Aendeeeee siyo yeye peke yake ndo alizaliwa kucheza simba mi nimefurahi kikifika kipindi cha usajili bosi roho juu pia alikuwa anacheza kama hataki mbio hana yupo yupo tu safi sana bossi huko ndo anaenda kuzeeka kabisaaaa kweeeeedraaaa
Kwani Chama ni nani na hakuikuta Simba?au yeye ndiyo mwanzilishi wa Simba? Kuweni Wanamichezo aliletwa na Simba Utopolo wajue huyo alikuwa mamluki aende tu.
Baada ya chama kulikuwa na wanyama tena wakal😅😅😅😅😅
Tunamtakia kila kheri.wacha aendee simba ameikura na ataiacha.cc ndio simba wala hatuna shida ya kuendeshwa na mchezaji.good job viongozi wa simba
Wana Simba wanzanga tusifazaike sana Simba ilianza kabra ya chama warikuwepo wakina okwi waliondoka kwani chama nani
Mm costa magombo nipo msumbiji Wana Simba wenzagu kuweni watulivu kama munauelewa mpila
Mimi ni simba damu. Kwa hili nawapongeza sana viongozi wa simba kwa uamuzi huu. Kwani simba ni kubwa sana kuliko mchezaji yeyote.
acha aende tu
Simba wamefanya vzr sana huyo chama kama tungemchukua Simba,angejivuna sana acha aende ila hakuna kitu atafanya MTA ikumbuka kauli yangu
Cham matako mwache aendee mla lushwaa uyo tuna pigwa 5 yey si alikuwepo kasaidia nn
Tatizo boss wetu kajanja chama mwamba kilalaheri ntakupenda daima huna baya brow
Viongoz wakovzur
Aendeeeee siyo yeye peke yake ndo alizaliwa kucheza simba mi nimefurahi kikifika kipindi cha usajili bosi roho juu pia alikuwa anacheza kama hataki mbio hana yupo yupo tu safi sana bossi huko ndo anaenda kuzeeka kabisaaaa kweeeeedraaaa
Mayele mlifurahi sana zam
Kwani Chama ni nani na hakuikuta Simba?au yeye ndiyo mwanzilishi wa Simba? Kuweni Wanamichezo aliletwa na Simba Utopolo wajue huyo alikuwa mamluki aende tu.
Kwenda kabisa misimu 3 ulikuwa wap
Kwani misimu mitatu chama alikuwa amefichwa mkunduni kwaufupi tu tumemchokaa
Sasaivi watatufunga kumi
Ww unayesema,tutafungwa 10 ni ww TU na mawazo yako