibari tusimame tuwe kitu kimoja tuseme imetosha
eeeh mpaka kieleweke
Mbona kijiji hakina watu au ndo wamekimbia mmelipika mtalinywa
Ishaallah hasbiyallahu waneemalwakil
Wallah serekali ya Zanzibar ni mtihani ila wallah mungu yupo
Zanzibar hakuna serikali Kuna siri kali
Kwa hakika kila penyeuzito na wepesi unakuja
Tatizo mmezoea nanyinyi iwekilasiku nyinyitu hebunikaani chini mujitasmini mnafanyann hatamupigwe mbona maeneo menginehamusikiihivi vituko maraile mmetuulia nduguzetu marahii mmnawapiga mpaka wamelazwa mahosputalini eeee ukiuliza kisann unaambiwa siasa acheni siasazakishambahizooo
Mshamba ni mama yako alie leweshwa akabakwa ukapatikana wewe usie na radhi za wazee wala radhi za mungu malaya mkubwa utiwa chuvi vulini
wee si wao tu 2015 mtaa wetu tuliftarishwa mchana
Tareh 27 ndio watatujua afe kiba afe beki mwaka huu patachimbika tumechoka kuzalilika
Poleni
Allah yusaidie Ccm kazi Zao
Wallahi watu wamechoka
Hawajamaa wanakera Sana Kwa kweli ila wajue kama wanachi tunanguvu kuliko wao hatujaamua tu
Alla atuondoshee ccm madarakani ili tuishi kwa amani
Allah yuko wapi?.
Yupona atahukumuishalla
Ndo nchi ya Tanzania 🇹🇿 na Zanzibar hizi mungu tuone
Washenz cnaa hawo
Hao ccm ndio wenye njamaa
Duuuu kipindi natafuta mke nilifika kote huko.
Umempata
Dahhh shumba mjini duhhh mbona kijijjini labisa
Emanuel,hilo jina haliimanishi kuwa ni mji, bali ni jina la hapo mahala penyewe.
ni shamba ya pba iyo ni jina tu ilo
Kwani kila pahali ukisikia jina pawe na kile ulichokisikia
@@khadijamakame2596 😂😂😂😂
Mtihan
Naona polepole kasema kwamba watu wamekwenda kuvamiwa msikitini ijjumaa na kupingwa mapanga ndomana ikawa wakitoa taarifa hatuwaamini kwasababu wanasema mambo ambayo siyo yakweli ,nazania sasa tushapata ukweliwote juu ya vikosi vya ulinzi wanavyonyanyasa watu ,wanavunja nyumbazawatu sasa polepole twambi hio ndikazi ya polisi maana wewe ndie msemaji wa serikali.
SASA BASIIIIIIIII
Huyu anazungumza lugha gani
Kipemba hicha cha micheweni hko
English
Mimi nalia na askari wote mana wamekua hawajui kazi zao na wanakubali ktumikishwa kama majibwa wnajisahau wanao wapiga kwadhalilisha na kuwadhulumu ni ndugu jamaa na marafiki zao na yakipita haya na wananchi wenzao na wakumbuke kuwa wataenda kulipwa kwa yale wayafanyayo mnapiga raiya wasio na hatia badala ya kuwalinda na kuwasuluhisha matatizo yao
Hali mbaya ase kama askar wamefikia uko apn
Hayo yanafanyika kila kipindi cha uchaguzi na wakuu wanajua lakini hamna hatua kuilinda raia.
Mwaka 2000 waliiba na walipoondoka kwenda kwao kwa meli,huwezi kuamini namna meli ilivojaa vitu vya wizi,na haya yalifanyika mchana kweupe