wapelelezi wamajarada ndio wanavunja sanna Sheria baada wapeleleze kisomi wao nikupiga mtuhumiwa eti anampiga halafu anamuliza simu ikowapi? Kazi tenu nikulinda sheria ibara ya ishirini kifungu cha 11 kinasema nikosa polisi kumpiga mtuhumiwa anapokuwa kiziwizini au mikononi, na hamujali munapiga tu hakuna aliekuwa juu ya sheria,
Mohamed Mohamed polisi kumuogopa Mungu ni aghalab,aweza kuogopa kwa maneno lkn matendo yatajielezea, hata Bwana YESU alionya polisi kuhusu kuwashtaki watu kwa uongo,,isivyohaki, kwahiyo polisi wa kupiga wa kamata mwiz men, wa barabarani kutenda haki ni kwa kupapasa sana, labda wanajeshi walinzi TAIFA hao watakuepo wengi mbinguni mana ni wanyenyekevu na wanatumia fani yao kwa haki, kupiga kura kuharibu kjjenga kulinda kwa haki si kuonea, na hufanya kwa kufuata amri, hawaombi rushwa wala kutengenezea mtu kesi mbaya au kumtia hatiani asie na kosa, wala kufyatulia risasi RAIA wasio na kitu mkononi eti kwavile wako mob,so utu wema kwa polisi upo kwa wachache kama huyu lkn sio wengi
Ww hujui chochote broo, Jeshi la wananchi na polisi majukumu yao ni tofauti, na Kama ikitokea wamebadilishana majukumu hata kwa wiki moja tu hautarudia kuzungumza hivyo tena.
@@akshaydavid159 mimi zamani nilifkiri jeshi ndio wabaya. Kumbe sivyo kabisa. Ishi NA wanajeshi uone utu wao ni wa hali ya juu. Wanamafunzo kabisa. Lakini askari🤔. Akipewa buku TANO tu kishakugeukia NA utaisahau haki yako. Sababu wengi wao wameokotwa njiani wakapewa kazi bila kujielewa. Fahari yao ya kishamba kuwa anataka kujuana NA mkubwa flani. Im sorry huo ndio ukweli. NA jeshi ataeiga raia basi nafsini mwake ana tatizo ila hapewi mafunzo hayo.
Afande Sirro stay blessed. M/Mungu alisema kwamba kwa yule anayemjaalia HEKIMA basi huwa amemjaalia kitu ADHIIM sana. Mshukuru M/Mungu kwa kukujaalia hekima
Mungu akulinde na utumishi wk .Kweli IGP SIMON SIRRO WEW UNAFAA SAN KWENYE HII NCHI NIMEJARIBU. KUKUSIKILIZA SAN UNAPOIT YAKULINDA UTU.WENGINE WANGEPATA CHEO CHAKO WANGENYANYASA SAN WATU. HONGE SAN MHESHIMIWA.
Leo nimejifunza kitu kibwa sana kwa IGP kumbe kuwa àskari au kiongozi ngazi yoyote sio lazima utumie sauti ya vitisho ili ueleweke. Mkuu Mungu akutie nguvu sana. Ndugu zangu uliye mwelewa Mkuu gonga like
Big up....hawa ndio viongozi wanaotakiwa, kazungumza ukweli...facial expression yake inasema kweli. " Sote hatuwezi kuwa ma IGP" kila mtu anapewa kwa nafasi yake. Tunawapenda jeshi la Police umoja wenu na ushirikiano wenu utatufanya tusonge mbele. Kikubwa Mungu ahusike na kazi zetu. Hongera Mzee Siro....Umeongea vema i like it.
Safi sana IGP, siyo wote wanaweza kuwa Viongozi kwa wakati mmoja. Waliochini tafadhali wachape kazi wakati wao ukifika watateuliwa pia Mipango ya Mungu ikitimia. Big up IGP👏👏👏
Kiukweli nikiwa raia wk Allah akutangulie kwa imani yako kwa huruma yako kwa hayo ullio yasema yamenikuna yamenifanya niwe mnyonge mno mzee wetu kwani uko very very nice saluti mungu akutangulie ktk Yale magum kwako ayafanye ayafanye yawe rahis na matam 🙏🤝
baba uko juu wanyooshe hao wanawanyasasa sana wananchi kwaajili ya cheo uliowapa hawajui jukumu lao ila ni kutafuta kiki tu kwenye media baba wape ukweli tu nakupenda sana mungu akulinde milele
Mungu akubarikie IGP sirro kwa kauli zako kila kitu Mungu anampa MTU kwa wakati wake huu ni wakati wako, pia nikupongeze kwa mwongozo wako kwa Ma RPC naomba waufuate jeshi lihaheshimika pia nishaur vyombo vya dola imean polisi waachane na media sbb media zinapunguza umahili wa jeshi mnajikuta hata kaxi ya upelelezi inawapashida sbb plan zenu au operation zenu mnaziweka wazi mno. Mungu ibariki Tanzania
Mimi ni brother FIDELE SINDANI toka DRC, South Kivu provincy, muji wa Uvira. Kweli nashuudiya: Magufuli is the best president in Africa, kufwatana na leadership yake. Kweli wa TZ ambao hamutambui kazi anayoifanya ktk inchi yenu, fungeni vinywa vyenu, angalieyeni vitendo, na utekelezaji wake. Bravo Magufuli, Tu es le meilleur de notre continent
Watanzania tunayo mazoea ya kusifia hata mtu akijinyea. Eti Sirri ni extra ordinary. Atupatie majibu nani wanatena, wanapiga na kuwaua ndugu zetu ndio tumpatie jina la extra ordinary. Hata kama Rais na wakuu wa vyombo vya usalama hawashitakiwi hapa Tanzania kwenye vyombo vya kimataifa watashitakiwa tu. Wao waendelee kuwaua wapiga kura kwa kujipa moyo kuwa hawatashitakiwa ila wajue kesi zote za kupiga watu, kuteka na kuwaua Watanzania ziko ICC na mhusika mkuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Ndugu zetu wameuwawa, wamepigwa na kufunguliwa kesi za uongo na wahusika wakuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Watapanda Mahakamani hata kama miaka kumi ijayo.
JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
Global TV Online group LA whatsap tuunge kwa namba 0753544644
Niunge group 0757380439
Askari wajifunze hekima ya kamanda siro
hakika kiongozi igp Siro hekima uliyonayo unaweza ukawa kiongozi yeyotehapa t.z
wapelelezi wamajarada ndio wanavunja sanna Sheria baada wapeleleze kisomi wao nikupiga mtuhumiwa eti anampiga halafu anamuliza simu ikowapi? Kazi tenu nikulinda sheria ibara ya ishirini kifungu cha 11 kinasema nikosa polisi kumpiga mtuhumiwa anapokuwa kiziwizini au mikononi, na hamujali munapiga tu hakuna aliekuwa juu ya sheria,
Huyu mzee anahuruma saana na anauoga wa mungu na ni mkweli wala hatafuti kiki respect mkuu viva igp siro
Mohamed Mohamed polisi kumuogopa Mungu ni aghalab,aweza kuogopa kwa maneno lkn matendo yatajielezea, hata Bwana YESU alionya polisi kuhusu kuwashtaki watu kwa uongo,,isivyohaki, kwahiyo polisi wa kupiga wa kamata mwiz men, wa barabarani kutenda haki ni kwa kupapasa sana, labda wanajeshi walinzi TAIFA hao watakuepo wengi mbinguni mana ni wanyenyekevu na wanatumia fani yao kwa haki, kupiga kura kuharibu kjjenga kulinda kwa haki si kuonea, na hufanya kwa kufuata amri, hawaombi rushwa wala kutengenezea mtu kesi mbaya au kumtia hatiani asie na kosa, wala kufyatulia risasi RAIA wasio na kitu mkononi eti kwavile wako mob,so utu wema kwa polisi upo kwa wachache kama huyu lkn sio wengi
Ww hujui chochote broo, Jeshi la wananchi na polisi majukumu yao ni tofauti, na Kama ikitokea wamebadilishana majukumu hata kwa wiki moja tu hautarudia kuzungumza hivyo tena.
@@akshaydavid159 mimi zamani nilifkiri jeshi ndio wabaya. Kumbe sivyo kabisa. Ishi NA wanajeshi uone utu wao ni wa hali ya juu. Wanamafunzo kabisa. Lakini askari🤔. Akipewa buku TANO tu kishakugeukia NA utaisahau haki yako. Sababu wengi wao wameokotwa njiani wakapewa kazi bila kujielewa. Fahari yao ya kishamba kuwa anataka kujuana NA mkubwa flani. Im sorry huo ndio ukweli. NA jeshi ataeiga raia basi nafsini mwake ana tatizo ila hapewi mafunzo hayo.
Ni kweli kabisa. Huyu jamaa hatafuti makuu.
Afande Sirro stay blessed. M/Mungu alisema kwamba kwa yule anayemjaalia HEKIMA basi huwa amemjaalia kitu ADHIIM sana. Mshukuru M/Mungu kwa kukujaalia hekima
HII HOTUBA UNAWEZA KUNYWEA CHAI, UKALIA NA UGALI MCHANA, UKALIA NA DINNER USIKU NA ISICHACHE. YOU ARE VERY CRITICAL IGP.
Big up
Ukweli mchungu lakini wenye tija.
Mmhhh!!
Mungu akulinde na utumishi wk .Kweli IGP SIMON SIRRO WEW UNAFAA SAN KWENYE HII NCHI NIMEJARIBU. KUKUSIKILIZA SAN UNAPOIT YAKULINDA UTU.WENGINE WANGEPATA CHEO CHAKO WANGENYANYASA SAN WATU. HONGE SAN MHESHIMIWA.
Safi sana baba piga kazi ,hasa ukimtanguliza Mungu mbele ukijua kwamba ndiye alie kuweka kwenye nafasi hiyo wewe ni mtumishi wake Amen
Asante sana kiongozi, AGP Sirro that is a good speech, MUNGU alibariki jeshi letu la police.
dah! nimependa sana busala za mzee sirro, Safi sana
Nakukubali sana mkuu
Leo nimejifunza kitu kibwa sana kwa IGP kumbe kuwa àskari au kiongozi ngazi yoyote sio lazima utumie sauti ya vitisho ili ueleweke. Mkuu Mungu akutie nguvu sana.
Ndugu zangu uliye mwelewa Mkuu gonga like
Nimemkubali SIRO
Kauli ya ukali ufundishi mtu bali unatengeneza kuogopwa na ukiogopwa katika uongozi uwezi pata mema mengi ya kiutendaji#
Huyu mzee yupo vizuri sana upstair ukilinganisha na wengine ndio maana hana majivuno ya ajabu.
BAHATI FRANK
Said sana
Safi sana ww ni binadamu na nikamanda mwenye hekima mungu akuongeze ivyo ivyo
Big up....hawa ndio viongozi wanaotakiwa, kazungumza ukweli...facial expression yake inasema kweli. " Sote hatuwezi kuwa ma IGP" kila mtu anapewa kwa nafasi yake. Tunawapenda jeshi la Police umoja wenu na ushirikiano wenu utatufanya tusonge mbele. Kikubwa Mungu ahusike na kazi zetu. Hongera Mzee Siro....Umeongea vema i like it.
Asante mkuu,upo vizur sana,
Safi sana IGP, siyo wote wanaweza kuwa Viongozi kwa wakati mmoja. Waliochini tafadhali wachape kazi wakati wao ukifika watateuliwa pia Mipango ya Mungu ikitimia. Big up IGP👏👏👏
Mungu akutangulie katika kazi yako,hakika umeongea yale ambayo Mungu anataka tufanye.
Aisee!!! Huyu jamaa ni shida. Nampenda sana
HONGERA DADY UNACHAPA KAZI SIO KITOTO. Uishi miaka mingi inshaallah 🙏
Munira Ahmed it's good like that!
Munira Ahmed nimekupenda bure
Mambo dada???unajitaidi kila kona uko ongera m south Africa jah
Sana Munira uko sahihi
Munira nicheck kwa whatsApp 0771725442
Safi sana Sirro hongera ndugu yangu.
You're a super man , good speech
God Bless you
Asante kamanda sirro we ndio igp safiiiiiiìiii
Great, huu ndiyo uongozi firm & and fair
IGP SIRO una busara sana Mungu akulinde unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani
Waxiri wa mambo ni cheo Cha chini kwa IGP, Kama ulikuwa hujuwi
@@kaisarimbisso7579 kweli
I like your point chief camander
Ukweli haujifichi bana mkuu hongera
Nimekuelewa mungu akulinde sana amina
Upo sawa kamanda siro
Namkubali sana IGP Sirro. Yuko vizur hakika anasema ukweli
Salute salute salute IGP kwa point zinazotujenga kua cheo ni dhamani long life mr.IGP
Kiukweli nikiwa raia wk Allah akutangulie kwa imani yako kwa huruma yako kwa hayo ullio yasema yamenikuna yamenifanya niwe mnyonge mno mzee wetu kwani uko very very nice saluti mungu akutangulie ktk Yale magum kwako ayafanye ayafanye yawe rahis na matam 🙏🤝
Very professional mzee kaongea vizuri sana
Mungu akubariki Bwana Sirro.
baba uko juu wanyooshe hao wanawanyasasa sana wananchi kwaajili ya cheo uliowapa hawajui jukumu lao ila ni kutafuta kiki tu kwenye media baba wape ukweli tu nakupenda sana mungu akulinde milele
Safi sana mkuu
Blessed
Nakupenda sana KAMANDA Sirro
IGP, mkuu wa police Tanzania.. ni kiongozi bora sana..nampenda huyu mkuu yuko makini sana..nimejifunza mengi kutoka kwake..
Nimekupenda hufanani na asikar wengine wanabakia nivitisho tuu nimekupenda.
Mzee uko vzr Mungu akulinde
Big up Sirro ,IGP,,, nakufahamu vzr ,,ni mtu mwema sana na mtenda haki itendeke,,kweli unapendwa sana na watu wengi ,,Mungu akulinde
Nimekuelewa sana IGP SAIMON SIRO
Hongr kamanda siro
nimeipenda speech yako Mkuu
Mungu akubarikie IGP sirro kwa kauli zako kila kitu Mungu anampa MTU kwa wakati wake huu ni wakati wako, pia nikupongeze kwa mwongozo wako kwa Ma RPC naomba waufuate jeshi lihaheshimika pia nishaur vyombo vya dola imean polisi waachane na media sbb media zinapunguza umahili wa jeshi mnajikuta hata kaxi ya upelelezi inawapashida sbb plan zenu au operation zenu mnaziweka wazi mno. Mungu ibariki Tanzania
Nice speech IGP may God protect u n do all that is right
👏💚 afande wangu uko vzr IGP
Nimekupenda Bure Kamanda Du Mungu Hakuweke Maisha Kweli Mafupi 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Among of gud leaders in our country congratulations I real like a leader like Siro utamchukiaje kiongozi km huyu Mungu aendelee kukupa hekima mkuu#
Kamanda siro uwa nakuami ikwa utendaji wakazi mungu akusimamie kwa utendaji wa kazi ongera mzee siro
you have strong point
Siro umeongea point ya msingi sana
Hongera sna ulijua haya yaliyo tokea leo baada ya jpm kufa asante kwa kaz nzuri
Unatosha sana afande, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Endelea kutuasa, Mungu akubariki.
Kamanda big up nimekuelewa sana maneno yako yamekulea munyu
Mashaalah huyu mzee anatamani kustaafu kwa heshima,hataki Tanzania iingie kwenye machafuko.tunacho waomba vyombo vya dolla mkae pembeni na siasa.
Safi uko vizuri dady
Namwelewa sana Siro ndug yetu huyu kasaidia vijana wengi hapa Kyabakar
Mungu asante kwa maisha ya IGP wetu umlinde aendelee kufanya kazi hii iliyotukuka
Kiongozi MZURI SAAANA HUYU asante saaaaana mpendwa mkuu wa jeshi la police tz
uko sahihi
Jaman huyu ndo kamanda
Safii san mkuu wetu
One of the best....super genius IGP
Mungu yuko pamoja na Tz
Sina cha kukupa baba sema sema ukweri babaaaaaa!!.
Kamanda wangu siro nakukubali sana zaidi ya sana mungu akupe umri mrefu
Sikuwahi kujua Kama unahekima kubwa NAMNA hiyo mzee siro mungu akulinde Sana
Big up IGP. Very good presentation
Well Say Mkuu
U r the best
Good speech indeed you deserve to that position God bless you with that kindness heart.
Hii nzuri kamanda
Shukran Sana mzee wangu mitano tenaaàaaa kiongozi mwema chaguo la mungu
Nakuoenda tu kazi nzuri
Sahihi kabisaa kamanda siro
Saluti kwako kamanda, uko vzr mzee wetu.
Pain 😫
Du maneno yako yamenigusa Sana kamanda Siro mungu akuzidishie
SiRRO wangu nakupenda bure unabusara sana baba😍😍
very good sillo
Asante mkuu ushauri wKo
You are the best ever!!!
Kamanda siro uko vizuri
Raisi hakukosea kufanya uteuzi wako, well understood speech
Wewe unafaa kuwaraisi mwenyezimungu akufikishe hukokwenye uraisi
Amen Amen. Mungu awasaidi nyote. Amen.
Safi cn kamanda siro umeongea vzr mnaweza mkawa 10 lakini akatokea 1 ili aongoze wengine ubalikiwe!!!!
MZEE umeongea kwa hekima sanaaaaaaaa
Ni kweli baba wanaowachukia watu nawao kweli wanajipatia matatizo . nimekuelewa kaka sirro Mungu awe nawe katika kazi yako usikate tamaa kaka
We love sirro
Nakukubali sana mzee wa hekma ..ulitatua yalio kuwa yamewashinda ukiwa kamanda mkoa wa shinyanga.nakupenda mnoo
Point tupu kamanda umeongea mungu akujalie
Nice speech
Nimemuelewa sn AGP
Mimi ni brother FIDELE SINDANI toka DRC, South Kivu provincy, muji wa Uvira. Kweli nashuudiya: Magufuli is the best president in Africa, kufwatana na leadership yake. Kweli wa TZ ambao hamutambui kazi anayoifanya ktk inchi yenu, fungeni vinywa vyenu, angalieyeni vitendo, na utekelezaji wake. Bravo Magufuli, Tu es le meilleur de notre continent
Wiseman
Asante sana Boss be blessed
Wewe ni IGP kweli kweli respect to yuu boss wa police
Uncle umejaa hekima sana huna mambo ya kujimwambafai pamoja na kuwa na cheo Cha juu kabisa,,,MUNGU akuongezee maisha malefu na yenye baraka tele,,,
Nakukubali sana kamanda wangu
Good speech
IGP we n mzur sana napenda unakuwaga muwazi na kuelimisha vizur na mungu akuhifadhi na hip hekima ulionae
Maneno makubwa na mazito, tena ya uwazi mkubwa. Hongera Kamanda Siro., huu ndio uongozi shirikishi na utawala wa kisheria
Bravo sir Sirro
Hongera sana I G P Siro Kwa kuliona Hilo litapunguza sana ma asikali wetu kulala
Maneno ya hekima sana!! Mungu aendelee kklinda kamanda wetu
SIRRO IS EXTRA ORDINARY MAN
Watanzania tunayo mazoea ya kusifia hata mtu akijinyea. Eti Sirri ni extra ordinary. Atupatie majibu nani wanatena, wanapiga na kuwaua ndugu zetu ndio tumpatie jina la extra ordinary. Hata kama Rais na wakuu wa vyombo vya usalama hawashitakiwi hapa Tanzania kwenye vyombo vya kimataifa watashitakiwa tu. Wao waendelee kuwaua wapiga kura kwa kujipa moyo kuwa hawatashitakiwa ila wajue kesi zote za kupiga watu, kuteka na kuwaua Watanzania ziko ICC na mhusika mkuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Ndugu zetu wameuwawa, wamepigwa na kufunguliwa kesi za uongo na wahusika wakuu ni Rais na Mkuu wa Jeshi la Polisi. Watapanda Mahakamani hata kama miaka kumi ijayo.
@@evansmlalo4049 nmekuelewa Sana mkuu mungu akubariki🙏🙏🙏🙏
Wajinga niwengi amesha fanya fanya ujinga leohanaongea ujinga wakipumbavu