IGP SIRRO - ''JIANDAENI Kutafuta IGP MPYA, Muda Wowote KIKILIPUKA.....''

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ •

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 років тому +12

    JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.

    • @jumalula7516
      @jumalula7516 5 років тому +1

      Global TV Online group LA whatsap tuunge kwa namba 0753544644

    • @elvirareonard2520
      @elvirareonard2520 5 років тому

      Niunge group 0757380439

    • @shammahlupon7945
      @shammahlupon7945 5 років тому

      Askari wajifunze hekima ya kamanda siro

    • @jamarybaranyikwa8941
      @jamarybaranyikwa8941 4 роки тому

      hakika kiongozi igp Siro hekima uliyonayo unaweza ukawa kiongozi yeyotehapa t.z

    • @abdukarim7012
      @abdukarim7012 4 роки тому

      wapelelezi wamajarada ndio wanavunja sanna Sheria baada wapeleleze kisomi wao nikupiga mtuhumiwa eti anampiga halafu anamuliza simu ikowapi? Kazi tenu nikulinda sheria ibara ya ishirini kifungu cha 11 kinasema nikosa polisi kumpiga mtuhumiwa anapokuwa kiziwizini au mikononi, na hamujali munapiga tu hakuna aliekuwa juu ya sheria,

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed614 5 років тому +83

    Huyu mzee anahuruma saana na anauoga wa mungu na ni mkweli wala hatafuti kiki respect mkuu viva igp siro

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 років тому

      Mohamed Mohamed polisi kumuogopa Mungu ni aghalab,aweza kuogopa kwa maneno lkn matendo yatajielezea, hata Bwana YESU alionya polisi kuhusu kuwashtaki watu kwa uongo,,isivyohaki, kwahiyo polisi wa kupiga wa kamata mwiz men, wa barabarani kutenda haki ni kwa kupapasa sana, labda wanajeshi walinzi TAIFA hao watakuepo wengi mbinguni mana ni wanyenyekevu na wanatumia fani yao kwa haki, kupiga kura kuharibu kjjenga kulinda kwa haki si kuonea, na hufanya kwa kufuata amri, hawaombi rushwa wala kutengenezea mtu kesi mbaya au kumtia hatiani asie na kosa, wala kufyatulia risasi RAIA wasio na kitu mkononi eti kwavile wako mob,so utu wema kwa polisi upo kwa wachache kama huyu lkn sio wengi

    • @akshaydavid159
      @akshaydavid159 4 роки тому

      Ww hujui chochote broo, Jeshi la wananchi na polisi majukumu yao ni tofauti, na Kama ikitokea wamebadilishana majukumu hata kwa wiki moja tu hautarudia kuzungumza hivyo tena.

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 4 роки тому +1

      @@akshaydavid159 mimi zamani nilifkiri jeshi ndio wabaya. Kumbe sivyo kabisa. Ishi NA wanajeshi uone utu wao ni wa hali ya juu. Wanamafunzo kabisa. Lakini askari🤔. Akipewa buku TANO tu kishakugeukia NA utaisahau haki yako. Sababu wengi wao wameokotwa njiani wakapewa kazi bila kujielewa. Fahari yao ya kishamba kuwa anataka kujuana NA mkubwa flani. Im sorry huo ndio ukweli. NA jeshi ataeiga raia basi nafsini mwake ana tatizo ila hapewi mafunzo hayo.

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 3 роки тому

      Ni kweli kabisa. Huyu jamaa hatafuti makuu.

  • @wickama
    @wickama 5 років тому +7

    Afande Sirro stay blessed. M/Mungu alisema kwamba kwa yule anayemjaalia HEKIMA basi huwa amemjaalia kitu ADHIIM sana. Mshukuru M/Mungu kwa kukujaalia hekima

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura4258 5 років тому +46

    HII HOTUBA UNAWEZA KUNYWEA CHAI, UKALIA NA UGALI MCHANA, UKALIA NA DINNER USIKU NA ISICHACHE. YOU ARE VERY CRITICAL IGP.

    • @peterhhatisnay6616
      @peterhhatisnay6616 4 роки тому

      Big up

    • @mahingilasambichuma1369
      @mahingilasambichuma1369 4 роки тому

      Ukweli mchungu lakini wenye tija.

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 3 роки тому

      Mmhhh!!

    • @rithaurassa
      @rithaurassa 5 місяців тому

      Mungu akulinde na utumishi wk .Kweli IGP SIMON SIRRO WEW UNAFAA SAN KWENYE HII NCHI NIMEJARIBU. KUKUSIKILIZA SAN UNAPOIT YAKULINDA UTU.WENGINE WANGEPATA CHEO CHAKO WANGENYANYASA SAN WATU. HONGE SAN MHESHIMIWA.

  • @paulbwanana7886
    @paulbwanana7886 5 років тому

    Safi sana baba piga kazi ,hasa ukimtanguliza Mungu mbele ukijua kwamba ndiye alie kuweka kwenye nafasi hiyo wewe ni mtumishi wake Amen

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 3 роки тому

    Asante sana kiongozi, AGP Sirro that is a good speech, MUNGU alibariki jeshi letu la police.

  • @ramadhansylvesta1952
    @ramadhansylvesta1952 5 років тому +15

    dah! nimependa sana busala za mzee sirro, Safi sana

  • @bahatifrank4869
    @bahatifrank4869 5 років тому +178

    Leo nimejifunza kitu kibwa sana kwa IGP kumbe kuwa àskari au kiongozi ngazi yoyote sio lazima utumie sauti ya vitisho ili ueleweke. Mkuu Mungu akutie nguvu sana.
    Ndugu zangu uliye mwelewa Mkuu gonga like

    • @betyjohn2556
      @betyjohn2556 5 років тому +4

      Nimemkubali SIRO

    • @ibrahimdavid6219
      @ibrahimdavid6219 5 років тому

      Kauli ya ukali ufundishi mtu bali unatengeneza kuogopwa na ukiogopwa katika uongozi uwezi pata mema mengi ya kiutendaji#

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 5 років тому +3

      Huyu mzee yupo vizuri sana upstair ukilinganisha na wengine ndio maana hana majivuno ya ajabu.

    • @imamuhemedi4387
      @imamuhemedi4387 5 років тому

      BAHATI FRANK

    • @nighanilehenry2818
      @nighanilehenry2818 5 років тому

      Said sana

  • @nassorrashidynassorrashidy7272
    @nassorrashidynassorrashidy7272 4 роки тому +1

    Safi sana ww ni binadamu na nikamanda mwenye hekima mungu akuongeze ivyo ivyo

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba5009 5 років тому +5

    Big up....hawa ndio viongozi wanaotakiwa, kazungumza ukweli...facial expression yake inasema kweli. " Sote hatuwezi kuwa ma IGP" kila mtu anapewa kwa nafasi yake. Tunawapenda jeshi la Police umoja wenu na ushirikiano wenu utatufanya tusonge mbele. Kikubwa Mungu ahusike na kazi zetu. Hongera Mzee Siro....Umeongea vema i like it.

  • @yunusali9514
    @yunusali9514 4 роки тому +1

    Asante mkuu,upo vizur sana,

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 4 роки тому +2

    Safi sana IGP, siyo wote wanaweza kuwa Viongozi kwa wakati mmoja. Waliochini tafadhali wachape kazi wakati wao ukifika watateuliwa pia Mipango ya Mungu ikitimia. Big up IGP👏👏👏

  • @marthashimba5166
    @marthashimba5166 3 роки тому

    Mungu akutangulie katika kazi yako,hakika umeongea yale ambayo Mungu anataka tufanye.

  • @bestonmfikwa8510
    @bestonmfikwa8510 5 років тому +13

    Aisee!!! Huyu jamaa ni shida. Nampenda sana

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 років тому +30

    HONGERA DADY UNACHAPA KAZI SIO KITOTO. Uishi miaka mingi inshaallah 🙏

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 3 роки тому

    Safi sana Sirro hongera ndugu yangu.

  • @danielpius14
    @danielpius14 5 років тому +42

    You're a super man , good speech

  • @nasrimhagama5958
    @nasrimhagama5958 4 роки тому +1

    God Bless you

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 5 років тому +5

    Asante kamanda sirro we ndio igp safiiiiiiìiii

  • @lairumbelaizer4429
    @lairumbelaizer4429 4 роки тому +1

    Great, huu ndiyo uongozi firm & and fair

  • @jeromendetaulwa3466
    @jeromendetaulwa3466 5 років тому +18

    IGP SIRO una busara sana Mungu akulinde unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani

  • @ipyanahudson7515
    @ipyanahudson7515 4 роки тому

    I like your point chief camander

  • @charleskamundi9952
    @charleskamundi9952 4 роки тому

    Ukweli haujifichi bana mkuu hongera

  • @mcmapunda5837
    @mcmapunda5837 4 роки тому +1

    Nimekuelewa mungu akulinde sana amina

  • @barakamtui8198
    @barakamtui8198 4 роки тому +1

    Upo sawa kamanda siro

  • @abemampya2871
    @abemampya2871 5 років тому +7

    Namkubali sana IGP Sirro. Yuko vizur hakika anasema ukweli

  • @kingcobra9238
    @kingcobra9238 5 років тому +5

    Salute salute salute IGP kwa point zinazotujenga kua cheo ni dhamani long life mr.IGP

  • @saidihilinti6919
    @saidihilinti6919 4 роки тому +1

    Kiukweli nikiwa raia wk Allah akutangulie kwa imani yako kwa huruma yako kwa hayo ullio yasema yamenikuna yamenifanya niwe mnyonge mno mzee wetu kwani uko very very nice saluti mungu akutangulie ktk Yale magum kwako ayafanye ayafanye yawe rahis na matam 🙏🤝

  • @merickymangula5156
    @merickymangula5156 5 років тому +2

    Very professional mzee kaongea vizuri sana

  • @frankmassawe9719
    @frankmassawe9719 5 років тому

    Mungu akubariki Bwana Sirro.

  • @far_hard1301
    @far_hard1301 5 років тому

    baba uko juu wanyooshe hao wanawanyasasa sana wananchi kwaajili ya cheo uliowapa hawajui jukumu lao ila ni kutafuta kiki tu kwenye media baba wape ukweli tu nakupenda sana mungu akulinde milele

  • @maembelaurent970
    @maembelaurent970 4 роки тому +1

    Safi sana mkuu

  • @ngaosedekia4897
    @ngaosedekia4897 5 років тому +6

    Blessed

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 3 роки тому

    Nakupenda sana KAMANDA Sirro

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 років тому +14

    IGP, mkuu wa police Tanzania.. ni kiongozi bora sana..nampenda huyu mkuu yuko makini sana..nimejifunza mengi kutoka kwake..

    • @pastorchristopher758
      @pastorchristopher758 4 роки тому

      Nimekupenda hufanani na asikar wengine wanabakia nivitisho tuu nimekupenda.

  • @rajabmsengi9169
    @rajabmsengi9169 5 років тому

    Mzee uko vzr Mungu akulinde

  • @tunumadiba824
    @tunumadiba824 3 роки тому

    Big up Sirro ,IGP,,, nakufahamu vzr ,,ni mtu mwema sana na mtenda haki itendeke,,kweli unapendwa sana na watu wengi ,,Mungu akulinde

  • @faidamasegenghe3379
    @faidamasegenghe3379 5 років тому +6

    Nimekuelewa sana IGP SAIMON SIRO

  • @imanmwamasage9366
    @imanmwamasage9366 2 роки тому

    Hongr kamanda siro

  • @evelinerichard7631
    @evelinerichard7631 5 років тому +4

    nimeipenda speech yako Mkuu

  • @janethyona1361
    @janethyona1361 5 років тому

    Mungu akubarikie IGP sirro kwa kauli zako kila kitu Mungu anampa MTU kwa wakati wake huu ni wakati wako, pia nikupongeze kwa mwongozo wako kwa Ma RPC naomba waufuate jeshi lihaheshimika pia nishaur vyombo vya dola imean polisi waachane na media sbb media zinapunguza umahili wa jeshi mnajikuta hata kaxi ya upelelezi inawapashida sbb plan zenu au operation zenu mnaziweka wazi mno. Mungu ibariki Tanzania

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 4 роки тому +2

    Nice speech IGP may God protect u n do all that is right

  • @fightermoshi5921
    @fightermoshi5921 5 років тому +4

    👏💚 afande wangu uko vzr IGP

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 5 років тому +16

    Nimekupenda Bure Kamanda Du Mungu Hakuweke Maisha Kweli Mafupi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @ibrahimdavid6219
    @ibrahimdavid6219 5 років тому +4

    Among of gud leaders in our country congratulations I real like a leader like Siro utamchukiaje kiongozi km huyu Mungu aendelee kukupa hekima mkuu#

    • @audaxkasindo9016
      @audaxkasindo9016 5 років тому

      Kamanda siro uwa nakuami ikwa utendaji wakazi mungu akusimamie kwa utendaji wa kazi ongera mzee siro

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 5 років тому

    you have strong point

  • @geraldsija9472
    @geraldsija9472 4 роки тому

    Siro umeongea point ya msingi sana

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 2 роки тому

    Hongera sna ulijua haya yaliyo tokea leo baada ya jpm kufa asante kwa kaz nzuri

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 5 років тому

    Unatosha sana afande, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Endelea kutuasa, Mungu akubariki.

  • @triplemtv8369
    @triplemtv8369 4 роки тому

    Kamanda big up nimekuelewa sana maneno yako yamekulea munyu

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi97 4 роки тому +1

    Mashaalah huyu mzee anatamani kustaafu kwa heshima,hataki Tanzania iingie kwenye machafuko.tunacho waomba vyombo vya dolla mkae pembeni na siasa.

  • @chandrnyoeliakim1006
    @chandrnyoeliakim1006 5 років тому +1

    Safi uko vizuri dady

  • @veronikadalali7251
    @veronikadalali7251 3 роки тому

    Namwelewa sana Siro ndug yetu huyu kasaidia vijana wengi hapa Kyabakar

  • @alhajitambwe9565
    @alhajitambwe9565 4 роки тому

    Mungu asante kwa maisha ya IGP wetu umlinde aendelee kufanya kazi hii iliyotukuka

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 5 років тому +41

    Kiongozi MZURI SAAANA HUYU asante saaaaana mpendwa mkuu wa jeshi la police tz

  • @barakandugu7283
    @barakandugu7283 4 роки тому +1

    Safii san mkuu wetu

  • @blessjo1678
    @blessjo1678 4 роки тому +2

    One of the best....super genius IGP

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 5 років тому +2

    Mungu yuko pamoja na Tz

  • @suleimanmmingange2983
    @suleimanmmingange2983 4 роки тому +1

    Sina cha kukupa baba sema sema ukweri babaaaaaa!!.

  • @afidhusultan4967
    @afidhusultan4967 5 років тому +1

    Kamanda wangu siro nakukubali sana zaidi ya sana mungu akupe umri mrefu

  • @oscarmosha383
    @oscarmosha383 4 роки тому

    Sikuwahi kujua Kama unahekima kubwa NAMNA hiyo mzee siro mungu akulinde Sana

  • @hamzasaidi3055
    @hamzasaidi3055 5 років тому +4

    Big up IGP. Very good presentation

  • @dsouzamaguno7006
    @dsouzamaguno7006 5 років тому +1

    Well Say Mkuu

  • @daudigabriel73
    @daudigabriel73 3 роки тому

    U r the best

  • @simonchambo1230
    @simonchambo1230 4 роки тому +2

    Good speech indeed you deserve to that position God bless you with that kindness heart.

  • @salviuspaulinusmaokolamaok8026
    @salviuspaulinusmaokolamaok8026 4 роки тому

    Hii nzuri kamanda

  • @saidchalamanda645
    @saidchalamanda645 3 роки тому

    Shukran Sana mzee wangu mitano tenaaàaaa kiongozi mwema chaguo la mungu

  • @rahelsasi8995
    @rahelsasi8995 3 роки тому

    Nakuoenda tu kazi nzuri

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 5 років тому

    Sahihi kabisaa kamanda siro

  • @kulwamakono5897
    @kulwamakono5897 3 роки тому

    Saluti kwako kamanda, uko vzr mzee wetu.

  • @yusufurajabuomari647
    @yusufurajabuomari647 5 років тому +3

    Pain 😫

  • @davidimbazi2767
    @davidimbazi2767 5 років тому

    Du maneno yako yamenigusa Sana kamanda Siro mungu akuzidishie

  • @vickngowi2779
    @vickngowi2779 3 роки тому

    SiRRO wangu nakupenda bure unabusara sana baba😍😍

  • @africaunitytv5938
    @africaunitytv5938 5 років тому

    very good sillo

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 років тому +5

    Asante mkuu ushauri wKo

  • @juniordamas2957
    @juniordamas2957 5 років тому +2

    You are the best ever!!!

  • @geremiahanthony2153
    @geremiahanthony2153 3 роки тому

    Kamanda siro uko vizuri

  • @fadhilimfalamagoha2682
    @fadhilimfalamagoha2682 5 років тому +8

    Raisi hakukosea kufanya uteuzi wako, well understood speech

    • @mudhihirumikidadi6066
      @mudhihirumikidadi6066 5 років тому

      Wewe unafaa kuwaraisi mwenyezimungu akufikishe hukokwenye uraisi

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 5 років тому

    Amen Amen. Mungu awasaidi nyote. Amen.

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 4 роки тому +1

    Safi cn kamanda siro umeongea vzr mnaweza mkawa 10 lakini akatokea 1 ili aongoze wengine ubalikiwe!!!!

  • @tusajigwekanemela4784
    @tusajigwekanemela4784 4 роки тому +1

    MZEE umeongea kwa hekima sanaaaaaaaa

  • @rozimeryrozimery1840
    @rozimeryrozimery1840 3 роки тому

    Ni kweli baba wanaowachukia watu nawao kweli wanajipatia matatizo . nimekuelewa kaka sirro Mungu awe nawe katika kazi yako usikate tamaa kaka

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 роки тому

    We love sirro

  • @maimunakassim2840
    @maimunakassim2840 3 роки тому

    Nakukubali sana mzee wa hekma ..ulitatua yalio kuwa yamewashinda ukiwa kamanda mkoa wa shinyanga.nakupenda mnoo

  • @shabaniselemani9159
    @shabaniselemani9159 4 роки тому

    Point tupu kamanda umeongea mungu akujalie

  • @mangenyanyondo7357
    @mangenyanyondo7357 5 років тому +1

    Nice speech

  • @mwinyimwimbe8842
    @mwinyimwimbe8842 5 років тому +8

    Nimemuelewa sn AGP

  • @fidelebahati8052
    @fidelebahati8052 5 років тому

    Mimi ni brother FIDELE SINDANI toka DRC, South Kivu provincy, muji wa Uvira. Kweli nashuudiya: Magufuli is the best president in Africa, kufwatana na leadership yake. Kweli wa TZ ambao hamutambui kazi anayoifanya ktk inchi yenu, fungeni vinywa vyenu, angalieyeni vitendo, na utekelezaji wake. Bravo Magufuli, Tu es le meilleur de notre continent

  • @tumainamani3981
    @tumainamani3981 5 років тому +2

    Wiseman

  • @abuumaisarah6595
    @abuumaisarah6595 5 років тому +2

    Asante sana Boss be blessed

  • @emmanuelsovellah5521
    @emmanuelsovellah5521 5 років тому +5

    Wewe ni IGP kweli kweli respect to yuu boss wa police

  • @mashakashobo979
    @mashakashobo979 4 роки тому

    Uncle umejaa hekima sana huna mambo ya kujimwambafai pamoja na kuwa na cheo Cha juu kabisa,,,MUNGU akuongezee maisha malefu na yenye baraka tele,,,

  • @sundyjohn6335
    @sundyjohn6335 4 роки тому

    Nakukubali sana kamanda wangu

  • @ostakyuskidabulo7309
    @ostakyuskidabulo7309 3 роки тому

    Good speech

  • @yassinijumanne6117
    @yassinijumanne6117 4 роки тому

    IGP we n mzur sana napenda unakuwaga muwazi na kuelimisha vizur na mungu akuhifadhi na hip hekima ulionae

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 4 роки тому +1

    Maneno makubwa na mazito, tena ya uwazi mkubwa. Hongera Kamanda Siro., huu ndio uongozi shirikishi na utawala wa kisheria

  • @hojamathias9989
    @hojamathias9989 5 років тому

    Bravo sir Sirro

  • @edwardmsongelwa5455
    @edwardmsongelwa5455 4 роки тому

    Hongera sana I G P Siro Kwa kuliona Hilo litapunguza sana ma asikali wetu kulala

  • @okoakahemela5867
    @okoakahemela5867 4 роки тому +1

    Maneno ya hekima sana!! Mungu aendelee kklinda kamanda wetu

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 5 років тому +58

    SIRRO IS EXTRA ORDINARY MAN

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 5 років тому

      Watanzania tunayo mazoea ya kusifia hata mtu akijinyea. Eti Sirri ni extra ordinary. Atupatie majibu nani wanatena, wanapiga na kuwaua ndugu zetu ndio tumpatie jina la extra ordinary. Hata kama Rais na wakuu wa vyombo vya usalama hawashitakiwi hapa Tanzania kwenye vyombo vya kimataifa watashitakiwa tu. Wao waendelee kuwaua wapiga kura kwa kujipa moyo kuwa hawatashitakiwa ila wajue kesi zote za kupiga watu, kuteka na kuwaua Watanzania ziko ICC na mhusika mkuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Ndugu zetu wameuwawa, wamepigwa na kufunguliwa kesi za uongo na wahusika wakuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Watapanda Mahakamani hata kama miaka kumi ijayo.

    • @mayungamboi9753
      @mayungamboi9753 4 роки тому

      @@evansmlalo4049 nmekuelewa Sana mkuu mungu akubariki🙏🙏🙏🙏

    • @stevengaspa1567
      @stevengaspa1567 3 роки тому

      Wajinga niwengi amesha fanya fanya ujinga leohanaongea ujinga wakipumbavu