MANDOJO AFARIKI DODOMA
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Msanii wa Muziki wa kizazi kipya Mandojo amefariki Dunia jijini Dodoma leo baada ya kupata kipigo akidhaniwa kuwa ni mwizi
Taarifa ya kifo cha Msanii huyo imethibitishwa na rafiki yake wa karibu Msafiri L pamoja na msanii mkongwe Soggy Doggy
Mungu mpokee mahala pema peponi
Amen.
Tafadhali subscribe chanel hii.
#clouds