Kipind cha usajili hich kama zinavyosajil timu zatu za Mpira navyo vyama vinafanya usajil pia Kwa hiyo msishangae jaman kikubwa tambunieni dirisha la usajili lishafunguliwa.
Ukienda kutafuta ukikosa unarudi nyumbani kwa baba na mama maana nyumbani chakula hakikosi siku zote nyumbani ni nyumbani huwez kufa njaa. Karibu sana mr MSIGWA Nyumbani
🤔😂🤣🤣Hivi kweli ule Usemi uliosemwa Na Mwalimu nyerere kuwa kuna wanasiasa Malaya Malaya ni Ndio Huyu Mmoja wao 🙄🙄🤔🤔😏🫣
Leo kawa Mnafiki kwa vile kahamia CCM Msigwa sio mjinga Kama wewe unavyofikili alisema Karume koti ukiona linakubana vua akihamia chadema Mpina utamuhitaje
Mchungajiiiiiii mnalidharirisha Jina la mchungaji.
Kipind cha usajili hich kama zinavyosajil timu zatu za Mpira navyo vyama vinafanya usajil pia Kwa hiyo msishangae jaman kikubwa tambunieni dirisha la usajili lishafunguliwa.
Huyu ni msigwa mwenyewe au mwingine basi mbowe nae atahamia CCM
Na lisu nae atahamia CCM kweli CCM baba lao msigwa kaingia na ya chama heeee
Kwendaaa baada ya kukatwa jina kwenye uenyekiti wa Kanda ndiyo unahamia fccm kwandaa hatutaki lingo lingo sisi karibu mpina chadema
siasa sio mchezo, yaan n unafiki sio wa kawaida
Maongezi yake2 niyakuungaunga uyo tunamkabidhi heche2 amkabe mpaka atage kayai kajogoo
Nikisema mm chadema hawawezi Tena kuwa chama kikuu Cha upinzani, ni chama ambacho kina viongozi wa hovyo kabisa
Baadhi ya wanasiasa wanatabia za kimalaya malaya yaan wapo kama malaya malaya
Kuna watu wanapanik hatare umu ndani 😂😂😂
Hii ndio siasa bwana
Siku si nyingi mkuu wa wilaya msigwa
Tamaq ya madaraka,kumbuka maneno ya mwl Nyerere
Ila CCM bana ahhhh hovyo kwelikweli
Nataman magufuli Angeliona hili kweli siasa ni mchezo mchafu khaaa😅😅😅😅nacheka kama maxuri
Nawe unamjadili msingwa kwan magufuli alifanya sawa acheni unafiki
@@LeonardDanda
Unafiki unao wewe mbwaaa wewe
Tanzania inamatatizi makubwa sana
Wachungaji wa mwili hao
Mheshimiwa Dkt Samia suluhu hassani Nikiongozi mwadilifu anaye jituma katika majukumu yake.
Safi sana msigwa
Safi sana,msingwa nimekuelewa kaka,tupo pamoja.
Ufala mtupu
Ukienda kutafuta ukikosa unarudi nyumbani kwa baba na mama maana nyumbani chakula hakikosi siku zote nyumbani ni nyumbani huwez kufa njaa. Karibu sana mr MSIGWA Nyumbani
Nchii hii
😢
Si-hasa maana yake hakuna la uhalisia ndani yake
Aende jinga sana
Safi sana ameona
Kule wababaishaji bora arudi nyumbani kwa mama. Karibu MSIGWA
Msigwa ndo habari ya leo💪💪💪💪💪💪
Mwal Nyerere was very right mercenary
🤣😂🤣🤝🙌🙌🙌Huyu ndio yule wa wale Malaya Malaya 🤣😂😂🎷🎷🎷🗣️
🐶🐶🐶 umbwa uyu nimujinga
Njaa ni mbaya sana, mchungaji ungefungua tu kanisa injili iendelee
HII NI SAWA NA CHAMA KUJA YANG
😅😅
Mhhh. Siasi bahna
Ccm wameanza kuchukua watu wao waliowaweka ccm kiujasusi
Ko now ni mwendo wa kuvunja vunja upinzani
Njaa mbaya sana huko nako akikoswa mfupa ataibukia NCCR
Ccm oyeeeeeeee … hakuna Chama kama ccm dunianiiii …. Utaruka utapaaaa mwisho utarudiii tu kwa baba la vyamaaaa ❤
Haya wanachadema mmeyakanyaga mjumbe wa kamati kuu wenu sasa atawaibisha mchana kweupe tuseme hili ni pigo la haflaaa sasa atatoa siri njeeeee!!!!!
🤔Usione Ajabu ndio Nae Atafutia Tumbo Lake Wamempiga Na Dili Safi😂🎷🎷🥳🥳🥳🥳🎤🗣️Tusubiri move 🤔Au Kitabu Tuandike🤝
Mausalama yataifa hayo yanapandikizwa kwenye safu zawapinzani
Nenda wakuvalishe majoho
CCM oyeeeeeee
Nenda msigwa njooo mpina
ivi uyu makala haoni uchawa unazidi
Nilikua nampenda Msigwa siku nyingi sana katika wapinzani wa tz Karibu sana nyumbani
Kwa yanayoendelea chadema..msigwa anaona Hakuna upinzan
Msigwa ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Just mecenary busness
They switched sides just for money mercenary business everywhere 😂😂😂
Amefata ugali tu
TOKA HAPA HATUKUTAKI
Mama umeupigwa mwng karb mh Msigwa
Anafuata mbowe na lisu, Mimi naona ibaki ccm tu upizani wote waunge MKONO ccm
Siasa bwana
Kweri
CCM oyeeeeeeee❤❤❤❤❤❤❤
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kumekucha